Тёмный

MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 28 тыс.
50% 1

MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 дней назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@user-re3sr7qu2i
@user-re3sr7qu2i 4 дня назад
Halima mdee tangu 2020 hakuwa mwanachama wa CHADEMA kwahiyo msaidizi amechelewa sana kujiunga
@fredrickkaaya6287
@fredrickkaaya6287 4 дня назад
Hakika Makala unatia aibu hizo ni siasa za maji taka.
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 5 дней назад
Halima mwenyewe alishanunuliwa tayari bado Tu kumuanika😊
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku 4 дня назад
Yuko njian uyo
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 5 дней назад
CCM hakuna la zaidi mimi siyo mwanachama hata mara moja lakini hakuna lo lote bali ni ni uhuni mtupu
@rogersiddy
@rogersiddy 4 дня назад
Mnajidanganya nyinyi aisee uyo Halima mwenyewe si ccm kitambo bado hajavaa vijezi vyenu tu ila uyo ametamgulia yeye anafuata nyuma
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 4 дня назад
Kwani Halima Mdee si ni CCM sikunyingi ??!! Hakuna jipya
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 5 дней назад
Eeh Mwenyezi Mungu km ni kwa matakwa yako tunashukuru lkn kuna sio kwa matakwa yako au kwa manufaa ya sisi watu wako uschelewe kutujibu! Kwa upanga wako wa Moto-Amen
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 4 дня назад
Jidsnganye njaa imekupeleka umekuja kuiuwa ccm tutaongea Nini wewe
@amosmangura
@amosmangura 4 дня назад
Uzaifu za ccm mkubwa sana makala unatia aibu
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 4 дня назад
Nyie watu wa Bara hebu jifunzeni kiswahili fasaha. Uzaifu ndio nini unaongea mbele ya hadhara uzaifu . Ukisema Udhaifu ulimi utatoboka?
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 4 дня назад
2025 CHADEMA mkombozi wa maisha ya watanzania
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 4 дня назад
@@elvisoscar9912 🤣😂😅ENDELEA KULALA....HIYO NDOTO NI NZURI SANA
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 4 дня назад
@@sskondopoleani9616 ndio chadema ndo chama pendwa
@patrickJosse-t7h
@patrickJosse-t7h 3 дня назад
Njaaa zinawasumbua ,,umekuja CCM sababu ya njala zinawasumbua
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 4 дня назад
Sasa za zamani sana.
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 5 дней назад
Safali hii tunawabomoa kabisa ccm oyeee👍👍👍
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 дня назад
Muwajali wananchi msiwafanye wananchi waonekane hawana maaana kwasababu tu mna mamlaka
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 дня назад
Tena tunauwa wote chadema sasa hivi wanachungulia kaburi
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 дня назад
😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 дня назад
@@exaverysimon1064 na kweli kabisa
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 5 дней назад
Wasaliti wote hukumu yenu itakuja kwa muda na majira yake. Mnaangalia maslahi yenu badala ya kuangalia shida za wananchi. Mungu atahukumu wanaoangalia manufaa yao.
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 5 дней назад
Yeyote atakae kuja Wallah ni walewale. HAKUNA atakae MALIZA SHIDA ZENU, PAMBANENI na Hali zenu, *POLITICS IS A DIRTY GAME*
@HajiSimba-mq7tp
@HajiSimba-mq7tp 4 дня назад
Kila mtu apambane sio kutegemea mtu akupambanie
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j 4 дня назад
Duh hiii rushwa itaisha lini
@agofranco4766
@agofranco4766 4 дня назад
Aisee Kuwa upinzani inahitaji ujasiri sana ,sio lelemama
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 4 дня назад
Uchaguzi ukikalibia kuhama vyama ni kawaida sana
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 4 дня назад
Matatzo ya wa tz hayawezi kumalizwa na upinzani kujiunga na ccm. Maigizo
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 5 дней назад
Kwani alikuwa wapi? Baada ya 2020
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 День назад
Hovyo kabisa mbona tunawajua😂😂😂
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 5 дней назад
2024-2025 kabla ya uchaguz tutaone meng Anyway yetu macho
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 4 дня назад
yaani badala ya kujivunia mmetufikisha wapi nyi mnajigamba kwa huu upuuz
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 4 дня назад
Kwani Halima Mdee siyo CCM? Nyie vipi? Nadhani hapa anachofanya ni kuonyesha kuwa ukiona mbwa ujue mwenyewe yuko nyuma au karibu naye
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 4 дня назад
Mtanunua mifukule tu inayochumia mautumbo yake wenye akili timamu tutapigania haki zetu tumechoka kunyonywa na mambogamboga
@minazsaid2470
@minazsaid2470 4 дня назад
CCM nishaichoka
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 5 дней назад
ametumia haki yke ya kikatiba.....
@user-tx6dh6ii3m
@user-tx6dh6ii3m 4 дня назад
Hii njaa nishida matapeli ktk ubora wenu
@marwamagere
@marwamagere 4 дня назад
Ccm ya Leo ni genge LA watekaji na majambazi
@user-um7rz2lv3t
@user-um7rz2lv3t 4 дня назад
Tatizo viongozi wetu weu😮
@georgemallya4311
@georgemallya4311 5 дней назад
😢watakuja wengi sana
@zacharianjanga
@zacharianjanga 2 дня назад
ccm oyeeh
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 4 дня назад
Halima ajakusaga kweli
@shivobs4485
@shivobs4485 4 дня назад
Kwendaaaaa
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 4 дня назад
Ila ccm wapumbavu sanaa mtatiletea mpaka mavi sasa 😂😂 sasa majimbo yapi anayotaka yarudi wakati yote niya ccm 😂😂😂
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 4 дня назад
Kweli majimbo Gani ajitambui huyu matako
@marwamagere
@marwamagere 4 дня назад
Tapeli mkubwa umetangulizwa na halima mdee Malaya ww
@richardhosea8827
@richardhosea8827 4 дня назад
Hilo. Ni fyagio la chuma
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 3 дня назад
mbona mmemkamata kama mnampeleka kinguvu
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 4 дня назад
ccm kweli mmeishiwa hata hawa watu wambao wanajulikana na mtaa tu mnajitangazia mpaka kwenye media
@sophiamalinga18
@sophiamalinga18 4 дня назад
Vile vituko uchaguzi ukikaribia sio vigeni kwa watz
@leokamil6284
@leokamil6284 4 дня назад
Nilidhani Mwanaumme
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 дня назад
UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂
@hildalyatuu2710
@hildalyatuu2710 4 дня назад
Chadema hatuna mtu anaitwa Halima Mdee. Sasa huyo msaidizi wake tutamjulia wapi?
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba 4 дня назад
Hongi is tipping
@erickenock3198
@erickenock3198 5 дней назад
Sema ana nundu
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 4 дня назад
chakula ya boss
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 5 дней назад
Tunajua ccm ndo mlivyo karibu na uchaguzi munasmabratisha upinzani kama mlivyofanya nccr mageuzi nabado mapandikizi yenu bado yapo upinzani
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 4 дня назад
Nimeona kwamba chama cha chadema wana ccm waliojificha tangu awali
@francismomo7067
@francismomo7067 4 дня назад
Kinachoendelea ni udhalilishaji ,kwann inakua ivi lakin
@paulowilly7864
@paulowilly7864 4 дня назад
Wewe malaya tu
@barakamwasenga2143
@barakamwasenga2143 4 дня назад
Bado shida ipo palepale mtaisoma namba wenyewe sisi tunataka maendeleo tunayotaka
@RamadhaniMsagati
@RamadhaniMsagati 5 дней назад
Ameondoka 1 wameingia zaid ya 50
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 дней назад
Acheni siasa hizo. Kwenye chama kila mtu muhimu.
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 5 дней назад
Kama ni hivyo POVU la nini??? Kumbe akiondoka mmoja wana kuja 50, basi ombeni 100 watoke waje 500. Hovyoooooo CCM mwendo mdundo tu.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 5 дней назад
Ndiooooooo​@@sskondopoleani9616
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 5 дней назад
Nchi nzima wanasiasa wa ukweli ni MH kikwete/baba wa taifa/na mzee mwinyi tu. Wengine wote ni shida
@jimonmwakalebela9470
@jimonmwakalebela9470 5 дней назад
Mkweli alikuwa jpm
@benswai8099
@benswai8099 4 дня назад
Halima hajatambulishwa tu
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 4 дня назад
Wala hata haitutishii hatuna haja naye.
@desiderihugo5704
@desiderihugo5704 5 дней назад
Hawa ni wafa maji tuu . Mwaka huu tunae shujaaa Baba wa mbinguni . Wao wana hela na dola sisi tunae shujaa wa mashujaa . Safari hii lazima waondoke . Mipango yao ya gizani itabatilizwa
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 дня назад
INAHITAJIKA NGUVU KUBWA SANA KUITOA CCM MADARAKAN SAS KWEL HIZO SIASA WANAZO FANYA WAPINZAN ZA MIHEMKO YA OVYO OVYO UNADHAN WANAWEZA KUTOBOA
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili 4 дня назад
Umma ukiamua hata leo ccm itakuwa chali… ishu ni moja tu wa🇹🇿 waamuke… ccm ilishakufa… limebakia genge la majambazi na wafuasi wao!
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 дня назад
CHADEMA WENYEWE KWA WENYEWE HAMUELEWANI
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 5 дней назад
Kama mnajiamini msije mkaiba kula
@RajabuDangi-qv2uo
@RajabuDangi-qv2uo 3 дня назад
2025
@user-jf2gp7wb9i
@user-jf2gp7wb9i 4 дня назад
ukiona mijitu inanenepeana hovyo ujue akili ni ndogo mno sijamtaja mtu
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 4 дня назад
hahahaha chama cha majambazi
@barakakevela245
@barakakevela245 5 дней назад
MBOWE MHUNI TUU ANANGANGANIA UENYEKITI WA CHAMA KARIBU MIAKA 20 AIGE KWA MH ZITTO KWA ACT
@rendiman2878
@rendiman2878 5 дней назад
Nyerere nae alikuwa muhuni pia. Aling’ang’ania kiti miaka 27. Kidumu chama cha mapinduzi. zidumu fikra za mwenyeketi. Umesahau hayo? nyani haoni kundule
@ce-08
@ce-08 4 дня назад
Chadema wasipojiangalia wao watakuwa wanafanya kazi wanazalisha wanakula matunda wengine
@minazsaid2470
@minazsaid2470 4 дня назад
CCM haina mvuto tena
@chabrumachabruma
@chabrumachabruma 4 дня назад
Askofu gwajima amkumbatia.
@mammukaratu2084
@mammukaratu2084 4 дня назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 дня назад
Majimbo yapi wewe wakati yote yako ccm? Alafu unasema eti una msimamo msimamo upi? Mbona umeondoka chadema? Upuuzi mtupu.
@IsmailKidongo
@IsmailKidongo 4 дня назад
Mkagomanoane vyeo
@goodluckswai7496
@goodluckswai7496 5 дней назад
Njaaaa kali sana alishahama kitambo
@MnubiMm
@MnubiMm 5 дней назад
Huyu ana njaa hivi lowasa nae alikuwa na njaa au Dr Slaa nae alikuwa na njaa
@user-um7rz2lv3t
@user-um7rz2lv3t 4 дня назад
Akuna jambo
@user-fw6dp9iy4i
@user-fw6dp9iy4i 4 дня назад
Hahaha,hahaha
@user-df9ue7ko3u
@user-df9ue7ko3u 4 дня назад
Wacha uongo
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 дня назад
😂😂😂 MKIAMBIWA CCM N CHAMA KIKUBWA MSIWE MNAFANANISHA NA VYAMA VYA USHILIKA HAWA WANAUWEZO WA KUMCHUKUA YEYOTE AT MBOE WAKIAMUA WANAMCHIKUA N SWALA LA MDA TU 😂😂 MMOJA MMOJA MPAKA WAISHE😂😂
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 4 дня назад
Tz ndo ccm hata museme nn hilo linajulikana abadani anayeigia ccm ni katiba inamruhusu sina chama ila ccm ndo mama wataifa na chama katika tz hii ogopa mwanamke aliyejifugua kwa uchugu mengi atayavumilia sana na atafaulu katika kazi zake na mama hata awe kichaa kumbuka hatokumbali ashidwe
@allyndabe2458
@allyndabe2458 4 дня назад
𝐃𝐮𝐡 😂 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐨 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐜𝐡𝐚𝐝𝐞𝐦𝐚 😂 𝐣𝐞 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐫𝐚𝐣𝐢𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐩𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐞 𝐚𝐮 🏃‍♀️
@bakarimkwizu4335
@bakarimkwizu4335 4 дня назад
Bado mbowe
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 5 дней назад
Upuuzi
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 5 дней назад
Mwenzak c huyo hapo nyuma mulize anann mpaka leo
@erastomwambeje9920
@erastomwambeje9920 5 дней назад
Hiyo siyo siasa hata kidogo
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h 4 дня назад
Hiyo chakula ya boss chukuweni tu
@robertphilip385
@robertphilip385 5 дней назад
Chawa mkubwa wewe njaa tu imekupeleka ccm
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 5 дней назад
Maigizo
@RenardMakori
@RenardMakori 4 дня назад
Nchi ni ngumu wana ccm atamkitafuta watu wakupandisha jukuani lkn safari hii mmegonga mwamba kwa wananchi tunawacheki tu.
@zully756
@zully756 5 дней назад
Haki yake
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 дня назад
Ujinga mtupu
@sophiamalinga18
@sophiamalinga18 4 дня назад
Furahini majuto yanakuja
@uwezomayonko5101
@uwezomayonko5101 5 дней назад
Naona kumekucha! ccm kimeanza biashara yake ya miaka nenda rudi ya ulanguzi na ununuzi wa wanachama wa vyama vya upinzani hasa chadema kwa nguvu KUBWA.
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 5 дней назад
Yan mnaigopa chadema msipo msema mbowe hampat raha kama mnajiamini mwambieni mama akubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi japo lazma mnyooshwe na tume hiyo hiyo na katiba hiyo hiyo
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 дня назад
Chadema mashogaaaaa tu hakuna kitu mnakufa polepole tena mnajiua wenyewe CCM haina shida na watu wenu CCM wameja watu wenye vipaji hatari
@EdwardOkemba
@EdwardOkemba 4 дня назад
Umeona kizuri Gani ccm hata ukamuacha mdee lkn karibu hauja shinikizwa na mtu ni mapenzi Yako na ccm kidumu chama tawala
@user-df9ue7ko3u
@user-df9ue7ko3u 4 дня назад
Chadema chama kubwa
Далее
President William Ruto dissolves Cabinet
11:40
Просмотров 124 тыс.
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Просмотров 30 млн