Hakuna mwanadamu anaeweza kumwingilia mtu kwa masaa 6 mfululizo ni uongo ,ujue tuu mama yako anamaisha yake lakini we binti ndio huna hata maisha hapo usipokua makini utaishi duniani kwa laana na mateso mazito sana kwani mtoto yeyote haruhusiwi kua kinyume na mzazi yeyote awe baba awe mama ,waache na ugomvi wao mlizaliwa mkawakuta na ninyi watoto ni wapita njia tuu kesho mta oa na ku olewa na mtaondoka nyumbani na kuwaacha wazazi peke yao ,jihadhari sana laana ipo na baadae moto wa milele
Mama huyu ni mwongo!!! Dr alitakiwa kusema mtu aliyemwingilia alitumia njia nyingi siyo baba alitumia njia nyingine, alihuaje ni baba? Anafuata uongo wa huyu mama. Wanawake acheni uongo serikali iwamulike wanawake kama hawa ni waongo.
Hii story haijakaa sawa.... isije ikawa kaama ile ya Kenya.... binti alimzingizia babake amembaka, baba akafungwa baada ya miaka kadhaa ikagundulika ni uongo kwa ukiri wa binti mwenyewe😢
Hii ni story ya kutengeneza ili mwanaume afungwe, lakin pia serikali niwaombe wasimsumbue huyo mwanaume, kwasabab mla chake hana deni, anakula tunda lake😀😀😀
Mara ooh akalala katikati nimelala na mdogo wang mara ooh baada ya kuniingilia ndo nikaenda kwa mdogo wang mh😢na kwann ustoe taarifa tangu mara ya kwanza ulisubir mara ya pili ndo uje kusema ww mtoto omba icjekuwa ya kenya ukarudi kukiri mwenyewe kuwa niuongo😢🙌
Halafu saa 11 kuanzia sijui saa ngapi ina maana hakulala muda wote atoroke? halafu mara ya kwanza mafuta maumivu, mara ya pili tu ikaingia bila shida akapata raha. Acheni uwongo.
Hiyo ni mipango ya mama na mtoto, kwanini basi alivyobakwa siku ya kwanza asitoe taarifa hadi anabakwa siku ya pili ndio atoe taarifa kwa mama yake ? Kwanini hakwenda polisi hiyo siku ya kwanza maana Binti form four ni mkubwa na anajitabua ,tuseme tu kwamba huyo ni mchongo mama anataka kulipiza kisasi Cha kupigwa na mume wake kupitia njia hiyo.
Nasimama na baba binti wa mika 18 eti adi una vuliwa nguo unafanywa ndounastuka eti nimesha ingiliwa wamama tuachr kutumia wasichana kwenye maugimvi yenu mnamuaibisha binti yako
Ila mafuta jamani Daah naomba serikali ifungie mafuta ya aina yoyote isipokuwa petroli , diesel na kerosene 😂😂😂 Hii ngoma imechezwa 💯 naomba wanaume tuunde Meza ya jinsia wao si wana Dawati 😂
WEWE MTOTO NA MAMAYAKO WOTEE HAMNA HAKILI KENGE NYIE MIMI NDO NINGEKUWA NIRAIS WA ICHI NINGEKUA NAKAMATA MPAKA MAMA WA MROTO JERAAA WASENGE NYIE WAGA MNATUONEA SANA SISI WANAIMEE KUMAMAKEE ZENUUUUUUUUUUUUUUUU
Ana miaka 18 alafu atumie mafuta kwaiyo hiyo sehem yake ya siri alikuwa ameitunza kwa nan miaka yote hiyo🙌😂 huu ni mchongo naona maelezo yanapindia pindia hewan bila kifika chini
Safi sana mama wewe umeongea ukweli tutajuaje km kweli huyo mtoto kabakwa na babaake mzazi sawa hayo mambo sa zingine yanakuepo ila Kwa huyu mtoto Kwa maelezo yake na mama yake inaonekana Kuna kitu kipo nyuma ya pazia akihojiwa vizuri atatoa ushirikiano.
Mwongo huyu amesema siku hiyo alituma sms kwa mamake halafu Tena alitoa taarifa kwa mamake baada ya siku mbili. Polis wafuatilie vizuri maama Kuna ugomvi
Asubuhi akanipeleka.kitandani kwangu jion . Mara alinifuata kitandani akuniweka pembeni akaniweka katikati ... Mbna kama story ya kutunga. Aliniingilia baada ya siku mbii ila nilitoa taarifa asubuhi baada ya kuniimgilia. Mbna kama ya mchongo hii 😢😢😢😢
Mara saa Kumi na moja wanachart na mama yake mara mama akuwa na cm mara mama njoo nichukue kwa ugogo Gani alionao mpaka alionao mpaka afuatwe wakipgwa fmbo Tano Tano wakiojiwa tena maelezo yatabadilika
Sasa mwenye akili zake ataaminije maana siku ya kwanza wakati wametumia mafuta hakusikia maumivu, mara ya pili TU hakuna maumivu. Halafu ripoti ya daktari wanaichanganya, mara ameingiliwa, mara daktari hakukuta nanihii! Kaha!😮
Nlitegemea mwandishi angeuliza Mara ya kwanza alifanyiwa hicho kitendo na baba yake lini Mara ya pili ni lini halafu waangalie baada ya hapo aulize kwanin Mara ya Kwanza hakutoa ripoti hizo Kama kweli hakuna kitu nyuma ya pazia
Xaxa mungu ndo atatutetea sisi wanaume tunamkabiz matatatz yetu mungu maana hyo story pia ni uwongo mtupu na yakutungwa hivi mnatutakia nn lakn nyie wa kina mama
mara baba alivyo niingilia akaniachia saa 11 asubuhi nikamtumia mama ujumbe wa sms, Mara nilimpa taarifa mama baada ya siku 2😀😀 mpaka sasa mission failed
Hahaha 😂 eti mzee alitumia mafuta hahaha 😂 dàaaaah 🥺 ukubwa wote huo mpaka mafuta kwa bongo hii Dàaaaah 🥺 Ila jmn Mungu ndo Anae juwa 😢😢namafuta tena yalitumika jmn
Kwanini asitoe taarifa mara tu alipofanyiwa hicho kitu kuliko kikaa kimya hadi mara ya pili ndo kutoa taarifa km sio mchongo huo,duh!hii dunia imeharibika,huo mchongo wa mzazi kumkandamiza babamtu.
Kama mtu unataka talaka achana na mtu tu bila kumuharinia maisha yake, yote hii ni tamaa ya mali mmoja anataka abakinna vitu vyote pakee yake, Acheni kutafutia watoto laana! Mmefika sehemu hamuwezani acheni kuhusisha watoto maana mlivyokutana hawakuwepo! Iwe ni kweli au uongo
Uongo mtup et tumeenda kupimwa kama nimeingiliwa nikakut nimeingiliwa what came for acha uongo binti na akuna mtu anaweza kufanya mapenzi ivyo saatana adi saakuminamoja asubui at angeweza kutembeee