Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:- Facebook: / kusagamedia Instagram: / kusaganews RU-vid : www.youtube.co... Tiktok. www.tiktok.com...
WEWE KWANINI USIWE RAIS WA NCHI YA TANZANIA???🇹🇿 WATU KAMA SISI TUPO NJEE YA NCHI TOKA RAIS MWINYI TUNATAKA MAELEKEZO YA NCHI KAMA WEWE MAKUFULI JUNIOR 😂😂😂❤❤❤
Mimi nachoshangaa kwanini wakuu wa Mikoa mingine wasiige kwa Makonda? Mbona Makonda ameiga kwa marehemu Magufuli,Lakini anapongezwa Makonda.Hata wao wakiiga watapongezwa wao kwa kazi nzuri sio Makonda.inamaana mikoa yao hamna wananchi wanaodhulumiwa kweli? inamaana mikoa yao haina madudu kweli? Hamna wanaoonewa? Nashindwa kabisa kuamini kama mikoa yao iko salama.