Тёмный

Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 628 тыс.
50% 1

Jumatano ya February 8 2017 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alitaja mbele vyombo vya habari majina mengine ya wanaotakiwa kuhojiwa siku ya Ijumaa kuhusu tuhuma za dawa za kulevya, katika list hiyo Paul Makonda ametaja jina la mwenyekiti wa Yanga na mfanyabiashara Yusuph Manji.

Опубликовано:

 

7 фев 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 866   
@JafaryMdeluka
@JafaryMdeluka Месяц назад
Mliokuja baada ya kifo chake tujuane hapa😭
@sphrb1063
@sphrb1063 7 лет назад
makonda mwenyezi mungu akutangulia kwa kazi yk
@judesammy9643
@judesammy9643 7 лет назад
Nakubaliana na Yusuf Manji kabisa... ipi njia ya kuwaita watu na kuwahoji,, na ipo tahasisi maalum ya kuwachunguza watu wanaohusika na mihadarati'' lkn alivofanya mkuu wa mkoa c vzr kabisa tena yeye pia achunguzwe na malaya wake wanauza unga... Anatafuta Kura za baadae na umaarufu mwingi kupitia migongo ya watu..
@Halimabintmafitah
@Halimabintmafitah 7 лет назад
Jude Sammy subiri vijukuu vyenu vikikua vianze kubwia maunga ndomtamkumbuka huyo makonda.
@brightvatta284
@brightvatta284 3 года назад
Hii ni kutafuta masifa... this man! Mwenyezi Mungu akuweke hai
@shuwehaomar6658
@shuwehaomar6658 7 лет назад
Thanks Milad Ayo kwa habari ndefu kiasi chake
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 7 лет назад
Hahaaa.... Yusuph bna.... Kiswahil kinasumbua lakini naona kabisa kuwa jamaa ka mind kichiz... 😁😁✌. Usiwaze bruh... Yanga wako bega na ww.. 👏👏
@Richgasule9591
@Richgasule9591 7 лет назад
Aiseee ishakua ishuu nzito hii shukrani bro Millard
@augastineboma508
@augastineboma508 7 лет назад
u spoke well mzee big up
@rizikialmas4877
@rizikialmas4877 7 лет назад
Asante millard ayo kwa taarifa muhimu kama hizi... Keep it up
@stellandoromi3141
@stellandoromi3141 7 лет назад
tena anasifa uyo mkomeshe tu anaushaidi gani kwaza
@sophiamaembe8373
@sophiamaembe8373 7 лет назад
ur soooo trueee manji....
@godlema6104
@godlema6104 3 года назад
tulioangalia video 2021 tujuane
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 7 лет назад
hapa ndio nilipokua napataka
@ummyissa4622
@ummyissa4622 7 лет назад
Ramadhan Urassa 😂😂😂🙌🙌😅😅
@bertharobert8841
@bertharobert8841 7 лет назад
😁😁😁😁
@winieramadan9857
@winieramadan9857 7 лет назад
Ramadhan Urassa mm pia nilikua napataka
@gabrielrobert7149
@gabrielrobert7149 7 лет назад
haha
@rashidiwaiti6686
@rashidiwaiti6686 3 года назад
Waliendeshaa nchii hii kwa visasi na ubabee munguu kafanya yakee hukuu somoo big up aallllaah
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 лет назад
Hafidhi uko xawa my broo mm sesoma ila naona mapya ila hii list lazima ipo muda ila xaxa imepata msemaji ok Allah bless Tanzania
@marafikistation
@marafikistation 3 года назад
Who still watching 2021
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 лет назад
Intermission yaan kama movie la kihindi hahahahhaha #MANJI we nenda tu mkuu kama hakuna ushaidi wa kutosha basi dai haki yako ila #PAULMAKONDA mwacheni afanye kazi yake. Ahsante Millard kwa taarifa. #AYOTV
@jacquelinemaritim8674
@jacquelinemaritim8674 7 лет назад
I was more like waiting to see someone like you brother, to stand tall concerning this BS going on in Dar er salam. This government is probably growing rapidly with crooks forcing for attention from people in the name of being senior!!! What is senior by the way? We all deserve the respect Makonda...get rid of that bro!
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 года назад
Leo nimekuelewa
@khamyszahor856
@khamyszahor856 7 лет назад
Makonda kafikia mbali sasa,Na siku zote kupewa sifa nzuri tu hata kama na mabaya unafanya eti usiambiwe basi inajenga tabia mbaya.Makonda ajirekebishe
@mjakajuma5574
@mjakajuma5574 4 года назад
Pole sn kak mungu atakulipia
@codingwithtosby
@codingwithtosby 7 лет назад
He seams so shaken
@salimatuyahhaya5772
@salimatuyahhaya5772 7 лет назад
😂😂😂😂😂manji sitaki sikia kelele mingi Mimi kutoka kwako. Ukifika kituo Cha polic ndo Tutajua mbivu na mbichi
@randymontana1521
@randymontana1521 7 лет назад
Salimatu yahhaya kituoni watamfanya nini huyu? Unamjua nani kwanza huyu mtu? Hiyo serikali yenu ya ccm inaendeshwa na watu kama hawa! So they can't touch him! Huyo Makonda anataka kiki tu na kuwadhalilisha
@ronaldomwacha6098
@ronaldomwacha6098 7 лет назад
+Randy Montana ameonewa
@salimatuyahhaya5772
@salimatuyahhaya5772 7 лет назад
Randy Montana Swali la watamfanini.....sheria itafuata kama Kwel anahatia Au makonda kakosea Njia Tutajua Napia SIWEZI kusema chochote Kile kuhukumu MTU Sipendi kudhani Nidhambi kubwa. Na pia Manji simjui na mfahamu2
@ronaldomwacha6098
@ronaldomwacha6098 7 лет назад
Achunguzwe
@asharajabu88
@asharajabu88 7 лет назад
tumia akili mdada huyo makonda atafuta kik 2 n keshaipata wakubwa hawataj ataja wat ambao hawapat kiuchum
@shakirarashid9181
@shakirarashid9181 7 лет назад
mm sikuzote waga na sema watu waupe sio kwenda ukachekiwe akuna cha yanga wala simba Hapa hatuko ki team tuko kikutokomeza madawa ya kulevya munajifanya wasafi wa nguo wachafu moyo
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 лет назад
Shakira Rashid mpumbavu uyo anaongea nn uyo mbona hana lakuongea yang ooh msaada ooh alf anajipangiaje mda wa kwenda polis yule Melinda ni mheshimiwa kwako ata km umemzid kiuchumi kwendaaaaa pyeeeeee folen eti awez kupangaa looh
@wallacelussingu5820
@wallacelussingu5820 7 лет назад
Shakira Rashid y
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
Arafa Ngalawa wabomgo mnamatatizo na mnakalili sana kwa hiyo kama kiongozi ndo afanye anachojiskia.. the point point ni sheria siyo pesa,au uongozi
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 7 лет назад
we ndo kilaza wa mwisho yani
@mrsmrshassan7473
@mrsmrshassan7473 7 лет назад
Shakira Rashid
@faysalmahmuddidar7135
@faysalmahmuddidar7135 7 лет назад
mungu-akupe-maisha-malefu-manji-nimependa-sana-kauli-zako-ubalikiwe
@latifahissa1114
@latifahissa1114 7 лет назад
Mmh!! mungu wangu hii vita hii isije ikapelekea pabaya nchi yetu mana binafsi naona chachandu imepaaliwa makaa 😨😨😨
@reganzawadi4965
@reganzawadi4965 3 года назад
Tumekuelewaaa Boss,, Ilitaka sifa yakijingaaa
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
kama move vile part 2 sjui lin 😀😀😀 big up Makonda ita oteee bila kujar cheo yao ilimrad uwe unataarifa zao za kutosha hapa kaz tuuu
@bintirashidantybaby8146
@bintirashidantybaby8146 7 лет назад
joyce michael love love ama vipi muhimu tarfa za ukweli tu
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 лет назад
huyu makonda mshamba kama chobanga tuuu.....
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 лет назад
+said wilson huyu kiongozi wa mkoa simuelewi
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 26 дней назад
Ishapita hiyo
@samirymickdady8131
@samirymickdady8131 7 лет назад
sizon sasa imefikia patam episode ya 3 sijui itakuwaje 😁😁😁😁😁 MA 🚌🚌🚌 kayakanyaga kwa watengeneza 💰 💰 💰
@hythamjamal8981
@hythamjamal8981 7 лет назад
Manji yuko wrt kabisaVery gud
@athumanfundisalimu5798
@athumanfundisalimu5798 3 года назад
Da shukuru munguuu San
@cheupemwanga3326
@cheupemwanga3326 3 года назад
Nice
@jonaselias7729
@jonaselias7729 7 лет назад
ahsante boss
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
I was saying the same thing u can't just mention people's name for bad images especially if you are not sure.
@sifacycy_bby8827
@sifacycy_bby8827 7 лет назад
Mh! poleni san walio tajwa ila nadhani #Makonda angefanya kuita umoja umoja kwa sim eti ju mnajuana asinge wamaliza Ila kupitia kitangaz hiv sio vibaya ww unafika tu ukikutwa huna kosa unarudi home ukikutwa unakosa unalijua moja. .....😷😎. shukran #Ayo tv.
@stephenbarnaba5061
@stephenbarnaba5061 7 лет назад
Acha afanye kazi Rc bhn.....
@donaldmanyama7717
@donaldmanyama7717 7 лет назад
Daaah Mungu Ibariki Tanzania.
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад
Mr.manji basi yaishe.kesho nenda msamehe baba.
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 лет назад
Hahaha
@fahmisalum6036
@fahmisalum6036 7 лет назад
+Halima Mbwego،،،،،،،،
@kpetres2872
@kpetres2872 3 года назад
Pole Manji Ni changamoto. Nimerudi kuona mlivyoumizwa🙏
@juliusfrancis6586
@juliusfrancis6586 7 лет назад
safi sana manji
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 года назад
Anaeangalia hii clip 2021 anipe like yake apa
@haidarimsigwa1833
@haidarimsigwa1833 7 лет назад
Everything has its way of handling. If you think ur above the law since ur a leader then ur wrong and u r not feet to be a leader. Even if what ur doing is right and has good benefit to the community umless u do it rihgt then its not right it is wrong as what ur trying to correct. Lets learn how to respect people and there rights and by respecting the rull of law.
@ellymaduhu8668
@ellymaduhu8668 7 лет назад
Pole sana mr. manj soon these will end
@veronicalucas580
@veronicalucas580 7 лет назад
good song jitahid sana dogo
@sadiqsleemz6311
@sadiqsleemz6311 7 лет назад
tru man says truth like yusuph
@dianaahdarlingkenya7616
@dianaahdarlingkenya7616 7 лет назад
thus great @Millard Ayo great Job
@AliAli-mj9tj
@AliAli-mj9tj 7 лет назад
Dianaah Darling بةAyako ww kila sehemu upo
@dianaahdarlingkenya7616
@dianaahdarlingkenya7616 7 лет назад
one love one ppl pliz
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
wew ongea weee lakn ijumaa unahitajika .... wew usitajwe umekuwa nani kwnye hii nchi....unatukana tukana tu hata aibu huoni ....kama huhusiki blabla za nn
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
kama hutumii itajulikana.....wew huna uwezo kabisa wa kubishana na Makonda mana Makonda ni tasisi kubwa siyo mtu mmoja
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
yanga inahusikaje na dawa za kulevya....chombo cha polisi ndyo kinahusika na mahojiano ....wew ulitaka ukahijiwe wap....na brand iyo huna Manji
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 года назад
2021 Manji Ndani
@mauacosmas8495
@mauacosmas8495 7 лет назад
kazi ipo shukran millard kwa kutusongezea habar
@nayomikwambonayomi1508
@nayomikwambonayomi1508 7 лет назад
SAFI SANA KAKA WAMEZOEA WALE WANAFKI TUU YEYE NA RAISI WAKE WAMESHAZOEA KUTUFANYA SISI WATANZANIA WAPUMBAVU ATUNA AKILI WANATAFUTA KIKI AMTAJE MASOGANGE BASI AMBAE NA USHAHIDI UPO KUHUSU YEYE MBONA HAMTAJI.
@bashiruhamad4898
@bashiruhamad4898 3 года назад
Life is gon on
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 7 лет назад
mhm mungu ndie ajuaeye ypute
@wilsonkahamba8806
@wilsonkahamba8806 3 года назад
Pole
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 лет назад
Pole sana Makonda umebugi
@emmanueldavid6367
@emmanueldavid6367 4 года назад
2020
@kibongobongo8950
@kibongobongo8950 7 лет назад
Sijapata kusikia mtuhumiwa kuitwa katika media hali wanajua anapatikana wapi.
@youngfrava7308
@youngfrava7308 7 лет назад
whatch out part 2 ?
@emiliehortensia5189
@emiliehortensia5189 7 лет назад
safi sana Manji
@abelmirwatu19
@abelmirwatu19 7 лет назад
Ninavyo helewa mimi duniani kote wauza unga siyo watu maarufu, kwa sababu wakijulikana ni rahisi kukamatwa siyo watu wamitandao nikama kaka kuona vile maisha yao jinsi walivyo..Mna mjua mwana music wa rap duniani Curtis jackson or 50 cen't alikua muuza unga mzuri sanaa alipo toka ktk lile genge walitaka kumuua na walimpiga risasi 9, lakini akapona kipindi hicho alikuwa siyo maarufu alipo pona ndiyo akaanza biashara ya music dunia nzima leo ina mjua. Kwaiyo hili swala si jepesi tushilikiane na raisi wetu kutokomeza madawa ya kulevya ndg zangu.
@abdulabeid906
@abdulabeid906 7 лет назад
tuwe tuna angalia angalia habari,,,,yawezekana,,,,nawewe kweny list upo,,,,
@Ishengoma1
@Ishengoma1 7 лет назад
Jamani hapa patamu sana. Na kule umekosea jina la kwanza la mbowe sijui ni mbowe gani ataenda central Ijumaa. Huu mwaka umeanza bila pesa lakini mziki ndo unachezwa sasa hivi. Huku Makonda kashasema part 3 inakuja, uwiii huu mwaka ni filamu tu
@gastordominic410
@gastordominic410 7 лет назад
well done Yusuph
@francisngafumika2180
@francisngafumika2180 7 лет назад
pole brother hii ndio bongo sasa badili jezi ya yanga iwe ya kaki halafu sema peoples
@shuwehaomar6658
@shuwehaomar6658 7 лет назад
makonda anataka sifa tu au amechanganyikia baada ya watu kusema anakamata watumiaji anaacha wasambazaji sasa anataja tu had I manji hadi mbowe kweli makonda anataka ajiweke sehem nzuri ajeagombee urais sio bure unachafuachafua tu watu
@jasminesamir8504
@jasminesamir8504 7 лет назад
Shuweha Omar makonda mpuuzi
@athanaselisha1617
@athanaselisha1617 7 лет назад
Shuweha Omar makonda strong sana!!!muone huyu anavyotudharau mpaka kumwita kiongozi wetu mpumbavu!!!!
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 лет назад
jamaa angalia maneno hayo hawakawii kukutafutia kosa
@jamesmtangi8025
@jamesmtangi8025 7 лет назад
akili butu naww....fikiria vizur bhana,,,
@moodybite
@moodybite 7 лет назад
umzani aye siye usiemzania ndiye
@AnzuDimpo
@AnzuDimpo 7 лет назад
Muheshimiwa Yusufu Manji yupo Sawa👏👏👏
@allyhassani4978
@allyhassani4978 7 лет назад
ur right bloody....mana kila mtu anahadhiyake sasa kuitwa kwa kashifa kama hiyo sidhan kama kunabusara....ilaa neenda ijuma then utafufia hakiyako
@aminalyoba6520
@aminalyoba6520 7 лет назад
makonda komaa na hao wauza unga maana wanaaribu ndugu zetu
@aminalyoba6520
@aminalyoba6520 7 лет назад
ondoka hata leo kwani wewe ukiondoka yanga ndio yanga itakuwa imekufa
@patrickedson50
@patrickedson50 7 лет назад
inslasikitisha sana pole baba
@charitythegolden729
@charitythegolden729 7 лет назад
Makonda doesn't know that intelligence overloads intelligent to the downfall
@mwanabori2830
@mwanabori2830 7 лет назад
daaah hii vita hakimu mungu tu mwenyezimungu niwekeee nione the end
@happybraysoni7373
@happybraysoni7373 7 лет назад
Dah
@ummyissa4622
@ummyissa4622 7 лет назад
huhuhuuu mie lngu jich0. 😕😕😕😕
@mentythegemini405
@mentythegemini405 7 лет назад
too much clever uyu mtu
@ruthshayo1305
@ruthshayo1305 7 лет назад
kwani mapovu ya mini manji usikatae wito kataa maneno ndio ww mwenyekiti wa yanga hatukatai kwa hiyo ikibainika unamakosa usiulizwe au kushtakiwa kisa mwenyekiti rudi nyuma kwenye kauli ya mh Rais amesema asiangaliwe nani na ana cheo gani .so makonda yupo sawa tunajua anawakati mgumu kwa sasa matusi yote ni take lkn anapambania nguvu kazi za badae .....alutaaaà continue baba makonda.
@trishahsongs6995
@trishahsongs6995 7 лет назад
That is true brother nataka upedeja makonda na sheria aindi ivo
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 3 года назад
Nani anaikumbuka sh1
@rashidijulius6511
@rashidijulius6511 7 лет назад
japo kiswahili ni kigum. lkn umeeleka kaka.
@sumaritvonline4674
@sumaritvonline4674 5 лет назад
This man what is saying is automatically truth, you can't publicize someone's summon its very unfair
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
Asanteee Ayo Tv 😀😀😀tunasubir part 2 ya kesho alaf kuna mwingne nae nasubir na alivyombish sipat jibu nn itakuwa😂😂😂
@mutuwetu8974
@mutuwetu8974 7 лет назад
joyce michael love love yule ndio kichaa atamtaja had yeye kama alikuwa anauza halafu akaacha
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
#Mutu Wetu 😂😂😂😂😂
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад
joyce michael love love GWjima huyo ndo mbishi yuko anakemea akifika polisi wote wataanza kuimba kesi kwisha.hapana chezea MUNGU wa Gwajima
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe 😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdallahally2767
@abdallahally2767 2 года назад
Duh
@japhetlaisangai8682
@japhetlaisangai8682 3 года назад
Pole sana mkuu
@ombenivasha7361
@ombenivasha7361 7 лет назад
safi sana manji ayo yakweli kasa nenda nae mpaka kieleweke
@mokhimji
@mokhimji 4 года назад
Press conference hii imekuponza sana kaka
@castrolk.ezekiel7426
@castrolk.ezekiel7426 7 лет назад
Pole hswaze xaana Mr. Manji!!
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
Unajikweza mtu mwenyewe huna Pesa....Mbona MO anahela kuzid wew na dharau hana...wew mbona unadharau
@castrolk.ezekiel7426
@castrolk.ezekiel7426 7 лет назад
Charles Magere,pngza maneno kjna kwan kwan wew ni mhsibu wa Moo kuona kua anamzid pesa,alfu ishu xio pesa ishu ni hshma we vp?? xkushangai wamchagan mawazo yenu hafifu!!
@alfanmuruwa5601
@alfanmuruwa5601 7 лет назад
veve manji acha kelele bana kama nausa unga makonda asiseme makonda iko na evdence bana tafungia veve jela bana au nausa unga original hata ulaya uwezi pata kabisa
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@hactivist9076
@hactivist9076 7 лет назад
This guy yupo sahihi kupigania public image yake maana if you want to summon someone then use the official means sio kutangaza kwennye media, kama mtu asipo showup utamlaumu kwa lipi maana anaweza sema kuwa hafatilii news wala nini na hatrust unofficial means. Wapo Tanzanians ambao hawatosupport the means liyotumia ila sio makosa yao ni kosa la kutojua law, na ndo maana haki itakuwa ngumu kuipata in this country, tusome kisha tutetee point kwa hoja na si kwa mkumbo, wake up people.
@hafidhsuleiman804
@hafidhsuleiman804 7 лет назад
Hactivist 90 uko sahihi mkuu! kuna mtu alinambia maisha ni kucheka kidogo na kulia sana...usifurahie kudhalilishwa kwa mwenzako, leo analia yeye...kesho utalia wewe! Huu utaratibu wake ni kinyume na sheria...
@sammymchuma3579
@sammymchuma3579 7 лет назад
Hactivist 90 umesema kweli
@abbiecox1
@abbiecox1 7 лет назад
WANUFAIKA MKO WENGI SANA
@abbiecox1
@abbiecox1 7 лет назад
UMELALA PEKE YAKO KWA KUNUFAIKA NA UCHAFU WA UNGA UKITETEA UKO SAHIHI! KIPO UNACHOPEWA SI BURE
@masudikingwiti5425
@masudikingwiti5425 7 лет назад
Masudi
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Месяц назад
Rest in peace YUSUPH MANJI
@iddiewazeer9300
@iddiewazeer9300 7 лет назад
watanzania wengi hatuna elimu na hatujaelimika white pipo wapo makini sana wanasoma katiba kujua haki zao ktk jamii ila black pipo humu tunashabikia tu wakat haki zetu kisheria hatuzijui hata katiba yetu hatujaipitia ila tuna mcriticiz mtu anaetetea haki yke kwa mujib wa katiba...shame on us
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 7 лет назад
Tension trickier...! Nafikiri nimeeleweka
@nankodyasteven2858
@nankodyasteven2858 7 лет назад
Hahahaha I'm watching it right now my ribs are aching for laughing
@hamiduchilumba2352
@hamiduchilumba2352 7 лет назад
Mheshimiwa MAKONDA fanya kweli tupo nyuma yako sisi wapenda maendeleo mema,hata mungu pia yupo name,mkono wa mungu una nguvu kuliko.Hapa tunazungumzia maslahi ya taifa sio taasisi ya wachache.MUNGU BABA MTIE NGUVU MPE ULINZI WA JESHI LAKO,MHESHIMIWA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA.Mimi binafsi nimempa cheo changu cha MKUU WA WAKUUU WA MIKOA TANZANIA.
@arafangalawa2860
@arafangalawa2860 7 лет назад
hamidu chilumba ameeen
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
napenda kiswahili cha manji jmn anaongea vizuri sana
@Musa-wr8vk
@Musa-wr8vk 7 лет назад
sijawahi kuona kiongozi mpumbavu kama makonda !
@alphonseisumba6326
@alphonseisumba6326 7 лет назад
je vigogo wa chama hawapo au mizengwe?
@salehemkala7775
@salehemkala7775 7 лет назад
Musa Msira wewe naona alija kugusa ndio mana unamlaumu makonda mimi naona sawa wawo wanasambaza sumu kwa watoto wa wenzao wanaona uzuri wacha waumbuke
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад
Musa Msira bora ukuu wa mkoa apewe Harmolapa mpaka home atakuwa anafagia barabara as kariakoo so umeona anavomsaidia mpenzi wake home. MAKONDA NI HARMOLAPA KABISA
@goldendesertmrgolden5976
@goldendesertmrgolden5976 7 лет назад
Salehe Mkala he? wewe ukitajwa kuwa umeiba Itakuwa? au kunautaratibu wakufwatwa eliejulikane kama kweri ww umeiba au laah kwahiyo huwezi kumtaja mtu kama anahusika nakitu furani wakati huna ushahidi watazania amukeni kuweni na akiri msipendekuamini kila kitu mnachosikia kunasheria na utaratibu
@halimasali.8081
@halimasali.8081 7 лет назад
narusha jiwe gizani atakae sema yalaaaaaaaaaa limempataa!!nimekuelwa yusuph iko njia kweli yakuita watu na kuwahoji lakini sikutangaza watu public na huna uhakika nao......niko hapa lawyer wako....tukutane ijumaa police station
@mabenatv8554
@mabenatv8554 3 года назад
Rudi tanzania 🇹🇿mkuu
@nyamizikhamisi8327
@nyamizikhamisi8327 7 лет назад
mbona unalalamika San kwan vp bro we nan usihojiwe au ndo tabia zenu wahindi kujikweza
@geofreyernest3437
@geofreyernest3437 7 лет назад
Mwachie mungu dah. So sad
@kasimumahovyo8024
@kasimumahovyo8024 7 лет назад
kaz ipo kwel kwel, hapa kaz 2
@zenaally2395
@zenaally2395 7 лет назад
kazi ipo
@mimifulani948
@mimifulani948 7 лет назад
acha kujifanya unakaz ya maana dar wewee MAKONDA EE HAWA MACHIZ NDO WANATAKIWA usimuogope ati watu 65 na yy awepo unataka uitwe kiboss hakuna hapa😏😏😏😏😏
@asharajabu88
@asharajabu88 7 лет назад
na huyo makonda wako pia ajitaje n huyo malaya wake wa huko xouth
@Royalcakespoint
@Royalcakespoint 7 лет назад
SOFY OMARY hasikitiki hadhi yake na hao wrngine waliotajwa ila anachokiongelea hapa ni katiba ya nchi inavoeleza kipengele cha sheria ya haki yake...na katiba nikitabu kinachomlinda kila mMoja wetu
@greonpeter6984
@greonpeter6984 7 лет назад
SOFY OMARY utajiri wa huyo jamaa ni wa kurithi sio waku boost
@mkude
@mkude 7 лет назад
sofy mambo
@ericlowasa3097
@ericlowasa3097 7 лет назад
Hivi we mwanamke wanakusaga nn wenzio maana unaongea utumbo ati hivi anachokilalamikia manji umekielewa au na ww unakulupuka kama huyo madereva fara w manji anazungumzia katiba ya nchi inasema nini yeye akiwa kama raia na ze way inavyomprotect kumchafua mtu without evidence hilo tiyari ni kosa kisheria ikithibitika mtu huyu kosa hana basi anauwezo wakukufungulia kesi na kukushitaki umelewa w msagwaji
@mariamjuma8038
@mariamjuma8038 7 лет назад
manji uko sawa hebu tutafakari hivi vyombo vya habari kabla ya ushahid na uhakika utamtangazaje MTU pia anasema aende kutoa msaada msaada gani huo wakutangazana vyombo vya habari hebu serikali iliangalie hili swala na utafiti wa kuwakamata hawa watu
@omarymwigula5479
@omarymwigula5479 7 лет назад
Unaweza ukalala lupango mwenzio wema hajaachiwa eti saa tano tarudi saa ngapi?
@henrystanley4077
@henrystanley4077 3 года назад
Hahahaha kweli maisha ubadili aiseee...makonda alitakiwa asaidiwe na watu hawa sasa kawatukana sijui atasaidiwa na nani na sasa yupo chini...safi sana Manji...walikua hawajui kama kuna maisha baada ya madaraka
@merynyankena3012
@merynyankena3012 7 лет назад
movie imefika patamu
@babuuclassic
@babuuclassic 7 лет назад
Makonda amezidi aisee
Далее
Разоблачение ушные свечи
00:28
Просмотров 228 тыс.
кажется, началось
00:45
Просмотров 1,6 млн