Wanawake tunaweza ....tukiwezeshwa tuna plan za kujiendeleza na kuinua wenzetu wasiojiweza,mayatima na wajane vipi tutaweza bila kusapotiwa na kuwezeshwa😓😓.........big up mungu akutangulie kwa kila hali napenda sana hvyo vitu
Police wanauwa wamasai, au wamasai syo watu, furhn kunyweni cheken, ila mungu yupo mama Samia pandisha vyakula watu wfe kwanjaa nyinyi nenepenitu , unajisahau sna, kwakuw ww ni mzazibar
@@peterdavid4230 Yaa hata mm naamin wanamwaga dam za wa tz wenze2 ila ipo sku1 nadam zafamilia zao Zita mwagika hk wakitizama kwamacho Yao, on day one time
Mungu azidi kumbariki ili aendelee kusaidia Wanawakebasa wasichana wadogo wanaoishi mazingira magumu. Ukimuwezesha mwanamke umewezesha jamii nzima. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Wewe Richadi acha uongo Mkuranga gani? unatoka Mbagala mpaka Mkuranga lami tupu. wapi barabara imeharibika? si ajabu hata hiyo Mkuranga yenyewe hauijuia. Kazi kupotosha tu kwa michuki yako hiyo ya kishamba.
@@rayisadesigns2646 Shut up! Tarura wanashughulika na barabara za vijijini na sio main road kaongeze akili, (usichanganye barabara za tanroad na tarura, na zile za manispaa), watu hawaishi barabarani main road wanaishi interior.....mafungu ya pesa za barabara tarura zinatolewa? Mbona njia mbovu...au unaishi wapi wewe mburura? Piga simu kwa CEO wa tarura atakuambia kero nilizomfikishia tangu 2020 kajitahidi sana the guy is good but leo ni 2022, piga simu mkuranga tarura watakuambia....kama hujui au unaongea ushabiki kaa kimya! Wewe unayeishi main road this is not your topic...go to hell 😈
Kwa kiasi chake tumejenga sisi kwa kujichangisha na wengine kupeleka moto....hapo vipi Mohamed umeridhika? Wazee wa michongo, unaonaje hapo? One day you will endure eternal punishment...wait it's coming soon
Umenifanya nitafakari na kusikiliza upya video hyo. Hivi wale wa viti maalumu nao huwa wa sehemu maalumu kumbe? Nchi hii ina wenye nchi na wana wa nchi.
Vyema dada kikubwa tubadirishe mfumo wetu wa Elimu uzalendo saana na vitu vingi vianze kufundishwa mashuleni teena msingi ikiwa kazi ,sheria ,na usimamizi wa fedha
Kweli ni mara ya kwanza kukuona na kukusikia nakukubali na nimeamini unaweza kazi hiyo uliyo anzisha. Keep up binti mzuri nakutakia mafanikio mema njoo pia Moshi upate uzoefu
Mshaanza kutuludisha tupotoka vipind vya kikwete na mkapa mashavu mnapeana wenyewe kwa wenyewe kana kwamba nyinyi ndo mmezaliwa special uongoz pumbav mtupu
Nyie mtasalimiwa kwa jina la Jamhuri tu, Hizo salamu toka kwa muumbaji ni special kwa wanaomjua muumbaji. Sasa mungu wako wewe si Mungu wetu, tuna miungu tofauti kabisa.
Tayari kuna Msichana Iniatives sasa hii Mwanamke Initiatives imesajiriwaje? Mtoto wa Rais anazindua foundation mgeni rasmi ni Rais? Ama kweli hii ni Nchi ya Wenye Nchi siyo ya Wana wa Nchi. By the way nimempenda baba ake Wanu (mume wa Rais), anaonekana hana makuu mzee wawatu na wala hajishauwi wala kujikweza,wonderful! Hongera kwake kwa kuwa mwanaume wa kwanza katika nchi yetu ambaye mkewe ni Rais wa nchi tena naye wa kwanza mwanamke, wote wamevunja record: First Female President and First Man.
Nchi ya walaji kaka tutafanyaje Acha tuwe wapenzi watizamaji 😁na unafiki wa watanzania eti wanampigia makofi 😅😅sijui ni kutokuwa na elimu? ama njaa ya umasikin??
@@missmrs829 lakini sisi Waswahili tunapenda sana kulalamika lakini siyo kujitolea nakuanzisha kitu kitakacho faa kwa uma, tuna penda kuwa na wivu usio na maendeleo kumbe tukitaka kusonga mbele ni kuwa nawivu wafaida yeye kaanzisha hiki basi mimi naanzisha kitu kingine hivyo tutasonga mbele huo ni mtazamo wangu nisamehe
@@urumtewele9693 Uhasidi hauna dawa. Huyo Dada Mwanu amekuwa Kiongozi kabla Mamake Kuwa Rais.Mamake amepata Urais kama kadari ya Muumba.Hakupigania.Sasa mahasidi wamlaumu Allah Nikumbushe Rais Magufuli alivyomsifu Mama Samia kwa kusema kuwa alipomchagua Mama Samia hakuwa anamjua sana lakini amejua ni Mama mchapa kazi sana