Wallah nimejikuta nalia san mm jmn😭😭😭😭😭daah pole anualy akuna kam mom ata akakukoseaje bado atabaki kua mzazi wako tu...nawapongeza san watangazaji kwa kumtetea uyo mam maan shangaz anaonekan ana machungu na maneno ya uongo ili tu kuzd kumtia sumu mtot amchukie mamake😭😭😭🙏
Yani hapo sumu zisha pita zamani na ina onesha shangazi na mama anuwar wana mabifu yao ila shangazi anaona atumie njia kulisha mtoto sumu kwa uwongo ili amkomowe mama anuwar kiufupi huyu ahangazi kunajambo hapa ana lificha ila sio mtu mzuri kabisa