Тёмный

#LEOTENA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#LEOTENA: UTAPENDA FAMILIA SITA KIZIINJOI KWA PAMOJA BAADA YA KUTENGANA KWA MIAKA MINGI

Развлечения

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 152   
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤mama ni mama hata awe na mapungufu gani mama ni mama tuu
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Kabisa
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Месяц назад
Haipingwi iyo
@MwajumaFundi-ex5tj
@MwajumaFundi-ex5tj Месяц назад
Nitakufa na wanangu pembeni siachi mwanangu hata kama Sina kitu mm na wanangu iwe mvua,iwe jua 💪💪
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z Месяц назад
Pamoja
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 Месяц назад
Shamira mama ni mama
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 Месяц назад
Maashaallah Maashaallah Mwenyezi Mungu awalipe kwa kuwaunganisha wazazi na watt wao❤❤❤
@EvodiaDominic
@EvodiaDominic Месяц назад
Mungu awatunze sana clouds media, mwendelee kukutanisha familia nyingi zaidi na zaidi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Yaan mimi siachi mtoto wangu yaan we. Bahati nzuri watoto wangu ninao mwenyewe hadi wameolewa
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
labda nilogwe ila kwa akili timamu siwez
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 26 дней назад
Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏
@annamndeme6312
@annamndeme6312 Месяц назад
Nimelia sana yaan..😭😭😭 wengine wanatafut watoto wengine wanatelekeza watoto😭😭
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
Nampenda gea na huu mwenzake manshallaah mungu awadumishe mapenzi kwenu na mmzidi kuwa na moyo huo huo
@user-eo1nu2qc4i
@user-eo1nu2qc4i 27 дней назад
Nawashukulu sana kwa kazi nzuri Mungu awalinde na kuwabariki muendee kufanya iki kipindi Mungu atawalipa❤
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Месяц назад
Shangazi ana hasira
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Месяц назад
Sana
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 Месяц назад
Mno...Yaani shangazi ameshindwa tu kumkataza huyo mtoto wa marehemu kaka yake hasifanye hiyo tu.
@hamispazia9
@hamispazia9 Месяц назад
Clouds radio yangu pendwa,Da'Huu,Geah,Jose Mara,Mungu awahifahi wallah...
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Месяц назад
Mungu Asante Kwa baraka na neema hii Asante katika jina lipitayo majina yote nalo ni yesukristo mwana wa Mungu aliye hai.amen
@RehemaMwakapimba
@RehemaMwakapimba 28 дней назад
Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.
@EdnaLugano
@EdnaLugano Месяц назад
Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Месяц назад
Shangazi mungu akutunze,,ww ni mrembo 🎉🎉🎉
@salma-fc2mq
@salma-fc2mq Месяц назад
Mama anauma jamani hata kama alikuacha ila utasamehe maisha yaendelee
@909dentalcentre9
@909dentalcentre9 Месяц назад
kipindi kizuri sana hongereni clouz, laki mweke ulinzi cku atapigwa mtu makofi maana matukio yanatia uchungu sana
@hatimalnaamani876
@hatimalnaamani876 Месяц назад
Hongereni sana uongonzi wote hakika ni kazi kubwa ❤❤❤
@loveness09-k
@loveness09-k Месяц назад
Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23
@elizamrema5529
@elizamrema5529 Месяц назад
Hongera sana radio ya watu ,,, hakika Hiki kipindi kipewe kipaumbele hongereni nyote mliopata mama zenu
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Месяц назад
Na mimi mamangu si angekuwa amepotea then nimpate aki i mos her😢😢😢 innalilah rajiun rest wel kipenzi changu heri kupotea kuliko kufa
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Pole muombee Dua
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly Месяц назад
Pole sana kipenz ❤ Kikubwa Dua 🙏
@FatumaMuya
@FatumaMuya Месяц назад
Pole sana
@FatumaIbrahim-c6d
@FatumaIbrahim-c6d 7 дней назад
😢😢😢😢endelea kupumzika kwa amani mamaangu nakupenda sana😢😢😢
@FlowerJoseph-vn7mb
@FlowerJoseph-vn7mb Месяц назад
Yaani Raha sana kukutana na mama hakuna kama mama yaani Leo nimelia sana ila mungu ni mwema
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Месяц назад
Kabisa yaan
@Mjuni3
@Mjuni3 25 дней назад
Hizo Kanga zinanikumbusha Mbali sana ,,Ndio kanga za marehemu mamaangu alikuwa anavaa
@TichaSabah
@TichaSabah 29 дней назад
Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda
@user-wt7mm9lx8i
@user-wt7mm9lx8i Месяц назад
Hatakama ntapitia magumukiasigan ila mtoto wang ntakufanaejaman
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Месяц назад
Raha sana jamani Mama hafanani na asie mama yako nalia kwa furaha❤
@user-so2to1gs6n
@user-so2to1gs6n Месяц назад
Dj anachemshaaaaaaa
@lucypeter-ev3xe
@lucypeter-ev3xe Месяц назад
Mungu amtunze shangazi shamila
@user-li2cy1st6o
@user-li2cy1st6o Месяц назад
Gea na watatangazaji wote wa leo tena Mungu awazidishie inshaallha nawapenda sana sina cha kusema ila Mungu anajuwa
@fredymagesa4463
@fredymagesa4463 Месяц назад
Mwenyezi abariki clouds kwa kukutanisha ndg waliopoteana kwa miaka mingi
@Mitchellekyle
@Mitchellekyle Месяц назад
Natamani mamangu awe amepotea leo ndio ameonekana mama nakupenda R.I .P🙏🏻
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Pole mummy
@MarkPaul-ts8nf
@MarkPaul-ts8nf Месяц назад
Pole sana endelea kumwuombea Ili nawewe upone kufarijika pia.
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 26 дней назад
Pole sana
@user-fw1ow4ch6g
@user-fw1ow4ch6g Месяц назад
Mama ni mama hata kama huyo shangazi achukie,ni Bure,mtt hazaliwi na mama wawili huwa ni mmoja tu.
@emes602
@emes602 Месяц назад
Ukweli maana shangaz kaonesha chuki
@uwimana6533
@uwimana6533 Месяц назад
Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Inaonyesha akimsimangia mama yake
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie Месяц назад
Mama ulifanya makosa. Shangaz haki yako kuwa na hasira. Mtt mdogo ondoka nae .tena mtt wa kunyonya...hapana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Kweli dada gea. 🎉🎉🎉❤❤
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Месяц назад
Jamani mimi nimelia 😭😭😭namkumbuka mama yangu 😭😭😭😭Allah akuweke mahali pema Yarabi🤲
@AsinaMohamed-pb5xt
@AsinaMohamed-pb5xt Месяц назад
Pole sana shamila
@salama1113
@salama1113 Месяц назад
Shangazi yake waziri pambe❤❤❤❤❤❤
@EmilykuvunaKonzi
@EmilykuvunaKonzi Месяц назад
Nn nko apa tu nawasaidia kulia😢😢😢😂MACHOZI ya furaha❤🎉🎉🎉🎉
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwawo hadi raha kabisa
@emes602
@emes602 Месяц назад
Ila shangazi ana shari uyo. Kama vile kammindi uyo mama.. swali why mke mkubwa n mdogo wote waondoke kwa pamoja?
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Месяц назад
Kadi nzuri😢😢😢❤
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 Месяц назад
Asante sana shangazi kwa kumlea mtoto wa kaka yako lakini watu wa tanga wana mambo mengi sana
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
shangazi yuko na ujasiri hadi nimemoenda bure nahis atakuwa msambaa mkilindi huyu maana hatunaga mbambamba
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Месяц назад
Mama yangu nae SI angepotea tu at nmtafute nimpate Kama hivi but now siwez kukuona kukuona kabisa😢😢😢😢
@FatumaMuya
@FatumaMuya Месяц назад
Pole sana
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад
shangazi ameamua kuongea alimuacha amfwate alipomuacha ataki mchezo
@tato8979
@tato8979 Месяц назад
Mauwa 🎉🎉🎉
@aziza9093
@aziza9093 Месяц назад
❤❤❤❤
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤
@neemanjakale2744
@neemanjakale2744 22 дня назад
Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Mungu awalipe clouds f.m
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Huyo mam kiboko ni mtihan
@valenakomba7686
@valenakomba7686 Месяц назад
ANAONA AIBU MAMA. MAANA HAKUKATAZWA KUONDOKA NA MWANAYE. UNAPOONGEA NA MTU MWANGALIE USONI. MBONA HAJACHANGAMKA HUYO MTOTO MWENYEWE.
@SafiaOmary-ii5zm
@SafiaOmary-ii5zm Месяц назад
Dah
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Месяц назад
Shangazi unahasira lkn hujui kaka yk alimfanya nini huyu mama mpaka akamwacha mwanae
@farajaphilipo8844
@farajaphilipo8844 Месяц назад
Natamani mama yangu niwe nimempoteza leo ndo namupata lkn haiwezekan 😢😢😢
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 Месяц назад
Nimelia 😢san leo
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Haha mie
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Kafanana na mama
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Shangazi Allah akulipe
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Месяц назад
Hata nipitie shida gani siwezi muacha mwanangu
@RehemaJonas-yj7ed
@RehemaJonas-yj7ed Месяц назад
Kloud mnaona maajabu hapo Sana make mwanamke anamwachamwanae miez afu aseme namtafut
@joysekiza3944
@joysekiza3944 Месяц назад
Jamani nikiangaliaga kipindi waga nalia sana nikifikilia kulelewa bila mama mh nikazi
@SalhaIssa-eh6bj
@SalhaIssa-eh6bj Месяц назад
Yaani mtu unatelekeza wtt wa nne yupo sawa shamila pole mm naishia na wtt wangu napata shida nipo na wanaagu wapende wtt wako ujui utaishia wapi
@ReginaOpportuna-kf5km
@ReginaOpportuna-kf5km Месяц назад
Nina wazo. mikiwaalika afisa ustawi wa jamii kuhudhuria siku hii kila mwaka nadhani itakuwa vizuri jamani.
@HappyCap-mf6iv
@HappyCap-mf6iv Месяц назад
Naombeni namba za clouds
@aishaally6602
@aishaally6602 Месяц назад
Hizi mila nazo ni shirki
@user-fe7zg9hd9z
@user-fe7zg9hd9z Месяц назад
❤❤❤❤😂
@user-qg7wx1ou5b
@user-qg7wx1ou5b Месяц назад
Munasababisha tunao angalia pia tunalia kwakweli😭😭😭😭😭
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n Месяц назад
Haya mambo km hayajakukuta utasema uzembe ila yalotukuta tunajua
@hawakiza6067
@hawakiza6067 Месяц назад
Toweni mizki
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 5 дней назад
Mama mkavu uyu ata isia ana
@Boralifesyle
@Boralifesyle Месяц назад
Maana mi nalia tuu, sujui hata kwanini nalia kuwashinda wenyewe
@loveness09-k
@loveness09-k Месяц назад
Halafu kapewa kanga jamani na roho yake mbaya bado wanampa kanga 😂😂😂 22:21
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Месяц назад
Kweli milazakisambaa lazima walambiane chumvi nimbui wasambaa wenzangu
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
washanba tiihaha 🎉🎉🎉❤
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Месяц назад
@@msakadoobongeladada-uh3sk penda sana sambaani ekadu maa
@mbonijabut1405
@mbonijabut1405 Месяц назад
Sambaaa oyeee usembe
@asiansky9767
@asiansky9767 Месяц назад
Mmejua kuniliza clouds
@dalalihakweahakweya6662
@dalalihakweahakweya6662 Месяц назад
Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw Месяц назад
Shangazi ni kama hajafurahia mtot kukutana na mama yake
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 Месяц назад
ni haki shangazi kuchukia
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 Месяц назад
Duuu mbona na mm nalia jamani!!?!😊
@user-qd5qp3dd2x
@user-qd5qp3dd2x Месяц назад
Huyu mama kama mgogo siambembeleze mwanae😢
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Huyu mama kakaa umbo lakiume mjinga san utaachaje mtt wako wa miez 9 ujinga san muon kwanza
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 Месяц назад
Acha coment zko mby izo
@zenasalum2231
@zenasalum2231 Месяц назад
Unapata dhambo Mungu ndo alivyomuumba
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Месяц назад
SubhnAllah mola akusamehe
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
@@yasminoluoch169 ww unawez am ni subukhan lllah kuitamka tuy
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu Месяц назад
Usiseme ivyo uwezi jua nin kilisababisha anamwacha mtoto wake
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Watoto wanafanana mama zao
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Месяц назад
Shangazi mchawi
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Месяц назад
Numelia jaman 😢😢
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Месяц назад
Duu hikali mumenikumbusha mbali sana watangazaji maua yenu hongeai maa
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
jmn daaaah
@HappyCap-mf6iv
@HappyCap-mf6iv Месяц назад
Shangazi anaonekana ana pendashari
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Месяц назад
Saaaaaana
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Месяц назад
Hivi wamama wengine cjui wakoje,,unamuacha mtt,na ujua ulipo muacha,,hata kurd hkn
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 Месяц назад
Unajiuliza kama mimi 😢
@LawrenceMakata
@LawrenceMakata Месяц назад
Kutafuta baba mnaaza lini
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 Месяц назад
Nimelia sana hivi vipindi vyenu Gea
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад
weee uyu shangazi ajafirahishwa na uyu mtoto kumpata mamaake hàki kwa hali hiii shamira pole sana mamaske shamira uliacha mtoto akapata shida maskini
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Shamilabona amekuwa mpweke tena? Mama Shanghai kawavuruga nini?
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Shangazi angefunga mdomo au anataka malipo?
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Месяц назад
Nimempenda shamila. Kalia mwanzo mwisho maskini
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 Месяц назад
@@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi
@ReginaKaizirege-sd3hn
@ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад
Hadi kichwa kinaniuma
@hawakomba692
@hawakomba692 Месяц назад
Nimachoz tu yana dondoka
@echosound255
@echosound255 Месяц назад
Kwanjeka kwetu kwa Dongo
@user-fw1ow4ch6g
@user-fw1ow4ch6g Месяц назад
Beba mtt wa mwenzio kalala,akiamka anauliza mzazi wake
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Месяц назад
Shamila pole mwenetu duu
@mshambaused3840
@mshambaused3840 Месяц назад
Ng'wenetu😅😅
@ReginaKaizirege-sd3hn
@ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад
Hivi kuna mtu anayetazama kipindi hichi na hasitoe machozi
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l Месяц назад
Hakuna mii nimelia
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mam unaacha mtt wamiez6 kisa utaenda kufukuzwa wazazi waaina gan hao lbda din nyingine
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
labda waislam
@shamzone388
@shamzone388 Месяц назад
Roho mbaya haina dini acha kusema sema ovyo
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
@@shamzone388 mie nimesem kituy ninacho juw ww ulion wap wachaga wanaacha watt am ww binafs unaweza acha mtt wako nauko na akili timam kweli am ww ndo unaropokwa ovyo muon kwanza
@JacklinedamianMtweve
@JacklinedamianMtweve Месяц назад
Shosti kumbe na ww uliterekezwa pole jirani
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Yaan huyo MAMA lijinga sana utaachaje mtoto wako wa miezi sita:yaan mshamba mshamba tena. Hivyo kabisa.
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mchaga wa wap anatipa mtt w
@MohamedyAtway
@MohamedyAtway Месяц назад
Somchaga mpare sameuyo
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
​@@MohamedyAtwayhata wapare hawatupi mi mamaangu mpare na alinilea bila Baba Hadi nikawa mkubwa nikamtafuta babaangu miaka 15
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Месяц назад
​@@msakadoobongeladada-uh3skukampata?
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
@@fatmazullu4933ndio nilimpata tukaishi miaka 6 na mwez mmoja siku najifungua mwanangu jioni asubuh Mzee akafariki Ila tulioishi Kwa Raha na sikutaka mambo mengi kikubwa nimempata na tunaishi maisha yetu km familia alifariki nikiwa na 21yrs akaniacha kijana wake wa miaka 7 saiv ni kijana mkubwa hata alisema anaona kesho hatushangai
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk Месяц назад
​@@fatmazullu4933ukikuta mpare katupa mwanae mchunguze vizuri kuna kitu Kiko kimejificha na wachaga wakike hawang'ang'anii mtoto wa MTU Baba ndo mwenye mtoto... mwanaume WA kichaga hakubali kupoteza mwanae
Далее
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Просмотров 181 тыс.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 51 тыс.
I meet Mr.Beast
0:15
Просмотров 5 млн
Утро в Нью Йорке
0:16
Просмотров 7 млн
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29