Namshukuru sana Mungu kuwapa wazazi wangu umri mrefu wa kuweza kutulea watoto wao mpaka leo kila mmoja kaweza kujitegemea Allah azidi kuwapa maisha marefu sana wazazi wangu Inshallah 👏👏👏
Yaani nimelima Hadi kichwa kinauma. Yadunia ni mengi. Hongereni sana gea na dahuu piauongozi mzima. Mnaviti vyemu mbinguni kwa hilimnalolifanya. Kwakweli niapenda sana hii redio.
Mi mama yangu amefariki nukiwa Mtu nzima kabisa lakini bado naumia na ninamiss mambo mengi Sana kutoka kwake sasa ambae hajawahi kumuona mama yake naeleawa Namna wanavyojisikia
Asante sana Mungu kunitia nguvu ya kupambania wanangu pale nilipoondoka kwa baba yao haya ni zaidi ya maumivu kutengana na mama miaka mingi hadi watoto ndoto zao zinakufa Yesu tutie nguvu🙏🙏 28:23
Kuna vitu nahisi hata hawa wamama wanamakosa.mie nimechukuwa watoto wangu sijui nitaishi vipi nitakula nao nn.mmona akiwa tumboni mwengine ana miaka minne .kwa sasa mmoja anasoma malaysia mwengine yupo 4m for baba anarudi kuja kuomba kwa wanawe shenxh wakati bado wapo chini yangu.mungu ataendelea kutenda miujiza kwa kila mwanamke alietelekezwa kama mm.mungu ametenda
Nabila shangazi sangefikia umri huyo 😂😂 asante shangazi, ila hatokua na mapenzi , kivile , nimeyaona kwa dadake mumewangu ,alitaka mjue mamake na ndugu zake basi , hana mapenzi nao anawapenda wale alokua nao , ayo yapo kwenye familia ya mumewangu 😂😂
Hi clouds naomba msaada wenu nifanye nn ili niweze kuwapata namtafuta rafiki yangu tumepoteana na mm miaka almost 25 naishi marekani USA .plz naomba jibu plz
Nina wazo jamani najua mnatumia galama nyingi sana kwa nini isifanyine kwa mwaka mala mbili 2 navipi kuhusu wanao tafuta wa baba zao nao wasipewe nafasi
@@SharifaMohammed-el3ug uyu shangazi alimlea kweli ila yaonekana kitendo cha uyu msichana kutafuta mamaake na kumpata kimemkwaza mana sio kwa majib aya si alijua aliko muacha kali hii aya mungu smfanyie wepesi
@@fatmazullu4933ndio nilimpata tukaishi miaka 6 na mwez mmoja siku najifungua mwanangu jioni asubuh Mzee akafariki Ila tulioishi Kwa Raha na sikutaka mambo mengi kikubwa nimempata na tunaishi maisha yetu km familia alifariki nikiwa na 21yrs akaniacha kijana wake wa miaka 7 saiv ni kijana mkubwa hata alisema anaona kesho hatushangai
@@fatmazullu4933ukikuta mpare katupa mwanae mchunguze vizuri kuna kitu Kiko kimejificha na wachaga wakike hawang'ang'anii mtoto wa MTU Baba ndo mwenye mtoto... mwanaume WA kichaga hakubali kupoteza mwanae