Тёмный

BABA MWITA AKIRI MBELE YA MZAZI MWENZAKE NA KUMLETA MTOTO KWA MAMA YAKE MZAZI | TOKA 2005 MPAKA 2022 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 96 тыс.
50% 1

Zaidi ya miaka 17 Mama na mtoto wakutana tena toka Mama alipopotezana na mtoto wake mwaka 2005 ambapo mtoto alichukuliwa na Baba yake.
Vilio vya furaha vimetawala kwenye familia hii.
Isikilize #CloudsFM 88.1 MHZ Mwanza, 92.9 Mhz Iringa, 89.3 MHZ Kigoma #Mcloudsnia #HakunaKuLeft
#MchongoGrup

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 448   
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Uzuri baba Mwita amewasomesha watoto na kuwalea👏👏
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
Kafanya jambo lamaana🤗
@mamafaty6190
@mamafaty6190 2 года назад
hii familia ya mwita iko pow yaan haina kinyongo baba mwita mungu azid kukubariki
@mwana4599
@mwana4599 2 года назад
Baba kalea watoto vizuri sana. Kawasomesha pia. Hongreh sana Baba Mwita.
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 года назад
Daah inaumiza sn miaka 20.bila kuwa0na watoto Mungu ni mwema kwa kweli.baba.mwita.mungu.amtunze.maana.kalea.watoto.vzr.mpaka.rahaa✍️💃
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Год назад
Jaman bab mwita kaniua sana yaan mcheshi sana ila mambo' ya maisha tu jaman., mana sometime unakuta kama mambo' uelewi.., hakika baba mwita big up sana tena sana, wakurya ni watu ila ukiwachokoza tu ndio wanakua wanyama..baba mwita asante sana
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 года назад
Mungu awabariki sana mpaka machozi yakanitoka kwa furaha lkn ni kwa neema tumshuru Mungu kila wakati miaka mingi nami ipo siku tutaonana na baba yangu japo mama yangu hataki kusema ukweli
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 года назад
Jitahidi kipindi hichi akiwa hai
@timanyere9052
@timanyere9052 2 года назад
Mwita ni bonga la handsome 😘
@mwajumamakunga1665
@mwajumamakunga1665 2 года назад
Hii picha nikiiona nimemiss sana my mom, ni mwaka wa 9 tangu anitoke.
@ezekielmwasenga4640
@ezekielmwasenga4640 2 года назад
Big up Cloud kazi yenu ni njema mnoo ,,nawapenda buuuuree watangazaji wote
@rodgerskapingo4618
@rodgerskapingo4618 2 года назад
Sasa naona umuhimu wa social Media,,hongera sana Clouds na kipindi hiki,,Kweli Mungu awabariki na kuwaongezea uthamani weni...
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 года назад
Hongereni sana clouds mashallah😭😭😭 bibi kanifanya nimetabasam alhamdulillah
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 года назад
Daaah nimemkumbuka my mom RIP 🙏🏻 MOM
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Pole Saana Kipenzi
@lilianzachary8318
@lilianzachary8318 2 года назад
Pole dyaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Pole dear
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 2 года назад
Poleee Ndgu
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
Sio wewe Tu! Hata Mimi RIP my Mama
@officialteeh1213
@officialteeh1213 2 года назад
I like this project keep it up clouds
@saraphinakabubi3725
@saraphinakabubi3725 2 года назад
Kurya people jaman 🤣🤣🤣🤣🤣
@mamakekhubeiby4206
@mamakekhubeiby4206 2 года назад
Wallahi mpaka nimelia Allah atawalipa herry inshallah 😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 года назад
Hongera zako baba mwita nimekupenda unapenda wanao
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 3 месяца назад
Clouds nawapenda saaaana, hii y mwita nimecheka kwa kwrli cjalia!!
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 2 месяца назад
Allah awanynganye vizaz baazi ya wabongo mnatesa watoto mnazini na kutesa watoto
@rajah9328
@rajah9328 2 года назад
Haki kazi nzuri sana Mungu Insha'AllAH Mungu awabariki
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 2 года назад
Mashaa Allah huyu mtoto mwita nimemuona ni mpole na upole unaendana na usikivu na usikivu unaendana na ustaarabu halafu jina lake silielew la kiislam kweli? Mama mwita fanya bidii mwanao umfundishe dini ushauri wa bule mpeleke madrasa katoto ka kiume ni kamoja kafundishe dini mama yangu
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 года назад
Mashaallah mashaallah dah mama ww umejua kuniliza 😭😭😭
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 года назад
Du kuna haja ya sisi wanaume kubadilika sana kuna baadhi yetu tabia zetu zina watesa sana wanawake
@tamarimoto6
@tamarimoto6 2 года назад
Ni kweli
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 года назад
Bora wewe umesema.
@preciousmrema5907
@preciousmrema5907 2 года назад
So emotional jaman😭😭😭😢 lakin ba mwita kituko
@emmysfitnessandforex9403
@emmysfitnessandforex9403 2 года назад
Msizae na wakrya jmn...ni watu wa hovyo niulizeni mimi🙌🙌🙌
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 года назад
😂😂
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 года назад
😂😂😂
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 года назад
Hahahahaaaa Uuuwiiihhhhh
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 3 месяца назад
Ila kweli
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 года назад
Wallah imenigusa sn hi inshu yakupoteza nawatoto kwamda mrefu kiasi hiko pia nimshukuru bbaake mwita kwamalezi mazuri aliyowalea wanae kwamapenzi ya dhati nahadi ss kijanaanaonekana ktk muonekano mzuri pia niwasihii wanawake wenzangu baadhi yao msipende kuishi nawanamme bilakujua wanakotokea au mwanamke anakoishi maana mwisho mnaishia kupotezana nakuamin. Pengine washakufa kumbe wko hai
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 года назад
Dah so sad imekuwa siku ya kilio yenye furaha pia kwa familia husika. Yaani wazazi kutengana kunaumiza Sana watoto.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Ni kweli dear lkn ndo hivo inaposhindikana lazima tutengane
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
@@jescajulius8023 Saana Kipenzi 😭😭😭Naumizwa Saana Na Maswala Kama Haya Jamani
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
@@yassintaibrahim24 ndy yanaumiza nami ni mhanga
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
@@jescajulius8023 Pole Yetu Saana Kipenzi Mimi Pia Cjamlea Mwanangu Tangu Yuko Katikati Ya La Kwanza Ingawa Nilikua Napata Fursa Ya Kuonananae Mara Moja Kwa Mwaka, Baada Ya Hapo Ckuonananae Alipofika La Tano Nikaja Kumuona Akiwa Kidato Cha Pili 😭😭😭
@swaumuramathani9
@swaumuramathani9 2 года назад
Niwapenda clause
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 года назад
Baba mwita mwanaume anayependa watoto
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 года назад
Sana sana
@azizahmwimbe8548
@azizahmwimbe8548 2 года назад
Hongera sana clouds kwa kuwakutanisha watu waliopoteza family zao keep it up the good work👌👏
@annastangonyani5320
@annastangonyani5320 2 года назад
Nimempenda sana nwita ni kijana mwenye kujielewa na hekimu mungu amemjalia,Iwe kwake heri
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Uyu Mama Mwita kaniliza, sikia tu kwa mwenzio, uyu Mamaangu kabisa, Mama saumu.
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 года назад
Mashallah mungu awabariki nyote mulio simamiya huyu mama mpaka akapata watoto wake
@taturamadhan9217
@taturamadhan9217 2 года назад
Baba Mwita is so crazy 😅🤣🤣🤣
@sofiagao6396
@sofiagao6396 Год назад
Hongera.sana.baba.mwita
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 2 года назад
Ila baba mwita jamani nimempenda bure hana kukataa alichokifanya yaan yeye anafurahia pia kumuona mzazi mwenzie japo km una hasira unaweza kunasa kibao yaan ana masihara hatar mwenzio analia yeyw ndio kwanza anamfanyia komedi mwenzie jamani😂😂😂😂😂
@lilianzachary8318
@lilianzachary8318 2 года назад
Baba mwitaa yanii
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Mama mwita nampenda sana anavyomlilia mwanaye jamani safi sana ,halafu mrembo mwenyewe na mwita mzuri.
@sophiamasawe6852
@sophiamasawe6852 6 месяцев назад
😂😂😂ushaanza umalaya
@kulthumbashiru864
@kulthumbashiru864 2 года назад
Wallah nimelia pia nimefurahi
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 2 года назад
hakika hiki ni kipindi bora kabisa hapa Tanzania daah ukiskia kipindi cha radio hiki ni zaidi ya kipindi walahi mpaka nimelia 😭😭😭
@qwqw1665
@qwqw1665 2 года назад
Pole dada mungu bora kakujalia utakuja kuwaona kwahio iposiku utafuta furahi🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍👍
@fatumakingi9753
@fatumakingi9753 Год назад
Pole dada uwa ni mithina sana kuolewa na mkiwa kabila tofauti nakumbuka mimi pia dadangu alipokonywa watoto ivyoivyo mpk leo tulimshukuru mungu inauma sana😭😭😭
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Nimempenda baba mwita jmn mtu WA masihara htr ila Dada shukuru kawalea wtt vizur
@verenabenjamin7893
@verenabenjamin7893 2 года назад
Ma mwita umeniliza daah...hongereni clouds kwa project nzuri sana
@charlessilwimba4770
@charlessilwimba4770 2 года назад
Mimi pia dea
@roytv8276
@roytv8276 2 года назад
Mashaallah baba mwita kaupiga mwingi sana
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Год назад
Kwa ajili..Baba mwita alivyokuja tu..mie nimemsamehe kabisa tena mcheshi sana ila saa ingine maisha tu jaman kwa kipindi kile..alichoondoka dar es salaam..tumsamehe wandugu jaman
@priscamakendi2239
@priscamakendi2239 2 года назад
Hongea sana clouds MUNGU awabariki sana
@mussazuberi5773
@mussazuberi5773 2 года назад
Nawaombeni washirika wenzangu mwenye number ya clouds namtafuta Baba yangu mdogo tulipotezana toka mwaka 1978 Songea mkoa wa ruvuma
@julianamaganga4803
@julianamaganga4803 2 года назад
Yaani nimelia Sana hongereni clouds
@maryamashatone469
@maryamashatone469 2 года назад
Salute kwa bibi na mammkubwa kwa upendo
@happinesskatandula6447
@happinesskatandula6447 2 года назад
Nimempenda baba mwita jmn clouds km mna no yake mnipatie ila mimi ninaposhangaa mama mwita alikuwa anawasaliana na mkwewe ambae ni bibi yake mwita kwann asiende kuona watoto wake
@maryamtan682
@maryamtan682 2 года назад
Amekuambia, bb naye alifaliki bl yy kujua, ina maana mawasiliano yalikata.
@silyadamian5708
@silyadamian5708 2 года назад
Na pia alisema alikuwa hapajui ni sehem gan na alkuwa na hali ngumu ya maisha
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 года назад
Nauli ya Musoma unaijua au unaisikia?
@griffinschire9695
@griffinschire9695 2 года назад
Mm pia nimechukuwa watoto wangu..... Kutoka kwa mama yao... Ni mwaka WA tano Sasa....niliona mamake Ana mwelekeo wa kulea watoto
@matobholwamanonu5919
@matobholwamanonu5919 2 года назад
Ila namshukuru baharia kapeleka watoto shule..
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 6 месяцев назад
Baba mwitaa mimi namsifu baba mwitaa aliwapenda wanae na aliona asiache damu yake mbalii hongeraa umeleeea baba
@mankambise2000
@mankambise2000 2 года назад
Mungu awabariki Clouds nimelia sana
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 года назад
😭😭😭😭😭😭😭mama mwita umeniliza na mie pole sana
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 года назад
Hongera za baba bora baba mwita
@husnanandonde2657
@husnanandonde2657 2 года назад
So emotional... ila baba mwita jmn 😂😂
@elizabethsakina2306
@elizabethsakina2306 2 года назад
Baba mwita ni comedian🤣😂🤣🤣
@ameenamohammed4413
@ameenamohammed4413 2 года назад
Mtu mbandi sn 😂😂😂☝️
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
@@ameenamohammed4413 Nmecheka kwa saut 🤣🤣💃🏿💃🏿
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 года назад
Nmecheka na kulia at the same time, Baba mwita Comedy
@emanuelkamangu6500
@emanuelkamangu6500 2 года назад
Alisha jua anamakosa katumia akili kumaliza kesi
@issachibangu6075
@issachibangu6075 2 года назад
😢😢sikunitakutana na babayangu yani sijuwi nitasemaje toka ningaliki mdogo namyaka mmoja na nusu mpaka ivi sijawaikumuona 😢😢ningekuwa daa kingeeleweka ila sipo ila inshaallah
@karibunyumbani3824
@karibunyumbani3824 2 года назад
Nenda kamtafute baba ni kitu Cha thamani Sana maishani
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 года назад
Utampata tu kama utaweka bidii all the best bro. Cha msingi ujue ndugu upande wake ukimpata mmoja tu basi utajua yupo au lah🙏🏾
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 2 года назад
Nimempenda mama mkwe
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 года назад
Miaka ya nyuma wanawake wengi sanaa sana waliozaa na wakuliya watoto wao walichukuliwa bila taarifa na kupelekwa musoma
@rehemajuma2202
@rehemajuma2202 2 года назад
Na waliojifungulia musoma wanaume wa kikurya waliwakataa watoto wao kuwa mila hairuhusu na waliwatelekeza watoto na mama zao na hasa kama wewe utakuwa sio mkurya....inauma....!
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 2 года назад
Mama mwita kaniliza 😢😰😭😭😭😭😭
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
😭😭😭😭😭
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 2 года назад
Masha'Allah kijana wake yuko vizuri
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 года назад
Daah! Mwita kweli mkurya original
@fathimamct232
@fathimamct232 2 года назад
Wakurya ndio zao hizo za kutorosha watoto mkurya mchaga hizo ngoma nzito ila kwa upande mmoja nawapenda hawatupi Damu zao ila wengine heeeee ni mtihani mpaka mburuzane mahakamani ustawi wa jamii ndio update matumizi.
@khadijamohamedy4492
@khadijamohamedy4492 2 года назад
Kabisa
@nurumassawe6740
@nurumassawe6740 2 года назад
mungu wape miaka mingi mama zetu
@JovinaIvan-xd5fo
@JovinaIvan-xd5fo Год назад
Nacheka huku nalia kiukwel mungu awabarikii
@Estherbongo
@Estherbongo 2 года назад
Baba mwita unaroho mbaya na baba mwita anajua kujiani anajiongelesha ongelesha ili auwe kesi anaakili san huyu mzee kajanja sana huyu mzee ni MTU mbaya sana na mjanj sana , mama mwita kuwa makin sana na hyu x mume Wangu
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 3 месяца назад
Inafurahisha sana sana. Ni amani teleee
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 2 года назад
Kwani baba ngaya ni comedian 😂 🤣 maana nimecheka mimi jamani vituko vyake
@kashiissa3914
@kashiissa3914 2 года назад
Mungu awabariki sana kwa mnacho kitenda🤲
@salimsamadanga6722
@salimsamadanga6722 2 года назад
Clouds muishi milele kazi zenu nzuri
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه
Mama mwita kanifanya nmelia kweli uchungu wa watoto ajuae mama ,😭😭😭😭
@mwantumubakari5904
@mwantumubakari5904 2 года назад
Pole sana mama mwita
@isackahmed2563
@isackahmed2563 2 года назад
BABA MWITA NDO MAN OF THE MECH
@istumaimilandu8739
@istumaimilandu8739 2 года назад
Gea nakupendaga Sana kwa upambanaji wako nakumbuka ulinisaidia yule mtoto tuliambiwa kafa wamezika iringa kumbe sio kweli
@joycentongani388
@joycentongani388 2 года назад
Ahahaha baba mwita mshenzi kweli yaani nimecheka mpaka basi haki inabidi usamehe tu .
@stelabrent6056
@stelabrent6056 2 года назад
mungu ni mwema
@nyamisimbaonlinetv9757
@nyamisimbaonlinetv9757 2 года назад
clouds kweli mbarikiwe sana
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 года назад
Nimekirudia rudiakipande cha bibi mwita na baba mwita Safi sana upendo wahali ya juu
@missmoona4497
@missmoona4497 2 года назад
Ila gea Mungu anakuona sio kwa cheko hilo maana nami umenifanya nicheke wallah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣japo inaliza😭😭😭😭😭
@hadijaabbas2192
@hadijaabbas2192 2 года назад
Nimecheka hatariiiiiii
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 года назад
Baba mwita ujue kanifurahisha wallah nimecheka sanaaaa,,,mama mwita kauchuna Wallah unnaweza pasuka mnoo
@winifridamushi3388
@winifridamushi3388 2 года назад
Baba mwehu kweli huyu
@happymwinyi6194
@happymwinyi6194 2 года назад
Ongeleni leo tena 👏👏👏
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 года назад
Big up clouds .🥰❤
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 года назад
Mungu ni mwema kwa kweli
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 2 года назад
Hongereni sana Clouds
@aminamohamed3916
@aminamohamed3916 2 года назад
salàm alekum nimelia sana
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 2 месяца назад
Mnakera sana
@singleparent7483
@singleparent7483 2 года назад
Baba mwita anastahili hongera kumleta mtt
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 года назад
Yaani nimelia sana yaani du
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 года назад
Baba Mwita,umenichekesha,.
@ifadatalizam8607
@ifadatalizam8607 Год назад
Miaka 18 hajamuona mama ake leo hjajaa kumuona anasema ana mtihani 😢😢😢 imani haipo Wallah
@fadhilajamal217
@fadhilajamal217 2 года назад
Raha sana Allah awalipe kher
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 года назад
Basi tena ndio mtuliege mie ndio mzazi mwenzako basi ukisifiwa nje na wanaume wengine mie unaniona takataka unafikiri kinachofuata ni nini zaidi ya kusepa na damu yngu bibi yake mwita kasema yaliyopita yamepita lkn kwa maono yngu kuna kitu kimejificha ambacho baba mwita akukukipenda ndio maana alifanya action hiyo...ila yote ya yote kiungo mchezeshaji ni timu nzima ya clouds fm yaani pale kati kati mmekichafua kama sure boy na feisal aucho 🤣🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪hongereni sana sana m/mungu azidi kuwapa maarifa ya kubuni kitu cha faida ktk jamii Amiin 🤲😘
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 года назад
Hongereni mnafanya kazi nzuri sana
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 года назад
Baba Mwita jamani kwa kweli wameteseka
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 2 года назад
He is tooo funny this man🤣but mama lazima awe na huzuni
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 года назад
mwanzo nimelia, ila baadae baba mwita kaja kunipoza, baba mwita hana hata stress, halafu anaonekana msumbufu tangu akiwa kijana
@sikabwekisamba
@sikabwekisamba Год назад
poleni saaaana kwa kazi munayo ifanya
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Ongereni jamani watangazaji jsmani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤👍👍👍
@fabianchitojo7406
@fabianchitojo7406 2 года назад
Dah kweli clouds kazi mnaifanya vyema mnatatupa hamasa nasisi ambao wazaz wetu wamefariki😢😢😢
@halimarashid2095
@halimarashid2095 2 года назад
Dah!😭😭😭😭😭hongereni Clouds 😇😍😍😍
@kabulakmusa3131
@kabulakmusa3131 2 года назад
Nimempenda baba mwita 😃😃😃
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 года назад
Mashaallaah kaz mzur
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Imenigusa Saana Pole Saana Mama Mwenzangu Umenifanya Nikumbuke Mbali Saana 😭😭😭
Далее
Mcdonalds cups and ball trick 🤯🥤 #shorts
00:25
Просмотров 821 тыс.