❤❤❤❤ mzee saidi m'mungu akujaalie afya njema na umri mrefu unawaliwaza watu wengi inafaa tukupige tafu japo chochote kila alie kuwa nacho si haba watu wengi wapo pamoja na ww inshaallah kheri
Big up Mzee Saidi ww pekeyako ndio shabiki wa mpira na mpira unaujua .ila wale wengine kina kisugu kina miraji kina mzaramu mipasi milioni GB64wote wale wanafiki .wewe pekeyako Mzee Said unajua mpira na unaipenda timu yako umenifurhisha sana hao wachezaji wapya ww unagojea kuwaona ww mwenyewe asante sana Mzee Said .ila simba nyie ni omba omba wa babujiii yani nyie wanafiki wote fukuza muhindi yule
@@salimmalaka256 ndio na mali zake .umeona kuwa nyie ni machizi bro timu ni taifa kubwa fungueni macho hasa tanzania nchi nzima mashabiki wamegawanyika kwa timu mbili tu.hizi timu zetu ni timu tajiri sana africa nzima sasa ujue kuiendesha timu na mashabiki wa subscribe tu .uwanachama tu .basi hapo ma boss wote wataikimbilia hy timu