Тёмный

MZEE SAID AKIRI KUMSAHAU CHAMA SABABU NI HII | NAOGOPA KUSIFIA USAJILI SIMBA WALINIDHALILISHA SANA 😢 

Finest Online
Подписаться 63 тыс.
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 252   
@WilondjaDaudi
@WilondjaDaudi 12 дней назад
Mzee Uyu duh Niatari naombaa ata like 10 tuh
@Shadia544
@Shadia544 13 дней назад
Wapangapi wanamsubili mzee saidi wetu 😂😂😂 naweka Mbavu zangu vizuri 😂😂😂😂kama unamkubali mzee saidi LIKE 10 😂😂😂😂😂
@alhajizikiri5674
@alhajizikiri5674 13 дней назад
shadia544 me wakwanz
@KisiyajrKenyattajr
@KisiyajrKenyattajr 13 дней назад
Namm nimeganda jama
@Shadia544
@Shadia544 13 дней назад
@@alhajizikiri5674 sawa tumsubili mzee saidi
@alhajizikiri5674
@alhajizikiri5674 13 дней назад
​@@KisiyajrKenyattajrkama tunachek mwezi
@Shadia544
@Shadia544 13 дней назад
@@KisiyajrKenyattajr miee ndiyo sitoki hapa hadi nimuone mzee saidi 🤣🤣
@ngido255
@ngido255 13 дней назад
Mzee side kwenye one n two mpeni likes zake jaman😅
@abelimaganga417
@abelimaganga417 13 дней назад
Chagamba mwenyezi Mungu akubariki kwa kutuletea watu kama Hawa mzeeeee Wang said ni furaha sana❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@abdulhalimsalim1386
@abdulhalimsalim1386 13 дней назад
❤❤❤❤ mzee saidi m'mungu akujaalie afya njema na umri mrefu unawaliwaza watu wengi inafaa tukupige tafu japo chochote kila alie kuwa nacho si haba watu wengi wapo pamoja na ww inshaallah kheri
@ChenchiKing
@ChenchiKing 13 дней назад
Mzee Said Uwaga Anatupa Raha Kweli Usichoke Kumtafuta🔥❤️🎉
@erickemmanuel9486
@erickemmanuel9486 11 дней назад
Amtafutie endorsement
@user-iv7wc5vi3w
@user-iv7wc5vi3w 13 дней назад
Nakukubali sana Mzee saidi
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 13 дней назад
Hivi Aziz ki anamjua mzee Saidi kweli😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 13 дней назад
AKIWA ANAMJUWA WALA USISHANGAE 😂😂😂
@user-dd3nc9py2i
@user-dd3nc9py2i 13 дней назад
Hamna shabik wa Simba au yanga anaweza kuogea vizuri ka Mzee said
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 13 дней назад
very true
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 13 дней назад
Wapo ... Ila tunatambua Mzee Said anazungumza vizuri
@MandindiGuluguja
@MandindiGuluguja 13 дней назад
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 Daah huyu mzeee
@AlmasRamadhan-cl7rn
@AlmasRamadhan-cl7rn 12 дней назад
😂😂 kwan mzee said wawap??
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 11 дней назад
Mnyamwezi huyo mzee​@@AlmasRamadhan-cl7rn
@josephmandala2225
@josephmandala2225 13 дней назад
Chagamba fanya hivi , siku moja muombe Aziz KI amtembelee Mzee Said kama surprise .
@azizamuharam3941
@azizamuharam3941 12 дней назад
Atazimia😅
@annankwama2453
@annankwama2453 11 дней назад
Wazo zuri😂😂😂😂😂
@ummusumayyah-e8k
@ummusumayyah-e8k 11 дней назад
😂😂😂😊​@@azizamuharam3941
@ShabanMateso
@ShabanMateso 13 дней назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 nakukubali sana mzee wangu Mungu akupe afya
@ismailmohmed4740
@ismailmohmed4740 13 дней назад
Mzee said nakuelewa sana
@abelimaganga417
@abelimaganga417 13 дней назад
Mzeee wangu msimu huu utafurahi Sana ❤❤❤❤
@DufuMachine
@DufuMachine 13 дней назад
Kiukweli bando yangu hailipi bila kumuona mzee saidi
@yustusmalende9263
@yustusmalende9263 13 дней назад
HA HA HA HA HA HA HA HA HA DAAH LEO NIMECHEKA SANA..LIVE LONG MZEE SAID.
@dumabagame3901
@dumabagame3901 13 дней назад
Mzee saidi Pa Omar Jobe akiondoka tule Mbuzi sio kuku tena
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 13 дней назад
😂😂😂
@asherimbula1366
@asherimbula1366 13 дней назад
🎉uko vizuri mzee baba Saidi
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 13 дней назад
Mzee wetu mzee saidi😂namkubali sana
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 13 дней назад
Jamani huyu Said kanifurahisha sana 😂😂😂😂😂
@imrankweka4752
@imrankweka4752 13 дней назад
Huyu bwana Saidi ananifanya nacheka na simu,yaani ananipa starahe sana😅😅
@abednegoLumala-po3zc
@abednegoLumala-po3zc 13 дней назад
Mzee said tunakukubali Sana huwa unawachana ukweli makolo wenzio😅😅😅😅
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 13 дней назад
Chagamba mm nipo kongo koroweizi. Nina shida ya namba ya mzee saidi. Ili nikiludi tz nionane nae mzee wangu. Kiukweri tukimsikiliza mzee saidi nahisi kama nipo nyumbani. Mzee ananifulahisha saaaana nimsikiapo mzee wangu 😂😂😂😂
@JohnsonAmos-py3wf
@JohnsonAmos-py3wf 13 дней назад
ilaa mzeee saidi utakuja kutuuuaaaa jamaniiiii😂😂😂😂😂😂😂😅
@HusseinIdrissa-ed6tl
@HusseinIdrissa-ed6tl 13 дней назад
Yes mzee said
@bahatisafi7521
@bahatisafi7521 13 дней назад
Uyo mzee nitamulipiya ticket match ya kwanza ya yanga aende kumuona Chama
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h 13 дней назад
Mzee said🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@adolfmedard5758
@adolfmedard5758 13 дней назад
Mzee Said, mimi ni Yanga ila nakupenda😂😂😂. Kwamba nataka kuweka swala la Kitaifa, bomoa hapa bomoa. Mungu akupe maisha marefu.😂😂😂 😂😂😂😂
@doktaamiri2948
@doktaamiri2948 13 дней назад
Penye udhia penyeza rupia
@mwanaidimtengo8151
@mwanaidimtengo8151 13 дней назад
Jaman Mzee Saidi anatufurahisha sana,tusipomsikia yaan hatuna raha kabisaaaaaa
@BADAWY575
@BADAWY575 13 дней назад
Tanda lubeta ng'ombe za nani Mzee saidi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
@imanmasawe749
@imanmasawe749 13 дней назад
fredy abaki anaweza
@DanielChaula
@DanielChaula 13 дней назад
Jiono jioni😅😅😅
@Hadijamatemba
@Hadijamatemba 13 дней назад
Kweli kabisa Mzee said uko vizuri.
@mnabukulakasaka
@mnabukulakasaka 13 дней назад
Jamani naomba muniunge kwenye group la simba
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc 13 дней назад
Mimi pia Jamani group la simba
@elicktilia4430
@elicktilia4430 13 дней назад
Furaha ya mpira ni mzee said😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h 13 дней назад
Mzee wangu said fred michael abaki huyo ni fundi kweli kweli simba nguvu moja💪💪💪
@alfredymalata269
@alfredymalata269 13 дней назад
BORA KUMUHOJI MZEE SAIDI UNAPATA HATA KUONGEZA SIKU MANA KWA MIRAJI KULE UTAKUJA KUVUNJWA MABEGAA SIKU
@neemamatey
@neemamatey 13 дней назад
😂
@kapondadr5840
@kapondadr5840 12 дней назад
🤣🤣🤣🤣✊
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 13 дней назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Said Unaona Mbali Sana,🤣🤣🤣🤣
@user-dd3nc9py2i
@user-dd3nc9py2i 13 дней назад
Subira yavuta heri hatimae Mzee hu hapa
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 13 дней назад
Mzeee saidii muoga kuanza mzusiano mapyaa
@flaxbeatman
@flaxbeatman 13 дней назад
gombea urais mzee upewe😂😂😂😂😂😂
@user-in6sv4gh5u
@user-in6sv4gh5u 13 дней назад
Baba shikamooo
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 13 дней назад
Chagamba mzee said mpelekee aziziki
@BADAWY575
@BADAWY575 13 дней назад
Big up Mzee Saidi ww pekeyako ndio shabiki wa mpira na mpira unaujua .ila wale wengine kina kisugu kina miraji kina mzaramu mipasi milioni GB64wote wale wanafiki .wewe pekeyako Mzee Said unajua mpira na unaipenda timu yako umenifurhisha sana hao wachezaji wapya ww unagojea kuwaona ww mwenyewe asante sana Mzee Said .ila simba nyie ni omba omba wa babujiii yani nyie wanafiki wote fukuza muhindi yule
@salimmalaka256
@salimmalaka256 13 дней назад
MKIMFUKUZA GHALIB GSM NA SISI TUTA MFUKUZA 😂😂😂😂😂
@BADAWY575
@BADAWY575 13 дней назад
@@salimmalaka256 ww kweli ni chizi GSM yeye ndio anaejipendekeza sasahv .mwanzo ilikua ni timu ikijipendekeza lakini sasahv tunajidai tushakua
@salimmalaka256
@salimmalaka256 13 дней назад
@@BADAWY575 VP MZEE MPILI KESHAMROGA AU?? YEYE NA MALI ZAKE ANAJIPENDEKEZA BASI LIMBWATA HIYO HAHAHAHHH
@BADAWY575
@BADAWY575 13 дней назад
@@salimmalaka256 ndio na mali zake .umeona kuwa nyie ni machizi bro timu ni taifa kubwa fungueni macho hasa tanzania nchi nzima mashabiki wamegawanyika kwa timu mbili tu.hizi timu zetu ni timu tajiri sana africa nzima sasa ujue kuiendesha timu na mashabiki wa subscribe tu .uwanachama tu .basi hapo ma boss wote wataikimbilia hy timu
@ChuiAdam-wz2ht
@ChuiAdam-wz2ht 12 дней назад
Mzee said ni mtaalamu na ni mchambuzi mzuri sana
@gelarisjonathan7081
@gelarisjonathan7081 13 дней назад
Mzee said mitano tena
@DanielChaula
@DanielChaula 13 дней назад
Kutoa wote ni kosa
@twalibuchaye7687
@twalibuchaye7687 13 дней назад
Nisipomsikiliza MZEE SAIDI Aise nakosa raha
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 13 дней назад
Mzee saidi nmemis sana
@galatonetz
@galatonetz 13 дней назад
Mzee said me namkubali sana wallah!!. 😂
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 13 дней назад
Mzee saidi nakukubali
@hamisruheya9081
@hamisruheya9081 13 дней назад
Mzee said bwana “penye Ugumu Penyeza Rupia”
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 13 дней назад
Mamayangu mzee said unatufraisha
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 13 дней назад
😅😅😅😅 huyu mzee chenga..eti I'm going to my home😅😅
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 13 дней назад
Mzee saidi leo kanifurahishaaaa ni kibokoo Simba mpeni Tawi mzee saidi jamani anaweza na Modweji mlete Feitoto
@NdeonasiaMahava
@NdeonasiaMahava 11 дней назад
Tunakushukuru Chagamba Kuendelea kutuletea Mzee Said atufurahishe
@hashimmaftah5508
@hashimmaftah5508 13 дней назад
Fei atue simba nabadili kiswahil niongea kingereza 😂
@erastonzelekwa4299
@erastonzelekwa4299 13 дней назад
😂😂😂😂😂 daaah mzee saidi anajua sanaaa boli akitoka walace karia pale TFF inabidi ukabidhiwe kile kiti😂😂😂😂
@frankjohn2425
@frankjohn2425 13 дней назад
😄😃😀mzee saidi we noma
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 13 дней назад
Nakukubali sana mzee saidi nipo dubai nakufatilia sana mzee wangu
@Mloka_designer
@Mloka_designer 13 дней назад
Mzee said 😂😂😂🔥🙌
@rodrickkajala4532
@rodrickkajala4532 13 дней назад
Ila mzee saidi😂😂😂😂
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 13 дней назад
Fiat haina spid lkn haijawahi kushindwa mlima
@ShabanMateso
@ShabanMateso 13 дней назад
Mzee said ❤❤❤❤
@user-xw8jx7hu3w
@user-xw8jx7hu3w 9 дней назад
Ukisikia amdala kiuno ndio huyo sasa😂😂Mzee noma Sana huyu
@chricjoseph1340
@chricjoseph1340 13 дней назад
Asa mzee saidi analalamikagatu heee😂
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 13 дней назад
Kila akifika golini alioni🎉🎉🎉🎉 ila Mzee saidi bana
@user-qi3wv8sf5j
@user-qi3wv8sf5j 13 дней назад
Hapa MB ZETU UTALAMBA SANAA
@jacksonmatenga9184
@jacksonmatenga9184 13 дней назад
Chagamba kachekew kuirush bhan
@issachilonga8818
@issachilonga8818 13 дней назад
Mzee saidi 😅😅😅 top level
@adamkihile2596
@adamkihile2596 13 дней назад
Inabidi tuandamane ili tupate namba ya Mzee Saidi tafadhali.
@yahayabakari9387
@yahayabakari9387 13 дней назад
😂😂😂😂😂😂 et naiangalia hairudi
@CikeTanzania
@CikeTanzania 13 дней назад
Yanamwisho baba wala ucjali.
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 13 дней назад
Mzee Side mzee Mpili kashasema atakayemloga Chama anaruka naye mchana kweupe acheni nongwa
@ReginaSungura
@ReginaSungura 13 дней назад
Chagamba kilasiku fanya vipindi namzee wetu kilasiku ilituna punguza machungu ya kumsahau chama😂😂😂
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 13 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂mzee Said anafurahisha sana
@user-xi1vi6mn7d
@user-xi1vi6mn7d 13 дней назад
Aziz ki am going to my home😂😂😂😂 mzee said 😂😂😂
@josiacharles2778
@josiacharles2778 13 дней назад
Uyu mzee bana et saa 6 afu wanamtambulisha abib kyombo😂😂😂
@komboarts7110
@komboarts7110 13 дней назад
Cake ya njano Mzee said 😅😅😅😅
@Izzoh2021
@Izzoh2021 11 дней назад
Ila huyu mzee bahna hohohoho Chama gamgambile hoho
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 11 дней назад
Ivi wewe mzee saidi unanini lakini kkkkk he mbavu zangu mie❤🎉🎉🎉🎉
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c 13 дней назад
Chama kalelewa sn ,ila binadamu tunajisahau
@hashimahashimu7366
@hashimahashimu7366 8 дней назад
Mzee nampenda sana
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 13 дней назад
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Ila huyu mzeee banaah ni vicheko
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 13 дней назад
😀😀😀😀😀huyu mzee mumemtoa wapi uyu?😂😂😂😂
@edvesmshayo509
@edvesmshayo509 13 дней назад
Chagamba hata kama hauna mada nenda Kwa Mzee Saidi tuongeze siku
@RobsonLugomi
@RobsonLugomi 12 дней назад
Leoooo nimekutana na mzee said kariakoo 😂😂😂😂😂😂😂
@marcemarco3747
@marcemarco3747 12 дней назад
Huyu mzee namkubali sana aisee... Respect
@geraldkomba8645
@geraldkomba8645 7 дней назад
Chagamba na mzee napenda kusikiliza mahojiano yenu ni fire unajiliwaza sana
@costadaraja2327
@costadaraja2327 13 дней назад
🤣🤣🤣🤣 eti anakimbia kama roboti hahahah
@bahatisafi7521
@bahatisafi7521 13 дней назад
Chagamba uyo mzee ni mkali kabisa
@McbarakaeventsTz
@McbarakaeventsTz 10 дней назад
😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 mzee Saidi bhana na Aziz Ki 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@user-gw5lb9ju5m
@user-gw5lb9ju5m 13 дней назад
Kamgambire kamgambire chama😂😂
@rahmaomary5134
@rahmaomary5134 13 дней назад
😄😄😄😄
@fahadhassan7894
@fahadhassan7894 13 дней назад
😂Mwambie Mzee Saidi Kuna Chama Day Sasa 😂😂😂
@alexshambutu5927
@alexshambutu5927 12 дней назад
Mzee saidi anajua ila mzee masatu ni zero 😂
@MashakaJuma-uu3ph
@MashakaJuma-uu3ph 13 дней назад
Chagamba huyu mzee uta tua mana namkubali sana😅😅😅
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 8 дней назад
😂mzeee saidi bando langu baba dar we mzee hatari sana like 20 tafadhali
@deogratiaspmwolo1942
@deogratiaspmwolo1942 13 дней назад
Mzee said wewe kweli shida. Ingewezekana huyu mzee akutanishwe na Aziz maana anafurahisha sana. Pig up mzee mie yanga lakini nakufagilia sana.
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 13 дней назад
Mzee saida bhn 😂😂😂😂😂😂 so pw na enjoy 😉 😄 nikiwa Cape Town 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-rt7uh4fn3w
@user-rt7uh4fn3w 13 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂 ila huyu mzee nampenda san so kwakumchukia huko azz kii had kanishinda mimi duuh
@Kevworx
@Kevworx 13 дней назад
Mzee Said 😂😂😂😂😂
Далее
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Просмотров 949 тыс.
DOTA 2 - КЛАССИКА
19:17
Просмотров 252 тыс.
PASTEUR JOHN CHAMPION
27:36
Просмотров 2,7 тыс.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Просмотров 949 тыс.