Тёмный

NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 680 тыс.
50% 1

NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

7 мар 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@beniardajuna2580
@beniardajuna2580 2 года назад
Kuna siku mtapigwa kwa kazi yenu hii inahitaji ujasili ooooh mungu wanguuuuuuuuu🙏🙏
@lemmywanjeh4366
@lemmywanjeh4366 Год назад
Sio Bongo Hii
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 года назад
Jamanini nimelia harafu nimecheka kwa nguvu 😆 kajua kuchezesha watu kajaza ahaa masha allah🥰🥰😍🤩❤nampenda nagwa
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
Noma
@sahiltvontheline5560
@sahiltvontheline5560 2 года назад
Salha naomb no yk
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 года назад
@@sahiltvontheline5560 tuma yako me nichukue
@seifjuma7318
@seifjuma7318 2 года назад
Ushamtamani dhambi😂😂😂
@queenmsuya8584
@queenmsuya8584 2 года назад
huy kak chiz au 😂😂😂😂😂
@alexmlinda9399
@alexmlinda9399 2 года назад
Nagwa nakupenda bure 😀😀😃😃😃 sikuoni RU-vid bwana ILA KWA HIYO SHOW HATA MIMI NISIWE MUONGO NINGEOGOPA 😂😂. Hii imezidi zoote kwa Nembo za mtaa one love brother 🇺🇸.
@nashiruhassani5158
@nashiruhassani5158 2 года назад
Bonge la exclusive na ngoma ngumu ngoma nagwa salute sana🔥🔥
@Black-fq4zx
@Black-fq4zx 2 года назад
respect to you nagwa 🔥🔥🔥 u killed it
@supervisshift1780
@supervisshift1780 2 года назад
Jamaa anawakazia sanaaa duuuh 🥲🥲🥲🥲🥲
@hasinauuwimana8405
@hasinauuwimana8405 2 года назад
Hii namba mbaya cheko buku Hahhhhh, Hadi Mkojani alkua anaota anapigwa mitama, a. K. A Buti la jeje
@agreyyohana5368
@agreyyohana5368 2 года назад
Sema nagwa anazingua sana
@iamerickemmanuel6268
@iamerickemmanuel6268 2 года назад
9:59 😂😂nagwa msenge sana et Mbona unawanga road kama hivyo
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@veronicagervas4607
@veronicagervas4607 2 года назад
😀😀😀😂😂
@m3elmill710
@m3elmill710 2 года назад
Sema aoo wengine babazetu jmn kueni na heshima 😅😅😂
@saidymo360
@saidymo360 2 года назад
😅
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
😀😀🤣🤣🤣🤣😀
@nicasamuel9667
@nicasamuel9667 2 года назад
😂😂😂
@jacksonlolo409
@jacksonlolo409 2 года назад
Cyo fresh, kuwafanyia mashabiki hivyo, wengine unaweza kuwapotezaa
@hadijamlandary576
@hadijamlandary576 2 года назад
Anafanya masiala tu si kweli
@husseinallyshego4915
@husseinallyshego4915 2 года назад
Absolutely amazing, funny and scary 😂😂😂😂😂 ngoma nagwa nakubali sana from Kenya
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 2 года назад
Mo town ameenda mbali kweli kipindi kama vya Ulaya watu wanalia wanateswa alafu ni mchezo na anakuwa ajui kabisa baadae akijua anajiona mjinga
@saidibrahim2375
@saidibrahim2375 2 года назад
Nimeipenda sana
@hamchilla_ke1998
@hamchilla_ke1998 2 года назад
😂😂Nagwa aminia Eti Ali Kiba we unasemaje🤣🤣
@almuftsultan8
@almuftsultan8 2 года назад
Jamani naombeni dawa maana nimecheka mpaka naumwa🤣🤣🤣🤣🤣
@jamalhamiis8002
@jamalhamiis8002 2 года назад
pamoja wote,nagwa na mo town sanya👏👏👏👏👏
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
Nagwa noma
@abuuabdul1792
@abuuabdul1792 2 года назад
Wa meua🔥🔥🔥🔥
@mossesmaingi355
@mossesmaingi355 2 года назад
Ngoma nagwa fundi mmoja matata🔥🔥🔥🔥
@maryammwinyi932
@maryammwinyi932 2 года назад
Nyie huy nagwaaa antk kuwap presh wat 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍😍
@zotempyaonline8485
@zotempyaonline8485 2 года назад
TULIOSIKIA MUUNI A MAINDI 🤜🤜👊 like apa twende sawa 1k
@rahelifredrick8460
@rahelifredrick8460 2 года назад
Jamn nyumban goms Moja daaah ,nembo ya mtaa 🔥🔥🔥
@nassoroally6093
@nassoroally6093 2 года назад
Our hood
@richmontana1296
@richmontana1296 2 года назад
My Favourite Show 🔥🔥🔥🔥
@yusufali9119
@yusufali9119 2 года назад
On this you kill it bro 😂
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 года назад
Sijaipenda kabisa hii episode... Mmedhalilisha watu hii sio sawa kabisa...
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
😂😂😂😂😂
@XanTitle10.
@XanTitle10. 2 года назад
Pole jamaa....
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 года назад
Umeona kaka yng mie had nimeona huruma maan wanavyovurugwa had huruma kupigishwa magot dahh
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 2 года назад
Yap.
@dastanymlela661
@dastanymlela661 2 года назад
@@iddimoshi8459 qweli kabisa
@mwanahamisseif5506
@mwanahamisseif5506 2 года назад
Sijapendaa bhanaaa ndio nn sasa kumkolomea mwenzie kma ivyo
@gooddeeds162
@gooddeeds162 2 года назад
Haipo sawa hata kidogo
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 2 года назад
Naisi inje ya camera wanamalizana
@imaniemanuel3813
@imaniemanuel3813 2 года назад
Creativity on point 🔥
@majidisalumu3260
@majidisalumu3260 2 года назад
Hatar Sanaa, Ngoma Nagwa Kauwa Show, Wana Wanamkubali Alafu Wanamuogopa, Hatali Sana Huyu Kiumbe😂😂
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 2 года назад
Mbona kama umenisimulia mm
@mageuziwilliam5940
@mageuziwilliam5940 2 года назад
Daa
@amosikondo778
@amosikondo778 2 года назад
Huyu mwamba noma sanaaa ngoma nagwa nakukubali kinyama
@shedracksteven3183
@shedracksteven3183 2 года назад
Mambo t ya maisha una loga hazalan kwer mo town Sanya mtu wa watu wa mitumba jauu
@jacksonpaul3866
@jacksonpaul3866 2 года назад
Try me my lawyer will be Happy to get busy for a while lol.
@mussakasimu2811
@mussakasimu2811 2 года назад
Hawa mlio waigizisha bila wao kujua na kuwafanya washiriki wa kuu ilipaswa muwalipe ( maana wengine wamefedheheka na hawakuwa tayar kuonekana mitandaoni katika aina hizo za scene) Kama wameridhia au mmeelewana basi ewala, hata hivyo na mm nishabiki pia wa nagwa, kwa pamoja tunaendelea kuburudika kwa kazi nzuri za mo-town (Mr Streeter)
@farajimbwambo5600
@farajimbwambo5600 2 года назад
Hi haipo sawa kabisa watu na familia zao wanadhalilishwa!!...No it's against humanity.
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 года назад
Kama Ndy akutane na wahuni wembe alafu ananitushia hivyo, namchana mbona easy tu
@hamadhamis5602
@hamadhamis5602 2 года назад
Kila kitu munasemaa nyie mupew nin asa
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 года назад
@@hamadhamis5602 hilo swali ungemuuliza makimugaa!!
@hamisiisrael5650
@hamisiisrael5650 2 года назад
Ila ipo siku yatawatokea puan,Hiz Mambo za kuwakaba watu hovyo mtaan sio poa kabsaaaa daaa
@verosteve3612
@verosteve3612 2 года назад
Umeona eeh ukut mtu anabastola yake na stress juu anampiga anaua
@chrissjoel7752
@chrissjoel7752 2 года назад
Huelewi nini sasa kuhusu michezo ya Prank 😀😀😀😂😂😂
@vannchrista1241
@vannchrista1241 2 года назад
Jitahid Brooo Hikaz yako mim kusema ukweli naipenda sanaaa had Nawezaa kuku igizia motasanya
@temuaidan
@temuaidan Год назад
Katika show zote ulizowahi kufanya hii ya Nagwa imetsha sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥nagwa in real life ni mkorofi walahi😂😂😂🔥
@antonychristian1369
@antonychristian1369 2 года назад
Hawa watu wanaowaweka kwenye VIPINDI kwa kuwasurprise wanapaswa wawalipe
@mariambakari7796
@mariambakari7796 2 года назад
Hahahahahahaha waliitwa mpaka walipwe
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
Mwanzo uyo muuzaa vi2 mackini
@rahimchilumba9708
@rahimchilumba9708 2 года назад
fact
@antonychristian1369
@antonychristian1369 2 года назад
@@mariambakari7796 sa we huoni wanawaita au kuwasimamisha Kisha kuwashirikisha scenes na kuwapost Kisha kujipatia kipato pasi na malipo.
@chrissjoel7752
@chrissjoel7752 2 года назад
Walipwe wakati ni Prank tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha roho hiyo bana
@StenoTv807
@StenoTv807 2 года назад
KIPINDI KIKALI SANAA ILA KUZALILISHA WATU HII SIO SAWA ADI WATU WANAPIGA MAGOTI MUNAKOSEA SANAAA
@peterjr8073
@peterjr8073 2 года назад
Ni funny ndio maana ya kipindi akuna udhalilishaji apo
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
@@peterjr8073 yeah
@peterjr8073
@peterjr8073 2 года назад
@@lareineminah1353 oky
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 года назад
huyu mwana nampenda sana 💪💪
@godwinhaule6100
@godwinhaule6100 2 года назад
Hapana sio sahihi mungu anawaona
@3kings63
@3kings63 2 года назад
Mjini shobo mfukon tubak na mtafutano wa maisha
@healthcare626
@healthcare626 2 года назад
Oy nagwa acha mambo ya kiboya unajikuta nani?? Oya Fanya yako mambo ya kusema wasambaa tumelegea utakuja amka ujikute Bahalini day moko, oya si ni wauni kitambo mdg ang😂😂
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 2 года назад
Nimemmmiss sana Nagwa mazee, hizo mikwara ndio nimezimiss,😂😂😂😂😂😂
@RamadhanIbrahimu-iu1ox
@RamadhanIbrahimu-iu1ox Год назад
Daa,wallahy kwamkwala huo lazima uogope man😢😢😢😢😢
@francewilliam1020
@francewilliam1020 2 года назад
Show kali sema ikizidi sana inakuwa embrassement
@arnoldnicholaus3835
@arnoldnicholaus3835 2 года назад
Kabisaaaa.
@aboobakke857
@aboobakke857 2 года назад
Wazungu hawamuwez huyu jamaa.. mgumu sana jamaa 😂😂😂😂🤷‍♂️
@andeboe2593
@andeboe2593 2 года назад
Sanya umetisha number one show 🔥🔥🔥
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
Ametisha
@patriciahyasinty3302
@patriciahyasinty3302 2 года назад
Nampenda sana Nangwa jmn siku aje tandale
@dickluckyvictor6571
@dickluckyvictor6571 2 года назад
Daaaaah ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🔥
@lionking5193
@lionking5193 2 года назад
Mo town sanya ni nomaaa irudiweee irudiweeee🔥🔥🔥
@khaledchadhouli6363
@khaledchadhouli6363 2 года назад
This is number one 🔥
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
Sana
@wilbardkunda1073
@wilbardkunda1073 2 года назад
This killed it 💪💪💪 maubunifu kibao
@samrankingfire5009
@samrankingfire5009 2 года назад
Nagwaa 🙌🏽✊🔥
@zenapatrick3828
@zenapatrick3828 2 года назад
Nimejiskia vibaya sana asee 💔💔💔kuzalilisha watu
@isiakamfugale3621
@isiakamfugale3621 2 года назад
Umeona ee .. Wanatakiwa wawe makini sana wanavyokiendesha hichi kipindi kitawakost one day.Wasiwaze tu kufurahisha watazamaji bila kujali kua wanazalilisha watu sasa huyo dogo vp kama angekimbilia barabarani akagongwa na gari?
@adearsalum8997
@adearsalum8997 2 года назад
@@isiakamfugale3621 kweli usemalo, maana akili yake ilishavurugika.
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 2 года назад
Mmetisha sana hii show aseeeeeee
@keifatuke99
@keifatuke99 2 года назад
Miye wakati wote nahisi vita kwenye mwili wangu,ujaribu huu ujinga nitakumaliza
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Nenda Ukraine ukamkute baba Putin
@dianamasatu8141
@dianamasatu8141 2 года назад
🤣🤣🤣
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
😅😅😅 Wew unizidii mm aisee Kila mdaa wa moto aisee
@keifatuke99
@keifatuke99 2 года назад
@@ramsikhamis7083 😁😁😁😁😁
@kennethdickson95
@kennethdickson95 2 года назад
BIG SHOW 💥💥💥
@ip_header
@ip_header 2 года назад
Kipindi kizuri lkn usanii ukizidi anawadhalilisha watu waungwana!
@athmanbabayegga8278
@athmanbabayegga8278 2 года назад
True man cvzuri vile wanafanya wananyanyasa watu kisha yao yaendee utapata mtu mbaya pia mtakwaruzana
@mzulunatal8062
@mzulunatal8062 Год назад
😄😄sema Nangwa amenifurhisha sana mikwara yake
@josephmoka293
@josephmoka293 2 года назад
love u nagwa umejua kunifurahisha daaaah
@omanphone3455
@omanphone3455 2 года назад
Huyoalopiga magot hak nlijua mnamtoa atabuk 10 tu dadek
@josephdossantos7316
@josephdossantos7316 2 года назад
Oyaaa sheriaaa 😅🙌🙌
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Show kali saana sanya umetisha 🇹🇿🇶🇦
@ibrahimkhatibu4561
@ibrahimkhatibu4561 2 года назад
Pindi la kijanjaaaaaa 🙌🙌🙌🙌
@eastafricaqualitychickenfa9916
@eastafricaqualitychickenfa9916 2 года назад
Hichi kipindi iko siku kitaishia kituo cha Polisi watu wengine wamechanganyikiwa na maisha hatuombi mabaya ila kwamtindo huu tusubir watu wengine washavurugwa na maisha huu ni ujinga
@abuutwalibu2619
@abuutwalibu2619 2 года назад
😁😁😁😁
@happydudahog2196
@happydudahog2196 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@shebynizertechnicallyskill3005
@shebynizertechnicallyskill3005 2 года назад
Nmecheka kinoma #NAGWA NOMA SANA😂😂😂😂😂😂
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 2 года назад
Daaaah ngom Nagwa we kweli msera hii ni live
@jumafea9845
@jumafea9845 2 года назад
I like this show
@wildofworld100
@wildofworld100 2 года назад
nagwaa anajua kuchimba biti na lazma utulieee
@DurahRich
@DurahRich 2 года назад
07:25 Ntamuua mimi😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Sema dogo wa simu mmemzingua sana😂😂 anatia huruma kinoma daah
@godfreyonyango2782
@godfreyonyango2782 2 года назад
Msambaaa muoga katoa jasho kuongea awez tatizo shobo
@kenethjohn9798
@kenethjohn9798 2 года назад
I like you my brother ✌✌✌✌ ckupingi nagwaaaaaaaaa..
@aggieanordkb2800
@aggieanordkb2800 Год назад
Nagwa salute sana maan nmecheka balaaaaaaaa mpk nmeumia Tena
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 2 года назад
Unyaama mwingiiiiiiiiiiiiiiii 🔥
@zikirination6769
@zikirination6769 2 года назад
Burna boy wa bongo 😁Nagwa ma nigga sheria
@aloysfussi3900
@aloysfussi3900 2 года назад
Umetisha Nagwa
@judithathuman4128
@judithathuman4128 2 года назад
😃😃😃😁😭nimechkaa kwa sauti hadi basi duuh nkublii nangwa 💓boy chafuu
@mjungatv8172
@mjungatv8172 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 this is the best daaaah Nagwa😂😂
@paschalkapande1486
@paschalkapande1486 2 года назад
Ila kwa hasira zangu msije mkanifanyia hivyo nitapiga wote na Msanii mtakaekuwa nae nitavunja na hayo Macamera yenu
@mckobatz5861
@mckobatz5861 2 года назад
Ukileta hasira lete kwa wasanii vibonge wazembe ukileta kwa wamba zinachapwa kweli ujue😂😂😂
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 2 года назад
Una tengeneza kipindi kama movie noumea sanaa man umetishaa
@crownisackmussa3581
@crownisackmussa3581 4 месяца назад
Mungu anawaona
@masanjaabasi8970
@masanjaabasi8970 2 года назад
My lovely sanya wanguuuu
@dinnoboy6232
@dinnoboy6232 2 года назад
The Best Show😅😅😅😅
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 2 года назад
Umetisha sana
@hamedabashir9
@hamedabashir9 2 года назад
Mbona huyu mkali km ndimu😭😂😂😭🤣🤣🤣🤣🍊
@nacmentodanca6498
@nacmentodanca6498 2 года назад
Wanaume wa bongo waoga sana karibu kenya 🇰🇪😂😂
@user-cl2jr3re4s
@user-cl2jr3re4s 2 года назад
Mmh kenya makunguru wote tunawaona kwenye utanaswa wote makunguru chek jamaa amekaza sio kihivyo alingo irushwe ngumi ingekua kenya mshakimbia mpk uvunguni
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Etiiii Kenya wote mibwabwa tu 😏😏😏
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Kenya ipi?
@arnoldrutaihwa4020
@arnoldrutaihwa4020 2 года назад
Aisee hii kitu safi Sana hiii 😁😁😁😁🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼 cjacheka mda mrefu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@maryhosea3845
@maryhosea3845 2 года назад
Ilaaa hyuuu nangwaa jmniiii khaaaa anawatia watu jamba jambaaa😂😂😂😂😆🙌
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 года назад
Ila sijapenda anavyo wakazia hivyo hadi wanataka kulia sio poa
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 года назад
Mo Sanya tia timu Bunju Kwajumbe huku ukiwa na Nagwa We are really feel to meet with you...
@mdakimdaki6381
@mdakimdaki6381 2 года назад
Hapo kwa jumbe watu s watakimbia wote
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 года назад
@@mdakimdaki6381 Hahahahaha
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 года назад
@@mdakimdaki6381 kweli ndg ila akija ndio vzr
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 2 года назад
Nisamehe mwanangu, nisamehe mwanangu🤣🤣🤣adi nimemwonea huruma mshkaji
@miketzee806
@miketzee806 2 года назад
Jaribuni kuingia kwa mtu Aliepinda, mtazima camera wenyewe, Mnaangalia pia watu wa kuwadhalilisha.
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
Sio kuzalilishana ni kawaida mbona hata mbele vipo
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Ushamba na njaa zako tu hizo
@brunomoses1310
@brunomoses1310 2 года назад
Ila live shobo si nzuriii 🤣🤣🤣🤣🤣
@donhussle948
@donhussle948 2 года назад
Njooni Kenya Nairobi ama Mombasa sanaa mufanye ujinga huo kama ampujipati udongoni upuuzi kuchezea watu design hii Ila Kwa kumi na tatu mutaoata mtemi Tu ndo mutajua vizuri na watu wenu hao
@jacksonmwero9355
@jacksonmwero9355 2 года назад
Nagwa you killed it duu ata waeza Lia
@vibetz9991
@vibetz9991 2 года назад
Kutia watu hofu af mnawaacha bila hata mia ,,nyie mnaingiza hela ,,sio fresh ,,haipendezi,,,,,😠😠
@peima3327
@peima3327 2 года назад
Sasa umefata Nini Kama haipendezi
@vibetz9991
@vibetz9991 2 года назад
@@peima3327 Unatafuta Bwana?
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 года назад
😂😂😂Daah!!! Watanzania wanyonge kweli. Eti unaambiwa piga magoti na unapiga kweli tena kwenye matope, hizo pranks azilete Kenya uyo Nagwa, kitambo ajieleze ilikua ni prank atajikuta hospital vile atafanyiwa na mob justice
@truelovepawanza2046
@truelovepawanza2046 2 года назад
Kweli kaka Mimi mtanzania ila Kwa hili nimekubali wabongo wengi Sana wanyonge Na waoga..😂😂🤣😀😀😀😁😂😂🤣unijui sikujui ujifanye wewe Mwamba kunizidi kisa sura yako Na matatoo yako..😂😂🤣zitapigika ngumi Kali Sana mpaka kesho asubuhi😂
@melaniaherman1098
@melaniaherman1098 2 года назад
@@truelovepawanza2046 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@victorkadiriashayo2791
@victorkadiriashayo2791 2 года назад
Hakuna hicho kitu mob justice... Kenya ndio sehemu anakabwa na watu wanapita na shughuli zao.. Mtu anakuzama sokoni kwa mfuko na hakuna mtu anakuambia... Kenya🙌🙌🙌🙌
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 года назад
@@truelovepawanza2046 😂😂😂
@omariamiri5556
@omariamiri5556 2 года назад
Mh Kwan hauoni pranks za huko
@msafirikilongo7429
@msafirikilongo7429 2 года назад
Ningekuwa Mimi ningemlima ngumi ya meno😂😂😂 anavyofoka na kusogeza lisura
@uwingabireclementine7799
@uwingabireclementine7799 2 года назад
HUU kama nimukare naitwa Tina kutoka Rwanda Kigali🇷🇼🇷🇼♥️♥️♥️♥️😍
@charlesryoba192
@charlesryoba192 2 года назад
Kuweni makini mtakuja kutana na mbabe wakati nyie mnatania afanye kweli awatwange bakora sana nawashauri siku mkija tarime njooni na heshima sana
@Kimanzi001
@Kimanzi001 2 года назад
Waje wakutane na mababe kweli
@mariambakari7796
@mariambakari7796 2 года назад
Mkono mkono tu haipingwi kwani shingapi hiki ni kipindi kila mtu anajua huyo wa tarime itakuwa amedhamiria
@marcsthinker3882
@marcsthinker3882 2 года назад
Tarime NDIO nini 🥴
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 2 года назад
@@marcsthinker3882 jina la mtu hilo
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 2 года назад
@@Kimanzi001 mapanga au
@ambrosealfred805
@ambrosealfred805 2 года назад
Ila sanya ww ni shida mtaani kweli hili pindi ni lakijanjaa
@joycenzali263
@joycenzali263 2 года назад
Sijapenda japo nikazi ila mlezalilisha wa2 😢😢😢😢
@abiolasereman2575
@abiolasereman2575 2 года назад
Munaferi sasa inabidi muwena heshima kwa watanzania sio pow munaharibu sasa
@agreyyohana5368
@agreyyohana5368 2 года назад
Hujui maana ya hichi kipindi ndio maana lakini
Далее
Only you are left😭I beg you to do this🙏❓
00:19
NAGWA NA LIJONJO: BODA WA MCHONGO
12:40
Просмотров 17 тыс.
MUUZA SHANGA
8:49
Просмотров 843 тыс.
Впервые дал другу машину…
0:57
Будни в пекарне. Часть 2
0:59
Просмотров 1,7 млн