Тёмный

CHERRY MREMBO ALIYEPATA UKIMWI KWA KUBAKWA ASIMULIA MAZITO "NILICHANGANYIKIWA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 183 тыс.
50% 1

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

14 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 460   
@rinasmart5123
@rinasmart5123 8 месяцев назад
Tony!! You are more than a man. You have a big heart and a powerful spirit. You made a decision not many men can dare to. Coming out to speak openly about your relationship with Cherry has lifted many spirit. I just like you!! Wishing you the best in life. You are great!! Ahsante sana kum-support huyo mrembo.
@user-pm7pj6zi6q
@user-pm7pj6zi6q 8 месяцев назад
Pole sana Dada Mungu yupo na hao wote walikufanyia Unyama huo Razima watapata Asabu Yao Malipo ni hapa hapa Duniani 😢 ila Mungu awasimamie katika Maisha yenu ww Pamoja na watoto wako wote na Shemeji yetu🙏🙏❤️❤️❤️❤️
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 месяцев назад
Ukweli unamueeka mtu huru nimempenda kwa hilo na anaonekana ni mdada mwenye roho safi mashallah so pretty ❤
@halimaphiniasibwire9688
@halimaphiniasibwire9688 7 месяцев назад
Pole dada cherry.nakutia.moyo Hongera kwa kujikubali
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Pole sana chery,mungu atakupa maisha mrefu,pia usiache kumeza dawa mashani kote.
@bintysele6999
@bintysele6999 8 месяцев назад
Pole sana dada Cherry 😢 jaman iyo miaka vijana walikuwa waovyo sana, kulikuwa natabia kama kunamtu amekutongoza ukamkataa anakufanyia kitu cha ajabu wallah 😢kuna jirani yetu alichukuliwa mbele ya wazazi wake nahuyo mtu alikuwa amehasilika kwaiy alikuwa anabaka watu kuwaambukia jaman yule kaka Mungu amuukumu nyau yule yule dada alikuwa anajichukia kwa kile kitendo alichokuwa anafanyiwa nayule mtu 😢 pole sana dada Cherry
@charleslugemalila1168
@charleslugemalila1168 8 месяцев назад
Hongera sana Chery na mume wako mlichokifanya ni muhimu sana kwa jamii. Huu ugonjwa inabidi tuupokee kama magonjwa mengine siyo kama ilivyosasa mgonjea kuonekana mdhambi au kunyanyapaliwa. Yeyote anaweza kuupata bila kutarajia. Kuishi kwa kutumia dawa ni sawa kama magonjwa mengine tu. Nina uhakika mtu akiulizwa leo achague ugonjwa mmoja wapo kati ya figo na ukimwi atachagua ukimwi
@naomichuri7983
@naomichuri7983 8 месяцев назад
Kweli japo ukimwi unaweza athiri figo
@musasabuu2808
@musasabuu2808 7 месяцев назад
Ukimwi source yake kubwa ni zinaa tu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 7 месяцев назад
​@@musasabuu2808kweli uzinifu haswa ndio chanzo cha matatizo haya kwa vijana
@latifaroro877
@latifaroro877 7 месяцев назад
Me najiuliza ktu kmoja Chery walikua wawil na rfk zke kwann abakwe yeye peke ake na vjana wote ao af rfk ake aachwe??
@user-hr8fz8tz5t
@user-hr8fz8tz5t 8 месяцев назад
Nimependa Sana cherry 🍒❤❤❤ kitendo poah Sana ulicho fanya
@gloriaomari2187
@gloriaomari2187 5 месяцев назад
Mungu wetu wa sirini ataendelea kukutunza. Huyo kijana pongezi sana. Ninamshukuru Mungu kwa ajili yako kwakuwa ummfanya binti yetu kuwa na amani zaidi
@BernadetteKiwelu-kg6fv
@BernadetteKiwelu-kg6fv 5 месяцев назад
ni kweli dada mimi natumia dawa kwa miaka 24 mungu ni mwema hongera sana Cherry
@elihaikamrema1693
@elihaikamrema1693 4 месяца назад
Pole sana na Hongera kwa kuwa muwazi kiasi hicho. Mungu anawaponya kabisa wenye haki. Wewe ulitumika ili wengine wanjue Mungu kwamba yeye ni mponyaji wa kweli.
@queenpeter2013
@queenpeter2013 8 месяцев назад
Cherry mungu akutunze hawakuelewi ila ipo cku watakuelewa kipenzi nakupenda
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 7 месяцев назад
Maa Shaa Allah nimewapenda sana mko wazi sana na mmeongea vizur Mungu awajaalie mfunge ndoa Aamiyn
@nicolinahgalgalo426
@nicolinahgalgalo426 8 месяцев назад
Kwa kweli nimemuonea huruma sana huyu dada,ila pia niko na furaha kwa jinsi alivyojikubali kwa kweli anatia vijana wengi moyo
@tahiyasaidi6532
@tahiyasaidi6532 8 месяцев назад
Tutaaminije km kabakwa. Ah .....mauza uza mengi
@hora8707
@hora8707 8 месяцев назад
😊😊😮 11:23 11:24 😅😅😅 11:25 😢😅😮😅😅😅😅😮😊
@ndayishimiye745
@ndayishimiye745 8 месяцев назад
​@@tahiyasaidi6532😊q
@ndayishimiye745
@ndayishimiye745 8 месяцев назад
​@@tahiyasaidi6532❤
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 7 месяцев назад
​@@tahiyasaidi6532ongea kwa kituo ndugu yangu Hata wewe unaweza kukumbwa pasipo kubakwa Hujamaliza safari ndugu
@adbellar338
@adbellar338 8 месяцев назад
Kwa takwimu za nchi sasahivi huyu Dada aendelee kutoa shuhuda kwakweli. Mambo ni mengi.
@jomsafirikajinaki8820
@jomsafirikajinaki8820 3 месяца назад
Tony e a Cherry vocês são uma benção, Deus vós abençoe pela um belo história, nenhum Homem pode tomar essa decisão.
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 5 месяцев назад
MUNGU hajawahi shindwa hakuna gumu kwake mtegemee MUNGU na utapona download app inayo itwa kanguka utasikiya ushuuda wa wengine walio poa pole sana dada ❤️❤️❤️❤️❤️
@jomiAfrica
@jomiAfrica 8 месяцев назад
Lakini madakitari walikosea ungepewa prophylaxis usingepata pole
@husseinmaconcept9223
@husseinmaconcept9223 5 месяцев назад
Huelewi kuhusu prophylaxis
@sailathsaidi
@sailathsaidi 2 месяца назад
pia kumbuka n elf 2011
@user-vp1qs6jn9q
@user-vp1qs6jn9q 8 месяцев назад
May God Grant you with unspeakable joy siz😢😢
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 6 месяцев назад
Mashallah Jah May bless you.
@AniphaMohamed-dh6sn
@AniphaMohamed-dh6sn 7 месяцев назад
Nakupenda sana dada mungu akulinde
@user-ie5xq6xb2v
@user-ie5xq6xb2v 7 месяцев назад
Shukran!! Dada ww ni mfano wa kuigwa ktk jamii
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 8 месяцев назад
Asantee cherry ❤
@AffectionateGuitarAmp-vr5ub
@AffectionateGuitarAmp-vr5ub 5 месяцев назад
Pole sana dada mungu yu pamoja nawe
@user-vj8pi2wc3z
@user-vj8pi2wc3z 6 месяцев назад
Story ina maswali mengi sana!! All in all pole sana na Mungu akutie nguvu.
@ericamasha9789
@ericamasha9789 5 месяцев назад
I'm so glad wewe umeona hili!
@badifundi6089
@badifundi6089 5 месяцев назад
In shot Mambo ya MUNGU tuachie MUNGU.. sababu ni kitu hakufanya maksudi ndo maana waona anaishi na mzima wa afya kbsa ..uskute ata virusi vimeisha nguvu mipango ya MUNGU si ya kuingiliwa kbsa
@user-ks7zc6kd7u
@user-ks7zc6kd7u 5 месяцев назад
Hasa huyu mwanamke Diva anaboa sana
@AnethPeter-qz9zq
@AnethPeter-qz9zq 7 месяцев назад
Pole mdg wangu mungu yupo atakusaindia
@emelynensabimbona4499
@emelynensabimbona4499 8 месяцев назад
Hiii story sio iyo vvu kama yuko nayo alitowa sehemu sababu ukienda hospital kitu chakwanza kama umebakwa wanakukinga ukimwi na mimba
@user-uh4tx8st3d
@user-uh4tx8st3d 8 месяцев назад
N kweli aseee Sasa nashangaa kwann hakupewa hii uwongo
@ElishamMsikola
@ElishamMsikola 8 месяцев назад
Yes
@Planet_Zong
@Planet_Zong 5 месяцев назад
Au tunataka kuhukumu kimtindo?
@DeusMsumule
@DeusMsumule 2 месяца назад
Mzee alompa kaz au ugumu wa maisha ulimfanya kudate na watu wenyeukimwi
@sailathsaidi
@sailathsaidi 2 месяца назад
jamn 2011 sio 2024 zingatien ilo
@hannsmanuma4532
@hannsmanuma4532 6 месяцев назад
Chery, Mungu ni mwema.mno, halipo.jambo kubwa kwake, hata yeye anajua jinsi atakavyokufanya juu yako katika maisha yako
@EdgaralbetoEdgr
@EdgaralbetoEdgr 7 дней назад
Ningekuowa ila jamaa kasha niwai sio mbaya safi
@ElizabethMgimba-lq9iw
@ElizabethMgimba-lq9iw 8 месяцев назад
Shemeji mungu akutunze
@user-qv7qv5rt7k
@user-qv7qv5rt7k 5 месяцев назад
Pole sana dada mungu akuponye siku zote🙏🙏🙏😭
@benedictonesmo6857
@benedictonesmo6857 8 месяцев назад
Dida tulia kidogo acha kuwa na mbwembwe unaongea kama unakimbizwa alafu kuna maswali unauliza ilhali tayr ameshaelezea.....
@Byme6434
@Byme6434 8 месяцев назад
Ila Huyu Dida Asaivi Anaongea Vibaya Sijui Anaongeaje😂
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Mwacheni dida wangu😅😅
@Lawrenciamuhode
@Lawrenciamuhode 5 месяцев назад
Big up sana tony
@mosesbarnabas3379
@mosesbarnabas3379 8 месяцев назад
Huyu ni Yule dada wa tik tok nilijua anazingua anavyosimulia kuhusu kuishi na vvu
@user-dv8dc3tm2u
@user-dv8dc3tm2u 5 месяцев назад
Pole sana dadaang Mungu aendelee kukutia nguvu
@user-cf5zt6ky9m
@user-cf5zt6ky9m 8 месяцев назад
Mungu ni mwema jamani dada
@walburgammassy2050
@walburgammassy2050 8 месяцев назад
Kwa nilivyosikiliza hii story huyu Chery alitembea na yule mzee wa kwenye hyo hoteli ya dodoma.
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 8 месяцев назад
hapo nikweli. kwa kubakwa amedanganya Aliambukizwa na yule mzee
@vickydan2869
@vickydan2869 8 месяцев назад
@@nappekiliakiliasalimu346 Yes yule mzee alimwambukiza ila alipobakwa akajua ameambukizwa na wale wabakaji yawezekana tena yule mzee aliwatuma ili amchanganye binti!hebu fikiria kwann hawakumbaka yule mwenzie?
@stellasimon8306
@stellasimon8306 8 месяцев назад
Wewe unaye bishi nakushangaa sana, kwaani watu hawabakwi? Mungu anakuona
@stellafurael2925
@stellafurael2925 8 месяцев назад
Stupid mind
@emanuelwakawenga4023
@emanuelwakawenga4023 7 месяцев назад
Nami nawaza itakuwa yule mzee
@user-xe1jb5sv3x
@user-xe1jb5sv3x 8 месяцев назад
Mungu akutienguvu
@editamutayabalwa4907
@editamutayabalwa4907 7 месяцев назад
Chelly Mw/ Mungu Akutunze Akubaliki
@Abuuabdrasuli772Abuuabdrasuli7
@Abuuabdrasuli772Abuuabdrasuli7 8 месяцев назад
Daaah polee San
@henribwema2778
@henribwema2778 8 месяцев назад
Kwa namna storyteller anavyo sema, kuko contradictions kwenye habari hiyo, ila la msingi ni kwamba anasaidia kuwapa wengine ujasiri wapimwe wachukue dawa endapo watakutwa ni waasirika. Jambo lingne ni pale wanasema kuwa ukinywa dawa vizuri utafikia stage ya kusipo waambukiza wengine hata bila condom. Congo Kinshasa my home.
@tungaraza7794
@tungaraza7794 8 месяцев назад
sure,hasa baada ya kutoka hospital siku ya kwanza
@Mjomba_Side
@Mjomba_Side 7 месяцев назад
anadanganya story yake, alafu nikosa kisheria kujua unamaambukizi na kujaribu kumuambia mtu....hawezekani mtu akabakwa na madaktari wakazuia maambukizi kwa kutumia dawa ambazo zipo
@neemamajana3078
@neemamajana3078 6 месяцев назад
Huyu ni muongo, mtu akibakwa akienda hosp lazima apewe ARV dose ili kuuwa virusi. Huyu kwanza hana akili nzr, kitendo cha kujinanga mtandaoni.
@magnusbugingo3684
@magnusbugingo3684 8 месяцев назад
Mwandishi unaongea sana kuliko kusikiliza
@Eliya-vv1jp
@Eliya-vv1jp 8 месяцев назад
Duu kumbe ulitaka umuambukize kaka wa watu, na story simalizii tena ushanichangany kwanz walokubaka we ndo uliwaambukiza
@user-lq4op1bv5c
@user-lq4op1bv5c 8 месяцев назад
Duuh we mwanaume huna huruma wala akili yan ujamaliza jambo unatukan na ww watoto wako watafanyiw iv iv baba mpumbavu kabxa ww
@Eliya-vv1jp
@Eliya-vv1jp 8 месяцев назад
Au wew ndo mpumbavu, husikii Kama alitaka amuambikize alaf mipango yake ikagonga mwamba
@badifundi6089
@badifundi6089 5 месяцев назад
Bro hebu maliza period maana naona we ni lile kundi la pop la LGBT msenge ww
@AngelmackieCharity
@AngelmackieCharity 8 месяцев назад
Haka kastory kanakasoro lkn
@amaningonyani2775
@amaningonyani2775 8 месяцев назад
Hii story kidogo inaukakas
@user-tz3vm5ex5y
@user-tz3vm5ex5y 5 месяцев назад
Hongera sana cherry ❤
@rebekamwimi1394
@rebekamwimi1394 8 месяцев назад
Dada mzuri ukimkubali Yesu anaponya uachane na hizo dawa
@ummyayman9449
@ummyayman9449 7 месяцев назад
Humtakii mema mwenzako kumkubali yesu na kuacha dawa kunahusiana nini
@Salma_malkia
@Salma_malkia 7 месяцев назад
​@@ummyayman9449😅😂😂😂
@rehemadaudi550
@rehemadaudi550 7 месяцев назад
good advice
@user-ps8zs9fc5g
@user-ps8zs9fc5g 7 месяцев назад
Acha uongo wewe mambo ya uongo toka hapa
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 7 месяцев назад
Acha kumtia ujinga wewe ..!
@amazitv2899
@amazitv2899 8 месяцев назад
Hatari alifanyiwa unyama kweli uzuli wake umeenda hivo Allah atawalani hawo watu ila na hao watu walimfanyia wote wamesha ambukiza maana walimuingilia wote malipo ni hapa dunia
@FatumaHassan-gv4bi
@FatumaHassan-gv4bi 6 месяцев назад
nywele za juma ukiziangalia vibaya kwajuu zimekaa kama karanga 😂😂
@user-mk8tp4md6r
@user-mk8tp4md6r 6 месяцев назад
Nimecheka kwa sauti daaa😂😂😂
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
😂😂😂😂😂
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 месяцев назад
Jamani nani huyo ariye mbaka mtoto mrembo hvi katuaribia utamu jaman
@ZulfaJevejeve
@ZulfaJevejeve 12 дней назад
madactor walimkosea uhyu dada ,angepewa prophraxis acingepata hata
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 5 месяцев назад
Pole sana walikuwa wengi ila mm nimekupenda kuishi na virusi vya ukimwi sio mwisho wa fursa wala kuishi
@MunaSaid-sp9fj
@MunaSaid-sp9fj 2 месяца назад
Polesan dada mungu nimwema kilawakati
@moizjohnston3841
@moizjohnston3841 8 месяцев назад
Siyo kwamba madaktari walikosea,dada anasema kipindi iko anabakwa huduma ya PEP ilikua haipo Tanzania...!!
@ashleyharuna8944
@ashleyharuna8944 8 месяцев назад
Hata mimi nimejiuliza😢😢
@josephmgasi4973
@josephmgasi4973 8 месяцев назад
Huduma ya PEP kipindi iko ilikuwepo
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 8 месяцев назад
Huu ugonjwa wa ukimwi😮😮 siku hizi unajitangaza mwenyewe
@user-lq4op1bv5c
@user-lq4op1bv5c 8 месяцев назад
daah cherry nimfano wa kuigwa she is super women ww jmn mmmmmmmmwaaaaaaaaaa
@rosemery3017
@rosemery3017 8 месяцев назад
Cheery kipenzi kwanza pole sana kwa changamoto za kidunia. Pili mtoto wako wa kwanza anamiaka Saba kipenzi kama kweli umemzaa mwaka elfu mbili kumi na sita ni miaka Saba sio nane bado hatujavuka mwaka 2023 atafikisha nane mwaka kesho . Tunakupenda cherry we love you so much mama and your inparation to the people❤🥰
@KhadijaMohamed-t7y
@KhadijaMohamed-t7y 4 дня назад
Pole sana dadangu angu 😢
@hemedchuma9-cq4nh
@hemedchuma9-cq4nh 8 месяцев назад
Pole
@MargarethKisse
@MargarethKisse 7 месяцев назад
Pole sana cherry
@user-bs9hp5pe2i
@user-bs9hp5pe2i 7 месяцев назад
Pole sana dad akeee😢😢😢
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 8 месяцев назад
Daah 😢 pole sana
@nashnene6326
@nashnene6326 8 месяцев назад
I just feel something is missing about the rape incident, my intuition tells so, anyways, pole my
@ummukulthum1268
@ummukulthum1268 7 месяцев назад
Wote wanatiktok hawa nilisikia cherry akisema mwanaume wake anaish nae mwaka wa9 sasa na kazaa nae watoto wawili how comes inakua miaka mi3 ghafla😢😢
@WinfridaJohn-rm6gc
@WinfridaJohn-rm6gc 8 месяцев назад
Daktari kwanini hukumpa cherry PEP
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 8 месяцев назад
Pep kwa miaka 10 iliyoipita haikuwepo
@ashleyharuna8944
@ashleyharuna8944 8 месяцев назад
Maskini 😢
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 5 месяцев назад
Haijalishi yupo na ukimwi mi nimemkubali pic kali sana ila mm nipo salama kiafya mrembo upo tyr ❤🎉
@Lawrenciamuhode
@Lawrenciamuhode 5 месяцев назад
Pole Dada cherry 😢nakupendaga
@majidisalumu3260
@majidisalumu3260 5 месяцев назад
Chely Ni Mzuri Sanaa, Tena Kwa Wazuri Wenzio Wenye Maambukizi Kama Wewe Mbona Hata Kama Wana Maambukizi Mapya Mbona Binafsi Naingia Mazima Kabisaa, Nimuulizie Vyeti Vyake Mimi Vinanihusu Nini??!
@aishatest4451
@aishatest4451 8 месяцев назад
pole sana dada
@acobisrem2project360
@acobisrem2project360 8 месяцев назад
Ukibakwa na madaktari wakathibitisha umebakwa kweli, kabla masaa 72 kupita unapewa kinga tiba dhidi ya ukimwi na mimba, ss yy hospitali walipoenda walimpa dawa gani, bhana uyu katudanganya story ila hongera kwakuweka wazi afya yako ila kwenye stori ni uongo mtupu
@faidhamakubi9283
@faidhamakubi9283 8 месяцев назад
Unaosema ni kweli kun dawa zakuzuia maambukizi ya hyo hpo kun kitu nyuma but mungu amsamehe
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 месяцев назад
ndio vvu anayo lakini story fake
@_bonfaceadera
@_bonfaceadera 7 месяцев назад
Yeah,the story is not adding up.
@user-uv8uc2dv5u
@user-uv8uc2dv5u 8 месяцев назад
Dada pole sana😢
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 8 месяцев назад
Story hii very bad inaumiza SN hii taarifa dada pole sn.
@happynessmachota7278
@happynessmachota7278 8 месяцев назад
I love you sis cherry❤
@paulanelson5394
@paulanelson5394 8 месяцев назад
Kuna mijitu kama haina akili vile Eti hukubakwa sasa sawa hajabakwa inakuhusu nn? Usikute ww unao uku umejichimbia uko ila yeye kakabal kujitangaza na kuelimisha jamii ila ata pongezi Amna daah Watanzania bhana
@nelliegodfrey-zq5vz
@nelliegodfrey-zq5vz 8 месяцев назад
Yaani wnataka aseme wanavyotaka wao, yaani binadamu kwa nini tusioneane huruma
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 8 месяцев назад
Nyie wajinga kweli mmeona wapi akili zikafanna???
@syliviamwembe8745
@syliviamwembe8745 8 месяцев назад
Daaaah pole sana 😢😢
@jj-iv1wm
@jj-iv1wm 8 месяцев назад
Tony una moyo mgumu ila dem mkali hongeleni
@user-us9ym8ex9f
@user-us9ym8ex9f 5 месяцев назад
Pole sana kipenz hayo nimapito tu ya hapa duniani
@rehemashikeli961
@rehemashikeli961 7 дней назад
Hizi nywele za Lokole zilikichukuliwa pekeake nahisi ni sahani ya korosho.
@hashimvilla7089
@hashimvilla7089 3 месяца назад
Pole sana dd
@joycenuhu1566
@joycenuhu1566 10 дней назад
Wangekupa dawa ya kuzuia kupata ukimwi PEP
@deathrow8004
@deathrow8004 8 месяцев назад
Yaa ALLAH MAZINGIRA NI MAGUMU..TULINDE NA MARADHI YAAMBUKIZAYO NA UTUJALIE MWISHO MWEMA..
@saidabeid8249
@saidabeid8249 7 месяцев назад
Aaamin yaa rabby
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 6 месяцев назад
Allahumma amin yarablghalamin
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s 5 месяцев назад
Pole sanaa
@maulidimpili698
@maulidimpili698 6 месяцев назад
Mm namtaka huyo ukimwi sio ugonjwa ogopa kansa na magonjwa mengne sio ukimwi alaf shamba lina mikorosho 2 shamba lina faida
@kisinza6077
@kisinza6077 7 месяцев назад
Sema wewe mwandishi wa kike jitahidi kuendana na maudhui ya story! Yaani simulizi ya kusikitisha wewe unalipuka kanakwamba upo na Juma lokole mnachamba, khaaaaa? 😮
@jumamustafa1328
@jumamustafa1328 8 месяцев назад
Inamaana hao madaktar walishindwa kukupa PEP wewe ........mbona kama unaongopa jaman ....mana PEP lazma upewe aisee
@gracegeorge128
@gracegeorge128 8 месяцев назад
Pep haikuwepo kwa mwaka huo
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 7 месяцев назад
Hii move tu wsmeitengenez wasafiii,dada kaamua kujicholesha kwa ajil ya kulipwa tu hakuna lolote hapo
@GodfreyArtist-pz3ol
@GodfreyArtist-pz3ol 7 месяцев назад
16:47 16:48 16:48
@Mjomba_Side
@Mjomba_Side 7 месяцев назад
anadanganya dogo huyu, katengeneza script kichwani anawaaminisha watu hamna madaktari au manesi wasiojua kwamba kuna dawa unaweza tumia kama unahisi umepata maambukizi ili kuzuia mapema kwa masaa kadhaa so navyoona huyu kauza mwili wake kwa faida na kwenye hiyo akapata ngoma
@nasrasalumu7005
@nasrasalumu7005 6 месяцев назад
Ila kwa hii story ata mm sikubalianinae kama kabakwa yawezekana utafutaji wake wa kazi ndio uliomponza akaasilika
@user-ku1ih1kp6q
@user-ku1ih1kp6q 5 месяцев назад
Pole sana by kwnn rafiki yk hakubakwa?
@edwintouches
@edwintouches 7 месяцев назад
Nawaza tu, wangemuanzishia PEP siku hiyohiyo baada ya kufika Hospitali pengine asingepata HIV. Kwanini walimruhusu aende akae siku kadhaa ndo arudi tena kupima? Hapo kuna hesabu ilikosewa.
@user-qr3sr6cw5k
@user-qr3sr6cw5k 7 месяцев назад
inauma kinoma, binadam ndo wanafanya binadam wezao kuwa wanyama, pole dada ,Ila kwa nn Sasa na ww ulitafta mtu umwambukize asee😢😢😢
@mossisilima452
@mossisilima452 7 месяцев назад
Jaman naomben kujua ratiba ya iki kipindi napendaga sn iki kipindi kinaoneshwa tv gan na mda gan
@mudiissa9653
@mudiissa9653 8 месяцев назад
Kipindi kinafuje kweli utaratibu mbovu huyo dad's mtangazaji hajatuli mapepe Kama maharage yapo jikoni khaaaa
@user-te9go8bw7c
@user-te9go8bw7c 8 месяцев назад
Wasiomfatilia ndio hawatamuelewa lkn kama unamfuatilia vizur unamuelewa pole dada .nakuelewa sana nakufuatia sana mungu akupe wepesi mana yeye ndie mwenye kuleta uzima na ugonjwa
@MrBadi1979
@MrBadi1979 8 месяцев назад
DAAAH DIDA BANA MSHABIKI KWELI KWELI😫
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 11 дней назад
Kwanini haukupewa PEP? Dawa wanazopewa watu ili kujikinga na maambukizi? Huwa wanapewa watu waliobakwa wakifika Hospital.
@bettyruhaza2856
@bettyruhaza2856 6 месяцев назад
Aise Mungu tuhurumie sisi wakawako , wewe kaka , huo ujasiri hapana si m sapoti mtu achukuwe uamuzi huo. Samahani lkni kama nimekosea
@peterlyimo6696
@peterlyimo6696 8 месяцев назад
Hii story hai add up! Wakenya wanasemaga hivyo, kuna kitu hakipo sawa kwenye hii story ya kubakwa, ina maana jamaa wote walimbaka tu yeye wakamuacha rafiki yake
@user-co5uv5zn9d
@user-co5uv5zn9d 8 месяцев назад
Umeliona hilo,Kama nikweli Basi kwenye hilo kundi yupo alomvuruga akaleta hitirafu hizo
@Queen_of_june
@Queen_of_june 8 месяцев назад
Kuna part ame skip but kama uliskiza interview ya Millard ayo alisema kwamba rafiki yake hakubakwa cause alikuwa na mimba .
@chibelube
@chibelube 8 месяцев назад
@@Queen_of_june kwamba wabakaji hawabaki mwenye mimba?
@hummymgaza6915
@hummymgaza6915 8 месяцев назад
Kitu kingine, I’m not here ku judge but hospital kwa anaebakwa hupatiwa PEP ambazo huzuia maambukizi ndani ya 72hrs so I don’t know what happened hospital hawakumpatia 🤔. Anyways she knows the truth and ana maamuzi yake kutupa ukweli. Ila ni malkia wa nguvu 💪🏾
@veniciacharles8851
@veniciacharles8851 8 месяцев назад
Story haifiti Yani Kuna vitu anaficha Bora angetulia tu
@lemamolelilemamoleli7740
@lemamolelilemamoleli7740 7 месяцев назад
polesana dada asee
@alainbouba5164
@alainbouba5164 7 месяцев назад
Daaa! Mpaka naogopa kuparamia hata mke wangu. Wewe unao? Ebu njoo unieleweshe
@chibelube
@chibelube 8 месяцев назад
Ukiwa Hauna Akili, Unaweza kusema hii stori ni kweli.
@marykimath5261
@marykimath5261 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂 hii stor ni uongo Ila sjajua dhumun ni nn
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 8 месяцев назад
😂😂😂😂kabisaaa
@zaynabmwanjovu8277
@zaynabmwanjovu8277 8 месяцев назад
Umaarufu
@rogertuga007
@rogertuga007 8 месяцев назад
Na ukiwa mpumbavu utaona hana Ukimwi.
@user-lr8ti4qc4o
@user-lr8ti4qc4o 8 месяцев назад
Tuletee yakweli basi?
Далее
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 51 тыс.
FAHAMU KUHUSU WATU AMBAO HAWAWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI
4:20
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
МИША ПЛИТОЧНИК
0:19
Просмотров 10 млн