Тёмный

Nini hatma ya Rais wa zamani wa Marekani Donald J Trump baada ya kukutwa na hatia? ATAFUNGWA? 

EBM SWAHILI
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 1,8 тыс.
50% 1

Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

Опубликовано:

 

30 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@nkonoki7993
@nkonoki7993 2 месяца назад
Hawezi kuji pardon kwa state cases! Soma tena sheria!
@drsamsonkibona371
@drsamsonkibona371 Месяц назад
Safi sana EBM
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 2 месяца назад
Aksante kaka Ebm kwa uchambuzi
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 2 месяца назад
Tulikukumbuka Broo God Bless You
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 2 месяца назад
Ernest boniphace makuliro nice to hear you now time
@christophenkurunziza7208
@christophenkurunziza7208 2 месяца назад
Asante sana kwa kutufaamisha
@SimonMkindi-de3wx
@SimonMkindi-de3wx 2 месяца назад
Congratulations brother Kwa kutuelewesha, Mimi nampenda sana Donald Trump Karibu bongo.
@paulkagwa3867
@paulkagwa3867 2 месяца назад
Salaam Kiongozi Najarbu Kukutafuta sikupati...Kama Kuna Namna Ya Kukupata Naomba Nipe njia...Nina Shida Nawe...shukrani
@jumamunga5687
@jumamunga5687 2 месяца назад
Kitu gan kinaweza tatokea kwa dv Lottery program kama Donald trump atashinda uchaguzi wa marekani kwasababu tunaona siasa za trump siyo nzuri kwa immagrants na alifungiaga dv Lottery 2019
@mbarakamlawa7249
@mbarakamlawa7249 2 месяца назад
Umezinguka alafu mwishoni umejionyesha kma wewe team Trump coz kulikua kuna haja gani kusema kwamba judge ana ukaribu na Biden. The guy he’s guilty hata lawyer wake katoa ushahidi that alihusika kwenye malipo so judge katenda haki period
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 месяца назад
Huyo huyo aliyekuwa lawyer wake kaangalie alipohojiwa na Congress kuhusu same issue alisemaje, na pia sababu ya Michael Cohen kwenda jela ilikuwa ni ipi...na hadi mahakamani kipindi hicho kwenye kesi hiy alitoa ushahidi kuwa yeye alifanya on his own will na alichukua hela ya nyumba yake sio ya Trump, ila Trump alimrudishia...na kwenye kesi hii akakiri kuwa aliiba hela kiasi toka kwenye hla hiyo
@magicalfootball6369
@magicalfootball6369 2 месяца назад
Kwa sisi tunaotaka kuja USA hatumtaki Trump
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 месяца назад
Hutaki kufuata sheria
@anounymous1
@anounymous1 2 месяца назад
Richard Nixon karibu afanywe hivi akaresign yule vice wake akawa rais akampardon
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 2 месяца назад
Ni ngumu tramp kufungwa alishawahi kuwa raisi wa marekani na hata akifungwa secret service wataendelea kumlinda huko huko. Hiyo ndiyo marekani bhana
@franktangeki9342
@franktangeki9342 2 месяца назад
huyo tramp unayemtetea si ndiye aliyetukana watu wa bara la africa " ass hole " na ndiye aliyeiweka Tanzania kwenye orodha ya nchi kumi (10) duniani zinazo support UGAIDI na si ndiye aliyeifungia Tanzania kushiriki bahati nasibu,Biden akaja akakiondoa kikwazo hicho.Au umesahau kaka EBM ? unampomtetea sijui nikueleweje unataka airudishe Tanzania kwenye orodha ya nchi za UGAIDI duniani tena ?
@JosephuSwai
@JosephuSwai Месяц назад
Ndio
@aloycemabula8649
@aloycemabula8649 2 месяца назад
Aisee umetufuta ujinga, Real trump akirudi madarakani hata vita ya Ukraine itaisha
Далее
Mapenzi Ukiwa Nje ya Nchi - USA, Canada, Ulaya
57:54
Просмотров 1,4 тыс.
Mercy Mawia's Eulogy.. RIP 💔 😭 Mercy
5:41
Просмотров 19 тыс.