Kitu gan kinaweza tatokea kwa dv Lottery program kama Donald trump atashinda uchaguzi wa marekani kwasababu tunaona siasa za trump siyo nzuri kwa immagrants na alifungiaga dv Lottery 2019
Umezinguka alafu mwishoni umejionyesha kma wewe team Trump coz kulikua kuna haja gani kusema kwamba judge ana ukaribu na Biden. The guy he’s guilty hata lawyer wake katoa ushahidi that alihusika kwenye malipo so judge katenda haki period
Huyo huyo aliyekuwa lawyer wake kaangalie alipohojiwa na Congress kuhusu same issue alisemaje, na pia sababu ya Michael Cohen kwenda jela ilikuwa ni ipi...na hadi mahakamani kipindi hicho kwenye kesi hiy alitoa ushahidi kuwa yeye alifanya on his own will na alichukua hela ya nyumba yake sio ya Trump, ila Trump alimrudishia...na kwenye kesi hii akakiri kuwa aliiba hela kiasi toka kwenye hla hiyo
huyo tramp unayemtetea si ndiye aliyetukana watu wa bara la africa " ass hole " na ndiye aliyeiweka Tanzania kwenye orodha ya nchi kumi (10) duniani zinazo support UGAIDI na si ndiye aliyeifungia Tanzania kushiriki bahati nasibu,Biden akaja akakiondoa kikwazo hicho.Au umesahau kaka EBM ? unampomtetea sijui nikueleweje unataka airudishe Tanzania kwenye orodha ya nchi za UGAIDI duniani tena ?