Kaka EbM asante. Pia kutakuwa na watanzania ambao walijipanga na wakafanikiwa na ni mbinu zipi walifanya. Nafkiri kurudi sio lazima ukae maeneo ambayo watu wamekuzoea wakakujaji inabidi kuanzisha au kuwa na eneo jipya hata kama ni kaeneo kadogo mradi roof over our head. Tungependa kusikia maoni ya wale waliotangulia kurudi na changamoto zake. Shukran bro.
Maisha hakuna kuchelewa hasa ukizingatia hatutoishi milele. Maisha ni kila siku kukicha. issue ya kuchelewa ni off point. Kila siku kukichaa NDIYO unaishi , So hamna kuchelewa
Kaka habari yoka Mimi ni ndugu 1,naomba nisaidie nimepambana miaka mitatu nimepata siringi million 4 pesa nimepata kwa nguvu kazi kaka sikuchagua kazi kurima mashamba miti ya mkaa na vinginevyo nisaidie kazi za mshambani kuchunga kazi yoyote nguvu kazi simrizi zako nimefatiria muda miaka 4 utafutaji bongo shida Nisha taperiwa mara Moja laki 300000 niunganishe safari kujitolea au utajua wewe jinsi ya kunisaida mimi Omary vulu nipo pamoja na wewe kaka nisaidie mungu akurinde 🇹🇿🇹🇿🕊️🕊️🇺🇸🇺🇸⭐⭐🇺🇸🌙makurilo🙏🙏🙏🙏🙏
Kaka kutpeliwa tumesha tapeliwa wengi hata mimi nlitapeliwa 250000 mwaka Jana ulikuwa pesa yangu ya kodi nikalipia safari, chakufanya process zote Fanya wewe ndiyo hiyo pesa itatosha ila ukimpa MTU akufanyie haitotosha, yani ukifuatilia mwenyew hadi nauli ya ticket utapata, wakina dnyota wanataka mil 9 na hawana punguzo hata kdgo na kwaushauri tu sasahv kupata kazi USA ukiwa nje ya nchi huwezi kupata hadi uende mwenyew USA ndo utafute kazi
Mr Boniphace Makulilo ahsante kwa mafundisho pia pole kwa haya majukumu. Mim naitwa Deri Mkongwa ningependa kujua green card lottery mwaka huu 2024 tunaanza kuaplly lini na je? Ni vitu gani niviandae kwa ajili ya application yangu? Ahsante naomba kuwakilisha.
Asante kwa Informations Brother, Tujuze kuusu USA na CANADA, Wapi bora zaidi kuliko pengine?!!!! Fasi gani mtu anaweza ku success haraka?? Na wapi mtu anapaswa elekeya... Please brother, Tuelezeeeeh kuusu iyo Sujet.
Hi bro nina swali nataka kuuliza mmi ni photographer naishi uganda ila mmi natokeya burundi.nina mke na mtoto wa mwezi umoja wana ishi yues sasa nini rafiki yangu ambaye anaishi yues ana wedding August Kani tumiye invitation letter niende uko niwe photographer wa wedding yake nimesha jaza ds160 nimesha lipiya na appointement.ila mmi na mkewa wangu tumeshaka jaza i 130 form ina myezi misita kwa sasa bado tunasubiri.sasa Nina swali kuna uwezekano wakunipa iyi B1 B2 nawakati nina already i130 ambayo nasubiri.na je watanipa kweli wakati mke wangu na mtoto wako kule siwatafikiriya nikifika kule sitorudi kwasababu nina mke na mtoto kule?plz naomba ushauri wako
Iv jamani naomba kuuliza mimi nilijaribu ku apply kwenye sim ya rafiki yangu na form nilijaza vizuri na picha poa ilikuwa 100% na waka accept ni Subili number watanitumia kwenye ile email ya rafiki yangu kwa sababu nilitumia sim yake ila kila nikimuuliza anasema awajatuma iv naweza mukanipa jibu au ndio ataki mimi niende USA