Lastborn ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kufika Marekani
Anakwambia alipata mimba akiwa chuo ya mwanafunzi mwenzie.. Ilibidi waoane baada ya kumaliza chuo ambapo utofauti wa dini ulileta changamoto kubwa kutoka kwa familia ya Lastborn.
Changamoto ya maisha ilikua kubwa kutoka chuo na kuanza maisha ambapo kazi hakuna, biashara hazishikiki na kuwafanya kufikia kupanga nyumba ya udongo isiyo na Umeme ili kuweza kujistiri
Lastborn aliamua kufanya biashara ya kutembeza uji ili aweze kuishi na familia yake.
Lakini kwasasa wako Marekani na anafanya kazi ya uuguzi.
Subscribe kwa RU-vid Channel yake @lastborngallery
Thank you Lastborn for allowing this to be online
www.oda.international
8 май 2024