Тёмный

NJIA ZA KUTOBOA MAREKANI |TULIPANGA NYUMBA YA UDONGO YENYE KUNGUNI | KILA TUNACHOSHIKA HAKISHIKIKI 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Lastborn ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kufika Marekani
Anakwambia alipata mimba akiwa chuo ya mwanafunzi mwenzie.. Ilibidi waoane baada ya kumaliza chuo ambapo utofauti wa dini ulileta changamoto kubwa kutoka kwa familia ya Lastborn.
Changamoto ya maisha ilikua kubwa kutoka chuo na kuanza maisha ambapo kazi hakuna, biashara hazishikiki na kuwafanya kufikia kupanga nyumba ya udongo isiyo na Umeme ili kuweza kujistiri
Lastborn aliamua kufanya biashara ya kutembeza uji ili aweze kuishi na familia yake.
Lakini kwasasa wako Marekani na anafanya kazi ya uuguzi.
Subscribe kwa RU-vid Channel yake ‪@lastborngallery‬
Thank you Lastborn for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

8 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 127   
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 2 месяца назад
TikTok: lastborn gallery Instagram: lastborn gallery RU-vid: lastborn gallery
@aidaanatory9330
@aidaanatory9330 2 месяца назад
Ahsante sana dada shena yaan ninajifunza
@tabuboone934
@tabuboone934 2 месяца назад
Hivi Lastborn, alisema sehemu ya kuomba kazi ya uwalimu abroad inatwa aje?
@Alice_Josh
@Alice_Josh 2 месяца назад
Tunaomba mtusaidie mawasiliano ya Agent walau hata kwa wanopenda kuja Marekani wasaidike
@gracemahugi4380
@gracemahugi4380 Месяц назад
Naomba no yk my
@gracemahugi4380
@gracemahugi4380 Месяц назад
No tusaidie mama
@mashakampembela2552
@mashakampembela2552 2 месяца назад
Tangu nimeanza kuangalia intervier dada shena naona hii imeniingia na wala haina ushabiki..Huyu ana mwaka mmoja na akiwa na miaka mitano atakuwa balaa...huyu endelea kumshikiria mpaka mwisho..ubarikiwe sana dada yetu..
@upendopauline2489
@upendopauline2489 2 месяца назад
She is calm and humble, ameeleza vizuri sana hadi raha tumejifunza na kupata moyo.. thanks shena and last born
@dayana5513story
@dayana5513story 2 месяца назад
Hii interview inavitu vingi vya kujifuza sisi vijana Asante mgeni hakika umebarikiwa,God bless shena ❤
@demicratia4071
@demicratia4071 2 месяца назад
Lastborn akawa Lastborn kweli.mkizaa watoto watafutieni majina ya KING NA QUEEN
@demicratia4071
@demicratia4071 2 месяца назад
Mimi namsifu sana LASTBORN MWANAMKE HUYU KIBOKO yeye ndio chanzo za kumshauri.mumewe kuomba pastport
@tuddiek4961
@tuddiek4961 2 месяца назад
Asante Dada last born kwa kutufungua akili . Ubarikiwe ww na Dada Shena.
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 2 месяца назад
Dada upendo kapoa ndo maana Mme alikuchukua umepoa dada wengine wajifunze kwa huyu dada mkweli mchamungu dada utafika mbali na mmeo salute upendo
@mukhtarally5819
@mukhtarally5819 2 месяца назад
Respect ❤❤❤ last born ❤❤❤ love husband and blessings, joy, more love ,more success ❤❤❤
@berthabella8654
@berthabella8654 2 месяца назад
Swala la kumwamini Mungu ni lamuhimu sana
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 2 месяца назад
Good 👍 Mume barikiwa Sana Story NZURI
@getrudepeter5054
@getrudepeter5054 Месяц назад
Cnaga interest na story za mtandao ila nimekukubali sana hongera love
@mandiwangu
@mandiwangu 2 месяца назад
Hongera Dada Shena na lastborn interview ni nzuri sana..Tunamuombea na Upendo Mongi apate muda ili nae aje kutupa nondo..Mbarikiwe saana
@halfaningatwanga3776
@halfaningatwanga3776 2 месяца назад
Nice interview
@rosekadalida9295
@rosekadalida9295 7 дней назад
Hongera sana mgeni kwa kutokuwa na hila.Ubarikiwe mno na Mungu azidi kukufungulia milango Ameen
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 месяца назад
Mungu akubariki sana wewe dada kweli una hofu ya Mungu
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 2 месяца назад
Huyu sasa ndio mwanamke halisi wa kiafrica
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 2 месяца назад
Story nzuri sana masha Allah. Dada mrembo na mapenzi tele kwa kaka etu. Mmepambana! Texas kama uliingia na Houston George Bush, ukapelekwa Hobby airport. Ulipata bahati kupata msomali safi sana. Mwenyezi mungu aendelee kuwasimamia na kuwaongoza ktk ndoa yenu na mtoto wenu mkijaliwa mtamleta inshaAllah mkijaliwa kupata karatasi zenu kamili. Uzuri nimependa mmesoma kilimo na shule imewavusha, safi sana.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 месяца назад
Jirani upo my thoughts exactly kuhusu airport. Kuna kiitu ningependa ku ongeza i hope Dada Last born hato mind. Ku file asylum ni wale kutoka nchi zenye vita au political instability , au kama ni mwana siasa ambaye anahofia Maisha yake kwa sababu tofauti ,wa hivyo wa Tanzania hawawezi sie nchin yetu ya Amani alhamdulilah. Karibu tena Texas MA Mungu awafanyie wepesi kwenye safari yenu ya mapenzi na maisha an motto went afike kwa haraka. Mungu ni mkubwa ni kumtanguliza kwa kila hates. Ubarikiwe
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 2 месяца назад
@@aromaofzanzibar yes, asylum ina heka heka zake si haba inatakiwa kujipanga haswa. Kwa wale walionyanyasika ki jinsia, vita nk.
@lastborngallery
@lastborngallery 2 месяца назад
@@aromaofzanzibaryeah ni ngumu ila inarahisisha kupata working permit
@neemamahimbo4711
@neemamahimbo4711 2 месяца назад
Naomba kuuliza ina maana ubalozi haujui kama mumewe yupo U.S?na wao ndio wamempitisha?swali la ufahamu jamani naomba msaada hapo.
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 2 месяца назад
@@neemamahimbo4711 majina yao ni tofauti. Kuna uwezekano ubalozi haukuona. Inatokea.
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 2 месяца назад
Musikae.mbali na mtoto wenu Maelezo Ni ya BABA na mama
@loycep7785
@loycep7785 2 месяца назад
Yaani haya mambo ya Visa huwa hayarleweki ni neema tu ya Mungu maana Mungu alishatupangia maisha yetu kabla ya kuumbwa kwa Dunia so ikipangwa kupata utapata tu no matter wahst Ila Mungu ndy awe wa kwanza Huyu dada pamoja na kusota sana ktk Maisha tusikate tamaa hayo ni majaribu ya maisha l ila anayeweza kufanya njia ni Mungu pekee Amina
@Zayn_A101
@Zayn_A101 2 месяца назад
Maisha ni kuthubutu, Mwenyezi Mungu awapiganie na kuwalinda.
@mariajuma8696
@mariajuma8696 2 месяца назад
Hongera rafki ang pendo umepembana sana kumtegemea Mungu kuna faida
@DativaVedasto
@DativaVedasto 2 месяца назад
Uyu dada namuelewa experience ya kwenda nje mara ya kwanza❤😢😢Yesu mzuri Nyie
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Tena sana 🙏🙏
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 2 месяца назад
The straggle is really 😊 hongereni sana kwa kupendana na pia kufanikisha kufika huko nawaombea muwe pamoja na mtoto wenu pia.
@marykatunzi2613
@marykatunzi2613 2 месяца назад
Asante kwa kutueleza kinaga ubaga safari yako kujikwamua kimaisha. mungu amekuona na pole sana.
@DoreenMwanga-dg7xp
@DoreenMwanga-dg7xp 2 месяца назад
Tuwe tuna like
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
ili kitokee nini?
@marykibogoya2769
@marykibogoya2769 2 месяца назад
Hongereni sana Last born na mumewe. Kama vijana mmeonyesha mfano wa kushikamana, upendo na kukomaa kutafuta maisha.
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 2 месяца назад
Daaa ,umesota nae hivyo halafu ,aje afanye ujinga wa divorce , mungu awasimamie sana na awalinde katika ndoa yenu . amen
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 2 месяца назад
Good story , asante sana mdogo wangu mrembo
@miriamjohn3141
@miriamjohn3141 2 месяца назад
Ulipata mume Dada, Pia kumtegemea Mungu
@devotatarimo8141
@devotatarimo8141 2 месяца назад
Karibu sana Seattle
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 месяца назад
Sasa usome nursing kabisa.Mungu awabariki,mme unae.Mshukuru sana Mungu.
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 месяца назад
Asante sana hapo umenifungua mimi kuhusu hiyo zawadi ubarkiwe sanaaaa❤❤❤❤❤ hapo inanibidi nijipe zawadi ya kusoma❤❤❤❤ hiki kipindi Mungu akibariki sanaaa
@lastborngallery
@lastborngallery 2 месяца назад
God bless you
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Mungu yu mwema Kila wakati 🙏🙏
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 Месяц назад
​@@lastborngallerySamahani Tanzania ukiwa R.N ukifika USA naweza kukitumia au lazima kuingia darasani tena
@marykibogoya2769
@marykibogoya2769 2 месяца назад
Shukurani sana dada mwandaaji wa kipindi hiki. Naamini vijana wengi kuna kitu wamepata kwenye hii interview. Shena big up
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 2 месяца назад
Wow!my favourite colours yellow and white.Umependeza sana Upendo.
@KIMALEX255
@KIMALEX255 2 месяца назад
Woow from SUA hapaa like zangu
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 26 дней назад
Dada uyu ni mtulivu Sana akiwa anaongea...na nimejifunza Sana kwenye maisha inabidi usikate tamaa na ujifunze kupambana mana hujui utatokea wap
@NattiePeter
@NattiePeter 2 месяца назад
Nzuri sana
@shubirarutaihwa4829
@shubirarutaihwa4829 2 месяца назад
Asanteni dada ,upo vizuri na Mungu akutangulie katika yote
@judithawadhi3510
@judithawadhi3510 2 месяца назад
Aisee nzuri sana hizo kofia.Hongera sanaa
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 2 месяца назад
Interview nzuri sana, pongezi sana kwa subra yako.
@lulumkongwe9987
@lulumkongwe9987 2 месяца назад
Story nzuri sana Lastborn❤
@augustinepaschalmrema8858
@augustinepaschalmrema8858 2 месяца назад
Hongereni kwa uvumilivu na matokeo yake umewalipa Big up kwenu
@reginalemunge1221
@reginalemunge1221 2 месяца назад
Nimepata somo kubwa sana ubarikiwe dada
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 2 месяца назад
God bless you 🙏 my dear
@InnocentCanoe-zi6kz
@InnocentCanoe-zi6kz 2 месяца назад
Interview iko bomba sana
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Mwenyezi mungu awatangulie hadi raha
@HadijaRajabu-bg5zu
@HadijaRajabu-bg5zu 2 месяца назад
Hongereni sana, mmenigusa😊😊😊.
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 месяца назад
Kwa marekani kila state ina mambo yake. Kuna sehem kama siattle unaingiia leo kesho unaweza kufanya kazi hongera sana. Binti
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 2 месяца назад
Leo nondo juu ya nondo🥰😘♥️
@magdalenajoseph8739
@magdalenajoseph8739 2 месяца назад
Thanks Shena.Unaffanya kazi nzuri.tunajufunza mambo mazuri. Pia huyu dada yuko vizuri anaongea vema.
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Mmepambana sana mwenyezi mungu awatie nguvu subira na uvumilivu
@user-zr2yz6qg1f
@user-zr2yz6qg1f 2 месяца назад
Story mmejua kuipangilia good
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 2 месяца назад
Dada huyu ananondo za kupanua fikra,ufahamu,
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 2 месяца назад
Mpendwa naomba unipe namba zako ili mwanangu atakapo fika huko wewe na mume wako muwe mweneji wake kwa muda nitakushukuru mno
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 2 месяца назад
Mchaga uyo kichwa sana ukioa mchaga lazima utoboe
@veterinarytips8059
@veterinarytips8059 2 месяца назад
Uko sawa ila kwa ulimwengu wa sasa watu wameamka sana inategemea na misingi na asili ya mtu but now days watu wameamka sana kuna stories kibao ninazo malafiki zangu wameoa chaggas but wameanguka kiuchumi na wako depressed ile mbaya .
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
endelea kukariri
@JoyceakaJowi
@JoyceakaJowi Месяц назад
this is huge....
@hurumakaaya1150
@hurumakaaya1150 Месяц назад
God is everything!
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 Месяц назад
Good❤❤
@Deedah4
@Deedah4 2 месяца назад
You deserve a life my darling hongera sanaa @lastborn gallery
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
Yes SUGECO..ihope hubby kakufundisha hapo SUA
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 2 месяца назад
Super women
@donaldchacha
@donaldchacha 2 месяца назад
Uwanja unaitwa Love
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 2 месяца назад
Laz born🔥🔥🔥🔥🔥
@claratemba44
@claratemba44 2 месяца назад
@chrismavenance5161
@chrismavenance5161 2 месяца назад
Classmate wng mrike
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 месяца назад
Lastborn Roho safi Mashaalah
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 2 месяца назад
She is amazing 🥰🔥🔥
@demicratia4071
@demicratia4071 2 месяца назад
Sauti jamani
@gillianwilliam5688
@gillianwilliam5688 2 месяца назад
Dah darasa nimejifunzaaa
@calistgwaydamuy8813
@calistgwaydamuy8813 2 месяца назад
Very nice
@ramaMuhomba
@ramaMuhomba 2 месяца назад
Dada yupo vizuri sana na sura anayo
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Safi kabisa 🥰🥰😹
@AgredaMoyo
@AgredaMoyo 2 месяца назад
Napajua Sugeco
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 2 месяца назад
Mchaga mwenzangu , wacha watafute wanaume na wanawake wakizungu , wanafikiri ndio njia ya kufika ulaya au marekani au canada au Australia. 😅😅😅
@NeemaSanga-bc4pz
@NeemaSanga-bc4pz 2 месяца назад
Sabasaba tunapajua
@user-wg1nz5ms2n
@user-wg1nz5ms2n 2 месяца назад
Last born wewe ni mtulivu jamani
@enricajohn4120
@enricajohn4120 Месяц назад
Interns za SUA ni fire
@bintibaibe1958
@bintibaibe1958 2 месяца назад
J1 visa si ni aupea visa
@DoreenMwanga-dg7xp
@DoreenMwanga-dg7xp 2 месяца назад
Jamani leo bandika bandua
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 2 месяца назад
Halafu nondo tupo 🥰
@mummynaa
@mummynaa Месяц назад
Shenaz mdogo wangu je kuna MTz unaemjua North Caroline ,Charlotte USA.,Nahitaji mwenyeji​@@OfficialDatingAssistance
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 2 месяца назад
Iyo company inaitwaje naomba jina tafadhali
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 2 месяца назад
Wee Last Born Weee😅😅😅😅😅😅😅
@Alice-Gyunda
@Alice-Gyunda 16 дней назад
Sasa mtoto unamcha na Babake wakati babake yuko USA yaani hapo ilikuwaje?
@Samtimes_
@Samtimes_ 2 месяца назад
Hii interview ni nzuri sana hongera sana dada shena @official dating assitence
@annatemu4488
@annatemu4488 2 месяца назад
Hii familia ni wapambanaji
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 месяца назад
Sana
@elizabethmkude9452
@elizabethmkude9452 2 месяца назад
Shena hii baada ya kusikiliza ya mmasai?
@HalimaSale-yh9cq
@HalimaSale-yh9cq Месяц назад
Shena waulize na waafrica wanaoshi china na korea sio tu marekani nauingireza
@ghaosalsalum
@ghaosalsalum 2 месяца назад
Mimi napenda sana kufuma ila sijui😂
@veterinarytips8059
@veterinarytips8059 2 месяца назад
Soma mtandaoni kila kitu kipo ni mda wako tuuh .
@mohrecaps
@mohrecaps 2 месяца назад
Samahan dada shena nilitaka kujua kwa hiyo alivyoingia marekani alibadilisha visa au aliendelea nayo hiyohiyo
@Siasia209
@Siasia209 Месяц назад
Ukiingia unatakiwa uanze na kutafutanjia njia za kukaa moja kwa moja ukichelewa mpk ile viza yko kuisha itakula kwako ,kuna watu uko special wakufnya hizo kazi kwa wageni
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Месяц назад
​@@Siasia209umenipa funzo
@salhakyande3905
@salhakyande3905 2 месяца назад
?
@satruminaAloyce
@satruminaAloyce Месяц назад
Dada mm elimi yangu ni form four na nipo enterested saana nataman nipate fursa ya kuja marekan ila cjui kama itawezekana
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Месяц назад
Neva give up ..Neva say no Kaza kikubwa Nia na uthubutu
@user-iy1np9et3q
@user-iy1np9et3q 2 месяца назад
Uyo ni mutanachati
@sekelajacob1628
@sekelajacob1628 2 месяца назад
Naomba spelling za hiyo kampuni ya Cipe
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
SUGECO
@user-fh7wu8vx1y
@user-fh7wu8vx1y 2 месяца назад
Swasakta Saba Saba Napafaham fika
@khadijaabdulaziz8297
@khadijaabdulaziz8297 2 месяца назад
Dada shena vaa mtandio
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Месяц назад
ili iweje
@Siasia209
@Siasia209 Месяц назад
​@@masalakulwa7601 mola wake ameamrisha tujihifadhi vichwa vyetu
@successmbio878
@successmbio878 2 месяца назад
Hongera lastborn kweli mmepambanaMungu aendelee uwabariki wewe na mumewe
Далее
MANYANYASO YA WANAUME  NA UGUMU WA MAISHA YA ULAYA
29:56
▼КОРОЛЬ СОЖРАЛ ВСЕХ 👑🍗
29:48
Просмотров 412 тыс.