Тёмный
No video :(

TULIKUTANA ONLINE | DEPRESSION BAADA YA UZAZI NILIKAA HOSPITALINI MIEZI 3 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Winifrida ameeleza Safari ya maisha yake kutokea Tanzania mpaka Canada
Namna alivyokutana na mume wake kupitia Online
Maisha ya Canada na changamoto zake, Ndoa haikua nyepesi kabisa lakini waliweza kuvuka.
Ametoa darasa kwa vijana la kujichunga na sio kulala na mtu haraka haraka
Thank you Winifrida for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

14 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 133   
@annamariajackson4842
@annamariajackson4842 3 месяца назад
Ubarikiwe sana ndugu yangu. Uko m wazi na mkweli. Shena barikiwa sana kwa kazi yako nzuri
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 месяца назад
Nimependa mahojiano yenu kazi yako ni nzuri Shena Mungu akuzidishie zaidi.
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Hadi raha mwenyezi mungu awatangulie katika ndoa yenu
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 3 месяца назад
Beautiful story, beautiful lady Winnie. Mvumilivu sana, pole kwa postpartum depression na kupambana na marafiki wa kuvunja moyo. Mwenyezi mungu awasimamie ktk ndoa yenu.
@regulashine8854
@regulashine8854 3 месяца назад
Hongera sana dada kwa nimekupenda hasa kumkatalia Mara ya kwanza kumkatalia mzigo👏🏻hukujirahisisha
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 месяца назад
Winfrida Hongera wewe ni mrembo na una sauti nzuri sana.
@estermgata9617
@estermgata9617 3 месяца назад
Winifred I AM so proud of you! Nimependa sana misimamo yako. Maana hawa wanaogawaga vitu ovyo ovyo huwa sipendi
@user-hr8rn1om8e
@user-hr8rn1om8e 3 месяца назад
Hongera sana dada. Nmekupenda sana sana wewe ni muwazi na si mchoyo wa ushauri. Ubarikiwe sana.❤
@user-cg1qf8xi7v
@user-cg1qf8xi7v 3 месяца назад
Hongera sana kwa kipindi kizuri
@BurtonSon
@BurtonSon 3 месяца назад
Dada mkweli kabisa ni wachache can say such a wonderful story like her,nimefuarhi sana kusikia story yake.
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Canada is my favorite country ❤❤❤❤❤
@RuthAllan-sd5dy
@RuthAllan-sd5dy 3 месяца назад
Me too
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Karibu
@devothashilima9359
@devothashilima9359 3 месяца назад
Napend sana canada jaman ​@@tanzcanmediatv4473
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 3 месяца назад
Usikate tamaa ipo siku utafika karibu sana 😊
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Canada, Sweden, Norway I love them
@hermanhhaaly9685
@hermanhhaaly9685 Месяц назад
Ahsante sana,nimejifunza habari ya kunyoa O
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 месяца назад
Hongera dada Winnie na nimempenda sana ana msimamo hasa na pole kwa depression Mungu akufanyie wepesi na akusimamie kwenye maisha…dada Wa kizanzibari nipo na urojo na mishakaki pia😂
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Amina mungu yu mwema barikiwa sana
@sekelajacob1628
@sekelajacob1628 2 месяца назад
Good story Mungu awatunze na familia yako
@user-tl9mx6sw4o
@user-tl9mx6sw4o 3 месяца назад
Nikweli nivizuri kujawana. Ulipata mwanaume mzuri... Nikweli watu wengi wanasema Canada ni watu wanzuri sana. Wanaupendo sana.
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 3 месяца назад
Tuna like kipenzi
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 3 месяца назад
Nice interview da shena na da winifrida🥰🌹💐❤️
@user-cg1qf8xi7v
@user-cg1qf8xi7v 3 месяца назад
Sitori nzuri sana dada yangu
@cleopatrahenry7541
@cleopatrahenry7541 3 месяца назад
Winne uko vizuri sana na hongera
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 месяца назад
Asanteni sana kwa story tamu.
@user-tr9jj3rd9g
@user-tr9jj3rd9g 3 месяца назад
Uyo dada mzuri sana kweli
@user-ef2gv8ny7l
@user-ef2gv8ny7l 3 месяца назад
Mungu akubariki sana Shena, pia asante kwa interview nzuri
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 Месяц назад
Tena kaza buti, atabadilika, na umuombe Mungu akubariki
@evakabete2944
@evakabete2944 3 месяца назад
Ongela sana dada shena kwa kuleta watu wenye story zenye mafundisho mazuri sana
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 3 месяца назад
Nashukuru sana Kuna kitu nimejifunza na nilipolisikia neno nimebarikiwa
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Msukuma mwenzangu ❤
@user-uy3jx2fe6u
@user-uy3jx2fe6u 3 месяца назад
Hongera sana Winnie na pole kwa matatizo
@user-cq3pj6yr3k
@user-cq3pj6yr3k 3 месяца назад
Hongera sana
@joymusalia9083
@joymusalia9083 3 месяца назад
Thanks for being open
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 3 месяца назад
Nzuri sanaaaa
@liljammacha7806
@liljammacha7806 3 месяца назад
Hongera sana sana ❤
@FaithJones-nq9tz
@FaithJones-nq9tz 3 месяца назад
Ooh jamani!!! Hongera sana,ila minimependa hukuurahisisha mwili wako kwaharaka,ndomaana naye alikuamini,aliona hili sio danga
@mariambakari8065
@mariambakari8065 3 месяца назад
Nimepanda dada anavoongea taratibu nakuelezea vzr hakika tunajifunza zaidi
@user-mr8vl9cy8i
@user-mr8vl9cy8i 3 месяца назад
Dada winnie ni wise sana. Asante kwa opnness yako
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
She is amazing 😍
@dayana5513story
@dayana5513story 3 месяца назад
Interview was 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Byme6434
@Byme6434 3 месяца назад
Nimempenda sana Winny ❤
@restitutakisamo7607
@restitutakisamo7607 2 месяца назад
Mambo mazuri hayo
@fatmaalbeity9097
@fatmaalbeity9097 3 месяца назад
Unajua mambo ya ku date niya kudanganyana tu mtu anakua haoneshi his/her true colours ukisha owana ndio ukweli wa mambo huanza kuonekana coz tayari uko kwenye ndoa uta act mpakalini haiwezi lazima uwishi vile ulivyo kwa hivyo huyu dada kapata mtu mzuri sana mungu awadumishe nimkarimu na hana ubinafsi kushare kila kitu na mwenzako ni kitu kikubwa sana kwa hivyo kimaoni yangu mambo ya kudate kwa muda mrefu sipendelei ukisha juana na mtu bora tu muhalalishe penzi lenu mutasomana tabia ndani ya ndoa inakuwa hakuna cha kudanganyana
@Fetty-i1v
@Fetty-i1v Месяц назад
Yeah, wa Tanzania tunapenda kudamshi, ila kweli wengi wakiwa nje huona kama si muhimu hayo, kuvaa ni kawaida tu, ila pia pengine ni u busy na majukumu. Life iko speedy
@user-bq1qt1bi1d
@user-bq1qt1bi1d 2 месяца назад
Hongera sana vipi unajishughulisha na nini jamani.
@user-tr9jj3rd9g
@user-tr9jj3rd9g 3 месяца назад
❤asante sana
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Nipenda sana
@justinatemba
@justinatemba Месяц назад
Wewe ni mrembo sana
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 2 месяца назад
Umeongea kweli dada watu wana maendeleo sana nyumbani
@upendogreutert199
@upendogreutert199 3 месяца назад
Hatari Winnie 😂😂😂😂 harufu ya Ulaya 😅😅😅 Shena hiyo ni kweliii 🤣🤣🤣🤣
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 месяца назад
Kweli kabisa😂😂
@suzanajonhnyodwa1561
@suzanajonhnyodwa1561 3 месяца назад
Very bombastic
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 3 месяца назад
Nimekupenda dada una hofu ya MUNGU.
@Sisterjemi1
@Sisterjemi1 3 месяца назад
Hahaha ni kweli mtiu anaetoka nje ana harafu tofauti hata rangi pia japo akiwa mweusi unakuwa watofauti
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Me nimempenda wine yuko open ❤
@aishaabdul9287
@aishaabdul9287 3 месяца назад
Story tamu jamani nimeipenda
@user-th8bo9lu8n
@user-th8bo9lu8n 3 месяца назад
We kiboko dada duh unafurahisha et Ana O😂😂nikaongeza chumnvi Anataka kunioa😅😅
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 месяца назад
Congratulations 🎊 👏 💐
@annatemu4488
@annatemu4488 3 месяца назад
Ila Winnie😂😂😂 ,eti nikamnusa,kumbe Ulaya kuna kiharufu chakeee
@sophiarwehumbiza209
@sophiarwehumbiza209 3 месяца назад
Winni anakastory amazing muda wote nilikuwa natabasamu mpaka story imeisha😅😁😂😅❤❤❤❤❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Yani very amazing 😍
@milkaboaz1244
@milkaboaz1244 3 месяца назад
Wao nimependa story yako dada natamani mzungu ila one day yes
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 3 месяца назад
Hongera besti
@yusrasalum
@yusrasalum 2 месяца назад
@AmnaAmna1-xs3rx
@AmnaAmna1-xs3rx 3 месяца назад
Mashaar Dada Uko poa Sana ❤❤❤❤
@dn.n4983
@dn.n4983 3 месяца назад
Nicheck ni kweli hii movie
@blessedaggie9159
@blessedaggie9159 3 месяца назад
Ooh, home girl...
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Ni kweli mi ni Bemba , origin from Zambia Kiukweli tunajipenda umeongea ukweli 😂
@joycelaizer4600
@joycelaizer4600 3 месяца назад
Wow
@dianahussein8934
@dianahussein8934 3 месяца назад
Tuna like mpenzi
@mwaigombeinvestmentcoltd3748
@mwaigombeinvestmentcoltd3748 3 месяца назад
😂😂kwahiyo ulikuwa unakula chakula chote peke akoo we noma
@estermgata9617
@estermgata9617 3 месяца назад
Hello Wilfred tutafutane basi. Mimic ni jirani yako. Ila tu kama hutajali.
@user-tr9jj3rd9g
@user-tr9jj3rd9g 3 месяца назад
Nampenda uyu anajiamini kweli
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 Месяц назад
Hacha urafi
@annamallya8756
@annamallya8756 2 месяца назад
❤❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Umeisha jifunza mengi
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w Месяц назад
Da Shena kuna Mtanzania alievuka boda la Mexico yupo Marekani mtafute Ana story ya kusisimua sana please mtafute
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Waafroka tuache hisi akili za amechelewa 43 mbona ndo safi kabisa😂
@miriamraphael3756
@miriamraphael3756 3 месяца назад
Msukuma mwenzagu wabeja sana
@BurtonSon
@BurtonSon 3 месяца назад
tujifunze kuwa wakweli kupitia dada winnie na kuwa wavumilivu siku zote maana kuna njia sahihi ipo mbele
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Well said
@user-to4ye7pp4j
@user-to4ye7pp4j 3 месяца назад
😅😊​@@OfficialDatingAssistance
@MaimonaRajebo
@MaimonaRajebo 3 месяца назад
Nimependa sana ukweli nimejifunza mengi ombi km unaweza kunipa fursa nimependa kufika Canada kutafuta maisha
@user-bx3fh1ze6i
@user-bx3fh1ze6i 3 месяца назад
harufu ya ulaya😂😂
@Oliva_Meela
@Oliva_Meela 3 месяца назад
Omba interview na Mariam trela wa Poland
@bettystanslaus356
@bettystanslaus356 3 месяца назад
One day nije hata canada kutembea tuu
@CiscaRecaps2015
@CiscaRecaps2015 3 месяца назад
muda wa kukutana na watu mtaani haupo,yan kama ulikosa mpenzi kutokea chuo,saiv ni bora dating app tu.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Well said 📌📌📌
@LinahRwambali
@LinahRwambali 2 месяца назад
Bahati ya mwenzio usiilalie mpango wazi" kuna waliopigwa matukio ya ajab wengine hadi kuuwawa..Bora kama unaenda uende ukijua utajilindaje na vitu kama hivyo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Uko sahihi kabisa
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
🎉🎉🎉
@HabibuKitau
@HabibuKitau 3 месяца назад
41:55 Story nzuri !!
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 месяца назад
Winnie is pretty
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Nimegundua wengi tulioamua kugeukia upande mwingine tumepigwa sn matukio😂 Inawezekana mpango wa Mungu ulikuwa mtu uoleww nje ya nchi yako ila unakuwa unang'sng'ania tu ,inabidi tupigwe matukio kwanza akili Ikae sawa😂
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Месяц назад
🤣🤣 inawezekana eti
@flaziaisack4038
@flaziaisack4038 3 месяца назад
O ya kisharobaro😅
@ibraoman2745
@ibraoman2745 3 месяца назад
Mimi nitafikaje huko jamn yaan natamn san san kufika Canada
@Justine_Tz1
@Justine_Tz1 3 месяца назад
Kaka ndoto moja mimi pia nataman san siku moj na mimi nifike huk
@jescanicodemus
@jescanicodemus 3 месяца назад
@@Justine_Tz1hata mm jmn napapenda sana
@Justine_Tz1
@Justine_Tz1 3 месяца назад
@@jescanicodemus nikupambania ndoto tu itimie
@user-th8bo9lu8n
@user-th8bo9lu8n 3 месяца назад
😂😂😂Yaan Nmefurahi mnavyo hamasishan
@Justine_Tz1
@Justine_Tz1 3 месяца назад
@@user-th8bo9lu8n 😂😂🙌🙌
@Fetty-i1v
@Fetty-i1v Месяц назад
Kusubiri visa ya sponsorship ya Canada kwa miezi 7 mbona sio muda mrefu, watu wengine hungoja kwa miaka
@JosephineNdanu-xs9ii
@JosephineNdanu-xs9ii 2 месяца назад
Iki kipindi kimejua kunipa furahaa
@justinatemba
@justinatemba Месяц назад
Natamani kumuona shemeji naye kama ni mzuri kama wewe
@miriamraphael3756
@miriamraphael3756 3 месяца назад
Hi shena nakungoja kwa hamu tupate elimu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Thanks dear
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 3 месяца назад
Lakini huyu dada ameongea ukweli ukitoka ulaya unakiharufu flani ivi
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Kumbe 😁
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 3 месяца назад
Washamba nyie hakuna chochote , wananuka deodorant tu kuzuia kikwapa Cha kutooga Kwa sababu ya baridi . I'm 25 years in Europe.
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x 3 месяца назад
Kiharufu gn jmn mbona wananukia vizuri tu
@mwanonomohamed4688
@mwanonomohamed4688 3 месяца назад
😅😅😅acha makasiriko ​@@marykennedymarwa1641
@esterkivaria8986
@esterkivaria8986 3 месяца назад
Hata nakumbuka mama angu mdogo alikuwa akitoka Nairobi alikuwa ananukia vizuri😂 Hata ukienda kijijini Kuna harufu ya kijijini
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 3 месяца назад
Waafrika mkitoka afrika , mko na tabia tofauti , sisi wa ulaya tuna share kila kitu na hatuli sana kama nyie .😅😅😅😅
@Fetty-i1v
@Fetty-i1v Месяц назад
Vizuri umepata wapokezi wazuri kama hivyo wa Zanzibar wa Canada, wengi tuko hivyo hata wa Tanzania kwa jumla, au mataifa mengine nje. Wanaokimbia watu sio wote. Yeah, Canada amani na ukarimu, na urojo upo 😂😂
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 3 месяца назад
Me mwanaume nimkute tuu amenyoa O Au vile wanavochongaga nywele za uso me NDUKI NENE... 🤦‍♀️🤦‍♀️
@neemanyove9130
@neemanyove9130 3 месяца назад
😂😂😂😂
@masekebabere3282
@masekebabere3282 3 месяца назад
TUPO PAMOJA SHENA
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
🙏
@ibraoman2745
@ibraoman2745 3 месяца назад
Nini Maan ya kazin
@jeniferhussein4424
@jeniferhussein4424 3 месяца назад
Binamu(motto wa shangazau uncle)
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 3 месяца назад
Cousin
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 месяца назад
Mi kabla sijaangalia na LIKE
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 3 месяца назад
Tuna like kipenzi
@user-go8nq7gi5k
@user-go8nq7gi5k 3 месяца назад
Msukuma mwenzangu ❤
@flaziaisack4038
@flaziaisack4038 3 месяца назад
Hee jamani kuna wa ulaya wana harufu zao na hamsemi😂😂
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
🤣🤣hatari
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Mahi unaijuwa vzr shower gel wewe ni fire 🔥
Далее
Muses - La femme africaine
34:34
Просмотров 115
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19