Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.
27 авг 2024