Тёмный
No video :(

''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 270 тыс.
50% 1

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 175   
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 года назад
Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi
@zainaramadhan7769
@zainaramadhan7769 4 года назад
kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2
@steralyoto4236
@steralyoto4236 3 года назад
@@zainaramadhan7769 "gyy
@rehemamalley9557
@rehemamalley9557 2 года назад
Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz
@Chazyassenga
@Chazyassenga Месяц назад
Jaman watu wa iringa nkurunzinza manake ni nin?
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 года назад
Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 года назад
Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.
@bonifacepatrick6679
@bonifacepatrick6679 2 года назад
Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 года назад
Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika
@edwindaniel7306
@edwindaniel7306 2 года назад
Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯
@mujahidinaathumani9751
@mujahidinaathumani9751 3 года назад
Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri
@mujahidinaathumani9751
@mujahidinaathumani9751 3 года назад
Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli
@datiabdallah6012
@datiabdallah6012 4 года назад
Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 4 года назад
Kama mm hahaaa
@denismabubu291
@denismabubu291 4 года назад
Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana
@mohamedschaeublin7374
@mohamedschaeublin7374 2 года назад
Ndugu Muheshimiwa Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 года назад
Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa
@neemampiluka9267
@neemampiluka9267 3 года назад
Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana
@nurunzisabila9
@nurunzisabila9 3 месяца назад
Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 4 года назад
Mkuu wa mkoa uko vizur Sana
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 3 месяца назад
Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 года назад
Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 года назад
Atapatataaabu
@justinemahondo9396
@justinemahondo9396 4 года назад
Asante. Mkuu
@reginaosward6170
@reginaosward6170 3 года назад
Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 6 месяцев назад
magu hakupita tuu kaacha alama zake na nnchi hii inao vijana makini watenda haki nà wapiga kazi makini,mungu hawezi kumuacha magu aende tuu
@user-xq7bk5fq6t
@user-xq7bk5fq6t 6 месяцев назад
Hapo angepatkana na Ally hapi hapo pangenoga maana wanamuoneya raisi wetu makonda na Hali hapi nawapa big up
@user-xq7bk5fq6t
@user-xq7bk5fq6t 6 месяцев назад
Mama ssh ikikupendeza umludishe Ally kwenye Baraza la mawaziri Tena kitengo Cha aridhi
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 4 года назад
Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama
@ezekielevarest9215
@ezekielevarest9215 4 года назад
😂😂😂😂
@safari5774
@safari5774 Год назад
Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri
@zephaniajosia1077
@zephaniajosia1077 4 года назад
mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
😂😂😂 nkurunzinza
@pendobaharia6922
@pendobaharia6922 4 года назад
🤣🤣🤣🤣hatujinyongi now day's
@zephaniajosia1077
@zephaniajosia1077 4 года назад
😂😂😂😂
@georgiaruhinda1704
@georgiaruhinda1704 2 года назад
Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 4 года назад
Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 4 года назад
Mwizi huyo shenzi taipu likatwe
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 4 года назад
@@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 года назад
Gud saana
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 года назад
Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 года назад
Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake
@Boaz22
@Boaz22 4 года назад
Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂
@errydeo8865
@errydeo8865 4 года назад
kabinywa pumbu mpaka kawalipa
@esterelias8189
@esterelias8189 4 года назад
Haha haha haha haha
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂
@hamzabagilente2118
@hamzabagilente2118 2 года назад
Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 года назад
Mkuu Mungu akupe afya njema na maisha marefu
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 4 месяца назад
kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa
@rajabmshengeli1624
@rajabmshengeli1624 4 года назад
Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
Haswaa
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 года назад
Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.
@ntegrity277
@ntegrity277 2 года назад
Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali
@kevinkimaninaphtal1498
@kevinkimaninaphtal1498 2 года назад
Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi
@shukrimohamed2324
@shukrimohamed2324 4 года назад
Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...
@ndinagweandendekisye3722
@ndinagweandendekisye3722 4 года назад
Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 года назад
Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 4 года назад
Tunataka viongozi Kama hawa
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 года назад
Jamani
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM
@microssadamu7556
@microssadamu7556 4 года назад
Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??
@andrewlugome6514
@andrewlugome6514 4 года назад
Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 года назад
Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki
@user-pe8hj3ze4y
@user-pe8hj3ze4y 6 месяцев назад
Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee
@ConfusedBirdNest-np2vn
@ConfusedBirdNest-np2vn 6 месяцев назад
ALLY HP CHAPAKAZI BABA
@sharoombay8997
@sharoombay8997 4 года назад
Anyanganywe kwanza bunduki.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa
@gracemima5234
@gracemima5234 4 года назад
Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.
@francismakuno8643
@francismakuno8643 4 месяца назад
Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂
@sasatv1484
@sasatv1484 4 года назад
Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 4 года назад
Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 года назад
Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?
@paulomartini6005
@paulomartini6005 4 года назад
Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo
@dianakakala3779
@dianakakala3779 2 года назад
Barikiwa baba
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 4 месяца назад
MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 4 года назад
Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo
@issabakari1916
@issabakari1916 4 года назад
Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah
@paulondiek1345
@paulondiek1345 4 года назад
This is really atrue leader.
@errydeo8865
@errydeo8865 4 года назад
Anayesema Magufuli ni mkandamizaji,sijui ana akili gani!!!hii ni kama ndoto TZ,zamani hakuna hii....migogoro ya miaka 10 zinatatuliwa kwa masaa!! JPM you are a redeemer..tukumbuke ni miaka 5 tu madarakani...give credit where due..wachache wanamuangusha rais ila wengi wanafanya kazi..tuache ushabiki wa kijinga tumshukuru na kumuombea JPM,hii kazi yake si mchezo,kila nikija nyumbani,nashangaa TZ inavyobadilika..naishi Uingereza..naelewa nisemacho...namshukuru pia rais kwa kuwaamini vijana ka wakina Hapi na wengine,Tanzania ijayo itashangaza dunia..kiongozi mzuri ni yule aachaye viongozi wazuri ...Mw.JK Nyerere...
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
Mungu pia akubariki na ambaye umeweza kuyaona haya,,,,ni kama Watanzania wamefumbwa macho but tatizo kubwa ni ushabiki
@andrewlugome6514
@andrewlugome6514 4 года назад
Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako
@malayikanepo788
@malayikanepo788 3 года назад
Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk
@domimasawe8674
@domimasawe8674 2 года назад
Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja
@domimasawe8674
@domimasawe8674 2 года назад
💯
@leahavyarimana3731
@leahavyarimana3731 4 года назад
Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze
@frankdeogratius881
@frankdeogratius881 4 года назад
Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌
@tindokamuti8142
@tindokamuti8142 4 года назад
koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga Месяц назад
Haya sasa munajiita haki za binadam. Hapo mko wapi? Unajua ninyi haki za binadam.mimi siwaelewi.wananchi wanaonewa wananyang'anywa mali zao mko kimya. Halafu anatokea kiongozi mtenda haki. Mnajitokeza na pale anapo tumbuliwa kiongozi mwunezi kwa wananchi. Mnajitokeza na kusema tunalaani kitendo hiki. Aise mimi mlaaniwe wenyewe. Haki za binadam gani watu wanstekwa. Wanapotea. Hatusikii tamko lolote mkitoa. Kama mnalipwa mishahara kiukweli mnakula pesa zawananchi bule. Ningemuomba raisi afute tu kitengo hiki
@mussaboazi7782
@mussaboazi7782 Год назад
mird nakubar sana bg
@rajabumgogwe5312
@rajabumgogwe5312 3 года назад
Umesha pewa chako
@eliaskahory7116
@eliaskahory7116 6 месяцев назад
Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 года назад
Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki
@gracemima5234
@gracemima5234 4 года назад
Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 года назад
camera iko vzr sana milardayo.salout.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
I Know right 👌👍👍
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 года назад
Hapi naomba ukagombee ubunge Jimbo la Kondoa Mjini
@aishaawadhimalokimaloki9953
@aishaawadhimalokimaloki9953 4 года назад
Ulijuaje
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 года назад
Jamaa yupo vizuri, Kondoa mji itapanda kwa kasi
@esterelias8189
@esterelias8189 4 года назад
Mapengo...
@jeofreyshega7139
@jeofreyshega7139 2 года назад
Mgu akujarie mheshimiwa
@davidwambura5915
@davidwambura5915 4 года назад
Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.
@cristerfelly933
@cristerfelly933 4 года назад
Hahahaaaa pole akina David otee
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 года назад
Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu
@hamadiathumani5018
@hamadiathumani5018 4 года назад
Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????
@woteonlinetv644
@woteonlinetv644 4 года назад
njaa tup yani
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 года назад
piga uyoooo
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 года назад
Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie
@lukaseliasobwolo7498
@lukaseliasobwolo7498 3 года назад
Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge
@deshuaniton698
@deshuaniton698 4 года назад
Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu
@azizaz1628
@azizaz1628 4 года назад
We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔
@reemangoko2550
@reemangoko2550 4 года назад
Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo
@hamisimkumba10
@hamisimkumba10 4 года назад
Pwani akuna kitu
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 4 месяца назад
😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 года назад
Watu hawaogopi dhambi ya dhulma
@winfridmsindo984
@winfridmsindo984 4 года назад
Huyo devi ni tatizo kubwa sn
@happyalex2904
@happyalex2904 4 года назад
Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais
@hamismponzi5320
@hamismponzi5320 2 года назад
Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi
@gedionmwenga6180
@gedionmwenga6180 2 года назад
Huyu mkuu wa mkoa anafaa kuwa Rais wa Tanzania kabisa
@erickmatius6703
@erickmatius6703 4 года назад
David Mwisa
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Huyo devi jamani
@user-vh3yh2ec8r
@user-vh3yh2ec8r 10 месяцев назад
Kwasababu anatembea na silaa
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Jamani huyu mkuu wamkoa tumtoe copy asambazwe mikoa yote.
@mandaruukali2374
@mandaruukali2374 2 года назад
Huyo hatali akamatwe
Далее
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 4,3 млн
Can You Bend This Bar?
01:00
Просмотров 4 млн
Kasheshe Mkoani Iringa, Mama anadai Jeshi la Polisi
10:39
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 4,3 млн