#TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa awaliza wazee akitoa hotuba yake katika Kata ya Mitundu mkoani Singida, adai wazee wanafanyishwa kazi ili wapate pesa za TASAF, aelezea mengi mazito, auliza mpaka lini wataendelea kuteswa na CCM?, awataka waachane na CCM.
Zaidi: • PAMBALU AWALIZA WAZEE ...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
15 окт 2024