Тёмный

PART ONE ; UKWELI WANIKWA KAHAMA NGOME KUU YA USHOGA KAMATI YA PROF MWAKYEMBE NA KAHABI HII NI AIBU 

KUSAGA TV
Подписаться 180 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 183   
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 месяца назад
Bunge Lipo wapi ? Serikali inaogopa nchi za magharibi na marekani..Bunge la tz kazi unafiki ..Hongerani sana Mungu awalinde
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
misaada
@RichardMwakisale-ks3mr
@RichardMwakisale-ks3mr 3 месяца назад
Amina Amina Mungu hana ukomo wa uwezo; ulinzi wake na ngome yake ni imara.Tutubu tumwelekee na tufunge na kuomba hakika atatushindia na kulilinda Taifa letu.Thank you Catherine for alerting the church and Nation about this nation killing disease
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 месяца назад
Naungana nanyi kwa kazi nzuri na nzito bila ya uwoga, Mungu awatangulie ktk hili, 🙌🙌🙌
@MiriamMlele
@MiriamMlele 3 месяца назад
Viòngozi simameni mpambane juu ya vizazi vyetu mungu asaidie
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 3 месяца назад
Naipenda sana kazi yenu, Mungu awape nguvu kupambana na janga hili, lakini kutaja chazo Cha taarifa zilizowasaidia kuzipata habari hizo, kunanichanganya !
@WardaShayo
@WardaShayo 3 месяца назад
Asante dada kwa kukemea maovu hayo😊
@MwajumaFundi-ex5tj
@MwajumaFundi-ex5tj 3 месяца назад
Mm muislam nawakubali Sana ktk kupinga ushoga 💪💪 mungu wajaalie🙏🙏
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Kwani kuwa Muislamu inakuzuia nini kupiga vita ushoga. Wakati Vatican kunaongoza mashoga Duniani.
@starlily07
@starlily07 3 месяца назад
We nae, sasa sasa huyo dada anaeongea ni mwislam???? We sikiliza tu na uchukue hatua, ushoga hauna dini woiii
@Sheba4651
@Sheba4651 3 месяца назад
​@@starlily07Unao dini bana wewe Ah! Ayubu 3:3 Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi, Na ule usiku uliosema, MTOTO MUME AMETUNGISHWA MIMBA.
@starlily07
@starlily07 3 месяца назад
@@Sheba4651 we nae unaongea utopolo gani, kajifunze kwanza kiswahili ndo uje uandike hapa
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 3 месяца назад
​@@starlily07heh kujieleza yy nani pia imekuuma?haya basi pope anawabariki kwa.mambo hayo..
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 3 месяца назад
Wazazi Na sisi sote Tulisimamie hili Na MUNGU MWENYEZI ALIYEHAI atasimama na sisi Amen 🙏 🙏
@shakaurembo477
@shakaurembo477 3 месяца назад
Nakuerewa dada 🎉🎉
@LightnessMushi-if1lq
@LightnessMushi-if1lq 3 месяца назад
God bless you
@meshackntoga1566
@meshackntoga1566 3 месяца назад
Serikali LegeLege Huzaa ,Raia wenye Tabia za Hovyoooo, BUNGE naSERIKALI IPOWapiii???? MunguTusaidiee Saana.
@GadiusNdiwago
@GadiusNdiwago 3 месяца назад
Asante sana dada yetu na timu nzima.Hakika ninyi ni zaidi ya bunge la ndiyooooo.Mungu awalinde sana katika mapambano hayo.
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 4 месяца назад
Hongera sana kwakazi nzuri mnayofanya ila nasikitika sana sana kuona serikali haichukui hatua zozote
@ezekielslyver-sk4yx
@ezekielslyver-sk4yx 3 месяца назад
Hata ungepewa hii nchi ukawa Wazuri mkuu na Makonda akawa Raisi jumlisha Bishop Gwajima akawa Makamo wa Raisi tutakuwa kama tuko Paradiso,ninakukubari saana dada Mungu akupe nafasi ya juu zaidi ktk kuliokowa Taifa letu.
@Muneeb-x3f
@Muneeb-x3f 3 месяца назад
Mm. Ni. Muisilamu. Uvunje. Usoga 😊
@NEMAMnyahati
@NEMAMnyahati 3 месяца назад
Mungu wambinguni awalinde Kila wakati watumishi Kwa kazi nzuri ambayo hata mungu mwenyewe anafurahia uko mbinguni Kwa kazi nzuri ❤
@OlivreKimario
@OlivreKimario 4 месяца назад
BWANA AKULINDE DADA
@issafarajingetwa7588
@issafarajingetwa7588 3 месяца назад
Mungu Akupe nguvu Dada yetu tunashanga Viongozi wako kmya.
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh 3 месяца назад
Mungu akubariki sana tena sana
@philimonmtweve4522
@philimonmtweve4522 3 месяца назад
Mungu awalinde kwa kazi ngumu mnayofanya
@radhminakitery6129
@radhminakitery6129 3 месяца назад
Mungu ni mwaminifu. Hakika kazi yenu siyo bure. Anawaona na atakuwa nanyi milele yote. Amen
@GlorydavidJeremiah
@GlorydavidJeremiah 3 месяца назад
Nimekosa cha kuongea Mungu aturehemu hatukukaa katika ka nafasi zetu
@dianamutachuba1369
@dianamutachuba1369 3 месяца назад
Nakupenda sana Catherine,Unasema kweli ,MUNGU akutunze.
@YudaElisha-ju9zr
@YudaElisha-ju9zr 3 месяца назад
Hongera kwa kazi ya uponyaji
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 2 месяца назад
Mungu anatuangalia tu,
@Fesary
@Fesary 3 месяца назад
Uko sawa, maswari yangu, 1- vyazo vya habari izo mnatoa wap? 2- pesa za kufadhili iyo mikutano mbapata wap, sababu mnatakiwa muongeze nguvu.
@RayaRashid-qc8cn
@RayaRashid-qc8cn 3 месяца назад
Keep it up dear sister
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 3 месяца назад
Mwenyezi mungu awasimamie make mahadui ni wengi
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 3 месяца назад
Amen Catherine. Mwanaume ni mwanaume. Natamani watu waelewe
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 3 месяца назад
Nchi hii inaangamia ili hali serikali haitoi tamko lolote. Hongera rais wa Uganda kwa maamuzi sahihi.
@YassinRajabu
@YassinRajabu 4 месяца назад
kazi ya selekali kukamata madada poa lakini mashoga awana shidanao 😂😂😂😂
@LaurentMatigili
@LaurentMatigili 3 месяца назад
Kwakweli nastaajabu sana,mashoga wanatembea free hata hawachukuliw hatua n serikal inajua
@ommylax7231
@ommylax7231 3 месяца назад
Ushoga umeruhusiwa kwa kwa kutumia akili kubwa sana ndiomana kuupinga kwa watu wa ngazi za juu inakuwa vigumu
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 3 месяца назад
Hao mashoga wanaliwa na wenyewe viongozi na ndio Maana wanazibiazibia
@lawimanumbu5103
@lawimanumbu5103 3 месяца назад
Kaka mumeshasaini kukubari haki za mashoga na sasa haki ya mashoga inafanya kazi. Kwa sasa lawitianeni mkoboane mko huru Uganda walikataa ushoga.
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 месяца назад
Mimi ni wakwanza dada kukupa ongera sana tena sana ukweli umeongea na Mungu kisha kupa sawabu kwa matamko hayo Mungu awe nawe
@PcgtMsalato
@PcgtMsalato 3 месяца назад
Ni vita kubwa sana watu hawajui tu. Mtz kabisa ananunuliwa ili amuharibu Mtz mwenzake. Ifike mahali watafutwe hao Wafilaji.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 2 месяца назад
Wenyewe wanafirwa sasa watasisimaje kupinga. Watumishi wa Mungu wanafirana.
@selinalawala2270
@selinalawala2270 3 месяца назад
Mungu atusaidie kwa kweli, hii vita inayoharibu watoto wetu. Mungu utete
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 3 месяца назад
Big up sana Kwa TIMU nzima
@Jumba_la_habari_tz
@Jumba_la_habari_tz 4 месяца назад
Mungu atusaidie dunia imeisha 😢😢
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 3 месяца назад
kazi nzuri dada cathe,but we are punching below weight,masskofu mashekhe wachungaji mko wapi?mbona hamja anzisha kampeni ya kupinga?
@SubiraNkwavu
@SubiraNkwavu 3 месяца назад
Catherine songa mbele ❤❤❤
@OmanOman-ji1iy
@OmanOman-ji1iy 3 месяца назад
Dada mungu akusimamie nakupenda kwakazi nzuli
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
Catherine ipo nguvu ya misaada katika sakata hili, Biden alisema namnukuu nchi ambayo haitaridhia haki za mashoga hatazipa misaada, so Marekani anafanya mambo mawili 1) vikwazo kwa nchi zitazopinga 2) kufadhili kwa pesa hizi taasisi ulizozitaja. Nini kifanyike? Kama taifa tukatae misaada kama Bukina Faso, tutafunga mikanda kwa muda ila tuta adopt. Point of correction: kila mwamini ana uwezo wa kutoa pepo (marko 16:17). Otherwise hongera kwa kazi ya utumishi
@rd-worldtv1500
@rd-worldtv1500 3 месяца назад
Misaada inatuangamiza
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
@@rd-worldtv1500 kabisa
@AlickSiwakwi-i1t
@AlickSiwakwi-i1t 3 месяца назад
Hongereni kwa kufichua maovu, lakini pamoja na kufanya hivyo mbona hatuoni hatua zikichukuliwa dhidi ya hao mashoga na wasagaji?
@nzeyimanaadidja7684
@nzeyimanaadidja7684 3 месяца назад
Allah alinde vizazi vyetu
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 3 месяца назад
Serikali ya kishetani hii..mbona haitoi tamko na sheria kali kuhusu ushoga na msimamo wa serikali
@LaurentMatigili
@LaurentMatigili 3 месяца назад
Yan Mimi mwenyewe nastaajabu n hii serikal yetu, tunaomba tanko litoke kama Uganda full stop
@elvisbaraka1444
@elvisbaraka1444 3 месяца назад
Wamesaini mikataba ya wazungu
@Eliza-gl6ri
@Eliza-gl6ri 3 месяца назад
Mungu nusuru watoto wetu,na Taifa letu
@twahirshali8014
@twahirshali8014 3 месяца назад
Kweli kabisa
@JescaKahangwa
@JescaKahangwa 3 месяца назад
Mungu awatunze
@FredMasimba-jj8yz
@FredMasimba-jj8yz 3 месяца назад
Mmmm mungu tunusuru na kizazi chetu
@ClintonMalewa
@ClintonMalewa 3 месяца назад
Mungu tusaidie
@hamadimadisa9346
@hamadimadisa9346 3 месяца назад
Dada sema ukweli maana yake sisi huku tuna shida
@MapenziMalanda
@MapenziMalanda 4 месяца назад
Kwajina la Yesu Kristo wameshindwa, dada Kristo Yesu azidi kukulinda milele yote
@HasanSadala-rh5re
@HasanSadala-rh5re 3 месяца назад
Hatari jamani,mi naona sodoma na gomora,mwenyezi mungu tuepushe na janga hili,viongozi na jamii tukemee ,inauma sana
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 месяца назад
Hiyo inawezekana kwa sababu ya madini, maana sehemu zenye wazungu ndiyo hayo
@Rennyanselim
@Rennyanselim Месяц назад
Amennn
@AnatoriaRwabatwa
@AnatoriaRwabatwa 3 месяца назад
Iko Tanzania yetu?
@JaniffarKavutu
@JaniffarKavutu 3 месяца назад
Nadhani huu mkoa uko Kenya,,maana wengi wenu wanaamini ayo mambo yapapatikana tu Kenya
@nurdinmruma9326
@nurdinmruma9326 24 дня назад
Wamelenga kahama sababu kuna dhahabu nyingi na watavuna wafuasi wengi ambao watakuwa mawakala wao huko badae ili kupata dhahabu ,
@nzeyimanaadidja7684
@nzeyimanaadidja7684 3 месяца назад
Africa yangu sijuwi inaelekea wapi jamani
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Dada umeolewa Mimi ni mekupenda kutoka moyoni
@saidissa8273
@saidissa8273 3 месяца назад
Pepo. Ushajua ameolewa
@AnthonyKomba-o5f
@AnthonyKomba-o5f 3 месяца назад
Sijawahi kumuona mwanamke jasiri kama huyu: Bila shaka ni Mungu alimpaka mafuta
@gladysnaul5832
@gladysnaul5832 4 месяца назад
mwendelezo pls (part two yake)
@AlexMlaba
@AlexMlaba Месяц назад
Mmeona vijarida vya ushoga kwanini msiwashitaki
@octiminja5260
@octiminja5260 3 месяца назад
Mungu weta HAJAFA YUKO HAI KIAMA NA KIFO CHAO KIPO KARIBU
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 3 месяца назад
Kazi unayo mama kibaya zaidi ata baadhi ya taasisi za kidini zina kubaliana na hayo unayo ya kemea hususani ndoa za jinsia moja.
@barackbrysonramsey
@barackbrysonramsey 4 месяца назад
Hali tete sana kizazi kimeharibika
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
kumbuka makonda alivyoongea wakati Magu ni Raisi, Marekani ilivyomjia juu, jibu lako ni misaada, nguvu ya kuineza haya ipo katika misaada
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 3 месяца назад
Daaaah wasukuma kweli wanamchezo mchafu?
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 3 месяца назад
Acha tu ninyamaze Mungu atatenda siku moja kulikomboa taifa langu dhidi ya wasaliti
@melkiorykweka438
@melkiorykweka438 3 месяца назад
Jamani hawa watu walindwe sana nakumbuka magu alianzisha vita ya uchumi lakini bahati mbaya hatukumlinda jamani,sasa hawa wanaopambana na ushoga tuwalinde xana.
@adelaidemghase7600
@adelaidemghase7600 3 месяца назад
Sema mama watu wapone jamani . Sijui watoto wataenda wapi?
@CharlesMafwimbo
@CharlesMafwimbo 3 месяца назад
Please niruhusuni niwajoin mimi ni mhamasishaji jamii
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад
Viongozi wengi wanakuwa waoga wakutoamaamuzi hasa Afrika hayamashirika yanajipenyezaji hapa Tanzania nakuanxa kuharibu jamiiyetu pasiposhaka yoyote kanakwamba nchi hazinadheria wala dola ?
@denismahlangu
@denismahlangu 3 месяца назад
Kule mkinga mkoa wa Tanga ipo hotel moja inaitwa sea eagle ni maarufu kwa mashoga na watu wa kuendeleza ushoga
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 3 месяца назад
Mlisha wapokea tumuombe mungu atusaidiie
@SokeSongela
@SokeSongela 3 месяца назад
WACHUNGAJI MPAMVANE BA JABGA LA USHOGA
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 3 месяца назад
Haya tuliyasema hawa wazungu sio watu shida makanisa ni yao kwani mingu ana jinsia 😳😳😳😳😳
@Rennyanselim
@Rennyanselim Месяц назад
Yaani ili bunge amna kitu
@TatuHaji-k8s
@TatuHaji-k8s 3 месяца назад
Mungu atunusur na watot wetu
@athumanikajembe4585
@athumanikajembe4585 3 месяца назад
Mimi nawashauri muishauri serekali ifunge balozi hasa usa ambazo zinatulete misaada hata scholar ships zao za bure zichunguzwe mmarekani na wazungu wengine hawatoi misaada bure ni maradhi ili wauze madawa yao na mashine matibabu.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 3 месяца назад
Dawa ya kuliponya taifa letu,ni kuamua sisi kama taifa,kukataa waziwazi ushoga na kupiga vita ushoga kwa vitendo" kuwaachia hii vita watumishi wa mungu huko ni kuleta utani"ikumbukwe kuwa huu ushoga umeletwa na wazungu kwa mpango maalumu wa kudhoofisha uzazi duniani"hasa afrika,kwahio serikali ni lazima itunge sheria kali dhidi ya uovu wa aina yoyote ile"
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Mashoga wauawe
@lawimanumbu5103
@lawimanumbu5103 3 месяца назад
Mliposaini kutambua haki za mashoga hapo ndo mambo yalipoaribika
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
na tukatae msaada, misaada ndiyo nguvu ya kueneza haya
@athumanikajembe4585
@athumanikajembe4585 3 месяца назад
NINGEPENDEKEZA NCHI ZINAZO TOA MISAADA KAMA USAD FUNGENI BALOZI ZAO SISI TUNAISHI BILA YA MSAADA KUTOKA MAREKANI NA ULAYA VIONGOZI WA NCHI MSIWAOGOPE HAO MUOGOPENI MUNGU.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 месяца назад
Kwani sheria inasemaje?
@manumunemanumune-uj6jq
@manumunemanumune-uj6jq 3 месяца назад
Ushetani unapandikizwa kila kukicha
@seifserenge3340
@seifserenge3340 3 месяца назад
Hao wazungu ndio waliokuleteeni ukristo mkaubeba sasa na hayo wanayoyaleta si myakubali tu. Oneni mambo hayo!!
@Sheba4651
@Sheba4651 3 месяца назад
😂😂😂
@zahorsuleyman7617
@zahorsuleyman7617 3 месяца назад
Dah! Hatar sana ndugu😢😢😢😢
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 3 месяца назад
Huu ni msiba mkubwa sana
@KhalfaniChuma-kv5mk
@KhalfaniChuma-kv5mk 3 месяца назад
Hiyo bendela si yaa kule uyaudini
@MOSESIMCHUNGUZI
@MOSESIMCHUNGUZI 3 месяца назад
Hiyo ndiyo bendera ya Taifa takatifu la Israel
@Sheba4651
@Sheba4651 3 месяца назад
​@@MOSESIMCHUNGUZIUtakatifu upi, msichanganye mambo, watakatifu ni wale waliopewa mafundisho na kuyashika, sas hivi hawapo, Paulo aliwamaliza wote.
@sonilyemily523
@sonilyemily523 3 месяца назад
ukizoea kuomba omba utapewa hata mavi hatuna viongoz kaz nikukaa viti vya mbele tuu na matumbo makubwa
@KulthumRashidmusa
@KulthumRashidmusa 3 месяца назад
Nikweli.wape.chai.yao.makanisa.wanazidikupoteza.watu
@PrettyMsangi
@PrettyMsangi 3 месяца назад
Siwauliwe Sasa MUNGU bariki kizazi changu na vya wote jmn
@Benjaminkakamasha662
@Benjaminkakamasha662 3 месяца назад
Vipi muda wote kuongelea jambo hili hamna linginehamani
@donaldmacheta5678
@donaldmacheta5678 3 месяца назад
Mimi naona ameruhusu hili ili muanze kulikemea kwenye vyombo mbalimbali vya habari ili tuone mnalichukia laki sio kweli,maana inshu ni rais sana ni kuweka sheria mpya na kuikataa kama alivyofanya Museveni ila cha ajabu viongozi walivyo wanafk wakamuacha Museveni peke yake afu leo mnakaa mnapiga kelele kwenye vyombo vya habari, niwaambie tu kwa namna hii mnayofanya ushoga hauwezi kuisha bali ndo mnautangaza ili usambae zaidi. Njia sahihi sana ni kuweka Sheria ipitishwe na bunge mara moja na kukataa misaada yao.
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
yes, tukate misaada, tutakuwa na kipindi kifupi cha kufunga mkanda halafu utacopy(adapt)
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Huyo auawe aliyewafundisha watoto
@LaurentMatigili
@LaurentMatigili 3 месяца назад
Sasa kama mashirika yanayofanya hivi vitendo kwnn serikal isitoe kauli Moja tu kama Uganda?!,Kila siku tunasomewa ripot za mashoga nchini ili iweje sasa
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Ua mtaani kwenu shoga
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Wabunge Wana gongwa kwahiyo na wasukuma wameanza kugongwa nchi imeisha itungwe sela wapigwe mawe
@ellykibale190
@ellykibale190 3 месяца назад
Misaada! Misaada! Misaada! Tanzania kataa misaada kama Bukina Faso wanavyokataa nawe utakuwa salama...it is that simple. Tutapita katika kipindi kigumu cha kufunga mkanda ila hatutaangamia, tuta adopt na hatimaye kutoboa.
@MYME-u5d
@MYME-u5d 3 месяца назад
Kweli kabisa hii misaada ndio chanzo cha haya yote hiyo video ki ukweli mpk nimeogopa vijana wanaharibika
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 месяца назад
Mashoga hamjakamata wanaolawiti watt hajakamatwa mnatesa waschana ubungo walinyimwa dhamana mashoga hamjakamata mafisadi hawajakamtwa,
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 3 месяца назад
sasa serekali siingilie jamani 😭😭😭😭
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Wamejaa mashoga mle hawawezi
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 3 месяца назад
Wanawake ndio matatizo makubwa nnchi hiii akisawa akunaa
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 3 месяца назад
Na mashoga wanaonekana wanajidai.na.wala hawana shida ndan ya.nchi hii lkn.wale.wadada.poa ndo.wanaonekana wabaya
@UmAkram-z1u
@UmAkram-z1u 3 месяца назад
Dada unastahili sifa
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 3 месяца назад
Biblia zao lazima wafanye watakavyo papa kasha waambia waka pate baraka kwao
@lawimanumbu5103
@lawimanumbu5103 3 месяца назад
Mwz wa pili kunakiongozi wa juu Tanzania alienda Vatican kupata upako wa kutambua haki za mashoga, umesaahu?
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 3 месяца назад
Hee jamani Katherine umerizika juzi tu ulikua mwembamba sana leo nilishakusahau
@AinekishaNyakato
@AinekishaNyakato 3 месяца назад
Mjamzito ndio maana kaongezaka mwili
Далее
NANI YUKO NYUMA YA USHOGA NA USAGAJI?
17:30
Просмотров 84 тыс.
VITA VYA KIROHO
33:13
Просмотров 9 тыс.