Amina Amina Mungu hana ukomo wa uwezo; ulinzi wake na ngome yake ni imara.Tutubu tumwelekee na tufunge na kuomba hakika atatushindia na kulilinda Taifa letu.Thank you Catherine for alerting the church and Nation about this nation killing disease
Naipenda sana kazi yenu, Mungu awape nguvu kupambana na janga hili, lakini kutaja chazo Cha taarifa zilizowasaidia kuzipata habari hizo, kunanichanganya !
Hata ungepewa hii nchi ukawa Wazuri mkuu na Makonda akawa Raisi jumlisha Bishop Gwajima akawa Makamo wa Raisi tutakuwa kama tuko Paradiso,ninakukubari saana dada Mungu akupe nafasi ya juu zaidi ktk kuliokowa Taifa letu.
Catherine ipo nguvu ya misaada katika sakata hili, Biden alisema namnukuu nchi ambayo haitaridhia haki za mashoga hatazipa misaada, so Marekani anafanya mambo mawili 1) vikwazo kwa nchi zitazopinga 2) kufadhili kwa pesa hizi taasisi ulizozitaja. Nini kifanyike? Kama taifa tukatae misaada kama Bukina Faso, tutafunga mikanda kwa muda ila tuta adopt. Point of correction: kila mwamini ana uwezo wa kutoa pepo (marko 16:17). Otherwise hongera kwa kazi ya utumishi
Jamani hawa watu walindwe sana nakumbuka magu alianzisha vita ya uchumi lakini bahati mbaya hatukumlinda jamani,sasa hawa wanaopambana na ushoga tuwalinde xana.
Viongozi wengi wanakuwa waoga wakutoamaamuzi hasa Afrika hayamashirika yanajipenyezaji hapa Tanzania nakuanxa kuharibu jamiiyetu pasiposhaka yoyote kanakwamba nchi hazinadheria wala dola ?
Mimi nawashauri muishauri serekali ifunge balozi hasa usa ambazo zinatulete misaada hata scholar ships zao za bure zichunguzwe mmarekani na wazungu wengine hawatoi misaada bure ni maradhi ili wauze madawa yao na mashine matibabu.
Dawa ya kuliponya taifa letu,ni kuamua sisi kama taifa,kukataa waziwazi ushoga na kupiga vita ushoga kwa vitendo" kuwaachia hii vita watumishi wa mungu huko ni kuleta utani"ikumbukwe kuwa huu ushoga umeletwa na wazungu kwa mpango maalumu wa kudhoofisha uzazi duniani"hasa afrika,kwahio serikali ni lazima itunge sheria kali dhidi ya uovu wa aina yoyote ile"
NINGEPENDEKEZA NCHI ZINAZO TOA MISAADA KAMA USAD FUNGENI BALOZI ZAO SISI TUNAISHI BILA YA MSAADA KUTOKA MAREKANI NA ULAYA VIONGOZI WA NCHI MSIWAOGOPE HAO MUOGOPENI MUNGU.
Mimi naona ameruhusu hili ili muanze kulikemea kwenye vyombo mbalimbali vya habari ili tuone mnalichukia laki sio kweli,maana inshu ni rais sana ni kuweka sheria mpya na kuikataa kama alivyofanya Museveni ila cha ajabu viongozi walivyo wanafk wakamuacha Museveni peke yake afu leo mnakaa mnapiga kelele kwenye vyombo vya habari, niwaambie tu kwa namna hii mnayofanya ushoga hauwezi kuisha bali ndo mnautangaza ili usambae zaidi. Njia sahihi sana ni kuweka Sheria ipitishwe na bunge mara moja na kukataa misaada yao.
Sasa kama mashirika yanayofanya hivi vitendo kwnn serikal isitoe kauli Moja tu kama Uganda?!,Kila siku tunasomewa ripot za mashoga nchini ili iweje sasa
Misaada! Misaada! Misaada! Tanzania kataa misaada kama Bukina Faso wanavyokataa nawe utakuwa salama...it is that simple. Tutapita katika kipindi kigumu cha kufunga mkanda ila hatutaangamia, tuta adopt na hatimaye kutoboa.