Тёмный

#PART 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

#PART 2: TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA 60 kwa KUSINGIZIWA ASIMULIA MSOTO wa GEREZANI, KIPIGO, CHAWA...
Kijana Tumaini Mfinanga mkazi wa Siha asimulia mkasa wake wa kufungwa jela miaka 60 maisha ya jela na alivyotoka...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 68   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@maryamhussein1868
@maryamhussein1868 Год назад
Oppo P
@blessingmapazia9545
@blessingmapazia9545 Год назад
Yaani hata maneno ya kusema yameniishia.pole sana kaka Mungu afute vidonda vyako
@colethamkota5745
@colethamkota5745 Год назад
Pole sana Mungu aendelee kukupa Nguvu hakuna lililokupata Mungu akajua auliwez Haya n mapito Mungu ahimidiwe daima
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mtihani pole kaka mungu atakulipiya kwani anaye muharibiya maisha ya mtu makusudibasi ajuwe huo ni mkopo utakuja kurudi na riba
@Naw89
@Naw89 Год назад
Hakika
@dinesschamanga
@dinesschamanga Год назад
Kabisa
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Wanasheria si mumsaidie huyu kijana apate haki yake kuanzia kwa huyo mpelelezi mpaka hiyo famila ya kina maria,inasikitisha sana.
@joramkimario9321
@joramkimario9321 Год назад
Wengn wanasamehe tu ili waendleee kuteseka mioyo yao
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Kwa nchi yetu hii ,mtu akidai haki atapotezwa au atatafutiwa jingine la kusingiziwa. Nchi mbaya sana hii
@mcbalozi2519
@mcbalozi2519 Год назад
Maisha ni fumbo kubwa sana naamini kupitia mtihani uliopitia utafanikiwa na kufika mbali zaidi bora mwanzo mgumu wenye wisho mzuri
@mkombozsanga
@mkombozsanga Год назад
Pole sana
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Asant
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Год назад
😭😭😭pole sana Brother..ila mungu ni mwema sana
@janebandihai1961
@janebandihai1961 Год назад
Ila uyo kaka jamani ndo mana ata akasingiziwa mbona mpole sana yani ata kujielezea kwake kwa shida sana kha!!!! Maskini😢😢😢😢
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Pole sana mtoto wangu, mungu atakulipia tu
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Amen 😭
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 Год назад
Amina
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Asant
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
@@FrankMfinanga-jj1fd Pole sana ni uchungu mkubwa sana
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Pole sana Mungu anakusudi na wewe🙏🙏
@witnessmakoi6616
@witnessmakoi6616 Год назад
Pole sana Mungu akufanyie wapes
@salemmwakibinga8107
@salemmwakibinga8107 Год назад
Pole mwanangu,Mungu atakulipia
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Год назад
Pole sana kijana wangu
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Hivyo ndo vyombo vyetu vya sheria yaan unamhukumu mtoto wa mwenzio miaka 60 kwa ajili ya rushwaa hakika hii ni laana kwa vizazi vyenu
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Ndio maana Mahakimu hujiua au hupata mateso hapa Duniani
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Год назад
Yaani hizi rushwa hawajui ipo siku watazilipia hawajui Kuna MUNGU anayewaona hasinzii wala halali
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Год назад
Daaah
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Kijana mzuri hatari, but kila kitu kimetokea kwasababu mungu hakutangulie
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukur
@joycehashim2040
@joycehashim2040 Год назад
@@FrankMfinanga-jj1fd pole sana ndugu
@maryamhassan7000
@maryamhassan7000 Год назад
Mungu mwema 😢
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Duuuh
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Год назад
Kwanini Akahe miaka yote mtoto Alipozaliwa kwanini hasipimwe DNA???
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Год назад
Daa Leo wa 1
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Dah😢 hii ndio dunia
@sashaswalehe7313
@sashaswalehe7313 Год назад
Echeka
@sashaswalehe7313
@sashaswalehe7313 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka na kulia
@zainabamran8230
@zainabamran8230 Год назад
Pole sana, sikufaam ila nilikuwa naomba uwe huru ni mitihani tu ya ulimwengu
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukuru kwa maombi
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukur
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Год назад
Duuuuuu😢😢
@user-nw7el9os7n
@user-nw7el9os7n Год назад
Pole kaka, pole sana
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
😭😭😭
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe Год назад
God is Good all the time❤Pole sana mkuu
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 6 месяцев назад
Watuwengi munaongeaga hakuna hivi haki yamtu kufungwa alafu anakuja kuambia hanahatia hakiyake ikowapi
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Год назад
Part 3iko wap naitakaa jmni
@eliamanifrank
@eliamanifrank Год назад
Hakika hilinalo limeisha kaka yangu ukohuru
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Ndy
@azizahassan6803
@azizahassan6803 Год назад
Mungu mkubwa hakika haki ya mtu haipotei
@edwardsadala4851
@edwardsadala4851 Год назад
Zingine zinapotea ndugu
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nimelijua hilo
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Serekali jitahidini muwajali wafungwa afya zao,kwenye kusafisha choo kwa mkono?msitese watu kiasi hicho 😢
@bebebebe5677
@bebebebe5677 Год назад
Yan roho inaniuma san had nimelia ila waliofanya ivyo mung atajua atawaukumu vp
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Kwl
@kitwanabuggatti8480
@kitwanabuggatti8480 Год назад
uyu maria mtomb… kweli xaxa mwanang
@RukiaHussein-bi8ov
@RukiaHussein-bi8ov Год назад
Mungu mkubwa na wailipia hi wote
@user-mt8op1gl4v
@user-mt8op1gl4v Год назад
Huyo kaka aliyevaa nguo nyeupe sura yake sio geni namkumbuka kumbe huyo ni ndugu yake jomon
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Jomon ni nan tn
@user-mt8op1gl4v
@user-mt8op1gl4v Год назад
Nilikua namuona Sanya juu kipindi nasoma Sanya juu sekondary
@annagipson6528
@annagipson6528 Год назад
Uyo askari popote ulipo utapitia magumu kuliko ya huyu kijana 🥹🥹💔
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Год назад
Mpka Bata zinashangaa jamani
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Год назад
Hyo Mpelelezi,Alitakiwa kufukuzwa kazi,Pia awe Gerezani.
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 11 месяцев назад
Dah yani machozi yannitoka uku nacheka
@nakilingwembele9504
@nakilingwembele9504 Год назад
Maskin babaake
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Pole sana
@geofreymtweve9048
@geofreymtweve9048 Год назад
Pole sana
@user-vn2ni9vm4b
@user-vn2ni9vm4b Год назад
Pole sana
Далее