Тёмный
No video :(

POLISI FEKI AVAMIA KIPINDI, AWAKALISHA WOTE CHINI - "WANATAKA KUTUPELEKA POLISI" | HIVI NI KWELI... 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 126 тыс.
50% 1

NEMBO ya Mtaa, Mo Town Sanya, ameuanza rasmi mwaka 2022 kwa season mpya kabisa ya Hivi ni Kweli. Leo tupo na Afande Musa (Polisi Feki) ambaye amevamia interview zote za Nembo ya Mtaa ila kilichowakuta waliokuwa wakihojiwa sasa utacheka....
POLISI FEKI AVAMIA KIPINDI, AWAKALISHA WOTE CHINI - "WANATAKA KUTUPELEKA POLISI" | HIVI NI KWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 572   
@allyahmed3726
@allyahmed3726 2 года назад
Daaah nimechekaa balaaa hiii ya leo kaliii sanya kweli mbunifu sana
@Gachibravo3974
@Gachibravo3974 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki nimecheka sanaa huyu jamaaa diamond amuongezee mshahara sio kwa kutuchekesha kiasi hichi #wasafi #diamond
@masaludutta453
@masaludutta453 2 года назад
Dogo: kaka nisaidie... Kaka:Nikusaidie nn sasa🤣🤣🤣🤣🤣
@elieneaezekiel5102
@elieneaezekiel5102 2 года назад
Inafundisha sana. Hapo jamaa alitakiwa nae aonyeshwe kitambulisho cha huyo askari. Epuka kutapeliwa
@mosesoballaonlinetv2579
@mosesoballaonlinetv2579 2 года назад
Mo town dah!!! Aiseee Leo nimecheka sana yani dah! Bro 🙌🤣🤣🤣
@jacksonjaphet8326
@jacksonjaphet8326 2 года назад
Mmezinguaa sanyaa mzee kama uyo unamkalishaje chini bhana umezingua leo
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 года назад
Love from Mozambique 🇲🇿 nimekuwa nimekumiss sana mo town
@G24TZ
@G24TZ 2 года назад
Nicheki
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-C5s1AejRKzk.html
@djneldizzyholimpovicente1782
@djneldizzyholimpovicente1782 2 года назад
Yah maning eu tambem sou de 🇲🇿
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 года назад
@@djneldizzyholimpovicente1782 gostei muito de ti ver aqui força
@purityangle
@purityangle 2 года назад
Daaaaaaa first I thought it's reall mo town banaa nimefikiria washikwaa nimejihisi vibaya kumbeeeee mtaa banaaa una mengi hiii moto bro😂😂😂😂😂😘😘💯frm 🇰🇪
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 2 года назад
21:31 Kimsingi anaolewa kimsingi kitu kimoja kimsingi kwamba ni mwamba mwamba kwasababu ni mnene Sana😂😂😂
@clichecomedy92
@clichecomedy92 2 года назад
Daa kaka kipindi kizuri nakipenda lakini kaka chenye mmefanyia mzee wa nguo si haki jameni angalieni umri si kweli kabisa na sihaki kumtendea hivo witching from kenya kazi yako safi brother nakuaminia ila hii nayo kakangu sipoa
@user-yh7ui7hw1i
@user-yh7ui7hw1i 27 дней назад
Anapewaga cha kupozea 😂😂😂
@essaunyange9206
@essaunyange9206 2 года назад
Wa kwanza leo nipeni likes nifurahi jamani
@mchalamchala7348
@mchalamchala7348 2 года назад
Mzee wa kitambaa mmemzingua kinoma🤣😂😂😂
@ottomanmwarabu6771
@ottomanmwarabu6771 2 года назад
Kinoma yaan
@OmanOman-ik9sp
@OmanOman-ik9sp 2 года назад
Sana yani nimecheka alafu baadae nikamuonea huruma 😂😂😂😂😂😂
@jordaniemusangwa1154
@jordaniemusangwa1154 2 года назад
2022 💥 💕 💥 sanya 🤣🤣🤣 umetuwalisha vizuri wapenzi wa radio 📻 yetu na vipindi vyote vya wasafi tv...1👋👋👋👌
@hassanisaidi9860
@hassanisaidi9860 2 года назад
Ifike muda nao police punguzeni njaa🙌
@stelajohn4901
@stelajohn4901 2 года назад
Yaan leo mmejua kunivunja mbavu mbavu aisei ni firee... hongera bro endelea na ubunifu wko
@credo7837
@credo7837 2 года назад
😂😂🤣🤣
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад
Mo town sanyaaaaaa ma g.... Sema hyo poti mmpeni msasa kidogo anapapara sana...he needs to bring the reality...yeye kakomaa na radio call tu..
@denisngoinde3693
@denisngoinde3693 2 года назад
Mzee wa tcha tcha tcha tcha konde kashndwa kutoa maneno hahahah
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 года назад
Nimekuwa naisubir kinoma😂 love from Mozambique 🇲🇿
@khamissufian8545
@khamissufian8545 2 года назад
Labda buza
@georgealoyce4849
@georgealoyce4849 2 года назад
😂😂😂 mozambique
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 года назад
@@khamissufian8545 🇲🇿😂😂😂😂
@abdulmasoko7241
@abdulmasoko7241 2 года назад
Mi mwenyewe nimeisubiri Sana kwakweli😂😂😂
@zenahbayeh7371
@zenahbayeh7371 2 года назад
Ski hii ya Leo haijanifurahisha coz mumesumbua wazee WA watu sio poa hii ya Leo rekebisheni vzr
@djpatruick
@djpatruick 2 года назад
Daah.! Jama amenitiya uruma kabs love from 🇧🇮
@marymaimuna1767
@marymaimuna1767 2 года назад
Yani huyo mzee wakuhesabu atawapeleka kwa mganga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemasilim2836
@neemasilim2836 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 2 года назад
Ila Wasafi bana, Mo town una dhambi sana
@mohammedkombo3727
@mohammedkombo3727 2 года назад
Ila sikumoja mtakuja kumfanyia mjeda mambo haya lazima Bongo mtaiyona imebadilikarangi
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 года назад
Xio mjeda tu ata mbunge anafanyiwa ivy
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 года назад
Mumezingua Leo sjapenda Iki kipsnde za uyu uncle muliemfunga Kitambaa UH SIYO USTAALABU
@geofreyjohn1099
@geofreyjohn1099 2 года назад
🤣😂🤣😂
@maishayetufilm
@maishayetufilm 2 года назад
Sure wamemkosea sana
@dereckdavid9609
@dereckdavid9609 2 года назад
@@maishayetufilm ni kipindi iko sio live session, ukiona mpaka imeruka ujue jamaa karidhia
@asnabughe4220
@asnabughe4220 2 года назад
Mmenichekesha sana hamnaga kazi mbovu
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Iki kipindi kinachekeshaa ilaa ukifikilia kwa mbali na uhalisia ndo uone njins gan raiaa wengi tunaonewa na askari bila kosa la msing ..kwa sabab askal wetu ni waonevu .. Mtu uwez ataa uliziaa kitambulisho
@pitysimon9731
@pitysimon9731 2 года назад
Ukisikia naomb tuongee ujue imeish iyoo 😂😂😂😂
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Mo Town Sanya nembo ya mtaa hivi ni kweli au??🇹🇿❤️🚶🚶
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila mtafanya watu wazimie kwa presha kaka wa watu anaongea na sim huku ana tetemeka jamani
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 2 года назад
Week motown uanzingua Sanaa nimecheka yule kibonge wa mwisho kaishiwa pozi kabisa dah..lakin uwe unawatia japo ya soda bab umewapandisha presha sanaaa
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu aliefugwa kitambaa jamani ametia huruma kha
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Maskini wew mo town Sanya jmn, nimesikia uchungu huyo kaka wa T shart ya brue alivyokuwa anaongea na cm😂😂😂😂
@AKH_TZ
@AKH_TZ 2 года назад
Daah nimeipenda sn mo town unahuruma sn nimependa sn umemuelewa yule jamaa maelezo yake alivyosema hajala
@MoTownBoy
@MoTownBoy 2 года назад
Motown Anajua macho penda 2022 hawezi waangusha Pamoja sana tu enjoy na pindi la kijanja ndani ya TV ya kijanja #WasafiTv
@masanjaabasi8970
@masanjaabasi8970 2 года назад
No bhana daaah nacheka uku naona huruma sanya usifanye ivo 😭🤣
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 2 года назад
Oyaaa mo town jamaa wa pili mmeniua mbavu zangu 🤣🤣
@huseinmohamed2996
@huseinmohamed2996 2 года назад
Daaah nmefurahii kinoma pindii namba moja wasafii asehe
@neemaeliah8272
@neemaeliah8272 2 года назад
Jamani yule mwenye kitambaa jamaniiii🙌🙌🙌
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
Najua la Dar lilivyo kali😂😂
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад
Halfu wa bongo jamani tupunguzeni uwoga....tujifunze sana sheria inasema vp..half mo town kazaaaa banaaa...umemcheka mzee wa watu alivombwala..😂
@foncethomas424
@foncethomas424 2 года назад
Mzee kalaa speed kwenye Kona🤣🤣🇿🇲🇹🇿
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 2 года назад
Idea poa sana ,mwisho mtoe shule unless ni kosa la uzalililishaji sababu mnaowarecord wanafamily zinawaangalia
@simbawatown2729
@simbawatown2729 2 года назад
🤣🤣🤣🤣 Mzee wa ticha konde kapoteza adi network aisee nimecheka kinoma
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
😃😃😃😃😃😃🤣😂🙌🏻
@noeljoseph7638
@noeljoseph7638 2 года назад
Machoz yananitoka jinsi watu wa hali ya chini tunavyo onewa
@Fabrice_Bobby
@Fabrice_Bobby 2 года назад
Kweli
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 года назад
Ndy ujitaid xaxa kua MTU wa chini
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 года назад
Mie nahisi inafundisha kitu
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 года назад
@@saidyharounkassita5093 🤣🤣🤣🤣🤣
@jamesblackjaguar2084
@jamesblackjaguar2084 2 года назад
Wewe Motown Utakuja Kupigwa Kaka😂😂😂😂😂
@jumannewazir6716
@jumannewazir6716 2 года назад
Motown Sanya nakukubali chaliwangu mzeee kakata mchichicha kinomaaaa aseeee Moja mbili
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 года назад
Daaah nomaaaa sana mkuu
@frolianjohanes2505
@frolianjohanes2505 2 года назад
Nomaaaa snaaaa
@chibudenga8977
@chibudenga8977 2 года назад
Naitaji kujifunza kiswahili mnisaidie
@diiram_bee.
@diiram_bee. 2 года назад
Ila @motown sanya peponi utapasikia tu..😄😄
@bwittozmjomba7019
@bwittozmjomba7019 2 года назад
Watanzania tujifunze kujua vitu muhm vya kuomba pindi police akitaka kukukamata lzma akuonyeshe kitambulisho chake N kituo chk cha kazi Ila Mo Leo kaua 😂😂🙌
@Balogetv
@Balogetv 2 года назад
Jaman Moh haufai unawafanya watu watoke mbio😂😂😂😂
@sahiltvontheline5560
@sahiltvontheline5560 2 года назад
Wasaf mnajitahid sana
@veronicagervas4607
@veronicagervas4607 2 года назад
Hawa sio mimi,mimi ni mpita njia tu😅😅 huyu jaman kajua kunchekesha et kimsingi kwamba kimsingi🤣🤣🤣SANYA mpaka amecheka
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 года назад
😀😀😆😀😆😀kicheko kma tapishii alizuilikii😆😆
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 2 года назад
Jamn moo umichekesha sana mpenzi daaa 🙌🙌🙌🙌
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 2 года назад
mo town sanya mbinguni utafika umechoka sana asee😀😀😀😀🤣🤣🤣
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 2 года назад
Watanzania wengi hawajui haki zao. Wanakamatwa kienyeji na wanakubali haha Jamaa hata hajaonyeshwa kitambulisho dah.
@cyliviaelias933
@cyliviaelias933 2 года назад
Nimejisikia huruma mlichomfanyia huyo mzee na kitambaa kichwani tabia mbaya aisee acheni nimekwazikaa 😩😩wenzenu hata kama ni games waga at the end of the day wanaambiwa it was a joke 😔😔
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 года назад
Wajinga niweng xana kama kitu auelew acha kuangalia cozy ujalazimixhwa uxhamba nimzigo
@meshachkigumbi
@meshachkigumbi Год назад
ndio mjini boy wewe ungekubali kufungwa kitambaa awa maboya
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Daa price,nimekamatwa na askar,eti wanaleta difenda waje wanipeleke police 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣
@khalfantvmansour8765
@khalfantvmansour8765 2 года назад
Unavyo fanya si frsh hata kdg daa jamaa anatia huruma yaani Mungu yupo inshallah
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 2 года назад
Maskini nimemuonea huruma uyu baba wanguo😭
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Samahani afande Mimi tokea Asubuh sijakula 😂😂😂
@rozina2161
@rozina2161 2 года назад
Duh nkafikiria ni kweli hahaha waa montown ni firee
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 2 года назад
Njaa na kutokujua sheria ni tatizo kwa askari wetu
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
Hii mimi sijaipenda mtawapa watu presha bure 🙆
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 года назад
😂 😂 😂 😂 😂 😂 wee boya tuuuuu
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
🙆🙆🙆
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 2 года назад
Hivi ni kweli baadhi walikuwa wakipata nafasi wanakimbia kiasi hicho??!🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@gerichmusha2459
@gerichmusha2459 2 года назад
Yaani nacheka lakini tena naingiwa na huruma
@richmontana1296
@richmontana1296 2 года назад
Huyo wa 2 kama kutapeliwa kitambo sana😂😂😂😂😂😂
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 года назад
Yaan sijapenda kabisa mlivyomdhalilisha baba angu nitaenda mwambia amichukulie hatua
@ayubleo
@ayubleo 2 года назад
😂😂😂😂
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 года назад
@@ayubleo wanichekaeee
@ayubleo
@ayubleo 2 года назад
Ni mzee wako nn
@abdulabdallah3796
@abdulabdallah3796 2 года назад
Nnavo kufatilia huwezi nipata nakujua vizur mo town Sanya
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 года назад
Taften namna Bora ya kuchekesha hiyo haifai mnadharirisha watu hapo
@stanleymlowe8230
@stanleymlowe8230 2 года назад
Hiyo ni prank bro vitu vya kawaida
@kbbongotv
@kbbongotv 2 года назад
@@stanleymlowe8230 sio prank vitu vya kawaida vinautaratibu wake baada ya kumfanyia ivyo inatakiwa umueleze ilikua ni prank utusamee nae anawaunga mkono sio mtu mnamuacha anaenda kwao akiwa na hofu kua amewakimbia polisi ni makosa hayo
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Msitete vtu vya kjnga huwez kumuweka mtu na presha mtu natoka nduk speed 180 presha juu cyo vzur
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 года назад
Moo town sanya. Tisha sanaaaa!
@jacobtitus3311
@jacobtitus3311 2 года назад
Hivi ikitokea siku mnafanya huo ujinga halafu mtu ana faint anakufa mnasimama WAPI,. Kuna utani mwingine sio poa
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 года назад
Toa ujinga apa
@mangisenya4012
@mangisenya4012 Год назад
Huyo mzee mmemwonea sijapenda
@irenemwakalinga4350
@irenemwakalinga4350 2 года назад
Mwisho WA kipjndi mmngekua mnawaita na kuwaomba radhi km mmeharibu Mali zao mnawalipa na kuwapotezea muda kma gag'g
@fatumakassimu5923
@fatumakassimu5923 2 года назад
😆😆😆😆🤣🤣🤣munataka .kijana wa watu agongwe na gari sio kwa mbio hizo
@ahmedloya7674
@ahmedloya7674 2 года назад
Mo town mim nataman ninge kutana na hilo pndi live wala usinge niokota but pa1 sana tuna enjoy kinoma.
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 2 года назад
Nyie punguzen mpumbavu mna mchuchumalisha mtu na nguo zake anauza zinagusa chin zina chafuka ndo kwa iyo elfu kumi yenu mlio mpa au punguzen utan kwa watu msio wajua mtu akija kuwafia kwa presha mta msaidiaje
@rondoboy9623
@rondoboy9623 2 года назад
Nakubali san mo maujanja mengi kinyama😃
@johneasy9458
@johneasy9458 2 года назад
Iyi kali saaana mzeee
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Jamani mkimaliza mue mnawapoza japo pesa zambi mnawatia hofu na plesha watu wasiejua sheria
@hasanoshohilali10
@hasanoshohilali10 2 года назад
Kweli
@shomikhamis1931
@shomikhamis1931 2 года назад
Da! aisee😂😂😂😂😂😂😂😂 izo ova zimenifanya nicheke sana
@jeremayaClassicPhoto
@jeremayaClassicPhoto 2 года назад
dah cjapenda kwa yule mzee mliyemfunga kitambaa nmejisikia vibaya kiukweli 🤔🤔😔😔
@255_apollo26
@255_apollo26 2 года назад
😅🤣🤣🤣🤣
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 2 года назад
Kakata hadi mia 2😂😂
@Everythingisok360
@Everythingisok360 2 года назад
Dogo: braza nisaidie Jamaa : nikusaidie nn sasa😠
@yussufrabba2282
@yussufrabba2282 2 года назад
😂😂😂😂😂
@richbird.123
@richbird.123 2 года назад
😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅
@ismailbbymamasboy2185
@ismailbbymamasboy2185 2 года назад
hehee yani nimechka sanaa much love frm 254
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 года назад
Keep up with your work brother pamoza Sana Motown SONYA
@jitulakaleboymastr6477
@jitulakaleboymastr6477 2 года назад
Kama nimimi tuna pgana wasafi hatar sana ase😄😄😃😃😀😁😁
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 2 года назад
Diamond kumbuka ww ulikosana .mr.runge kisA lizik sasa unashindwa kuweka wasanii unaona kama unawapa kiki achaa rombaya utakufa sapot ndugu zako mungu atakulipa afu kumbuka niwatanzania
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 2 года назад
Unaishi kijiji gani?
@Royalcakespoint
@Royalcakespoint 2 года назад
Mo uwevunafikiria mfano huyo kaka angejichanganya akakimbilia barabarani hajagongwa kweli bahati mbaya...ushauri mkiwa na masihara ya hivi msicheze karibu na barabara
@Hanskapella
@Hanskapella 2 года назад
Huyo Mwenye kitambaa wakuhesabu mpaka 50, nimecheka kijinga 🤣
@simondogtrainer7498
@simondogtrainer7498 2 года назад
Nmecheka Sana😅😅😅... Hongera mo keep it up creativity 100%
@denisjoshua4761
@denisjoshua4761 2 года назад
mwanangu sanya umeua sanaaaa
@abbakarisaidi1270
@abbakarisaidi1270 2 года назад
mo round hii umezinguwa sana
@allyhamadi678
@allyhamadi678 2 года назад
safi sana kwa ubunifu
@danielmkama24
@danielmkama24 2 года назад
Hichi kpindi ni 💥💥
@hidayanassor9675
@hidayanassor9675 2 года назад
Uyoo wa kitambaa😂😂😂😂dah
@yna2499
@yna2499 2 года назад
Mwambaaaa kajua Ka ESCAPE POLICE 😂😂😂😂😂😂
@oxanlwansika2139
@oxanlwansika2139 2 года назад
Uko vizuri mo town
@dominickjames5770
@dominickjames5770 2 года назад
Mo town sanya nomaaaa
@mamamapenzi819
@mamamapenzi819 2 года назад
AMnazingua uyo jamaa mpen hakiyake yakumtumia kwenye show yeny
@g_eazmusic1329
@g_eazmusic1329 2 года назад
Watanzania wengi niwaoga
@abdyllahmsaghaa7977
@abdyllahmsaghaa7977 2 года назад
Sanya: Afande unaweza kuchuchumaa tuongee😁😆
@fettyramadhan622
@fettyramadhan622 2 года назад
Nijambo zur watu watajifunzana juu ya haki zao na wataelimika
@issamlekwa3034
@issamlekwa3034 2 года назад
Mambo
Далее
WALI NAZI
9:41
Просмотров 908 тыс.
LEONARDO ALIVYO CHUANA NA JOLMASTER
9:00
Просмотров 621 тыс.
ASKAR FEKI
7:22
Просмотров 504 тыс.