Тёмный

RAIS DKT.JOHN MAGUFULI AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI 

Ikulu Tanzania
Подписаться 281 тыс.
Просмотров 973 тыс.
50% 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kuhakikisha fikra na mipango mizuri aliyoiweka inatekelezwa kwa manufaa ya Watanzania wote.
Mhe. Rais Magufuli ametoa kauli hiyo tarehe 14 Oktoba, 2018 wakati akizungumza na Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Msasani Jijini Dar es Salaam alikokwenda kumtembelea muda mfupi baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay.
Mhe. Rais Magufuli amebainisha kuwa Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere alifanya kazi kubwa ya kujenga misingi imara ya nchi kuwa na amani, umoja na mshikamano na pia kujenga misingi ya uchumi wa kujitegemea kupitia Azimio la Arusha.
Ametoa wito kwa Watanzania wote hasa vijana kuungana na Serikali katika kuyaenzi yaliyofanywa na Baba wa Taifa, na pia kuliombea Taifa.
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuendelea kumuenzi Baba wa Taifa na amemhakikishia kuwa yeye na wanamaombi wenzake pamoja na Watanzania wote wanamuombea heri yeye, viongozi wote na Taifa kwa ujumla.
Aidha, akiwa nyumbani hapo Mhe. Rais Magufuli aliyeongoza na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli amekutana na mtoto wa Baba wa Taifa Bw. Makongoro Nyerere na Wajukuu wa Baba wa Taifa.
Mapema leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli ameungana na Waumini wa Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay Jijini Dar es Salaam kusali Misa Takatifu ambapo Waumini hao wamemuombea Baba wa Taifa, aliyefariki dunia tarehe 14 Oktoba, 1999.

Опубликовано:

 

13 окт 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 289   
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 5 лет назад
Safi sana mjomba.we ndo rais watanzania tumeanza kukuelewa.nchi iko shwari kama unamkubali magu gonga hapa.
@70SIXER7
@70SIXER7 5 лет назад
Mungu Amlinde Kaka Yetu Magufuli Pamoja na Very Humble!...First Lady Mama Janet!
@Eniola0ne
@Eniola0ne 4 года назад
When I saw Madaraka Nyerere at Julius Nyerere International in Dar Es Salaam, I was shock with his simplicity, Not like other African President Sons bragging and strolling in land cruiser. He was just Walking like every Tanzania. I walk past before, I realize that, This Nyerere Son. I wanted take Picture with him, but he already went far. He was very wonderful guy, with his humility
@mumbisdesigns
@mumbisdesigns 3 года назад
I'm watching all of Dr. Magufuli's videos while he was alive and loving him and his pure, kind heart even more. I wish I could have met him. Such loss and pain! Poleni sana ndugu zetu waTanzania, mie mwenzenu hapa USA 😢😢😢😭😭😭🙏.
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 3 года назад
Baba leo wewe ndio tunakuzungumzia hvyo kweli😭😭😭
@Eniola0ne
@Eniola0ne 5 лет назад
Tanzanian are Special People, they are kind, humble People
@nyanchokachacha6975
@nyanchokachacha6975 5 лет назад
Hongera sana RAIS wetu, Mama yetu Janeth, na Bibi yetu Mama NYERERE Mungu awabariki sana na Maisha Marefu.
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 года назад
😭😭😭😭😭 R.I.P BABA YANGU NAWE TUTAANZA KUKUOMBEA 17/3/2021 TUTAKUENZI HAKIKA.
@japhetdaud3889
@japhetdaud3889 5 лет назад
JPM unafaa Mungu na akusaadie pia kwa kazi unayoifanya 👍👏👏💪
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 года назад
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@mansarayify
@mansarayify 3 года назад
I'm not from Tanzania nor do I speak swahili but i love the humbleness and the peaceful nature of the Tanzanians.
@abuunomaz2323
@abuunomaz2323 5 лет назад
Rais wangu uko vzr....Mungu ibariki Tanzania Mungu m'bariki Magufuli
@nyanchokachacha6975
@nyanchokachacha6975 5 лет назад
Big up my president I am very happy to see you struggling to bring up Tanzania with industrial Economy.
@mansarayify
@mansarayify 3 года назад
This man was really humble, I I'm loving him more in his grave than ever even than when he was alive as more evidences of his panafrican spirits are coming out. RIP my hero.
@hasnathamza8438
@hasnathamza8438 3 года назад
Hatimae umemfata baba wa taifa pia kakumzike kwa amn bb yetu maguful tutendelea kukuombea kipenz cha watanzania wotee😭😭😭
@happinessjoseph3146
@happinessjoseph3146 5 лет назад
Magufuli Mungu akupe maisha marefu baba napenda busara zako
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 лет назад
Jpm umejaza nafasi ya baba wa Taifa Nyerere vizuri sana kushinda waliokutangulia,heko jpm, heko tena kwa uongozi wako bora,Mimi ni mkenya Lakini naenzi utawala wa Nyerere na utawala wako,mungu akubariki
@JoyceAudax
Asante Sana baba yetu unafa kuigwa kwa kazi yako nzuri unayoifanya mungu akulinde na kukuongoza kwa kila ulifanyalo katika maixha yako yote.Amina tutaixhi Kama alivyotuelekeza 🙏
@undulemwakibabala8119
@undulemwakibabala8119 3 года назад
Asante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuri kwa kuzaliwa Tanzania yawezekana angezaliwa Nchi nyingine lakini ulipenda atokee Tanzania, Nina Imani huko uliko umeshafika kwa Mkombozi wetu YESU KRISTO amekupeleka kwa Muumba wetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@samuelmusungu1056
@samuelmusungu1056 2 года назад
Very humble President,
Далее
Наташа Кампуш. 3096 дней в плену.
00:58
СМОТРИМ YOUTUBE В МАЙНКРАФТЕ
00:34
Просмотров 977 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 718 тыс.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57