Mwenyezi Mungu akupe subra na uvumilivu maana binadam walitukana hadi Manabii, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi mpe afya njema Rais wetu na Viongozi wetu wote
Kwani Bakharesa alipewa hela na serikali? tuache uvivu na lawama, miundo mbinu mshawekewa nini tena?? biashara kama unaijua hata uanze na kuku wawili dume na jike ukiwa na subra watafika 10,000 tuache mteremko, itafikia hadi utashindwa kumridhisha mwenza utasingizia Serekali
@@abuumuhammad7133 Hata kama ukisema hivyo sawa tu, ndio simpendi Sasa utanirazimisha, unajua shida wanazopitia wafanyabiashara na watu wa hari ya chini wewe, huduma zilizopo kwenye maofisi ya serikali, huduma za afya, wajasiliamali wanavyoteseka. Kaa ujifikirie na kama uwa hautembei Bora ukafunga mdomo wako. Kenge wewee Mbavuuuuuuu!!!!!!
Umenena mema mama na kiongozi wetu kipenzi. Mungu akulinde, ili uzidi kutuongoza katika misingi ya amani na upendo. Mitano tena mama. Nakupenda na nakutakia afya njema kwa ajili ya watanzania wote.
Samia umesema vyema, hatuwezi kutusi viongozi wetu. ila sikia vilio vya watu wako..sikilizaaa...vijana wengi hawana ajira, miundo mbinu hiko ktk quality inayostahiki, kodi ni kubwa na pesa haionekani..ona jirani yako anavoenda rekebisha nyumbani kwake: ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rK5wfyT0g-w.html