Tena mikoa yote iande ilo zoezi la kukamata makahaba wote na wapelekwe mahakamani wasipewe zamana waende magereza mpaka mwisho wa kesi wahukumiwe vifungo Kwa njia hiyo makahaba wataisha.
Sikia we chalamila msijidai watendaji sana huku mnavunja sheria hv huyo mkuu wako wa wilaya ya ubongo amekosa kero hapo wilayani kwake ok hao wadada wamefanya kosa gani na mbona mnajivuta kuwapeleka mahakamani yan msijidai mnafanya kaz huku mnavunja sheria acheni ujinga
Wewe ndg niambie kama huna dhambi yoyote je Mr chala hujafanya dhambi? Hao wamama wapeni semina ushauri mitaji waweze kutunza watoto wao kwa ajili ya kizazi kijacho cha watanzania.
Hii midada powa.ipo kira sehemu. nawashangaa wanao watuhumu.utafikiri wanauza madawa ya kurevya.hata hawa viongozi wetu wakienda nchi za watu wanawachukuwa hawahawa.tatizo ni.ushamba tu!
Usiwasikilize. hao wajinga ww kamata wote weka ndani kwa faida yao wenyewe tujjua wewe ni baadhi ya viongo waliojipambanua fanya kwa faida ya watanzania Mungu atakulipa