RC SENDIGA AKASIRIKA, SIKIA ALIVYOMKARIPIA MENEJA TARURA IRINGA
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh Queen Sendiga ametoa siku 7 kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoani humo kuhakikisha inaisimamia kampuni ya ujenzi inayojenga barabara ya Zizilang’ombe-Ngerewala Mjini Iringa, kufanya marekebisho kwenye sehemu ya barabara ambayo mifereji yake imebomoka kabla hata ya barabara hiyo kukabidhiwa.
Kauli hiyo inakuja ikiwa ni wiki moja imepita tangu msamalia mwema ambaye ni mwananchi mkaazi wa Manispaa ya Iringa kurekodi kwa simu yake ya mkononi sehemu iliyobomoka ya barabara hiyo na kurusha katika mtandao wa Instagram.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa anafika katika eneo hilo na kujionea hali halisi kwenye barabara hiyo baada ya sehemu kubwa ya barabra hiyo ya urefu wa KM 1 inayojengwa kwa zaidi ya Shilingi Milioni 600 kubomoka hali ambayo inamlazimu kutoa karipio.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
14 окт 2024