Тёмный

Salama Na DEO GRATIUS SE6 EP64 | PRIVILEGED?! PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Deo Gratias, jina tu linatosha kujielezea kama wewe nawe utakua kama mimi wa kutaka kujua maana ya majina ya watu ili uweze kujua tabia zao au ujiulize wazee wake walikua wanafikiria nini wakati wanaamua kumpa jina hilo mtoto wao. Kwa Deo maana imejibeba na imejikamilisha na kwa yeye kuamua kubaki na jina lake hilo hilo mpaka kwenye stage ambako ndo sehemu yake ya kazi inabidi hilo nalo likuambie jambo kuhusu yeye na jinsi ambavyo anajichukulia na kuyachukulia mambo ambayo ameyachagua kuyafanya.
Shukrani ziende kwa Mungu ndo maana ya jina lake, shukrani ziende kwa Mungu kwa kila alifanyalo leo, shukrani ziende kwa Mungu maana baada ya wazee wake kumsomesha kwenye shule ambayo walikua wameianzisha wao na kuhakikisha kijana wao anapata elimu ambayo anastahili lakini yeye akaamua kuiacha fani ambayo aliisoma na kuamua kuwa mchekeshaji basi nadhani Shukrani ziende kwa Mungu, Shukrani ziende kwa Mungu kwa wazazi wake kuelewa, Shukrani pia ziende kwa Mungu kwasababu mwanga umeanza kuonekana kwenye lile alifanyalo sasa.
Yeye na rafiki zake ambao ni vijana wenzake wamejikusanya na kuanzisha kundi lao linaloitwa Watu Baki, ila hawakuamka tu wakaanzisha, kuna ka story hapo nyuma yake ambapo ndo panaleta maana kwenye maisha yetu na yao kama watafutaji. Deo anakumbuka audition ya kwanza ya Stand Up Comedy ambayo aliwahi kuifanya na akashinda huko Mbagala, chini ya shindano lililokua likisimamiwa na Evans Bukuku, Deo anakumbuka kushinda MILIONI nadhani kwenye shindano hilo ingawa alipofika home aligundua kuna mwana alichomoka na elfu kumi yake, yaani kuna mwana alimuangalia Deo, kisha akakiangalia kibunda alafu akasema nah, hawezi kumpa yote lol.
Courage ya kufanya mengine mengi ikiwa na pamoja na ambayo yanaendelea leo ilianzia hapo. Mengine yakabaki story!
Story ya kujikusanya na wanae enzi za Cheka Tu na baadae kuamua kundoka na kuanzisha WatuBaki ilikua mmoja inabidi awe na uthubutu na uthubutu huo uliwezekana na mpaka leo wamesimama na wana time yao kwenye DSTV ambayo inatoa burudani nzuri tu kwa watu wao na vile vile bado matamasha ya nje wanafanya wao kama wao.
Kwa wengi ikiwa pamoja na mimi tulipewa story kwamba Deo ni mtoto flani wa kishua alokua kutoka kwenye familia inayokula wali kwa kijiko na ndo maana baadhi ya mambo ilikua rahisi kwake kufanyika kwasababu ana uwezo wa kurudi nyumbani kwa Baba na Mama na akarudi na mzigo wa kutosha ambao unasaidia mambo yaende. Ila kwa mujibu wake, hiyo si habari na wala yeye hajatoka kwenye mazingira hayo ambayo wengi wanadhani ametokea.
Bado safari ndo kwanza imeanza na kwa wenzake yeye akiwa kama kiongozi anaamini kama wakitulia pamoja na kufuata maono yao basi mengi mazuri tu yatakuja, ila sasa huo uwezo wa kuweza kutulia pamoja na kutengeneza kitu kikubwa na kizuri ndo inawezakana ikawa mtihani. Si wengi wameweza ingawa wapo ambao wameanza pamoja na mpaka leo wanaunguruma pamoja. Inawezekana na yangu matumaini wao pia wataendelea kuwa WatuBaki kwa muda wote ulobaki.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

24 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@salmasaid8964
@salmasaid8964 Год назад
Uyu ndo alinifanya nianze kufatilia show za cheka 2 Na walivyoama nkaama nao mazima Deo anajua sana Vichekesho vyake uksikiliza juu juu unaweza usielewe 😁😁 Big up Deo unapendwa na Wengi sana mkuu #wa2baki
@Unique653
@Unique653 Год назад
I love when he said you have to believe first then you see! Nyie huyu ni intellectual sana
@Unique653
@Unique653 Год назад
THIS GUY IS SO UNIQUE. I RELATE DEEPLY TO HIS STORY ❤️🥰
@RedmarLeeuwendal
@RedmarLeeuwendal Год назад
Learning Kiswahili in university right now. this really helps!
@vannapple1
@vannapple1 Год назад
This guy hata olevel alikuwa ivo ivo,Anaongea vitu vya kufikirika,Ukimsikiriza kwa juu juu unaeza ona anazingua tuu
@kaizilejackson862
@kaizilejackson862 Год назад
Kabsaaaa... Unajua bado napata shida kumuelewa hii hip hop ya fid Q mmmh!!!
@daphresmfugale9435
@daphresmfugale9435 Год назад
Yah sure, kuongea kitu ni mpaka atoe mfano at least 😅😅
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 Год назад
Daahh jama anaongea kama anapiga story but anaongea pwent mingi aisee 💯🙌 SALAMA SHKRN SANA KWAKO NA STON KWA UJUMLA
@matronashirima1489
@matronashirima1489 Год назад
#Pay attention and speak magical words# Nimeidaka hii
@Beingnoela
@Beingnoela Год назад
I laughed, enjoyed and got educated, this man is talented trust me guys 🙌🏾💯. Keep shining Deo Gratius 🤎
@mtafutajiog1939
@mtafutajiog1939 Год назад
Da ongera sana sister ujawahi kukosea kwenye kuandaa program so tuletee kitale mkude simba
@henrykabupa2816
@henrykabupa2816 Год назад
The guy is smart n genius 🖐🖐👐
@doreenkifaluka4568
@doreenkifaluka4568 Год назад
This Guy So Genius Tunaomba Wachambuzi Wa Mchongo pia
@christk24
@christk24 Год назад
Very nice interview hongera Deo and big up to the team na Salama
@felisterherman2568
@felisterherman2568 Год назад
The boy is genius had bac ❤
@bahatijonas2183
@bahatijonas2183 Год назад
Salama Tunaomba Tuletee WACHAMBUZI WA MCHONGO 😢😢😢 Ganslay and Headmaster These Guys Are Viral Now everywhere Tunataka Tuwajue zaidi
@rhodajackson2213
@rhodajackson2213 Год назад
Hongera Salama kazi yako njema sana
@mariawandiba6736
@mariawandiba6736 Год назад
Deo, you are unique and genius big up
@danforddavid6023
@danforddavid6023 Год назад
very smart explanation
@derickdepota101
@derickdepota101 Год назад
Smart and Talented🙌🏿
@Bob-kz2ql
@Bob-kz2ql Год назад
Salama bado mkojani bin darwesh
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Год назад
Deo ur so intelligent
@thebrand9350
@thebrand9350 Год назад
You know why they are so smart?..... Because they think a lot and also they see what is coming before you do. so mostly they don`t feel happy about it but they stay fun to comfort themselves, na maranyingi ni watu wanaokuwa lonely sometimes kwasabuba wanakuwa pekeao maranyingi. huwa hawamechi na groups nyingi kwenye jamii inayowazunguka. I know the feeling simply because naiishi hali hiyo.😀😀😀😀
@Unique653
@Unique653 Год назад
I feel you. I'm exactly like that.
@mercyjsaid1628
@mercyjsaid1628 Год назад
I'm enjoying the way he speak na salama anavyouliza
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 Год назад
Yeah, the guy is smart and talented
@SamuelSingogo-tf6tv
@SamuelSingogo-tf6tv Год назад
Nasubiri salama na young killer msodoki
@brianlynch485
@brianlynch485 Год назад
Really smart guy
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 Год назад
Very nice
@shosetz7200
@shosetz7200 Год назад
He's very smart🙌
@Beingnoela
@Beingnoela Год назад
I agree 💯
@dianerditto
@dianerditto Год назад
Leo mapeema kabisa
@moekan_3612
@moekan_3612 Год назад
Salama na Wema sepetu
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Год назад
Mwamba ni mtu mno anajua kujieleza sana
@uwerapraxeda7240
@uwerapraxeda7240 Год назад
Tuletee Eliud wa cheka tuu
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 Год назад
Salama, siku moja tuletee nikki mbishi
@laurentrevoh3216
@laurentrevoh3216 Год назад
Next stop Wachambuzi Wa Mchongo please 🙏
@itsbazil5787
@itsbazil5787 Год назад
Mdogo mdogo mpk tutafika
@Yusufu940
@Yusufu940 Год назад
Salma tena pumbavu imetoka wapi ihi?
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 Год назад
Jaji mwenye roho mbayaa😂😂
@camillah1097
@camillah1097 Год назад
Maswal ya uigizaji sijasikia
@giftwieland6322
@giftwieland6322 Год назад
Tunaomba evans bukuku📌
@shizaarfred4059
@shizaarfred4059 Год назад
Kasha pita fuatilia za nyuma utamuona huko we kaangalie amevaa kapelo nyeusi 😀😀
@abdulhakimmwango9370
@abdulhakimmwango9370 Год назад
He's speak in joke but realistically 🎉
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 Год назад
I also noticed, also school plays a a part in his speaking ideology
@zawadilutufyo8771
@zawadilutufyo8771 Год назад
He is genius
@charlesmakuke3809
@charlesmakuke3809 Год назад
WANGAPI WANASUBIRI KUONA SALAMA NA WACHAMBUZI WA MCHONGO Ganslay na Headmaster?!!!!!!! 🏃🏃🏃🏃🏃
@haniphadaud667
@haniphadaud667 Год назад
Wakwanza hapa😅😅😅 nawasaubiria sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
🤣😂🔨
@giftwieland6322
@giftwieland6322 Год назад
Tuletee evans bukuku
Далее
Deo Gratius kwenye stage| Throwback Edition| CHEKA TU
11:11
Salama Na Masoud Kipanya
52:05
Просмотров 8 тыс.
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 1,9 млн
Жалко эту собаку 😥
0:34
Просмотров 3,6 млн