Тёмный

Salama Na GARA B SE6 EP63 | BABA SHUGHULI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Jina MC Gara B ni miungoni mwa majina makubwa sana kwenye ulimwengu wa kazi ambayo mwenzetu huyu amechagua kuifanya. Familia yake, mke na watoto, wazazi wake na wa mkewe pengine, Ndugu jamaa na marafiki na waajiriwa wake wanakula vizuri kwasababu ya kipaji chake Ndugu yetu huyu. Ni mwanaume ambaye akiwa kazini kwake furaha na burudani ambayo huwapa wateja wake ndo inayomfanya azidi kuenda mbali kwenye tasnia hiyo ya ushereheshaji. Again, yeye ni mmoja ya BORA kadhaa ambao wanafanya kazi kama yake.
Mtandao wa kijamii ni kitu kimoja chenye nguvu sana kwenye miaka ya hivi karibuni, kwa ushahidi tulonao tushawaona wengi ‘wakitoboa’ kwasababu ya Instagram au sehemu nyengine. Mitandao iko mingi na kila mmoja na tobo lake la kufikia mjini. Kazi ambayo MC huyu huifanya yeye huenda na team yake kuiweka vizuri kisha ana post kwenye page yake yenye watu karibia MILIONI MOJA NA NUSU. Akizifikisha mjini kazi hizo wengi huvutiwa nazo na ambao wanakua wana shughuli nao bila ya shaka watamtafuta na kutaka kufanya nae kazi. Ubunifu wake ni wa kipekee kutokana na vingi na wengi ambao tumekua tukiwaona kwa miaka mingi sasa. Mtandao wa kijamii umemsaidia na unaendelea kumfanya awe bora zaidi ya jana.
Sasa, shughuli hii anayo ifanya ndo ambayo ilikua ndoto zake? Pengine alikua huku anamuona mtu fulani akiwa anaifanya hii kazi kwa ufanisi na ikamvutia? Ilikuaje mpaka akaingia huko? Kwa kumtizama haraka haraka tu utagundua Ndugu yetu ni MCHESHI, yeye anapenda kucheka na kuongea, ingawa hapo kwenye kuongea nako sio kiviiiile ila ni mtafutaji ambaye AMETIMIA. Story yake alotupa kwenye episode hii inajumuisha yeye kufanya kazi zaidi ya mbili kwenye kipindi flani hivi cha maisha yake ili aweze kuishi vizuri. Ki professional mwenzetu ni MWALIMU, ambaye hiyo kazi aliifanya hasa, na akaijumlisha na kazi ya huduma kwa wateja pale Tigo na wakati huo huo akawa anafanya kazi kwenye kiwanda kimoja hivi huko Pugu Road, hakua na wa kumdekea wala kumsubiria na hustle yake hiyo ndo ambayo anaenda nayo mpaka leo kwenye maisha yake.
Sasa kama Baba na mume kwa mkewe kipenzi ambaye naye alikutana nae sehemu ya kazi yake, Gara B ananijibu kuhusu uaminifu ambao anao kwa mkewe ambaye kwa mujibu wangu kama amekutana nae kwenye mazingira hayo, vipi hujiskia kila mara anapokua kazini mumewe ukichukulia huko ndipo walipo kutana na ndo ambapo wanawake wengi wazuri huwepo? Jibu lake lilikua na kuukonga moyo.
Alituhadhia pia kuhusu wazazi wake na jinsi ambayo ameweza kujitengenezea jina, siku ya kwanza alipopata kimeo cha ku host harusi ya watu ambayo kwa mujibu wake aliibembeleza sana na hakua amepewa nafasi, ila nafasi ilipojileta akanyoosha kwa umbali mrefu mpaka mengine yamebaki story tu. Na hii ndo ilikua simulizi yangu bora kabisa kuhusu kupata nafasi na kuzitumia vyema.
Yangu matumaini utaskiliza na kuangalia kwa makini maana humu anatupa simulizi zote za kutokata tamaa na jinsi ya kuchukua nafasi, ila pia anatuhadithia baadhi ya mitihani ambayo huja na umaarufu pia na jinsi ya kupambana nayo. Mimi nili enjoy na natumai itakua hivyo kwako pia.
Happy Holidays.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
@emmanuelwilson8191
@emmanuelwilson8191 Год назад
Salama yani katika kipindi chako nimejifunza kuwa ilikutimiza ndoto kubwa yeyote mtu unayoiona ni lazima kujianda vzuri na kukubali kujifunza ili kufanya kiufasaha ile ndoto yako muda ukifika. ulikubali kufanya vipindi vya interview (Mkasi) and hata kuwa judge and now unafanya vzuri kazi yako. hii formula ni ya kuitumia kwenye maisha yangu. Best of luck Salama. Positive vibes
@swahiliteacher4255
@swahiliteacher4255 Год назад
Brother hongera sana uzidi kubarikiwa, Salama dada wa taida... big up sana,
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Год назад
Dah nimesikitika sana na ile story! Aisee una mke na nusu❤❤
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 Год назад
Nakupenda sana dada salama kwa kazi nzuri. Me nakuona wewe ni mtaalam wa mahojiano.
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. Год назад
Salama unafanya kazi nzuri sana.
@marrymwalimu1811
@marrymwalimu1811 Год назад
Namfaham mwanao Jensen,ukimkuta sasa anajitambulisha mi mtoto wa Gara b,anajiita Gara boy.
@ZaituniMuhammed-go4nw
@ZaituniMuhammed-go4nw 10 месяцев назад
Nlikuwa interview nzurrr ❤❤
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Best mc in Tanzania wish you the best ❤
@hermanwenceslaus5497
@hermanwenceslaus5497 Год назад
what a character Gara b.....
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Gara B,nakukubali sana Bro
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 Год назад
DADA WA TAIFA NA MC WA TAIFA..
@collinssoundsmusic3182
@collinssoundsmusic3182 Год назад
There are diff. In filming with motion here. But the show its awesome❤🎉
@carolineanthony1095
@carolineanthony1095 5 месяцев назад
❤❤
@luciamsani
@luciamsani Год назад
Pc yangu iko vizuri mbona kwa interviews nyingine vinaenda sawa warekebishe bhana hamtaki kuambiwa au mnataka comment zipi jaman?
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 Год назад
Gara whaaaat 😅🔥 ila Mange hadi auwe watu na blood pressure 🤔🩸 💔
@صالحالصوافي-غ5و
Kama na muona mange kimambi anakuja tz 😂😂
@knowwithasha
@knowwithasha Год назад
brain on point
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Hongera sana garb
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Dada wa Taifa 😂😂🤣
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 Год назад
Dah
@HERIETHNATHANEL-pb7ep
@HERIETHNATHANEL-pb7ep Год назад
Waaaaah
@dianerditto
@dianerditto Год назад
😘🤩🤩🤩
@mwanaidimuhindi6671
@mwanaidimuhindi6671 Год назад
Anko Michael wa Anitha 😁
@luciamsani
@luciamsani Год назад
sauti na matamshi ya mdomoni hayaendi pamoja watu wa sound warekebishe hapo
@viceboy7368
@viceboy7368 Год назад
Labda simu yako mkweche
@viceboy7368
@viceboy7368 Год назад
Sorry nilkuwa xjaichek
@luciamsani
@luciamsani Год назад
@@viceboy7368 basi usiwe mwepesi wa kujibu kabla ya kuhakiki kisemwacho nia yangu ni njema tu si kuharibu coz personally kuna vitu najifunza kupitia some of interviews ila quality pia ni muhimu hata kama nahitaji kusikia tu bila kuangalia mdomo wa mtu
@viceboy7368
@viceboy7368 Год назад
Kwel dada
@bettysalvatory9136
@bettysalvatory9136 Год назад
Wa kwanza😊
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Год назад
🔥🔥🔥
@damiodamio4332
@damiodamio4332 Год назад
Next mlete salama na Joseph kusaga @salama
@christinenyamu1645
@christinenyamu1645 Год назад
Jamaa wa editing kuna mahali sauti na picha haziendani
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 Год назад
♥️♥️♥️
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 Год назад
Dah
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 Год назад
Dah
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 Год назад
Dah
Далее
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
КТО БОИТСЯ КЛОУНОВ?? #shorts
00:20
Просмотров 561 тыс.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21