Nomaa!wakazi na country wamekamua mbaya freeflow na freestlye za kbabe sky level.. af nashangaa haters wanaponda nmegundua hata ushabik una level kutokana na upeo, kuna mashabik underground humu upeo mdogo kwa kujaji vitu!
you all haters mnaodis what swagger bovu did..MCEE'S Wakiimba verse zao mnataka freestyle .wakazi ka freestyle i see dem haters dropping hating comments...BIG UP SWAGGER BOVU you did it well as well as country whizzy
Kiukweli, haikuwa hot. Afu mkiwa mnafyetua video angalieni sana kuna wengine hawakupaswa kuonekana kama huyu boya aliyevaa miwani & portable yellow hand bag hakuwa na faida hapa yeye naselfie za kisenge tu! Wa Mbwinde huyu raia.