Am watching from Kenya and I have a question to ask.hii show ni ya watanzania tu peke yao ama hata sisi wakenya tunaeza join ili nasi tupate warembo wa TZ???pia punguza music warembo wanapo ongea ili tuwazikilisha please
Elizaa ana matatizo😂😂, anahisi kila kitu Kina revolve around her… foundation na powder ni make up..😂😂😂 halafuu Mr right wala hakukutarget ww… Heal utoke kwenye podium… 😊😊
Naona wengi wanamchukia Eliza nami nlikuw simpendi Ila now nampenda Coz anachangamsha kipindi Then Yani huwa hajali ye anakupasulia tu yai viza😂😂😂 Kongore Eliza usipate Mr.right mapema patapoa hapo😂😂😂
Ama kweli Eliza unafeli aisee hebu jilekebishe basi mbona wewe kila wakati ni kupaniki tuuu aisee!!! Sasa humo ndani kwa atakae kuoa mbona utakuwa moto!!
Jaman Mimi nampenda eliza nikiingia kutazama napenda kumuona Tu Eliza napenda anavyo kuwa mbishi mbishi yaan naenjoy kiufupi ningekuwa sipo kwenye mahusiano ningekuja kumchukua jaman
Eliza asome Tu hizi comments jaman me kila nikiingia nataman nione Tu anavyo vurugua naenjoy sana jaman. Eliza endelea kuwavuruga. Jaman hakuna kitu kizuri kama eliza analichangamsha game sana