Тёмный

Stories za Instagram Live...mambo ya dating na life la ughaibuni 

EBM SWAHILI
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 2,5 тыс.
50% 1

Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

Опубликовано:

 

9 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 15   
@neemahappyeverafter6181
@neemahappyeverafter6181 4 месяца назад
EBM una spirit ya kujiamini balaa umefanya matukio makubwa ungali mdogo sana, Mungu azidi kukuimarisha na kukubidiha
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 4 месяца назад
Kaka kwema naitwa balemba nipo karagwe kagera Tanzania mtani wako naomba utoe maelezo kdg kwa Hawa ambao Awana elimu wameishia darasan la Saba form four wanawezaje kufika ughaibuni na wanaweza kufanya kazi Gani maana unatoa maelezo ya watu wa elimu ya juu Hawa wa chini awaelewi Asante
@jeremiahhamis8585
@jeremiahhamis8585 4 месяца назад
Kiongozi habari ya kazi Mastercard Scholarship university of pretoria inatfunguka mwezi wa tano mwaka huu kwa ajili ya mwaka wa masomo 2025. nikiwa kati ya watanzania wachache tuliofanyikiwa kupata scholarship hii tunapenda watanzania wengi waweze kuomba na tutakua na semina mwezi wanne Tanzania Dar es Salaam tarehe nitakijulisha kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuomba. Tunaomba utasidie kuitangaza asante.
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 4 месяца назад
Mie Mjukuu wangu alinichekesha! Alimwambia Mama yake eti wabebe Sukari waende nayo Marekani! Alisema hajawahi kuona Sukari kwao! Ni kweli hajawahi kuona sukari kwa sababu wanatumia Asali!
@user-lq1up3lx4f
@user-lq1up3lx4f 4 месяца назад
Wow Great, I enjoyed much
@boaziyonaf9770
@boaziyonaf9770 4 месяца назад
Kaka Mimi naitwa Boazi Nipo Tanzania ni muha wa kasulu kigoma. I wish nifike marekani sijui naanzia Wapi kaka naomba unisaidie
@joasitz9559
@joasitz9559 4 месяца назад
Unaweza omba green card na pia unaweza kwenda kwa kutumia ujuzi ulionao mfano kama nurse unaweza fanya mitihani ya marekani ukifaulu unapata kazi kule
@ElizaGeorgeBujiku
@ElizaGeorgeBujiku 4 месяца назад
Hiyo mitihan kwa Tanzania inafanyikia wapi?​@@joasitz9559
@enemtatuka5863
@enemtatuka5863 4 месяца назад
Sisi wenye majina ya kina Ernest sisi wote ni SIMBA SC
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 месяца назад
Hongera Shena.
@dn.n4983
@dn.n4983 4 месяца назад
Unakesha kweli jamani suami mambo uchawi sipendi kuaa watu wanaomini MUNGUVWANGU NDIO NAMINI DI WACHAWI
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 4 месяца назад
Shena umedamka saa ngapi? Sisi huku ndo tumeamka muda siyo mrefu!
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 4 месяца назад
Hata wanaooana kwa kuchumbiana na kutuma Mshenga, mambo yakiwa sivyo ndivyo Ndoa inavunjika!
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 месяца назад
EBM amesema washakuja hawa vichaa? Tengua kauli jamani.
Далее
Ushamba wangu mwanzoni Marekani - Maisha Ughaibuni
53:50
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
Просмотров 4 тыс.
80 Year Olds Share Advice for Younger Self
12:22
Просмотров 1,6 млн
Mahojiano na Mshindi wa Green Card Lottery Mtanzania
20:56