Kaka kwema naitwa balemba nipo karagwe kagera Tanzania mtani wako naomba utoe maelezo kdg kwa Hawa ambao Awana elimu wameishia darasan la Saba form four wanawezaje kufika ughaibuni na wanaweza kufanya kazi Gani maana unatoa maelezo ya watu wa elimu ya juu Hawa wa chini awaelewi Asante
Kiongozi habari ya kazi Mastercard Scholarship university of pretoria inatfunguka mwezi wa tano mwaka huu kwa ajili ya mwaka wa masomo 2025. nikiwa kati ya watanzania wachache tuliofanyikiwa kupata scholarship hii tunapenda watanzania wengi waweze kuomba na tutakua na semina mwezi wanne Tanzania Dar es Salaam tarehe nitakijulisha kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuomba. Tunaomba utasidie kuitangaza asante.
Mie Mjukuu wangu alinichekesha! Alimwambia Mama yake eti wabebe Sukari waende nayo Marekani! Alisema hajawahi kuona Sukari kwao! Ni kweli hajawahi kuona sukari kwa sababu wanatumia Asali!