Tazama pambano lote kati ya Bondia Mtanzania, Twaha Kiduku dhidi ya Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini. Wellem amemshinda Twaha Kiduku kwa pointi kwenye pambano la raundi 12.
Huyu m south kapigana mapambano 6 kashinda 3 zote 3 ni ko na hajapoteza mchezo hata 1 inamaana 3 ali suluhu huyo jamaa kidogo anaweza cheza na Mwakinyo gonga like Team Mwakinyo
Mkijua Ngumi vizuri na michezo kwa ujumla mtarudi kufuta comment zenu uchwara , Twaha ali deserve kupigwa hatukatai but still ni champion na hv ndio kuta mjenga azidi kupambana
Twaha ame deserve kupigwa kwenye hili pambano ila rai yangu kwake azidi kupambana na kumuomba Allah coz bondia hajui ngumi mpaka astafu ndo anajua , Twaha wa zamani sio wa sasa hata wakina Pacman na Maidana wali anza hv ila now days wapo fiti na record zao # Allah first pambana broo
Uzito wa mwakinyo sio wadula watanzania tujielewe bondia anaepiga na mwakinyo kiduku apigani nae na anaepigana na kiduku mwakinyo awezi kuweni waelewa kwaiyo kila mtu mfananishe na lenk anaecheza nae
Tz ushinde tu ukishindwa Unalaumiwa hadi ujute jaman Kwenye kupambana kuna matokeo matatu msisahau kunakushinda kushindwa na Kudroo acheni zalau jaman kushindwa kwa Kiduku ndyo kujifunza kwake
Tatizo bondia wa tanzania wanafanyamazozi magum saana kuliko teknik wanavutamagali kwakiuno badala yakuhesabu ngumi chache au nyingi za pwent kidunda umli tuh ila bonge wa bondia bongo na mwakinyo
Walimu muwafundishe mabondia wetu TECHNIC sio kwenda kupiga tu'.....Twaha Hana Technic, ..kama hivi kakutana na bondia mzuri kakosa njia MBADALA ya kushinda pambano..!
Huko nyumbani, una body advantage, weight advantage, una Tittle nyingi, then you loss the fight just like that ? You can't be serious. Huyu guy from South Africa is very well trained and professional
hii orhordox ya ASEMAHLE ni hatarii anapiga triple jebu alafu anazunguka anaaweka angle anapiga triple jebu...uyu jamaaa ni classic boxer ...amedeserve kuwa bingwa wa WBF
Ushauri wang waalim msifundishe kwa uzoefu .fundishen kwa kubadlisha mifumo..twaha anavamia syo kupgana tusiwe waongo mchezo wa twaha unasomeka mapema ...maana ni stlyle 1tu
Unajua Tuache Ushabiki Jammany Mwakinyo Kwenda Kupigana Njee Ya Nchii Imemuongezea Kitu Kikubwa Sana Shughuli Ipo Kwa Hawa Ndugu Wa Ndani Kuletewa Mabondia Ukiwaambia Wabishii
Ebu huyu msouth africa agewe selemani kidunda tuone inakuaje naamini selemani kidunda anaweza kumkalisha huyu jamaa msouth, harafu game itakua ni nzuri sana
😂😂😂😂ety twaha anaongea lugha gani?🙊wee mtangazaji bhana 🤣🤣🤣any way twaha big up broo you did a good job,, love from 🇰🇪❤️❤️❤️ but congrats to you wellem
Twaha kiduku wewe Bado ni mwamba tu ,,kaza mdogo wangu Wala ucjali mana hata Mike Tyson,,amepoteza sana mapambano tena Kwa knoucort nyingi lakn hajawai kusikiliza maneno ya wapinzani ,,,,mako dinda,mako stamina 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo nimeamini Maneno ya Champez Mwakinyo awa kwali ni wanawake😃😃 Mnapigwaje nyote Tena ndani ya Nchi yenu mnashindwa kuieshimisha Bendera yetu ya🇹🇿🥲🥲🥲 Bondia kama awa ni Bora wafukunze kabisa na kamisheni ya ngumi%
Mi namuomba mungu kidunda amuite Hy mbwa mwitu Ili apigane nae HP Sasa atarudi kwao akiwa kwenye machela mbwa sana Hy hawezi kuja huku na kumpiga ndg yetu hivyo
Shida kubwa nimeona ya kiduku nikufunguka Sana anampa mwenzake ruksa ya kumpata uso. Cha pili anakawia Sana akisubiri target ivyo mwenzake anatumia nafasi hio kumpa pigo rika yake
Twaha kiduku ungekuwa unarusha ngumi kama huyo dogo ungekuwa mzuri sana kwasababu nguvu unazo tayari.. sasa wew unaendelea kunyanyua vyuma baada ya kujifunza kurusha ngumi na sio hayo makota kota
Twaha kiduku hajui ngumi, ngumi sio kuzuia uso ni kutumia Technics za ngumi, sio kuvamia tu ndio Mana mwakinyo kawambia ukweli hamjui ngumi mnabisha, kwa ngumi hi uwezi pigana na boxer yeyote uingereza na marekani wa uzito wako.
Ili umfananishe mwakinyo na Twaha. Ni pale mmojawapo atacheza ktk uzito wa mwenzake. Hapo muongelee kidunda na Dulla mbabe na akina misumali ndo Super middle weight. Ukimuona mfaume kacheza ovyo ndo umuongelee Mwakinyo maana mfaume ndo anacheza ktk super welter na Middle weight
Ili umfananishe mwakinyo na Twaha. Ni pale mmojawapo atacheza ktk uzito wa mwenzake. Hapo muongelee kidunda na Dulla mbabe na akina misumali ndo Super middle weight. Ukimuona mfaume kacheza ovyo ndo umuongelee Mwakinyo maana mfaume ndo anacheza ktk super welter na Middle weight
Nikiangalia mabondia wetu wengi naona kuna shida katika walimu wa ngumi,,,,hawajapatikana walimu wenye viwango vya kimataifa kuwanoa hawa vijana,,,,upiganaji wa mabondia wetu karibu wote inafanana,,,unamuona bondia yupo sehemu sahihi ya kupiga ngumi ila anatupa ngumi moja na kwenda kukumbatia ingali alikuwa na nafasi ya kutupa ngumi zaidi,,,vile vile sioni ule mpangilio wa kutupa ngumi za kumaliza pambano,,,kuna namna bondia anatakiwa kujua anatupaje ngumi za kumaliza pambano,,, hilo sijaona kwa mabondia wengi,,,,natamani kuona ngumi kama zile za Mbwana Matumla na Rashidi Matumla enzi zao
Wewe unajua ngumi, umeongea sahihi kabisa. Unaona Kuna muda wa kutupa ngumi wao nakimbilia kukumbatia, daaah, ni waoga sana kna muda inatakiwa kutojali kumsogelea adui ili upate nafasi ya kumaliza pambano.
Wanekosa mafunzo sahihi,,, Hakuna makocha wa ngumi wa uwezo wa kimataifa zaidi ya kupiga kelele tu hapa bongo,,,twaha alikosa kabisa ujanja wa kumiliki hata round moja,,ndiyo maana hata Mwakinyo hataki pambano la ndani maana halina changamoto,,,,Mwakinyo kdogo anajielewa ila naye tatizo ni like lile, bongo hakuna kocha wa uhakika wa kumuweka bondia tayari kimataifa
Kiufup twaha kiduku hawezi kupigana Kwa ku stand face to face sabbu anategemea angle Sasa iyo ndio tofaut kubwa na mwakinyo, mwakinyo yye anaweza kutumia njia zote mbili kama mwakumbuka tinampey alikuwa kama uyu jamaa but mwakinyo alikuwa anamsumbua Sana tinampey na alikuwa ampi upenyoo wa angle alikuwa mwakinyo anampiga kutafuta point za muhimu. Ila twaha kiduku hawezi ku stand yye aina yake ni Moja tuuu ya upigaji ni kutafuta angle Sasa Kwa uyu mjamaa hawezi kutoboa Mana jamaa anatumia akil then mwepesi
Mie na laumu watu wanaomsimamia kiduku baada yakuona uyu bondia kafuta mapambano yake RU-vid ivo kiduku ajaweza kumsoma ht pambano 1,ivo kumsoma wkt mechi inakua ngum yn wangeitajika waende south kuakikisha wanapata baadhi ya mchezo wake kwani walikosea
😢😮😂😅apo ndo mnapokoseaga kuimba wimbo wa taifa mkianza na verse ya uzalendo eti Mungu ibariki Afrika, no kosa kubwa, apo inatakiwa verse yetu tu Mungu ibariki Tanzania baaasi!?