Hii ilikuwa ni East African Community strategy iliobuniwa na Marais wa Nchi za Africa Mashariki kujenga Reli katika Nchi zao ,kipindi hicho kilikuwa Kati ya Marais Mussoveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya kikwete na Manifesto ya CCM iliinguzwa 2014 na mradi ukaaza Rasmi 2015-2016 ,
@@rahmaomary5134 kama mtu kafanya kitu apewe maua yake sio kutafuta kuindoa uhalali kwa mtu kwa kigezo cha kutaja taja majina ya mtu ambae hajafanya kikwete katawala wote ni mashahidi miradi haikuwa kipaumbele chake hata ungemuongeza miaka mitano husingeona sgr,bwawa la umeme wala nini maana hivyo havikuwa kipaumbele chake
Dr. Kadogosa hongera ila Tanroad wametuangusha...barabara za kufika station morogoro ni mbovu. Kwa nini hawakujenga barabara, wakaweka lami, wakafunga taa. Kwanini Tanroad mmelala hivi?
Nchi zetu za kiafrica zina wakashifu wengi wanaojificha kwenye kivuli cha ukosoaji hili lilionekana mwanzo hasa pale mradi huu wa reli ulipo husisha umeme na tanesco yetu hatimae treni ya umeme imeanza kazi na ila mjue wana subiri mambo yaharibike ili warudi kwa kasi huduma basi ziwe bora kila siku ili waendelee kujificha huko huko 😂😂
Watanzania mpaka muwafunge hao wanaopita juu ya fence. Bila kuwasomesha darasa hawataacha. Wachukulieni mfano na wafungwe, hutaona mtu anafanya hivyo tena!
Root ya jioni ingeanza saa 12 kamilli ama saa 1 usiku saa 10 mapema mno kama unafuatilia jambo la kiofisi huo muda bado upo ofisini bado hujatoka Saa 10 kamili kama mchana tu Jioni iwe jioni kweli Hususani kama mkoa wa morogoro ina wilaya zingine zipo mbali Hivyo itatoa fursa pia wanokaa wilaya za mbali kuja kupanda treni bila presha za kuachwa
Issue mizigo mikubwa kama ,Mabegi makubwa , yange wekwa kama kwenye ndege, kuwe na behewa la mizigo tuu. Watu wasiingie na Mabegi makubwa . Sehemu za kukalia
Nilisema watanzania ni watu wa ovyo ovyo wameshaanza uharibifu wataanza kuingilia madirishani watafunja vyoo wataiba masink kila kitu , mngeanza kucharaza viboko hadharani
Usitukane watu tafadhali mimi ni mtanzania ni sio wa hovyo. Na kama kuna kitu ulichomaanisha kwa watanzania watu wa ain't hizo wapo duniani kote na kila nchi. Naongea kwa uzoefu.
Tanzania Ni Nchi mchanganyiko wa Kabila na madhehebu tofauti kwanini wale wadada wanaopenda kuvaa hijjab nao hawakupewa nafasi??? Au hawapendezi wakiwa wanahudumia? Mbona hata Rais anaivaa je nae hapendezi? Tuache kukariri