Тёмный

TAZAMA SIKU YA PILI ABIRIA WAKIWASILI DAR KUTOKA MOROGORO 

TRC RELI TV
Подписаться 79 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@Loftyattorneys
@Loftyattorneys Месяц назад
JPM alikuwa na maono makubwa sana alithubutu kwa namna yake no matter what keep resting in peace
@khamissaleh921
@khamissaleh921 Месяц назад
Hii ilikuwa ni East African Community strategy iliobuniwa na Marais wa Nchi za Africa Mashariki kujenga Reli katika Nchi zao ,kipindi hicho kilikuwa Kati ya Marais Mussoveni,Uhuru Kenyatta na Jakaya kikwete na Manifesto ya CCM iliinguzwa 2014 na mradi ukaaza Rasmi 2015-2016 ,
@charlesmtesigwa2923
@charlesmtesigwa2923 Месяц назад
Z​@@khamissaleh921😂😂😂😂 unaongea porojo kubuni na kufanya ni tofauti acha porojo
@rahmaomary5134
@rahmaomary5134 Месяц назад
@@khamissaleh921 Facts
@rahmaomary5134
@rahmaomary5134 Месяц назад
@@charlesmtesigwa2923 waweza vipi kufanya bila kubuni?
@charlesmtesigwa2923
@charlesmtesigwa2923 Месяц назад
@@rahmaomary5134 kama mtu kafanya kitu apewe maua yake sio kutafuta kuindoa uhalali kwa mtu kwa kigezo cha kutaja taja majina ya mtu ambae hajafanya kikwete katawala wote ni mashahidi miradi haikuwa kipaumbele chake hata ungemuongeza miaka mitano husingeona sgr,bwawa la umeme wala nini maana hivyo havikuwa kipaumbele chake
@ahmedkyama4734
@ahmedkyama4734 Месяц назад
Jitahidini huduma zinabaki kua bora, sio mnaanza vizuri badae mnaanza kuboronga
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Месяц назад
Safiii sn nchi yangu tanzania
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Месяц назад
Dr. Kadogosa hongera ila Tanroad wametuangusha...barabara za kufika station morogoro ni mbovu. Kwa nini hawakujenga barabara, wakaweka lami, wakafunga taa. Kwanini Tanroad mmelala hivi?
@noelswai2660
@noelswai2660 Месяц назад
Kazi nzuri kwa serikali yetu, MUNGU ibariki Tanzania 🇹🇿🙏
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Месяц назад
Nchi zetu za kiafrica zina wakashifu wengi wanaojificha kwenye kivuli cha ukosoaji hili lilionekana mwanzo hasa pale mradi huu wa reli ulipo husisha umeme na tanesco yetu hatimae treni ya umeme imeanza kazi na ila mjue wana subiri mambo yaharibike ili warudi kwa kasi huduma basi ziwe bora kila siku ili waendelee kujificha huko huko 😂😂
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Месяц назад
Nikweli
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 Месяц назад
We are blessed 🇹🇿
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 Месяц назад
Hapa kodi zetu zimeenda halali kabisa,. hongereni kwa usimamizi mzuri,.
@HalimaHamisi-j4m
@HalimaHamisi-j4m Месяц назад
BWANA Masanja Kadogosa tunakuomba utuwekee sehemu rafiki sisi bodaboda wa Dar es salaam wanaposhuka abiria wawe na usalama wao na Mali zao
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Месяц назад
Watanzania mpaka muwafunge hao wanaopita juu ya fence. Bila kuwasomesha darasa hawataacha. Wachukulieni mfano na wafungwe, hutaona mtu anafanya hivyo tena!
@user-ys3gt8lp5h
@user-ys3gt8lp5h Месяц назад
Sio wameitikia walikuwa wanasubria mda mrefu mpk hamu ikaisha kabsa
@Manjalino
@Manjalino Месяц назад
❤❤❤❤ tanzania nchi yangu
@maleojoseph5272
@maleojoseph5272 Месяц назад
Ndo yetu na ndo tunayo ipenda.. Tunamshukuru Mungu kwa hii treni
@husseinally6699
@husseinally6699 Месяц назад
Root ya jioni ingeanza saa 12 kamilli ama saa 1 usiku saa 10 mapema mno kama unafuatilia jambo la kiofisi huo muda bado upo ofisini bado hujatoka Saa 10 kamili kama mchana tu Jioni iwe jioni kweli Hususani kama mkoa wa morogoro ina wilaya zingine zipo mbali Hivyo itatoa fursa pia wanokaa wilaya za mbali kuja kupanda treni bila presha za kuachwa
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 Месяц назад
GOOOD
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution Месяц назад
Kazi nzuri
@abdulvinthemogo4036
@abdulvinthemogo4036 Месяц назад
Baada ya wiki kadhaa wataanza kutuongopea Makusanyo, Baada ya Miezi Kadhaa Wataanza kusema Vichwa vimepelekwa Kwenye Matengenezo
@ruhindacostantine2092
@ruhindacostantine2092 Месяц назад
Mawazo mabaya utoka kwenye roho mbaya
@davisfrank7932
@davisfrank7932 Месяц назад
kazi nzuri ila kwanini station za sgr ziko mbali na vituo vyamabasi mfano magufuli na nane nane?
@mussamussa8181
@mussamussa8181 Месяц назад
Tena cjui alie dsnganya nan cha dodoma kupeleka mbal vile..wakat wangekijenga TAMBUKA RELI PALE PALE TU NJI YA UDOM ILE BASI..
@albertmaneno
@albertmaneno Месяц назад
Safi sana
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
SAF sana❤❤❤
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z Месяц назад
Nikitoka mkoani nitakua naishia morogoro kwenda dar nitapanda tren
@255kwetu8
@255kwetu8 Месяц назад
Hahaha kama mimi
@ericmoramagige3407
@ericmoramagige3407 Месяц назад
Issue mizigo mikubwa kama ,Mabegi makubwa , yange wekwa kama kwenye ndege, kuwe na behewa la mizigo tuu. Watu wasiingie na Mabegi makubwa . Sehemu za kukalia
@AlexChilla
@AlexChilla Месяц назад
Route ya dar to dodoma itaanza lini?
@typhonesapali9054
@typhonesapali9054 Месяц назад
Tiketi kwa mtandao zinapatiknaje? Elekezeni basi tuelewe
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka Месяц назад
Tunaomba mutuwekee mfumo wa card kama pale ferry kigamboni
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
Kadogosa pisha basi ushaongea sana
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Месяц назад
Watanzania tuko tayari kulipa kodi
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka Месяц назад
Tunahitaji Card za kugusa
@user-cm9hc1fu4h
@user-cm9hc1fu4h Месяц назад
Hao wadada wahudumu wenye mabegi ni lazima wawe na mabegi
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Месяц назад
Hii tren ama ni gari mosh
@Kabwela776
@Kabwela776 Месяц назад
Nilisema watanzania ni watu wa ovyo ovyo wameshaanza uharibifu wataanza kuingilia madirishani watafunja vyoo wataiba masink kila kitu , mngeanza kucharaza viboko hadharani
@user-wd2vt3fc9k
@user-wd2vt3fc9k Месяц назад
Usitukane watu tafadhali mimi ni mtanzania ni sio wa hovyo. Na kama kuna kitu ulichomaanisha kwa watanzania watu wa ain't hizo wapo duniani kote na kila nchi. Naongea kwa uzoefu.
@YasiniMkakile
@YasiniMkakile Месяц назад
Mbona treni ya kizamani
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv Месяц назад
Nunua Yako
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Месяц назад
Kila siku kuongea na waandishi wa habari fanyeni kazi bwana mmekuwa kero
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Tanzania Ni Nchi mchanganyiko wa Kabila na madhehebu tofauti kwanini wale wadada wanaopenda kuvaa hijjab nao hawakupewa nafasi??? Au hawapendezi wakiwa wanahudumia? Mbona hata Rais anaivaa je nae hapendezi? Tuache kukariri
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 Месяц назад
Uliambiwa akivaa haruhusiwi?
@musakatwale1959
@musakatwale1959 Месяц назад
JPM NI MUNGU MTU YU HAI
@rahmaomary5134
@rahmaomary5134 Месяц назад
Loooo!Muogope MUNGU
Далее
СМОТРИМ YOUTUBE В МАЙНКРАФТЕ
00:34
Просмотров 977 тыс.
How Private Equity Drove America's Car Wash Obsession
7:04