Тёмный

ZAIDI YA ABIRIA ELFU 40 WASAFIRI NA TRENI YA SGR, PROF. MBARAWA AELEZA MPANGO WA TRENI YA MIZIGO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Месяц назад
Kweli wenye haki huwaachia watoto ulithi mwema tunamshukulu mungu kwa maisha ya magufuli
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Месяц назад
Hayati JPM ame tuheshimisha sana mungu ampoker huko aliko
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 Месяц назад
NAMI, NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100%.NA PONGEZI NI ZAKE KABISA
@victorjames3730
@victorjames3730 Месяц назад
Leo nimsifie magufuli kwa hii project!
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Месяц назад
Asante sana mwamba, kipenzi chetu JPM, pumzika kwa amani
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Месяц назад
Baadae mseme magufuri alikuwa dikteta! Wakati hayo yote ni matunda ya hapa KAZI tu
@TamuzaKale
@TamuzaKale Месяц назад
Mbona kawaida sana? Wazungu na waarabu waliwafira, wamewapa mfumo wa elimu na dini. Mnajidai mnazijua kuliko wao waliozileta. MAE!
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 Месяц назад
JPM thank you
@vero57
@vero57 Месяц назад
Kwahivyo tunaenda moro kula bata weekend, safi sana 👍👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Месяц назад
Naaam hayaa ndio maendeleo sasa
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Месяц назад
Tunataka pia treni ya kutoka Dar mpk Arusha
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 Месяц назад
Dodoma to Arusha ingependeza zaidi
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 Месяц назад
Kweli kabsa
@user-tk4es1uw7e
@user-tk4es1uw7e Месяц назад
hongera sana mama jitihada ya kutimiza
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 Месяц назад
Asanteeee Mh . Magu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад
Mwenyez Mungu amrehem huko alipo Magufuli wetu 🙏😭
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 Месяц назад
Asanten sana serikali kwa usafiri mzuri wa train yetu❤
@cngeze
@cngeze Месяц назад
I hope wataitunza
@bernadndanu3435
@bernadndanu3435 Месяц назад
Kwa Nini msiwapongeze wananchi wa Tanzania kwa kulipa Kodi Ili wapate motisha ya kulipa Kodi badala ya viongozi wazo langu asante
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Месяц назад
Kweli ulaya zina jengwa dah maana Dar kama ulaya kuna walio tutangulia kujenga SGR ila kwa sasa wana ikosoa SGR yao kisa yetu ni ya kisasa
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Месяц назад
John Joseph Magufuli aliwaza na kuanzisha vyema, Mungu ampe pumziko jema
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz Месяц назад
Muhimu utaratibu wa makusanyo ya fedha yapatikane na yaweze kujitengeneza yanapo haribika
@tradamus4158
@tradamus4158 Месяц назад
Utasikia tu shirika limepata hasara wapigaji bado hawajaanza
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Месяц назад
@@tradamus4158 kwani shirika ni sehemu ya chombo gani kiasi lisitendw kama hicho chombo? Mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo suala la upigaji haliepukiki ni la kusubiria tu kama ilivyokuwa atcl
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Месяц назад
JPM Hongera Hongera Hongera Mungu akuweke mahali pema peponi, ungekuwepo ungeona wazo lako. R. I. P.
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Месяц назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
@subiramwaka9792
@subiramwaka9792 Месяц назад
Usimamizi mzuri ni muhimu lingine basi hiyo pesa iende kulipa deni. Tupunguziwe mzigo wa kodi.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Zote zinspigwa mzee utajua hujui.
@benancejohn1198
@benancejohn1198 Месяц назад
Hizo bei kutokana na kilometers ndio bado zipo juu. Ina maana reli ikikamilika,ukitokea mwanza to Dar,nauli ni sawa na umepaa na pipa.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
YAN IKIFIKA MWANZA ITAKUWA N UNYAMA SANA
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Месяц назад
Kikubwa ni kuweka usimamizi ili wahujumu wasije kupata nafasi ya kuhujumu mradi huu uliobadala wa watanzani kiusafiri na mapato yetu ya ndani.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Месяц назад
@@Shafikimanga7 ndoto kuepuka wahujumu kwa nchi hii labda aje Yesu
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Месяц назад
Usafiri mzuri sana nimeipenda sana
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 Месяц назад
Ila arusha ni muhimu sana treni ya SGR ipatikane kwa haraka sana,kwani watalii kutoka nnje wangependa sana kutumia treni ,ikwasababu itakuwa njia nzuri sana kutalii. Arusha tunataka 👍
@agneskissinga5251
@agneskissinga5251 Месяц назад
Mh! baba hayupo.
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Месяц назад
Ni wakati wa sasa wakuziongeza hizo treni zikawa nyingi pamoja nakuzipeleka na kwingine chanzo kizuri sana cha mapato ,
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz Месяц назад
Bora ajali za barabarani zitapungua
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Месяц назад
Jpm hoyeee
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
SAMIA 5 TENA HUNA MBADALA SAF SANA❤❤❤❤
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Месяц назад
Amalizie muda wake atoke, anajua kusafiri tu
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Месяц назад
​@@laurentraphael5470Tutamchagua mama yako anayejua kukuna nazi tu
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze Месяц назад
Dk Samia the iron lady umeziba mashimo kibao ww ni bonge la mama
@zawadix9574
@zawadix9574 Месяц назад
Maintain hizo treni kwa sababu sisi wa tz tuna haribu vitu vipya 😢
@MhinaMaria
@MhinaMaria Месяц назад
Kazi nzuriii
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Месяц назад
kazi iko poa
@MhinaMaria
@MhinaMaria Месяц назад
JPM
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Месяц назад
Yenyewe inabeba wangapi
@yohananchimbi1756
@yohananchimbi1756 Месяц назад
Sasa hatutegemei kusikia mnafanya biashara kwa hasara,kwa sababu hamkosi maneno
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 Месяц назад
SGR nyingn ijengwe kutoka Dodoma hadi mikoa y kazkazini.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Месяц назад
Dodoma to Moshi itakuwa ni ideal kabisa
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Месяц назад
Dodoma -moshi kupitia manyara na dar -moshi kupitia tanga wapi pana umbali mrefu??
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Ianze Kigoma kwanza😂😂😂
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Месяц назад
@@GibsonNtamamilo Kigoma inaazaje wakati ujenzi hauja isha
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Месяц назад
@@GibsonNtamamilo afu watu wa kigoma washazoea treni yao ile ya zamani inatembea uku inaruka ruka
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 Месяц назад
Hizo pesa mukalipe madeni nchi inayokopa....
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Месяц назад
Kazi ya magufuli,
@MnubiMm
@MnubiMm Месяц назад
Ni kweli kabisa lakini hakumaliza na hata kipande hicho Cha Moro hakikuisha Mama lazima Atajwe na apongezwe kwa hii miradi mikubwa kuimalizia
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 Месяц назад
Wanzanzibar wamejaa kila sehemu, mawaziri, wakurugenzi and everywhere. Safi sana Raisi😅
@zawadix9574
@zawadix9574 Месяц назад
Wa Tanzania nchi moja
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад
ONGERA NA ASANTE SANA MAMA , NAOMBA ULINZI NA USALAMA UWE WA KUTOSHA MAANA KWENYE MAENDELEO ADUI HAKOSI. ...... ASANTE SANA SHUJAA JPM.. THE LIVING DREAM HERO!!!
@muzneali4747
@muzneali4747 Месяц назад
MWISHO WA MWAKA TUSISIKIE MMEPATA HASARA TUTAJUA HIYO NI HUJUMA
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 Месяц назад
sisi tunakuja kudai receipt tuu za mapato
@NammanaMobile
@NammanaMobile Месяц назад
Izo treni zote ni kwa reli iyo iyo moja au... Ndo tutalajie kauli ya Ni mipango ya Mungu. Mana wachina wana tecnologia kubwa na wana akili nyingi lakin sijaona wakitumia reli moja kwa treni nyingi
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
Angalia wachina walikuwa wapi 1970! Korea na Thailand, Singapore, then utaona kwamba walianza mdogo mdogo, ni kawaida sana kuanza namna hii, huwezi kulinganisha shughuli hii na washughulikaji walioanza kabla yetu na ambao kwa sasa wamebobea! Kwa reli tufananishe na nchi zilizotuzunguka, na hata fika mbali mpaka west Afrika! Cha muhimu ni kuendelea kuiongeza, baada ya watu na serikali kuwa na treni nyingi ofcourse line mbili zitaongezwa na hopefully nchi itakuwa imeunganishwa kwa reli! Nchi zote zenye reli zilianza na line moja!
@allykhalfankingwana5272
@allykhalfankingwana5272 Месяц назад
Lakini unafahamu kuna kitu kinaitwa Ratiba?
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Месяц назад
Miradi ya serikali yoote huwa hasara kwa sababu ya wizi wenu sasa sijui hii itakuwaje?
@zawadix9574
@zawadix9574 Месяц назад
Sio ata wizi usafi na ku tunza vitu angali mwendokasi ilivyo choka haija ka ata miaki 6 tatizo tu tunze vitu vyetu
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Месяц назад
Dodoma ingejegwa Stand kubwa maana watu tutakuwa tunatoka Bukoba mpaka Dodoma halafu Dodoma tunapanda kwenda DSM
@emmanuelbenjamin4186
@emmanuelbenjamin4186 Месяц назад
Subirini ya Mwanza
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 Месяц назад
Ni mwanza sio Dodoma
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 Месяц назад
Treni haziingiagi stand mkuu
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 Месяц назад
Nawaza wenye mabasi Trip za Dar Moro 🧐
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
Relii ni nzuri kwa sababu italeta ufanisi kwa wenye mabasi, itashusha bei na kufanya bei ziwe halali! Migomo isiyokuwa ya lazima ya wenye mabasi itapungua kwa hali ya juu! Ndo maana ya maendeleo, kuhakikisha vitu vinakuwa affordable and service industry grows
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Месяц назад
Mama samia safi 2025 wapinzani wasiweke mgombea wa urais apishwe akamilishe miradi kwa ufanisi, Kazi iendelee 💞💞
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Месяц назад
Shillingi ya Tanzania inaporomoka thalami, sasa hivi dollar ya Marekani inaelekea elfu 3, halafu unatuambia upuuzi gani wewe!!
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Issue sio kujaaa. Tuambieni treni hiyo inauwezo wa kubeba abiria wangapi?
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
hesabu namba ya viti ya behewa moja zidisha na namba ya mabehewa kwenye safari moja, jibu utalipata
@leonnyntandu4324
@leonnyntandu4324 Месяц назад
Kwa mkupuo mmoja inaondoka na watu si chini ya 500
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
@@leonnyntandu4324 😁 kama ni standard 2+2 seats then one car carries 66 passengers kama ni 2+3 one car will carry....? na kama ni 3+3 one car will carry ....! Kwa hesabu ya 66 x 14 cars = 924 kwa mpigo. sasa ungiangalia hayo magari, mengine yana 2+3 na mengine yana 3+3 na open space in between or on tha back or fron of the car. Say minimum ni 70+ passengers on economy class
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Месяц назад
Mbarawa mbunge wa jimbo gani huku Tanganyika? Na je, wizara yake anayoisimamia ni ya Muungano?
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Месяц назад
Ni mbunge wa nyumbani kwenu choko
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Месяц назад
@@walidmgonja3644 huo ndo uwezo wa akili yako ulikofikia! Ahsante Mungu akubariki kwa lugha nzuri na ya kupigiwa mfano
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
@@walidmgonja3644 matusi ya nini ndugu? si lazima ujibu kama huna hoja, jamaa ameuliza swali legitimate, kama jibu huna, kaa kimya pls
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Месяц назад
Mbarawa mbunge wa kuteuliwa na raisi kuhusu wizara yupo uchukuzi
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Месяц назад
Haziwezi kugonga jamani...??
Далее
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
Просмотров 22 тыс.
VIDEO YA MAKONDA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE ARUSHA
2:20