Na yeye kama raisi wa inchi anahakikisha kwaba hizo hela itarudi kwa watanzani tena,ni matumizi bora na sahihi,mama samia pia kaendeleza kazi ya raisi magufuli kwa hio anastahili pongezi na yeye ni raisi wa kwanza mwanamke kutawala nchi❤
Ivi watanzania mbona wajinga hivo hatalini mtabaki wajinga msio jitambua ,eti hongera samia kwa lipi kalifanya kwasababu hizo ni fedha za walipa kodi wa nchi hii halafu kwa ujinga mtu anasema hongera samia na huku ameuza bandari zetu,mbuga za wanyama,aridhi yetu ,misitu madini yetu anaharibu tanganyika yetu hakika watanganyika mmerogwa naona
Wewe ni mpumbavu unadaganywa na wahuni,unataka akifanya vizuri wasimsifie mbona rudhuku ya vyama wanazo pewa wahuni hao wa chadema hamsemi kama mtumizi mabaya ya Kodi za watanzania, wewe mpumbavu mvuta bangi,rais anahangaika kujenga Barbara nyie mnazitumia kuandamana mnaakili kweli,wanawadaganya nyie wapumbavu wakati wao wanakula rudhuku za Kodi zetu halafu wanawadanya maadamane badala ya kufanya kazi,wao wapo kazini kusaka rudhuku.
Acha usenge,una uhakika gani,Samia mitano tena tunampenda na tunatamba naye hutaki ama nchi au jinyonge sisi tutakuja tu kuzika,kwendraa huko tuache na Samia wetu