Тёмный

TAZAMA TUKIO HILI ALILOLIFANYA RAIS SAMIA MAPEMA LEO HII 

Uhondo TV
Подписаться 595 тыс.
Просмотров 16 тыс.
0% 0

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

25 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Месяц назад
Hongera mama samia
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Месяц назад
Safi sana Tanzania ...Kura yangu Mama Samia Unayo 2025..Watendaji kueni Wazalendo sio mkiingia hapo Waziri Mkuu aje akute Mnachota
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
Mtangazaji kiswahili kinakukwepa sana
@JacksonMtese-gn4so
@JacksonMtese-gn4so Месяц назад
A country on a move honera Rais
@MabulaLusewa
@MabulaLusewa Месяц назад
Kazi iendelee
@JacksonMtese-gn4so
@JacksonMtese-gn4so Месяц назад
Hongera a country on a move
@frankmakyao7657
@frankmakyao7657 Месяц назад
Picha nzuri kama hizi zichapichwe na zitumoke kwenye majadilio ya madafutari na vitabu vya kiada badala ya kuweka picha za miziki!
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
Jengo zuri kweli
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Месяц назад
B 4
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 Месяц назад
Mama hajatoa hela hizo ni Kodi za Watanzania
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah Месяц назад
Na yeye kama raisi wa inchi anahakikisha kwaba hizo hela itarudi kwa watanzani tena,ni matumizi bora na sahihi,mama samia pia kaendeleza kazi ya raisi magufuli kwa hio anastahili pongezi na yeye ni raisi wa kwanza mwanamke kutawala nchi❤
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Месяц назад
Ivi watanzania mbona wajinga hivo hatalini mtabaki wajinga msio jitambua ,eti hongera samia kwa lipi kalifanya kwasababu hizo ni fedha za walipa kodi wa nchi hii halafu kwa ujinga mtu anasema hongera samia na huku ameuza bandari zetu,mbuga za wanyama,aridhi yetu ,misitu madini yetu anaharibu tanganyika yetu hakika watanganyika mmerogwa naona
@user-xd7bi5lv9s
@user-xd7bi5lv9s Месяц назад
Wewe ni mpumbavu unadaganywa na wahuni,unataka akifanya vizuri wasimsifie mbona rudhuku ya vyama wanazo pewa wahuni hao wa chadema hamsemi kama mtumizi mabaya ya Kodi za watanzania, wewe mpumbavu mvuta bangi,rais anahangaika kujenga Barbara nyie mnazitumia kuandamana mnaakili kweli,wanawadaganya nyie wapumbavu wakati wao wanakula rudhuku za Kodi zetu halafu wanawadanya maadamane badala ya kufanya kazi,wao wapo kazini kusaka rudhuku.
@AthamanRamadhani
@AthamanRamadhani Месяц назад
Acha usenge,una uhakika gani,Samia mitano tena tunampenda na tunatamba naye hutaki ama nchi au jinyonge sisi tutakuja tu kuzika,kwendraa huko tuache na Samia wetu
@user-cf4cs9qp1k
@user-cf4cs9qp1k Месяц назад
Pumbavu wewe, unafikir kuongoza nchi ni kama unavyoongoza mkewako, jinga wewe, muache mama yetu afanye kazi. Ndenda tu upande SGR nadhani utaelewa tu
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Месяц назад
HAYO NI MAJENGO TU, HAYASAIDII MAISHA YA MWANAADAMU.
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah Месяц назад
Kwenda oko
@AthamanRamadhani
@AthamanRamadhani Месяц назад
Pole sanaa kama unadhani kuna Rais atakuletea hela badala ya maendeleo
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah Месяц назад
@@AthamanRamadhani kwili kabisa
Далее
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
O'ZBEK VA TOJIKLAR ROSSIYADA TERAKT UYUSHTIRISHDI!
08:41