Mahakama ya hakimu mkazi Arusha imemkuta na hatia na kumuhukumu kifungo Cha miaka thelathini Jela Lemendia Lesiria mkazi wa wilaya ya longido mkoani Arusha.
Lemendia ni mshtakiwa wakwanza katika kesi ya jinai namba 23.2022 iliyokuwa ikimkabili yeye na Rafik yake Kurasa Mandei kwa madai ya kufanyia vitendo vya ukatili binti mdogo anayedaiwa kuwa mke wa Lemendia.
Mbali na kifungo cha miaka thelathini jela kwa mshtakiwa namba moja pekee, pia mahakama imetoa adhabu ya kifungo cha miaka Mitano kwa kila mmoja na fidia ya Tsh Mil 2 kama garama za maumivu ya mhanga wa kesi hiyo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
26 дек 2022