Тёмный

UJENZI DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUKAMILIKA DESEMBA 30, MWAKA HUU 

TANROADS HQ
Подписаться 3,4 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@ShkiruIsmail
@ShkiruIsmail 9 дней назад
pongezi kwa serikali kwa daraja la jpm bridge
@robertjerald317
@robertjerald317 11 дней назад
Eng. Kaswaga kazi nzuri hongera sana@TRD SNG
@lilhydon452
@lilhydon452 13 дней назад
Mwaka Jana tuliambiwa mwezi wa kumi 2023 sasa mmeongeza mwakwa mumoja na miezi miwili..😮tuombe tu uzima
@eddechriss2664
@eddechriss2664 16 дней назад
Ma engineer km hawa wenye kutoka maelezo mazuri km hv wapo wachache sana Tz
@amirymdee4259
@amirymdee4259 9 дней назад
***Korogeshen ni kitu gani?Kiswahili hamjui?
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 11 дней назад
Tunashukuru fikra za mtu na tunalaumu viongozi wazembe wa nchi hii kwa kutuchekewesha kutumia kodi zetu kwa maendeleo yetu
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 15 дней назад
Kumbe haya bana Tabasamu
@cyprianmwageni701
@cyprianmwageni701 11 дней назад
Miezi 18 =miaka mi4? Engineer umepigaje hapo?
@chanceshihana9491
@chanceshihana9491 16 дней назад
JP 🙏🏾
@dinoboyarnold661
@dinoboyarnold661 12 дней назад
JPM forever
@TuntufyeBrayson
@TuntufyeBrayson 17 дней назад
Perfect
@user-dd3ek5fh5g
@user-dd3ek5fh5g 17 дней назад
R. I. P JPM😢
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 11 дней назад
Hakuna cha daraja LA magufuli ni daraja letu wananchi na kodi zetu tu sio mtu
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 17 дней назад
Ila wewe Mwanachatto lala kwa amani baba, Mungu kwanini ulitunyang'anya Zawadi nzuri vilee Mungu wetu Why any way wewe ndo unajua madhumuni ya hili ulilolifanya sisi hatuna cha kufanya zaidi ya kukushikuru kwa yote
@DavidSemu-gu6wp
@DavidSemu-gu6wp 12 дней назад
AMINA, AMINA AMINA.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 15 дней назад
Nawaombeni sana hayo majani yaliyo ota ziwani myatoe yanaharibu mwonekano wa daraja.
@ulimbombonaulindi5088
@ulimbombonaulindi5088 6 дней назад
Hayo ni magugumaji, yanaelea juu ya maji. Mbinu nyingi zimetumika kujaribu kuyatokomeza lakini zimegonga mwamba. Ni tatizo la ziwa lote, pande zote yaani Kenya, Uganda na Tanzania hivyo yanahitaji mbinu shirikishi.
Далее
I Missed With The Bottle😂
00:12
Просмотров 3,7 млн