Ila wewe Mwanachatto lala kwa amani baba, Mungu kwanini ulitunyang'anya Zawadi nzuri vilee Mungu wetu Why any way wewe ndo unajua madhumuni ya hili ulilolifanya sisi hatuna cha kufanya zaidi ya kukushikuru kwa yote
Hayo ni magugumaji, yanaelea juu ya maji. Mbinu nyingi zimetumika kujaribu kuyatokomeza lakini zimegonga mwamba. Ni tatizo la ziwa lote, pande zote yaani Kenya, Uganda na Tanzania hivyo yanahitaji mbinu shirikishi.