Тёмный
No video :(

THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu
Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 8 месяцев назад
Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli
@medardsotta5211
@medardsotta5211 8 месяцев назад
Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!
@juliusngowi952
@juliusngowi952 8 месяцев назад
Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 8 месяцев назад
Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako
@uwezokinahi7870
@uwezokinahi7870 8 месяцев назад
Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 8 месяцев назад
@@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 8 месяцев назад
Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 8 месяцев назад
@@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 8 месяцев назад
Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke
@mariodattany
@mariodattany 21 час назад
TOP SPIN
@tahfifdilham3688
@tahfifdilham3688 Месяц назад
Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz 8 месяцев назад
Nash nimeanza kusikia nyimbo yake ya TABIA nikiwa simjui kabisa, ila badae nikamjua... kupitia tamaduni music
@edwardasumwisye3010
@edwardasumwisye3010 8 месяцев назад
Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 8 месяцев назад
Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi
@enezacleopa6272
@enezacleopa6272 8 месяцев назад
Maalim Nash King 🤴 TMK
@Chemba67
@Chemba67 8 месяцев назад
Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......
@jumazinga941
@jumazinga941 8 месяцев назад
Nakubal zuzu
@johnrichard5482
@johnrichard5482 7 месяцев назад
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼HESHIMA KWAKO #Nash_Mc Zuzu...✍️🎤🎧🎵🎶🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@lawrencedeocary9940
@lawrencedeocary9940 8 месяцев назад
Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil
@user-cg3cm4qv4q
@user-cg3cm4qv4q 8 месяцев назад
Kumbe huo wimbo wa kisa cha mwanafunzi umeimba we bro! Kumamamae wali, nilikuwa naupenda sana huu wimbo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 8 месяцев назад
Jinga wewe matusi ya nn
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 8 месяцев назад
Respect Hiphop 👊✊
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 8 месяцев назад
Nash Mc namkubali Kwa ngoma zake za Mitihani,Naandika,VVU,Tabia na Mwalimu Mashaka
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 8 месяцев назад
@@emmanuelmayunga1518 Sana tu sema tu hizi Mainstreams media zinawabania Wasanii wa Hip Hop
@user-vy7zy8pb5c
@user-vy7zy8pb5c 7 месяцев назад
Tafuta muhadhiri kaka
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 7 месяцев назад
@@user-vy7zy8pb5c Hiyo nitaisaka
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 8 месяцев назад
Asante kaka kuvi kibonge tozi
@francismsobi3893
@francismsobi3893 8 месяцев назад
Kaka fanya mpango tupate na ile uliyofanya na MC Koko Kalapina. Haipatikani popote pale..
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 8 месяцев назад
Maalim
@Ndi_little
@Ndi_little 8 месяцев назад
Nash ni mmoja tu 🔥🔥
@enezacleopa6272
@enezacleopa6272 8 месяцев назад
Tamaduni 🎶🎶🎤🫡
@samirmswahili
@samirmswahili 8 месяцев назад
Kuvichaka 🐐
@ahmedmudric9546
@ahmedmudric9546 7 месяцев назад
Mwalimu nash mc mtoto wa temeke madege maenee kata 14
@jumajuma6612
@jumajuma6612 8 месяцев назад
Mlete na Nikki Mbishi napenda wanaadisia toka walipoanzia
@briangodfrey1487
@briangodfrey1487 8 месяцев назад
Gadafi
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 8 месяцев назад
LEGEND
@user-cb9us5oi6d
@user-cb9us5oi6d 8 месяцев назад
Kipindi hicho naanza kumuona nash ni pale BRITISH COUNCIL kwenye harakati walizokuwa wanazifanya kina zavara na jamaa anaitwa evance..
@mtuporicharles9110
@mtuporicharles9110 8 месяцев назад
Hac.15
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 8 месяцев назад
Bomu la nuclear rejea historia
@warrapgtimamuskillz6872
@warrapgtimamuskillz6872 8 месяцев назад
Oyaa wanataka PIN CODE 😂😂😂 shwain zao
@nyotamy3678
@nyotamy3678 8 месяцев назад
@kessylyuma2593
@kessylyuma2593 8 месяцев назад
Nash mc
Далее
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 136 тыс.
МЕГА МЕЛКОВЫЙ СЕКРЕТ
00:46
Просмотров 748 тыс.
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
Просмотров 60 тыс.
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 136 тыс.