Тёмный

THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

Опубликовано:

 

27 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@harakati1
@harakati1 6 месяцев назад
“Siku kama hizi” one of the best song
@salaita2829
@salaita2829 5 месяцев назад
Jabir saleh bonge moja la interviewer
@user-cn2ol4gk4b
@user-cn2ol4gk4b 7 дней назад
eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki
@VisualsByEnokaOti
@VisualsByEnokaOti 5 месяцев назад
🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time
@hameesnassoro7158
@hameesnassoro7158 6 месяцев назад
Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
😂😂🤝
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 6 месяцев назад
Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 6 месяцев назад
The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢
@davidwambura5915
@davidwambura5915 6 месяцев назад
Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze
@arsenalic23
@arsenalic23 6 месяцев назад
Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend
@justinmashala6944
@justinmashala6944 6 месяцев назад
Sauti ya Dhahabu, one of the best album
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 6 месяцев назад
Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 5 месяцев назад
Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 6 месяцев назад
Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani
@stevewanga957
@stevewanga957 6 месяцев назад
Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 6 месяцев назад
Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa
@destroyerban7364
@destroyerban7364 6 месяцев назад
Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu
@sajo_lkm2781
@sajo_lkm2781 6 месяцев назад
TID ni rnb gangster 😅
@user-cg3cm4qv4q
@user-cg3cm4qv4q 6 месяцев назад
Ww msenge! unanichekesha sana
@imogimasta9077
@imogimasta9077 6 месяцев назад
nakifwatilia sana hiki kipindi big up
@youngdula5409
@youngdula5409 5 месяцев назад
Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana
@salaita2829
@salaita2829 5 месяцев назад
Kuna siku kama hizi,rahisa
@William_ngela
@William_ngela 6 месяцев назад
Nakubali pindi
@sultansuleman1690
@sultansuleman1690 6 месяцев назад
Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good
@ConventionalViews
@ConventionalViews 6 месяцев назад
Smart and funny dude
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 6 месяцев назад
Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 6 месяцев назад
Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 6 месяцев назад
Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 6 месяцев назад
Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 6 месяцев назад
@@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 6 месяцев назад
@@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun
@christianluvanga8148
@christianluvanga8148 4 месяца назад
Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 6 месяцев назад
Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 6 месяцев назад
MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.
@salaita2829
@salaita2829 5 месяцев назад
Zamani was all bout hip hop
@hiphopoldschoolkalama1405
@hiphopoldschoolkalama1405 3 месяца назад
Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.
@kibakivideos
@kibakivideos 6 месяцев назад
Ni Yeye mnyama ……….ni noma
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
🙌🏾
@joelntile9078
@joelntile9078 5 месяцев назад
TID Kituko sana 🤣
@khanafrica22
@khanafrica22 6 месяцев назад
#watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 месяцев назад
👊👍✌️。
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 6 месяцев назад
kIGOGO warioba ni YEYE.
@emmanuelchristopher6791
@emmanuelchristopher6791 6 месяцев назад
Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana
@user-ry6qo5lf3r
@user-ry6qo5lf3r 6 месяцев назад
Anaongea mnyama 😂😂
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 6 месяцев назад
😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emmanuelfungo2236
@emmanuelfungo2236 4 месяца назад
😂
@deathrow8004
@deathrow8004 6 месяцев назад
😂😂😂😂
Далее
Почему худеют от Оземпик?
00:37
Просмотров 66 тыс.