Mimekuwekea baadhi ya Stendi zilizopo Tanzania tazama halafu unipe comment yako kipi ni kituo kikali kati ya hivi, Ofiisi ya Rais TAMISEMI wametuonyesha tujichagulie KIPI NI KITUO NAMBA KWA UZURI
Kwani Kuna kituo cha kupambana na cha Morogoro labda Kwa mpango niliosikia wa kujenga kituo kizur Dar..... Maana kwa Dar makonda hawez kukubali awe chini!!
Mimi si Mtanzania lakini tayari nimesha tembea Tanzania. Kituo kikuubwa tena kizuli zaidi ambayo nimewahi kutembelea ni kituo cha Morogoro. Kinayo maeneo ya kukaa. Kinaonekana kama stand ya uwanja wa ndege.
Tanzania muko juu.. Mungu azidi kuwabariki. Na azidi kuwatia nguvu viongozi wenu.. nasisi Mungu atuokowe. Maana tunamalizwa na ufisadi.... love u TZ . Big love from +254
kituo cha mwisho ni moshi na kituo cha kwanza morogoro,pwani na mpanda wametisha sana.Mtangazaji unapaswa kujua kuwa kubwa wa eneo si hoja katika stend yoyote ile,hoja ni miundo mbinu mfano jengo la abilia au mahali akupumzikia abilia.Arama sahihi yaani in or AUT.Chumba cha matangazo,wahudumu wanaotambuluka yaani wenye sare maalumu.Ili kurahisisha kwa abiria kujua huyu ni mtoa Huduma sahihi pi usarama ni mhimu kuliko chochote.Ayo TV Asanteni kwa ustadi wenu katika kutuhabalisha lakini pia nimejifunza kuwa mwanza bado tuko nyuma sana katika stendi zetu za mabus c nyegezi wara c buzuruga.
kiukwl morogoro inapaswa kuwa mfano kwani ndo vituo vya RAIA vinavyopaswa kuwa.,wengi wamejikuta wakisema singida ila ukitazama aingida kimekaa kama kibaha/pwani/korogwe/iringa ni kwamba vipo katika muundo mdogo kuliko kile cha singida. Moro ni bora tena sana saana zaidi ya vyote maana kunapaswa kuwa na pahala pa watu kuzungukia na maduka kuwa kwa ndani ambamo abiria yumo na si kwa nje kama hivi vingine vilivyo na uhakika hivyo vingine tofauti na MORO wasipovitunza vitaja onekana kama ubungo/moshi maana ni vtuo vya mabasi co vya RAIA., Mtazamo wangu binafsi
mada wizo basi sie twaongelea kituo cha mabasi ya raia. Ingawa majengo gani wazungumzia mwenzngu, maana doo hata kama mpanda sijawahi fika ingawa natafuta ziara nije salimia kipande hiko, em nithibitishie nifahamu.
Kituo namba moja kwa uzuri kuacha unazi wa mikoa ni morogoro , cha pili singida , cha tatu korogwe , nne iringa na tano mpanda cha mwisho ni ubungo jijin dar ! ILA KWA SASA STAND YA DODOMA NDIO NAMBARI MOJA KWA UZURI TANZANIA ..…... Stand ya magufuli jijini dar kwa TANZANIA ndio nzuri kuliko zote !
BONIFACE MWILU mi natoka singida na singida ni nyumbani na nyimbani ni maeneo ya misuna nyuma ya mwenge secondary , nimebahatika kutembelea kituo mkoa wa moro , iringa na tanga , kituo cha singida ni kizuri na ni kikubwa lakini hakina jengo kuu la utawala au ofisi kama ilivyo morogoro na mpanda
1.morogoro 2.iringa 3.singida 4.korogwe 5.mpanda 6.kibaha 7.moshi 8.ubungo. kwa list uloeka ila vipo vikali zaidi ya moshi na ubungo kama kange Tanga ningekipa no 6 kwa hio list.
1.Singida 2.Morogoro 3.Iringa 4.Korogwe 5.Mpanda 6.Kibaha 7.Moshi 8.Ubungo..I think wajitahidi kurenovate ,kama Dodoma, it's a capital city but the bus terminal, I have no words for it....jitihada kwa maeneo ya stand mapya hapo juu,ni makubwa,I hope na mikoa mingine improvement will be made..
Tuache upendeleo jaman, Moro ndo namba moja, Iringa kinafuata na 3. Singida vingne vitajijua uko. Lakini Moro Serikali wamejitahidi kwakwel. Jaman tusiangalie kwa kukaa magari tu, Abiria nao wanakaa kwa raga sana tena kwa nafasi kubwa sana.
hapo Moro Kuna mtu kashawahi kukatshwa tiketi ya meli.. kisa huo mjengo af ktuo cha Singapore ni Kama stendi ya daladala ya mikese Moro.. Haina maajabu
Hapo umejaribu kuonesha uhalisia wa ipi ni ip na 7bu ya kwanza ikiwa ni mwonekano au uzuri wa sted yenyewe na huduma zingine muhimu za jamii zinapatikana vp,Ahsante mawazo yangu ndio majibu yako
Kutokana na ubora wa kitaalamu.......morogoro ndio namba moja kwa Tanzania pengine pia kikawa kwenye Top 5 kwa afrika mashariki tatizo ni moja tu, WANA KILOMETA ZA MRABA NDOGO.
Mimi ni driver wa bus hivo vituo vingi nimeingia msikisahau kituo cha mfano wa kuigwa kilipendekezwa na mh Jakaya M Kikwete,kiwe cha kuigwa na mikoa mingine,kituo cha Kigoma
Kituo siyo Kiswahili fasaha kwa maana iliyokususudiwa hapa. Waandishi wa Habari ni vyema mkatumia lugha sahihi ili jamii ndogo, wageni na jamii ijayo iwezekutumia vielelezo hivi "rasmi" kama sehemu ya kujifunzia. Angalau kwa maoni yangu.