Makonda Mungu akupiganie akulinde,akutie nguvu na kukupa Afya, Bila kumsahau Mama yangu Mh Rais wangu mama SAMIA SULUHU ,Uliepata maono ya kumrudisha makonda na kumpeleka Arusha Bg up mama ninakuombea Mungu aendelee kukulinda.
Asante laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Alha akulinde na maasidi kwa kutoa Pesa kwa matibabu ya muimbili Pia mueshimiwa makonda Alha akuongoze kwenye uongoziwako Uwe mfano