🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Hii ni siasa wakirudi watafanya siasa wasiporudi pia wanafanya siasa. Watu 19 ni mtaji, wawaombe radhi wenzao wapokelewe. Ndio siasa hata wazee wetu wakubwa hurudi tena kule waliko kimbia na kupokelewa kwa vishindo ndio raha ya siasa!
Mnyama wowote wa porini ktk tumbili au wenye kufugika mitaan ukimchukuwa mnyama ukamfuka badae akakukimbia akamuwa kurudi porini .huko porin hataminika tena na kawaida wanyama wenziwe humkìmbia au kumpiga
hao wabaki ccm kama wata rudi chadema inakufu kwamaana walitusaliti wakati tukiwa kwenye matatizo makumbwa ya kutekwa watu na wenginekuuwawa hii itakuwa nimaingizo bora wabaki hukohuko
SACCOS, ilimpeleka bungeni miaka 10 na mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa miaka 10 na pia Waziri kivuli wizara ya maliasili na utalii !? Watu wengine ni chenga sana yaani watu nje ya Chama waingilie maswaka ndani ya Chama "under our watch " hell No! Hivi yule Mzee wa mapesa yupo?
Mh lissu waachani wale pesa isokuwa na KAZI hao wenzetu ila wasameheni warudi kupanga safu mpya 2025 ukweli licha ya kurud bungeni walikuwa wakitetea Wananchi tunaomba wasameheni