Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.
Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana