Pili wachina wanaleta Umafia sasa nchi Tanzania kutokana ni kampuni nyinyi hasa za barabara upewa wao kwa wingi na wesha tujua Uzaifu wa Serikali ya Tanzania kuhusu ufatiliaji
Miradi itakayo dumu hawaifanyi kwa kujaribu, kwa hiyo watu wetu ni kuanziya kwa vidogo ambavyo sio vigumu. Usipende ushabiki ndugu, ni vizuri kubadili mkandarasi ili kutafuta aliye bora na sio kuchukua chukua tu
Kwani wahusika si wapo kuna mipango mibaya lakini tunaongea kama kawaida sanaa hapo watumishi WA serikali wanawashika maskio ili wavute mpunga nilazima Kwa serious blabla tu
Tunachukua mda mref sana kufanya monitoring and evaluation ila each service needs regulatory and supervisory authority ambayo ni will be answerable directly to the minister
Nadhani huyu contractor aili underbid na huwa anapewa yule mwenye the lowest price.sasa mdhara yake ndio haya pale garama zina panda kutokana na external factor.
Nilikua kigoma mwaka 2019 nikakuta wanatengeneza, mikarudi 2021 nikakuta wako pale pale, nikarudi 2022 nikawakuta wako pale pale. Nadhani kuna haja ya SERIKALI kuchukua hatua za kusheria
Wake wawaondoe tuu kwani Hawa jamaa wezi Sana kibarua anatakiwa alipwe sh 16200 lakini wao wanalipa sh 12500 je pesa hiyo nyingine wanapeleka wapi serkali ukifuatilia inadanganywa kuwa makubaliano ndiyo yanayo fanyika na ndiyo chanzo chanmradi kudumaa pia wafanyakazi Wana mikataba hewa dah namskiliza kiongozi atajichetua tuu dah viongozi tokeni maofisin njoon kwenye mradi bwana na Kama usimamiz ni huu bado Sana 😢