Тёмный

UJENZI BARABARA KIGOMA KIZUNGUMKUTI, TANGU 2021 HAKUNA HATA LAMI, NAIBU WAZIRI AELEZA HAYA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 24   
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 6 месяцев назад
Waziri Kwa Niaba ya Serikali kaeni chini muangalie namna ya kuvunja mkataba huo bilà kuathiri Nchi.
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 6 месяцев назад
Pili wachina wanaleta Umafia sasa nchi Tanzania kutokana ni kampuni nyinyi hasa za barabara upewa wao kwa wingi na wesha tujua Uzaifu wa Serikali ya Tanzania kuhusu ufatiliaji
@naligiatomaso5006
@naligiatomaso5006 6 месяцев назад
Tatzo campun hii ya stecol imesha kuwa wezi Sana mda wte wanawaza mafuta2 Kaz 00
@williamjohn6463
@williamjohn6463 5 месяцев назад
Kwanini tusiwape makandarasi wetu na wapo na wanaweza. Tunatakiwa kuwawezesha watu wetu tufanye wenyewe kazi hizi.
@user-ji7sy2wi7b
@user-ji7sy2wi7b 12 часов назад
Miradi itakayo dumu hawaifanyi kwa kujaribu, kwa hiyo watu wetu ni kuanziya kwa vidogo ambavyo sio vigumu. Usipende ushabiki ndugu, ni vizuri kubadili mkandarasi ili kutafuta aliye bora na sio kuchukua chukua tu
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 6 месяцев назад
Waziri toa maelekezo ya muda, ndo kazi hiyo
@abubakarsaid7303
@abubakarsaid7303 6 месяцев назад
Msipokua makini watakupakieni rangi nyeusi halafu baada ya nwezi 1 barabara ishakua mbovu
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 6 месяцев назад
Ndio tunapo Mkumbuka Magu
@salumbujjo2320
@salumbujjo2320 6 месяцев назад
Wacha wapingwe mpaka wakome kitu kikifanyika kiujanja ujanja kinaenda hivyo hivyo ukifatilia kwa undani utakuja kuta kuna upigaji .
@BupinaAlex
@BupinaAlex 6 месяцев назад
😂😂hiyomkweli kabisa ahawa jamaa siyo poaa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 6 месяцев назад
Kwani wahusika si wapo kuna mipango mibaya lakini tunaongea kama kawaida sanaa hapo watumishi WA serikali wanawashika maskio ili wavute mpunga nilazima Kwa serious blabla tu
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 6 месяцев назад
Wachina wanasabotaji Tanzania na uwenda kuna watanzania wanadili nao wanadai teti kuna vita waongo Tanzania hakuna vita China hakuna vita
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 6 месяцев назад
Tunachukua mda mref sana kufanya monitoring and evaluation ila each service needs regulatory and supervisory authority ambayo ni will be answerable directly to the minister
@davidfredpeter7077
@davidfredpeter7077 6 месяцев назад
Nadhani huyu contractor aili underbid na huwa anapewa yule mwenye the lowest price.sasa mdhara yake ndio haya pale garama zina panda kutokana na external factor.
@matheobaha773
@matheobaha773 6 месяцев назад
Yawezekanaaa
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 6 месяцев назад
😢😢😢
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 6 месяцев назад
Happy ukifatilia utakuta tatizo limeanzia Kwa watu wetu, Wala hakuna lolote
@user-cc5tz5jn4n
@user-cc5tz5jn4n 6 месяцев назад
Vita inahusika nini na barabara wakati kilakitu kipo tanzania
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 6 месяцев назад
Nilikua kigoma mwaka 2019 nikakuta wanatengeneza, mikarudi 2021 nikakuta wako pale pale, nikarudi 2022 nikawakuta wako pale pale. Nadhani kuna haja ya SERIKALI kuchukua hatua za kusheria
@BupinaAlex
@BupinaAlex 6 месяцев назад
Wake wawaondoe tuu kwani Hawa jamaa wezi Sana kibarua anatakiwa alipwe sh 16200 lakini wao wanalipa sh 12500 je pesa hiyo nyingine wanapeleka wapi serkali ukifuatilia inadanganywa kuwa makubaliano ndiyo yanayo fanyika na ndiyo chanzo chanmradi kudumaa pia wafanyakazi Wana mikataba hewa dah namskiliza kiongozi atajichetua tuu dah viongozi tokeni maofisin njoon kwenye mradi bwana na Kama usimamiz ni huu bado Sana 😢
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 6 месяцев назад
Alf mnajifanya kufatilia mbo mengi kipindi hiki Cha karibia na uchaguzi , kiufupi ninyinpia ni tatizo
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv 6 месяцев назад
Anasingizia vita kwani vita ilikuwa Tanzania.?
@pastorygeorge3062
@pastorygeorge3062 6 месяцев назад
Mnavituko kwel yaan kazi mnawapa wenyewe kulalamika tena nyie hawajamaliza mrad huu mnawapa tena mrad mwingine
Далее
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 524 тыс.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 524 тыс.