Тёмный
No video :(

ULIPOFIKIA UJEZI WA UWANJA MPYA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO DODOMA,NAIBU WAZIRI AFIKA KUJIONEA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 73   
@sultanhamad4924
@sultanhamad4924 Месяц назад
Dakika zote hizo ulizoongea umeshindwa kumtaja magufuli japo mara moja tumpe nae maua yake
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
Watakutukana niko pale 😢
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 Месяц назад
Wewe utakuwa shoga. Kwani akitajwa huko alipo itamsaidia nini au ataskia? Kama vp mfate
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 Месяц назад
​@@letthedeadburythedead2148 shoga wewe na ukoo wako kakosea wapi au ndo unawashwa
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 Месяц назад
@@abdulyabdunuru1476 muonekano wako na kaa yako tu kwenye hiyo picha unaonyesha unafirwa kuma dume wewe. Marinda na akili hauna ndo mana unaongelea mkunduni dumejike msenge wewe.
@sultanhamad4924
@sultanhamad4924 Месяц назад
@@letthedeadburythedead2148 matusj yako mjibuji ni Allah 🙏
@egbertcharles
@egbertcharles Месяц назад
Ilikuwa ndoto ya Magufuli kujengwa Uwanja wa Msalato. Viongozi wa taifa letu atakama mnaogopa kutenguliwa vyeo vyenu jaribuni kuwa mnashukuru Jitihada za JPM.
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 Месяц назад
Aisee biashara ya kila siku tunamshukuru rais tunamshukuru raisi, rais nimtumishi wa umma na si mungu mtu acheni ulimbukeni, ifike mahala mshukulu walipa kodi maana rais analipwa mshahara na anatekeleza majukumu yake acheni uzwazwa
@cidewashington670
@cidewashington670 Месяц назад
The legacy of John Pombe Magufuli
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Месяц назад
Usituleteee usukuma wako na ushamba hyo magufuli ndo kajenga huo uwanja
@kanaelikanuya7919
@kanaelikanuya7919 Месяц назад
Jamani badisheni maneno tunamshukuru raisi , raisi,raisi kwani ndiye anatoa pesa mfukoni kwake ci Kodi zetu, washukuruni walipa Kodi ili kutoa hamasa ya kwa waendelee kulipa Kodi ,
@kassimubilali5259
@kassimubilali5259 Месяц назад
Acha unafiki alianzisha magufuli
@kassimubilali5259
@kassimubilali5259 Месяц назад
Sema alianzima magufuli mama ameendeleza ndiyo anastahili pongezi ila usiseme selikari zimepita wameshindwa
@rojatv167
@rojatv167 Месяц назад
Huyu msenge sana mtu kaaza maguful una mpongeza samia
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Si kweli uwanja ulianza kujengwa baada ya magufuli kufariki
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 Месяц назад
RIP John Pombe Magufuli, naibu waziri amekosea kuwa late JPM ndo aliamua kufanya hivyo.
@veronicalaiser7869
@veronicalaiser7869 Месяц назад
Acha tu waendelee haki ya mtu iko pale pale.
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 Месяц назад
Kwa nn kila mara unasisitiza atajwe Rais magufuli?ni km mmedhamiria ubaya fulani,mbona makao makuu Dodoma ilikuwa ni fikra ya mwalimu Nyerere na ndie alieanzisha ujenzi wake na hatajwi?mbona SGR ni fikra na plani ya Kikwete na hatajwi? Hii ni nchi Magufuli alifanya yake na Samia kafanya yake na wote wanatekeleza maamuzi ya wenzao waliotangulia au kuanzisha mengine na asipomalizia mwenzie atakamilisha
@christophersamwel8236
@christophersamwel8236 Месяц назад
Shida yetu watanzania Sijuhi tumelogwa na Nani Now currently President ni SSH Pongezi ni kwake lakini Ndoto hizi ni za Mwl jk mwaka 1976
@venancemiyeji6804
@venancemiyeji6804 Месяц назад
@@salmanmagwe2612 huo uwanja ni plani ya mwalimu toka zamani kama makoa maku ya nchi Dodoma sisi wenyeji wadodoma tunalijua hili eneo na watu walishazuwiwa miaka mingi sana na baadhi ya wengine walihamishwa kipindi cha mkapa. lakkini wakutimiza ndoto hizo pamoja na kuhamisha serikali dodoma alitafuta na hela za ujenzi wa uwanja tumeona hata kabla marehemu hajafa alimtuma Prof Paramagamba Kabubi na kaenda kufuata kuchukua benki ya afrika aambapo ni mkopo uliounganisha nabarabara za ring road. na hata angekuwa rais mwingine ilikuwa lazima atimize huo mradi lakini sio sifa kwa samia kwani nimuendelezo wa kazi iliyoachwa na uncle JPM.
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 Месяц назад
Na yeye anatakiwa aje na ndoto zake, anatimiza tu ndoto za late Julius Nyerere and JPM. Ngoja mpaka atakapouza nchi ndo utaelewa
@elidifridajingu3153
@elidifridajingu3153 Месяц назад
Kazi nzuri ya magufuli. Ila kodi zetu hizoooo
@cidewashington670
@cidewashington670 Месяц назад
Badala uwasifie watanzania kwa kodi zao nyinyi mnnasifia mama km katoa pesa mfukoni kwake,
@user-ji7sy2wi7b
@user-ji7sy2wi7b Месяц назад
Acha makasiriko unadhani kama raisi hana utashi unaweza kujenga hata ukilipa kodi ? Mbona kuna nchi watu wanalipa kodi na zinaliwa au unadhani serkali haina kampuni zingine? Kuna nyanda mbali mbali zinazo ingiza pesa sio kodi yako tu. Huo ni ujinga
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 Месяц назад
​@@user-ji7sy2wi7bhizo nyanga gan wew . Serikal Ina biashara gan. Nyanja zilizopo Ni Mali ya watz Kama maziwa , utalii, Bahar vyote Ni Mali ya watz achen kujipendekeza hela zote Ni za kodi mikopo inakopwa atakupa rais ? Mbona hamtumii uelewa vizur
@charleskibiki217
@charleskibiki217 25 дней назад
Kama maziwa na vivutio vya utalii ni Mali ya mtz hebu fanya kama unaenda kuzuruA MBUgani ukutana na askàr wàwanyama Poli umwambie nimaliyako kamahujapewa likesi la kuhujumu uchumi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Hongera zako wewe Kwa maelezo mazuri saana, Mwenyezi Mungu mpe Afya njema Rais wetu Kipenzi SSH
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Месяц назад
Hongera sana serikali na ss walipa kodi.
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Месяц назад
Kilamtu anajuwa km nimpango wa jpm mama anamalizia programme zenyeamekuta
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Месяц назад
kitu ambacho ni chema hasa ukizingatia Magufuli ndiye alomteua Samia, ingekuwa sio Magufuli hakuna ambaye angemjua Samia kama makamu na kama Rais
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Kwani rais anatoa mshahara wake kujenga uwanja huo? Aibuuuu
@zawadix9574
@zawadix9574 Месяц назад
Lazima wa anze na kushukuru wa bongo nani ame tu loga!!!
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Месяц назад
Mbona miradi isipojengwa unamlaumu rais ila akijenga hutaki asifiwe wabongo chuki tu ndo zina wasumbua
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Huyo ni wewe​@@mosesnyelo1380
@victorjames3730
@victorjames3730 Месяц назад
Kwanza hela hatoi Yeye ni za ufadhili wa AFDB African development Bank
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Месяц назад
@@victorjames3730 jibu swali kwanini mnamsifiaga magufuli akijenga kwani pesa alikuwa anatoa kwenye mshahara wake?, n why mirad isipo jengwa mnamlaumu Rais? Kama hahusiki
@elidifridajingu3153
@elidifridajingu3153 Месяц назад
Kazi ya magufuli
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r Месяц назад
Nimefurahi ulipoweka kumbukumbu sawa kuwa Ulianzwa kujengwa 2022 mwezi November maana ili tujue umejengwa na rais yupi maana ahadi zilianza tokea 1976
@jamesbundala4670
@jamesbundala4670 Месяц назад
Mnamsifia Rais mpaka imekuwa kero sasa. Ataanza kuchukiwa. Ongelea utaalam moja kwa moja wote hapa tunafahamu Rais ni nani na anafanya nini
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 Месяц назад
Here we go. Hongera mnoo
@kalingaasukile8730
@kalingaasukile8730 Месяц назад
Kazi nzuri ya Rais Samia hii
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 27 дней назад
Tunamshukuru rais Samia kwa pumzi ya uhai sorry Mwenyezi Mungu kwa....hahahaa.
@mwemezieladius5261
@mwemezieladius5261 Месяц назад
😆😆😆😆😆😆 Kwan rais ndo katoa pesa hizo pesa akiacha amezikopa jpm na mkataba ukawa umesainiwa Samia aliweka jiwe la msingi lkn pesa aliikuta na huo mredi ulitakiwa uwe umeisha , eti mataifa kujifunza hv unaujua mji wa serikali wa misri nenda kaone alafu utaondoa hayo maneno 😂😂😂
@TangaMashewa-qe8kk
@TangaMashewa-qe8kk Месяц назад
sawa tupo kwa kuanhalia halafu maziri tutayaona baada ya samia ajae ataonekana mbay kwasababu ya mazieri yanaoyofanyika ndivyo ilivyo
@erastuskajuna812
@erastuskajuna812 Месяц назад
Huu uwanja ni ndoto ya Magufuli. Tusimsahau mapema hivyo!
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 Месяц назад
nyie mawaziri acheni kujipendekeza alie anza mradi huo ni JPM na akiwa na makamu wake samia hivi mkisema hivyo mnapungua nini badala yake hayo maneno yenu yanafamya wananchi wadhani kuwa rais anawatuma kumbe siyo nikujipendekeza tu
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 27 дней назад
Anatekeleza tu kazi ambayo ilianzishwa na mtu, mwanzilishi ndo mwenyekupewa sifa, Yeye binafsi ameshindwa kuanzisha chochote amefanikiwa tu kupokonya rasilimali za watanzania na kuwapa waarabu kuanzia bandari mpaka maeneo ya mboga za hifadhi.
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Месяц назад
Ring road 🛣️ imefikia wapi
@richq8678
@richq8678 Месяц назад
Hawa watu wanazingua sana Kila siku wanatuonesha njia tyuu alafu jamani muache unafiki nakujipendekeza
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
😂😂😂 kutoka dodoma kwenda serengeti distance inakuwa fupi zaidi
@mustafachihepo5343
@mustafachihepo5343 Месяц назад
Ndoto na kutekeleza ni vitu tofauti,kila mtu ana ndoto
@badrimanu2468
@badrimanu2468 25 дней назад
Tanzania?
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Месяц назад
Tunahitaji barabara ya kibaha Dodoma itanuliwe
@barikimbacho6731
@barikimbacho6731 Месяц назад
Kweli kabisaaa. Ingependeza sanaaa
@richardnott4403
@richardnott4403 27 дней назад
Hee jpm bwana ndo kaanzisha
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 Месяц назад
4:44 sio kweli dodoma to serengeti ni karibu zaidi ya Arusha, Mwanza na KIA to serengeti. bilioni 360, gharama kubwa sana. halafu uwanja ule wa mjini utakuwaje?
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
WAOOO❤❤❤❤
@mohamedkhalfan3553
@mohamedkhalfan3553 Месяц назад
Rais bora zaidi Tanzania Mama Samia nchi ilikuwa imeanguka kiuchumi sasa imeanza kuinuka tena
@venancemiyeji6804
@venancemiyeji6804 Месяц назад
Kwa kuongeza madeni na kuuza bandari bila kuwa na huruma kwa vizazi vijavyo na kurudisha utawala wa warabu kam a miaka ya 1400 wa utumwa wa mababu zetu na kubeba pembe za ndovu na kufungwa minyororo
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 27 дней назад
Nchi iliweka rekodi kuwa middle income country ikiwa chini ya serikali ya JPM. So unaposema uchumi kuanguka kwa rekodi sahihi uchumi wa Tanzania ulianguka serikali ya awamu ya pili. Tangu serikali ya Mkapa Hadi hii iliyopo uchumi wa Tanzania haujawahi kuporomoka zaidi ukuaji wake umekuwa wa kujikongoja.
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 25 дней назад
JAMANI RAIS NDIO MAGUFULI NA RAIS NDIO SAMIA, WANAPOSEMA MHE. RAIS WANAAMANISHA KITI CHA RAIS HATA KESHO AKIONDOKA SAMIA KWENYE KIT KABLA KUMALIZA MIRADI YAKE ITASEM AHIVYO TU KAZI YA MHE. RAIS MAANA RASI NI KITI NA TAASISI SKIONDOKA WA KUONDOKA KAZI YAKE IMEISHA AWEZI TENA KUTANJWA
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 Месяц назад
Mm hapo siwezi wapongeza kwani ni pesa serikali haina😢 inafaaa wajitahidi zaidi ya hapo watu wapige kazi sasa tunalipa ushuru wa nn
@victorjames3730
@victorjames3730 Месяц назад
Hivi huo uwanja si unafadhiliwa na bank ya Africa (AFDB)?
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Mradi wa 2022 huu
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Месяц назад
SAMIA SULUHU INTENATIONAL AIRPORT DODOMA
@karimkinwary4668
@karimkinwary4668 Месяц назад
Waambie waongeze spidi upande wa jengo
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Месяц назад
Huo uwanja uitwe SAMIA SULUHU INTENATIONA AIRPORT DODOMA
@vincentnzuzu6342
@vincentnzuzu6342 Месяц назад
Uwanja wa msalato uitwe Samia Suluhu Kwa heshima na kumbukumbu ya vizazi vijavyo
Далее
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
Просмотров 25 млн
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
Просмотров 25 млн