Тёмный

USIJE UKASHANGAA UKIFIKA PEMBA, ''CHAKULA CHAO, USAFIRI WANAOTUMIA, NUNGWI KUNA BALAA'' 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 авг 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 130   
@mohammedalnabahan.4127
@mohammedalnabahan.4127 3 года назад
Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.
@omarbyz8695
@omarbyz8695 3 года назад
Hatamiminajivunia Kua mpemba
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
me too
@omarbyz8695
@omarbyz8695 3 года назад
اسنتا 👏👏👏
@abuubakar7594
@abuubakar7594 Год назад
Me ni mpemba baba mama yani mpemba fyoko
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 месяца назад
Looh😂
@andrewsekei8895
@andrewsekei8895 3 года назад
Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba
@salhanassor1077
@salhanassor1077 3 года назад
Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
shukran kwa kuliona hilo .
@ismailel-mazrui6983
@ismailel-mazrui6983 2 года назад
xhukran ndugu
@MaulidFakiKhamis
@MaulidFakiKhamis Месяц назад
Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi
@MahmoudMohamed-ct8no
@MahmoudMohamed-ct8no 3 года назад
Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa
@hassanramadhani2450
@hassanramadhani2450 3 года назад
Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍
@omarsaid4661
@omarsaid4661 3 года назад
Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.
@saidjuma9782
@saidjuma9782 3 года назад
Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya
@mundhiraliy1307
@mundhiraliy1307 3 года назад
Amin 🙏
@talibmuhsin5221
@talibmuhsin5221 2 года назад
Amin in shaa Allah
@habibumohamed1543
@habibumohamed1543 2 года назад
Aamiyn yaa rabbal a'lamiyn 🤲 Allah akidumishe daimu katika ile adili uzurii, nasikia raha sana
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 Год назад
Amiin
@naimasuleiman6489
@naimasuleiman6489 9 месяцев назад
Amin
@sharifamohammed809
@sharifamohammed809 3 года назад
Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌
@omarsaid4661
@omarsaid4661 3 года назад
Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.
@adamsaid5772
@adamsaid5772 3 года назад
Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.
@abdallamasoud7734
@abdallamasoud7734 3 года назад
Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.
@hamisunited4489
@hamisunited4489 3 года назад
Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka
@kheirmbarouk8373
@kheirmbarouk8373 3 года назад
nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...
@saidjuma9782
@saidjuma9782 3 года назад
Thanks to Millard Ayo for sharing this with us
@user-qm6si4kz8i
@user-qm6si4kz8i 2 года назад
Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika
@aipysaleh5647
@aipysaleh5647 3 года назад
Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu
@sichaguisibaguitv6643
@sichaguisibaguitv6643 3 года назад
Asikuambie MTU Pemba kuzuri
@eddimalon6051
@eddimalon6051 3 года назад
naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.
@barakakihaga6481
@barakakihaga6481 3 года назад
Nimefurahi sana millard oyooo😍😍
@jayjay4313
@jayjay4313 3 года назад
Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔
@rashidally1149
@rashidally1149 3 года назад
Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee
@bisunmwamini6993
@bisunmwamini6993 3 года назад
Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!
@grandmaempiresecret
@grandmaempiresecret 3 года назад
Mashaallaaaaa
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 года назад
Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 3 года назад
kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 года назад
Maa shaa Allah
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 года назад
Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba
@hamishamis9905
@hamishamis9905 3 года назад
Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣
@abuyotmanimgenimgeni578
@abuyotmanimgenimgeni578 3 года назад
Home sweet home
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 года назад
Najivunia kuzaliwa pemba
@khalifaali2613
@khalifaali2613 2 года назад
KUZALIWA PEMBA NI DEGREE TOSHA
@salhanassor1077
@salhanassor1077 3 года назад
Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani
@idrisabakar7928
@idrisabakar7928 3 года назад
Proud my father
@yassirmohd3069
@yassirmohd3069 3 года назад
Proud pemba boi
@mulhazinzibar6912
@mulhazinzibar6912 3 года назад
Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂
@mselemhaji1969
@mselemhaji1969 3 года назад
Hahahaha 😂 wambie hawajua hao
@majidimansury3751
@majidimansury3751 3 года назад
my sweet home pemba
@salhanassor1077
@salhanassor1077 3 года назад
My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu
@abdul-bz1cy
@abdul-bz1cy 3 года назад
wakaa wapi ww
@abdul-bz1cy
@abdul-bz1cy 3 года назад
upo pemba sehem gani
@salhanassor1077
@salhanassor1077 3 года назад
@@abdul-bz1cy chake
@salhanassor1077
@salhanassor1077 3 года назад
@@abdul-bz1cy vp kushawah kufika chakechake
@sulaimanead8060
@sulaimanead8060 3 года назад
Pemba kwetu
@abuufaki2814
@abuufaki2814 2 года назад
Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)
@fatmaabdulla9518
@fatmaabdulla9518 3 года назад
Home sweet home 💕
@abuyotmanimgenimgeni578
@abuyotmanimgenimgeni578 3 года назад
Kabisa
@kambinikichokochwe-we4xn
@kambinikichokochwe-we4xn Год назад
Ilove you pemba💜💜💜
@chicagousa2695
@chicagousa2695 3 года назад
Sweet Home♥♥♥♥♥♥
@suleimanalkindy6502
@suleimanalkindy6502 3 года назад
Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.
@seifelbusaidy9967
@seifelbusaidy9967 3 года назад
Home sweet home ❤❤❤❤❤
@husseinali9760
@husseinali9760 3 года назад
Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba
@andrewpaul6631
@andrewpaul6631 21 день назад
Vp brooo kwema
@hajjmohd3602
@hajjmohd3602 3 года назад
Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK
@solomonadams6337
@solomonadams6337 2 месяца назад
Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks
@yahyakasunga186
@yahyakasunga186 3 года назад
Wakwanza naombeni like zenu wapendwa
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 года назад
Usafiri wa chai maharage
@mselemhaji1969
@mselemhaji1969 3 года назад
,,hahahahahahaha papatikaaaa
@umsoud3306
@umsoud3306 Год назад
Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah
@sultansaidy2187
@sultansaidy2187 3 года назад
Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika
@LatifAmars
@LatifAmars 3 года назад
Nimeipenda hii tamthilia
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 3 года назад
Pemba nkuzurii
@abuuamourmuhamed1934
@abuuamourmuhamed1934 Год назад
Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani
@fayeezomary6563
@fayeezomary6563 3 года назад
Sio jamuri sem nch y Zanzibar
@MohamefMullah
@MohamefMullah 10 месяцев назад
Mashaallah umejieleza vizur
@saidmohammed6385
@saidmohammed6385 3 года назад
Hahahaha pemba
@diznoles882
@diznoles882 3 года назад
Gari ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-r37SGXWQOtI.html
@sharifaabdull8913
@sharifaabdull8913 2 года назад
Asante 🙏🙏🙏
@yussufhamad1268
@yussufhamad1268 3 года назад
Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido
@fumuali1605
@fumuali1605 3 года назад
Furaha yetu
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote
@MbaroukKhalifa
@MbaroukKhalifa 4 месяца назад
Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana
@is.hakaomar1630
@is.hakaomar1630 3 года назад
Hm pemba
@mwalimusaid5095
@mwalimusaid5095 3 года назад
Saw
@nassorchollo4708
@nassorchollo4708 3 года назад
Home sweat home
@sahilnaass5090
@sahilnaass5090 3 года назад
Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu
@bisunmwamini6993
@bisunmwamini6993 3 года назад
Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!
@khulayfnassor6938
@khulayfnassor6938 3 года назад
@@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Год назад
Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa
@kassimomar7589
@kassimomar7589 2 года назад
Home sweet home
@munirazenji9819
@munirazenji9819 3 года назад
😃😃😃
@boyyaechi4957
@boyyaechi4957 3 года назад
Ok
@feifei9620
@feifei9620 3 года назад
Yakheee 😀
@AbeidRamadhan
@AbeidRamadhan 2 месяца назад
Nkweli wapemba hatugongewi mwiko
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 3 года назад
Home sweet hime
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 Год назад
NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA
@idrisaali4934
@idrisaali4934 3 года назад
hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani
@ashaherezi7488
@ashaherezi7488 3 года назад
Kyannakannaka!!!
@ramazubery2641
@ramazubery2641 3 года назад
Tayari eee😂😂😂
@yussufmohd5281
@yussufmohd5281 3 года назад
Ndy ukatuona Twangara
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 года назад
Eti ndio ukatuona twangara hahahahah
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 Год назад
Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 месяца назад
😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo
@tushmakka2912
@tushmakka2912 3 года назад
Lve my hom pba
@bakamuubakamuu1556
@bakamuubakamuu1556 3 года назад
Tayari 😂😃
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 3 года назад
Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba
@AbeidRamadhan
@AbeidRamadhan 2 месяца назад
Pemba nkwetu
@waheedawaheeda152
@waheedawaheeda152 3 года назад
Mbn watu wanasem wabaguzi
@MaulidFakiKhamis
@MaulidFakiKhamis Месяц назад
Viumbe hatuezi kosa la kusema
@sahilnaass5090
@sahilnaass5090 3 года назад
Ubaguz gn
@mohdsalum4066
@mohdsalum4066 Год назад
Pemba
@kihogonitv7627
@kihogonitv7627 2 года назад
Fanya ufike na pemba kusini sasa
@nicksonnewton1991
@nicksonnewton1991 3 года назад
Wakojani hao
@khamissalum8906
@khamissalum8906 3 года назад
tunajivunia makabila na asili zetu
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Год назад
Hahaha😆kwa uchafu
@nasranassor6796
@nasranassor6796 3 года назад
Swafi
@abuyotmanimgenimgeni578
@abuyotmanimgenimgeni578 3 года назад
Hakuna kama zanzibar yetu
@hassanramadhani2450
@hassanramadhani2450 3 года назад
Jmn imeisha harakaa
@josej9888
@josej9888 3 года назад
Chai maharage
@muhammedkhamis1407
@muhammedkhamis1407 3 года назад
Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk
@muhammedkhamis1407
@muhammedkhamis1407 3 года назад
Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝
@muhammedkhamis1407
@muhammedkhamis1407 3 года назад
Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Corona company.
@saidissa8273
@saidissa8273 Год назад
NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO
@andrewpaul6631
@andrewpaul6631 21 день назад
Kwema kaka?
@yahyakasunga186
@yahyakasunga186 3 года назад
Wapili naombeni like zenu wapendwa
@AbdulWaqqas
@AbdulWaqqas 3 года назад
Kyannakannaka!!!
Далее
Kumbe Pemba ni ya zamani sana
10:58
Просмотров 13 тыс.
KIJANA WA PEMBA MWAMBE AVUMBUA UMEME WA JANGWA
11:31
JE UNAIJUWA GININGI "NYUMBA ZA WACHAWI "
15:08
Просмотров 30 тыс.
Hoteli mpya ya Kisiwa cha Bawe, Zanzibar
4:17
Просмотров 15 тыс.
(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI)
30:26
HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA
9:05
Просмотров 81 тыс.
Hijja Qaswaida All Madrasatul Tauba Nungwi Zanzibar
14:34