watumishi wa serikali wengine hadi aibuuu kuliko maelezoo, inaonekana hata elimu yakee haikumsaidiaa chochote zaidi ya kuhesabikaa kama mfanyakazi akili yake ni zeroo
Msiwe mnatuonesha mambo yenu ya ajabu ajabu!! Hivi jamani kweli kwa mazingira haya, watu wanalipwa mishahara ya kodi za wananchi halafu watendaji ndio hivi!?!! Huyu kaajiriwaje jamani? Daaaah!!
ina disappoint sana mtumishi analipwa mshahara halafu utendaji wake ni kama huo. wapo watu committed wanaota jua vijiweni halafu wajinga wanapewa kazi. Ndio maana hatupigi hatua