Тёмный

USIOYAJUA KUHUSU SALIM KIKEKE "NINGEKUWA TANZANIA NINGEKUWA MILIONEA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 318 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 304   
@jofleyshiuga5573
@jofleyshiuga5573 5 лет назад
Kama unamkubali Mr kikeke gonga like twende sawa
@peterkyese4516
@peterkyese4516 5 лет назад
🙄🙄🙄
@khadijajuma3887
@khadijajuma3887 5 лет назад
Uko vizur kikeke ww na zuhura yunus mko juu sana Nawapenda sana
@epifaniamponda4491
@epifaniamponda4491 5 лет назад
Huyu brother kikeke bhana nampenda wallah dah sauti yake tu mimi ndoinanikoshaga ameenda nje lakn kiswahili kipo vzr hakija haribikiwa na rugha ngeni 💪💪💪💪💪🙏🙏🙏💕💕💕💕
@muuchaynampembammoja7581
@muuchaynampembammoja7581 5 лет назад
Sas ukute mtu ameend cku 3 tu yaan amesahau had kiswahil
@edson_619
@edson_619 5 лет назад
Saut nzuri,,,,
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 5 лет назад
Epifania mponda wewe upo ndani lakini unaandika "rugha" badala ya "lugha" ukisafiri si ndio itakua taabu!?
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 5 лет назад
HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂
@saheedali7467
@saheedali7467 5 лет назад
MBONA amekwepa suali LA uraiya.
@shabanmliuka2178
@shabanmliuka2178 4 года назад
Safi. Kwa maelezo hayo
@goodnessmchome2429
@goodnessmchome2429 5 лет назад
Kikeke napenda utangazaji wako upo vizuri kwa kweli
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 5 лет назад
Ukimsikiliza Kama anatangaza kumbe yeye ndiye anahojiwa...GOT
@frankmandaya4141
@frankmandaya4141 5 лет назад
Wanaojua kiingeraza hawajisemi, ingekuwa waswahili wenzangu na Mimi ingekuwa yes, no, uknowoo mbwembwe nyingiiiiii pumbavi zenu
@ibrahimhungu4783
@ibrahimhungu4783 5 лет назад
Frank Mandaya 😂😂😂
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 лет назад
Umeona ee
@omeysuper
@omeysuper 5 лет назад
kwel kbsa
@josephramadhan767
@josephramadhan767 5 лет назад
mara as you know ,may be ,oh this is impossible upumbavu mtupu ,lkn hawa wanaojua kiingereza hawazungumz wala hawajionesh
@lwihokajigili24
@lwihokajigili24 5 лет назад
wandali mko wapi gonga like hapa
@mr_yassinofficial
@mr_yassinofficial 5 лет назад
Burundi tunampenda saana salim kikeke ❤🇧🇮
@juniormsisi834
@juniormsisi834 5 лет назад
Asanteni Sana kwa kunipenda
@aslamrashid7690
@aslamrashid7690 4 года назад
Ndio tuko pamoja
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 5 лет назад
Unatakiwa nawewe uwe connected, nimeipenda sana hii kauli, lazima ujue KUJIONGEZA
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 лет назад
Umeonaee
@ayoubfrank2572
@ayoubfrank2572 5 лет назад
Hahaha
@amanikinisa5864
@amanikinisa5864 5 лет назад
Hongera sana kaka salim kike kwa kweli kazi yako ya utangazaji unaifanya vema sanaa.Lakini Tanzania ndio nchi yako hapo uwe wazi.
@malidimkungu5155
@malidimkungu5155 2 года назад
9
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 лет назад
Umetufunza mengi kwenye interview yako unaitangaza Lugha ya Kiswahili vizuri
@frankmnale1900
@frankmnale1900 5 лет назад
Kiswahili pure Hakuna kujifanyisha KiswaEnglish kama wenzetu walivo
@grecioussilas9885
@grecioussilas9885 5 лет назад
Salim kuhusu urai umetukwepa...hapo sema ukweli nikikutazama uingereza pameshakumeza sana
@ismailbuchwa398
@ismailbuchwa398 5 лет назад
Hilo linaeleweka kabisa mana ukitumia passport ya uingereza una opportunites za kuzunguka takriban dunia nzima bila visat
@massawejacob
@massawejacob Год назад
Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂 Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 лет назад
Love you Brother *KIKEKE* napenda kazi yako, uko vizur sana.
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Год назад
Nic
@maanomohammed1619
@maanomohammed1619 5 лет назад
One day ntafanya nae kazi inshaallah
@allyhamad780
@allyhamad780 5 лет назад
Ameen
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
Nimejifunza mengi sana kuhusu Ndugu Kikeke. Asante sana Milad Ayo, Asante sana Salim Kikeke.
@norbethathuman9739
@norbethathuman9739 5 лет назад
Sijasikia kizungu hapa ila angekuwa mtu anayeishi tz shida kwa kweli ze is kibao kwenye maelezo
@janestanslaus2517
@janestanslaus2517 5 лет назад
Do you have something against the English language?
@shumamasima6747
@shumamasima6747 5 лет назад
Heheee duu kwel the, is, OK kibaaao du
@brownjulius8514
@brownjulius8514 4 года назад
Atar
@thegirl1405
@thegirl1405 5 лет назад
Masha Allah hongera sana yaani nimeipenda story yako 💪 💪 💪
@hashimsalim4228
@hashimsalim4228 5 лет назад
Ukhty, asalam alaykum!
@nan8731
@nan8731 5 лет назад
Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos
@tumainlyimo9230
@tumainlyimo9230 5 лет назад
Bro kikeke unaishi maisha ya kiualisia,safi Sana kaka nmefurahi
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 лет назад
KIKEKE ANA SAUTI NZURI SANA! Dope voice
@jaybrown9338
@jaybrown9338 Год назад
Tapeli tuu uyo uku UK Maneno mengi bila vitendo
@bitequity845
@bitequity845 5 лет назад
Yaan BBC akitangaza yey napenda sana..love this guy so Munch
@khadijak3065
@khadijak3065 5 лет назад
Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana
@khadijak3065
@khadijak3065 5 лет назад
@likoni tv salaama alleyko daaa asanteee nashkuru sijui atanisikilza nakuomba mungu anisikilize anatumia jina hilihili.
@khadijak3065
@khadijak3065 5 лет назад
Asantee tayari nimesha mtumia ujumbe asantee nashkuru sana
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 лет назад
Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman
@khadijak3065
@khadijak3065 5 лет назад
@@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa
@juliusjohn9453
@juliusjohn9453 5 лет назад
Mwanao utamuachaje?
@elicatustryphone7949
@elicatustryphone7949 4 года назад
Ayo tv juuu sana Salim kikeke juuu zaidi
@abdallaramadhan3850
@abdallaramadhan3850 5 лет назад
Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.
@amenyemwansile7943
@amenyemwansile7943 4 года назад
Aah kumbe ni mnyakyusa wa mbeya big up Kaka mkubwa
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 5 лет назад
Bora tukalee watoto England,, paundi 15 kwa SAA😁😁😁
@bakilingwelegulile4062
@bakilingwelegulile4062 4 года назад
Inshaallah A dream a coming to be a true my brother from another mother
@laurentmaganga1027
@laurentmaganga1027 Год назад
Kikeke you are a star
@happinesstesha7061
@happinesstesha7061 2 года назад
Nakupenda sana kikeke nisipo kuona unatangaza bbc dahhh, kazi yako naipenda.
@shumamasima6747
@shumamasima6747 5 лет назад
Kikeke saut inakubeba xaana hongela saana bg
@jplanbaharia9703
@jplanbaharia9703 4 года назад
Kwel
@EnockpetroKiswalucha
@EnockpetroKiswalucha Год назад
Hongera Sana Salim kikeke kwa utangazaji mzur wa shirika la habar bbc
@canaltanganyika2672
@canaltanganyika2672 Год назад
Hongera sana, kwa kazi zako bwana Millard Ayo. Ninaïtwa Madiba niko DRC kama muandishi wa habari.
@njembeyehaonga5837
@njembeyehaonga5837 Год назад
❤❤❤❤kaka safari njema
@helenamwaipopo967
@helenamwaipopo967 5 лет назад
Ni mtangazaji mzuri pia sauti yake inavutia kuendelea kusikiliza BBC in Swahili big up bro
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 года назад
Hongera sana Mungu akulinde
@yassinm69
@yassinm69 5 лет назад
Kumbe sauti yake ya utangazaji kazaliwa nayo huyo ni Salim kikeke
@roseswai5570
@roseswai5570 5 лет назад
My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.
@ashatabibu7951
@ashatabibu7951 5 лет назад
safi kikeke mashaaallh
@festohamad4174
@festohamad4174 5 лет назад
Namkubali brother salim kikeke
@Diamondvideomix
@Diamondvideomix 5 лет назад
Talented one 🤩
@masuseleman978
@masuseleman978 5 лет назад
Kamanda kikeke.one love bro
@eliasaharuna4506
@eliasaharuna4506 5 лет назад
Wauuuu salim
@ithnaothmani4991
@ithnaothmani4991 4 года назад
Uko vizuri sn
@philimonphilipo725
@philimonphilipo725 Год назад
Salam kike nakuomba njoo msadie mama kuendesha Tbc pls
@kisangakisanga5960
@kisangakisanga5960 Год назад
Salimu Yuko vizuri
@mussajumabakar6222
@mussajumabakar6222 5 лет назад
Kiukwel salim kikeke nakupenda sana big up
@meddyyassin4741
@meddyyassin4741 5 лет назад
Angekua mhaya huyu jamaa,,basi chamoto tungekiona hapa😄😄
@davidmalangahe4712
@davidmalangahe4712 5 лет назад
Kikeke uko vizuri hongera bro
@sabinandunguru1422
@sabinandunguru1422 4 года назад
Sana
@estargabriel8362
@estargabriel8362 5 лет назад
huyu jamaa yuko vzr sana sio mtu wa kujikweza wala hana majivuno ww ndo mzalendo
@sadickadriano2073
@sadickadriano2073 5 лет назад
Ndo maana wazungu hawazaani, maana kwa jinsi alivohadithia malezi ni changamoto.
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 лет назад
Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.
@yusuf02said6
@yusuf02said6 5 лет назад
Maswali yamezidi kuwa personal sana duu. Huyu
@mako331
@mako331 5 лет назад
We love you bro, unatuwakilisha vyema
@sheisgodorait5721
@sheisgodorait5721 5 лет назад
Yaani Wewe nakukubali nimtangazaji moja wapo wa mfano ubarikiwe
@JacksonJohannes-ui2gw
@JacksonJohannes-ui2gw Год назад
Nihoji mimi niwape hakiya salimu kikeke kuacha kazi nitashirukiana na prophesied 11 katega kuwafunua ufahamu tunampa hongera
@paulmumelo2884
@paulmumelo2884 3 года назад
Màisha ni mapambano kaka hongera
@olarivolariv1313
@olarivolariv1313 Год назад
Jamaa achanganyi maneno ya kingereza na kiswahili.
@fidemgina9979
@fidemgina9979 4 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 duuuu! Atariiii unaeleza vzr sana meipenda iyoo
@amourzubeir7306
@amourzubeir7306 5 лет назад
"Wakupe muda ambao unarandana na kazi yko" dah!! Big up kiswahili hicho yani yupo sawa huyu kaka
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 4 года назад
Nakukubari sana brother
@agapesaligawesasaligawesa2781
@agapesaligawesasaligawesa2781 5 лет назад
Yes Maischa ya uku ukizaaa mtoto mnalea wenyewe
@MasimangoKwibe
@MasimangoKwibe Год назад
Namkubali sana kikeke❤
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 5 лет назад
Uko poa brother salim nakukubali kabisa ndagha mwalyafyale ila kaa sawa na mkeo mtunze watoto vizuri
@user-cl2jr3re4s
@user-cl2jr3re4s 2 года назад
Swali nzuri sn nilisubiri mt zaji akijiongeza aulize kuchukua mschana tz mana wa tz hata elfu robaini wanafanya kz ukimwambia wingreza hata ela hataki tn bure anaenda kukufanyia
@amourzubeir7306
@amourzubeir7306 5 лет назад
Ukimsikiliza ni sawa na kuwepo ktk tukio halisi ,yani ana kipaji sna
@josej9888
@josej9888 5 лет назад
Safi sana Brother.
@aneymaalim704
@aneymaalim704 2 года назад
Salim wwe ni mzalendo mpka ukona jezi hongera
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 4 года назад
Naipenda BBC na hawa Watangazaji Zuhura,Salim,Sam Awami,Zawad, Esther kahumbi na wengine wote wa BBC Nawpenda sana
@timezonlinemedia2665
@timezonlinemedia2665 5 лет назад
Realistic
@MarietaLyamkuyu
@MarietaLyamkuyu Год назад
Karibu nyumbani kikeke
@makamehassan5301
@makamehassan5301 4 года назад
Hongera kikeke
@furahambwembwe8005
@furahambwembwe8005 5 лет назад
Presenter,are u from Forest Kongowe Kibaha??
@mohamedmohamed614
@mohamedmohamed614 5 лет назад
Duh umenifurahisha hapo kusema raia wa ulimwengu kikeke heshima kuwako;because wewe umetembea na huuna akili za kikaburu za watu wa bwani
@khadijakaombwe4051
@khadijakaombwe4051 5 лет назад
He is the best presenter for sure !
@RobertAngelo-yx6cy
@RobertAngelo-yx6cy Год назад
,
@ntemilimbu4197
@ntemilimbu4197 5 лет назад
Upo vzr sanaaa
@elimishanyamoga1301
@elimishanyamoga1301 5 лет назад
Uwa namuelewa sana uyu brother
@fextomaturo7815
@fextomaturo7815 5 лет назад
Daaah me nataman ligi ya EPL ianze tyu nimemic Sanaa's hyo ligi
@jamesfrances9342
@jamesfrances9342 Год назад
Nakukubali mno kikeke
@annagesura8375
@annagesura8375 2 года назад
Mimi naipenda sana sauti yako sauti inahamashisha sana
@flaviousbenedict6489
@flaviousbenedict6489 5 лет назад
Huyu jamaa nampenda sana kwakweli ni mtangazaji mzuri sana. Siku hizi mtu unaishi popote kikubwa ni pesa na uhai
@bm10tv81
@bm10tv81 3 года назад
🙏🙏🙏
@stanslausangelus8714
@stanslausangelus8714 5 лет назад
Salim hongera,ila kuhusu mwanao uraia Mmh!
@gerardnibikora839
@gerardnibikora839 5 лет назад
Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .
@kenethfanuel9195
@kenethfanuel9195 4 года назад
Tatizo lako kikeke unatumika sana na mabeberu kuitangaza vibaya tanzania.
@jastinefaustin9982
@jastinefaustin9982 5 лет назад
Nzur sana lakin fupi Nataman niendeleee kusikiliza
@janealoyce3866
@janealoyce3866 5 лет назад
Salim sauti safi sana unafaa sana kutangaza.
@hussenmabula8703
@hussenmabula8703 5 лет назад
Njoo uchukue tnz
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 лет назад
Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana
@MtuSafi
@MtuSafi 5 лет назад
Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 лет назад
@@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana
@MtuSafi
@MtuSafi 5 лет назад
@@deboramatpapaztv basi vizuri
@bibimzee7880
@bibimzee7880 4 года назад
Mimi na taka kazi na toka kenya
@simonnyasa5041
@simonnyasa5041 4 года назад
Good
@swalehmgumia2727
@swalehmgumia2727 2 года назад
NMpenda uyu aisee mpk naumwa aaaa
@benderamateso8244
@benderamateso8244 5 лет назад
Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)
@isayajuma6635
@isayajuma6635 5 лет назад
Safii kaka
@jumakapesa726
@jumakapesa726 5 лет назад
Heshima yako kaka S.Kikeke
@evaristmahumbi4728
@evaristmahumbi4728 2 года назад
he is best presenter ever🌍
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz
Sio kweli
@hamadeddy8089
@hamadeddy8089 5 лет назад
Chukua mfanyakazi mtanzania halafu unakuwa unamlipa tu vzr tena ela ya kawaida
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 5 лет назад
Kikeke napenda utangazaji wako babaangu hongera sana aiseeh
@ericmasumbuko5091
@ericmasumbuko5091 5 лет назад
Unaweza kk
@johnmakara5010
@johnmakara5010 5 лет назад
Mshahara wa lisaa huko ni Sawa na Mshahara wa mwezi huku bongo
@melitusflorence8643
@melitusflorence8643 5 лет назад
Kumbe from Mbeya!!! Oooh good
@magessamagessa5502
@magessamagessa5502 5 лет назад
Kikeke upo vzr lkn nakushauri pata mtoto mwingine tz ikibidi oa tz kwavile dini yako inakuruhusu
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 3 года назад
Ushauri unaompa kigezo ni Kwa kuwa dini yake inaruhusu! Hii ni sababu ya msingi kweli? Aaah ha ha! Ebu toa sababu yenye mashiko!
Далее
ТЕСЛА КИБЕРТРАК x WYLSACOM / РАЗГОН
1:40:47
MAGOMENI
8:13
Просмотров 1,3 млн
Salama Na Zuhura Ep 13 | DADAKE Part 2
17:53
Просмотров 124 тыс.