HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂
Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂 Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana
Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos
Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana
Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman
@@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa
Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.
My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.
Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.
Swali nzuri sn nilisubiri mt zaji akijiongeza aulize kuchukua mschana tz mana wa tz hata elfu robaini wanafanya kz ukimwambia wingreza hata ela hataki tn bure anaenda kukufanyia
Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .
Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana
Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?
@@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana
Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)