Kweli kipaji akijifichi mi naamini iposiku tutawaona wakiwa kwenye lever nyingine zaidi tuzidi kuwaombea kwani wanajipambania sana kwenye sanaa ya filam
Nawe pia Mungu akubariki zaidi kwa kufurahia baraka za wengine na kuwatakia mema ni wachache wana moyo kama wako kwa hii dunia ya sasa, Mungu akujalie zaidi