Ni mwimbaji kutoka Bongoflevani, mshindi wa tuzo ya AFRIMMA Nigeria 2014 kama mwimbaji bora wa kike kutoka Afrika Mashariki, leo kwenye hii Exclusive anatueleza alikozaliwa, alikoishi, kuolewa, Watoto lakini pia ameeleza wazi yeye na Jux wakoje.
25 апр 2015