Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.
Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama
NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa Kila la kheri