Тёмный

WAZIRI JERRY SILAA ASHTUKIZA OFISI ZA ARDHI JIJINI DODOMA, ATOA MAELEKEZO KWA NCHI NZIMA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 71 тыс.
50% 1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, Jerry Silaa amefanya ziara ya kushtukuza katika ofisi za kitengo cha Ardhi za halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kujionea hali ya utendaji kazi ambapo amefika na kukuta baadhi ya watendaji hawajafika ofisini majira ya saa moja na nusu.
Waziri Jerry amewahimiza watumishi wa jiji la Dodoma na Tanzania kwa ujumla kuwa hasa watendaji wa ardhi kufika ofisini kwa muda uliopangwa na inapofika saa moja na nusu asubuhi huduma zianze kutolewa na si watu kuanza kuingia ofisini kwa wakati huo.

Опубликовано:

 

7 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 203   
@saidulaya7308
@saidulaya7308 11 месяцев назад
KAMA UNAMKUBALI JERRY SLAA TUJUANE✊✊
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 месяца назад
TUPO PAMOJA FYEKA FYEKA WAPUMBAVU WOTE...
@stephanomafuta415
@stephanomafuta415 11 месяцев назад
Ziara za kushtukiza kama hizi ni nzuri sana, zinasaidia wafanyakazi kuwa active, Hongera sana Mh. Jerry Slaa. Mungu akuongoze.
@kanoa645
@kanoa645 11 месяцев назад
Nzuri sana
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 11 месяцев назад
Safi sana Mh Waziri Slaa njoo na Morogoro please ofisi ya ardhi Mvomero Morogoro ni hovyo kweli kweli hawafuatilii kazi wala kumaliza kila cku nenda rudi nenda rudi
@c75923
@c75923 11 месяцев назад
“nikisema kuna mambo ya hovyo ni hovyo kweeri kwerii”! RIP Chuma
@checkchannel3876
@checkchannel3876 11 месяцев назад
Yaani inasikitisha sana! Watu wako maofisini hawana akili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake, lakini wana vyeti vya madigrii na wamepewa vitengo, yaani wanatakiwa kutumia akili zao na kufikiri sawasawa kwa ajili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake na basically hawafanyi hivyo! Ajabu sana, halafu hatari sana!
@mosesmagoto2299
@mosesmagoto2299 11 месяцев назад
Umeongea ukweli wote. Tatizo ni uwezo mdogo wa maafisa kutatua changamoto za ardhi.
@MrA24G
@MrA24G 11 месяцев назад
Tunaelekea ni kubaya.Viongozi wetu hawana wasaidizi wazuri viongozi wazuri ila watendaji wa ovyo kbsaa.Marais wetu ni wazuri tuu Samia suluhu na Dr Hussein Mwinyi wote ni good leaders but baadhi ya watendaji wa ovyoo.Sisi tuna shida hapaa znz hayo hayo.
@checkchannel3876
@checkchannel3876 11 месяцев назад
@@MrA24G Tena kama Rais Mwinyi ni mzuri mno. Poleni sana!
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 11 месяцев назад
Safi sana apa ndo wana jionaga miungu watu yn apa ndo shidaa sana kwenye hati
@salminasalim5630
@salminasalim5630 11 месяцев назад
Safi kabisa chapa kazi Waziri. Maana wafanya kazi wazembe saa moja na nusu hakuna mtu mh...... HONGERA WAFANYA KAZI WA MHIMBILI MOI DRS AND NURSES WANAFIKA SAA 12 NA NUSU NA SAA HIZO KAZI ZINAANZA MMungu awabariki sana
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 11 месяцев назад
Huu mfumo wa kushtukiza muda mwingine ni mzuri sana
@alexandermanase8956
@alexandermanase8956 11 месяцев назад
Good start Mr minister,,, ila tukuomba usibadilikie njian kuwa makapi. Idara ya ardhi inahitaji sana kufunga mkanda, usiweke njaa mbele, yaaan ukila tu Hela ya mtu ndo mwanzo wa haki haramu.
@ramaaman4020
@ramaaman4020 4 месяца назад
Shukran sana Waziriwetu wanyooshehao kaziyaonikuzulumu maskin aridh zao hawajuininimaana ya mtanzania.
@nyashabanihema4593
@nyashabanihema4593 11 месяцев назад
Hongera sana mheshimiwa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 11 месяцев назад
KUMEKUCHA KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@allyhassan7169
@allyhassan7169 11 месяцев назад
Nakufuatilia kwa Makini sana kaka nakuamini piqa kazi
@jumamtunze3372
@jumamtunze3372 11 месяцев назад
GOOD, utumishi mzuri ni kutoka ofisini na kwenda kwa wananchi kwani kiongozi vitendea kazi yake ni wananchi na sio meza na mafaili tu
@salumally663
@salumally663 11 месяцев назад
Hata aibu hawana kazi kutapelii watu...na fidiaa udai ulipweee ..
@cosmasmwanalinze3716
@cosmasmwanalinze3716 11 месяцев назад
Hawa watu wa ardhi ni wasumbufu sana, Mh. JERRY slaa mm pia hawajanipatia Hati yangu 2021
@cosmasmwanalinze3716
@cosmasmwanalinze3716 11 месяцев назад
Kwa kweli Dodoma hasa Iyumbu kuna issue kubwa sana
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 11 месяцев назад
Wawepe watu control number walipie viwanja vyao
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 11 месяцев назад
Waliolipia mwanzo ndio wapewe haki sio janja janja
@user-uy1df5so8c
@user-uy1df5so8c 11 месяцев назад
Ofisi za ardhi kumegubikwa na majambazi sana, dodoma watu wananyanganywa viwanja hovyo tu,,,😢,,,Hongera sana mhe.
@DottoChobwi
@DottoChobwi 5 месяцев назад
Waziri unafanya kazi nzuri najua hauna njaa kama ni maisha mwenyzi mungu amekbariki simamia haki wanainchi wanakukubali
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 7 месяцев назад
Hawa watumishi ukiwapa Muda wa kujieleza ujue watakupoteza tu..yaani ni Wezi hatari...MH. SLAA PIGA KAZI BABA UNATISHA SANA MKUU..
@gracemunthali7945
@gracemunthali7945 11 месяцев назад
ASANTE SANA BABA.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 11 месяцев назад
Ndo kazi yao ao washezi sana na mimi takuja kwajili silaaa yupo mtetez takuja dodoma nishida wana ingia sanne ofisin
@methodmsokele2704
@methodmsokele2704 11 месяцев назад
Mungu awe pamoja nawe siku zote, Utaratibu huo utasaidia sana kutatua migogoro ambayo haina hata sababu ya kutotatuliwa.
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 11 месяцев назад
Mh umefanya Vzur sana, Ungewashkisha adabu kdogo
@allymsafi1716
@allymsafi1716 5 месяцев назад
Hapo kinacho takiwa hazina watume list ya wateja wote hao 200 walio walipia na kila mmoja na amount yake aliyo lipia...mfano hata sisi bank wakitulipa wanalipa amount moja huwa tuna waomba list ya mchanganuo wanatuma then kila mteja tuna muingizia kiasi chake alicho lipiwa
@FatumaBenitho
@FatumaBenitho 2 месяца назад
❤ Mungu aendelee kukuinua
@zephaniasalumsenga3441
@zephaniasalumsenga3441 11 месяцев назад
Wewe unaweza kuwa mfano Wa jembe ambalo lilitangulia mbele za haki mungu akupinganie
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 месяца назад
KWELI KABISA AWE NA MAISHA MAREFU, MUNGU AMJAALIE.....
@mwinyimustafa3227
@mwinyimustafa3227 11 месяцев назад
Kuna watu ndo kazi yao kuzungusha watu hivo. na kama huamini. mtume mtu asiseme katumwa na wewe uone atavozungushwa
@mrromeo760
@mrromeo760 11 месяцев назад
Tangu 2021.????? MHESHIMIWA chukua hatua....
@MrA24G
@MrA24G 11 месяцев назад
Aiseei jerry mungu akutangulie hizii ni shida.
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 7 месяцев назад
Safi sana waziri hiyo wizara inachangamoto sana ila nina imani teuzi ya mama imempata mtu sahihi kuna vimeo hususani baadhi ya watumishi,Mawaziri fanyeni ziara za kustukikiza wengi wa watumishi wanajisahau sana humo maofisini
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 месяцев назад
Hicho kitengo cha Ardhi kinapaswa kuundwa upya hapo dodoma tena takukuru cjui wanang'ata wapi nao wachunguzwe hakuna process utafanikiwa hapo pasipo kutoa rushwa utarudi mara 30 hapo
@kawawakitangara5604
@kawawakitangara5604 11 месяцев назад
HONGERA HONGERA HONGERA MHESHIMIWA SLAA KAZA BUTI KWA PAMOJA TUTAFIKA
@mimimoop2617
@mimimoop2617 11 месяцев назад
Km Magufuli hongera sana
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 11 месяцев назад
Tumbua wazembe kazini na hapa mama hajakosea kumteua huyu mwamba piga kazi kaka
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 3 месяца назад
Waziri wangu mbunge wangu mimi kura yangu nimeitumia kihalali. Mungu aendelee kukutunza mwanangu
@kanoa645
@kanoa645 11 месяцев назад
Duh Hadi aibu Baraka kujieleza kapata kigugumizi
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 11 месяцев назад
Mkuu wa mkoa wa dodoma ni mzigo,
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 11 месяцев назад
Kweli kabisa yaani
@mathewpeter4192
@mathewpeter4192 11 месяцев назад
Mweshimiwa kama hili swala ukilifuatilia sana utakuta hao viongozi ndio sababu kuu ya migogoro na wana fahamu hizo propabanda zote mm pia ninayo changamoto kama ya huyo Mama kiwanja Ntyuka na sababu ni Mtendaji kata Mungu akusaidie katka hii wizara ina laana sana kwakuwa wamejaa wazulumaji
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 4 месяца назад
Waziri hatari halali! Huyu Waziri APEWE TUZO YA WAZIRI BORA WA mda Wote
@allymahiyo2464
@allymahiyo2464 11 месяцев назад
Dada yupo very smart nimependa anajua kufatilia jambo.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 11 месяцев назад
Hawajibu barua hawa wafanyakazi wa ardhi kwa kweli mimi nina changamoto toka 2018 Morogoro
@mrromeo760
@mrromeo760 11 месяцев назад
Safi sana kama Hayati JPM taratibu tutafika tuu.....
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 11 месяцев назад
Wanajifanya hawajui chochote kumbe wanajua Kila kitu.
@malkavoice2570
@malkavoice2570 4 месяца назад
Kichaa amekabidhiwa rungu guys,kuweni makini ccm mtajikuta mpo uchi maana mungu huwa hachelewi wala hacheleweshwagi
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 11 месяцев назад
Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu MTU
@nyassorajabu628
@nyassorajabu628 11 месяцев назад
Mheshimiwa hata sisi tunazungushwa na eneo ni letu kila siku ni wasumbufu sana ao watu wajiji
@softrock7155
@softrock7155 11 месяцев назад
Mawaziri wengine waige mfano wa W AR Mhe. Jerry Silaa. Mtu mwenye malalamiko apate majibu ya moja kwa moja. Hii inaleta uwajibikaji
@samuelmwangu3301
@samuelmwangu3301 11 месяцев назад
Aibu sana
@bushirihamisi3819
@bushirihamisi3819 11 месяцев назад
Watu wa ardhi Wana matatizo sana uje na kongwa
@Maulambo
@Maulambo 11 месяцев назад
Tunaanza upyaaaa hakikisha bando unalo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 11 месяцев назад
Daah watu wanaishi watakavyo bila kufanya kazi 😢😢
@bilid4128
@bilid4128 11 месяцев назад
Waziri hapo ulikuwa unaongea na Wala rushwa hao ...Yani huyo mtumishi ardhi anajifanya hamtambui huyo Mama karatasi ni ngeni kwake wakati Huyo mama anasema alikuwa anachat nae ..
@user-td9zr7ur5h
@user-td9zr7ur5h 7 месяцев назад
Waziri umenikumbusha lukuvi uko vizuri
@nyakitalidaud2806
@nyakitalidaud2806 11 месяцев назад
Mkuu hao huwa wanapenda kukwapua maeneo ya watu kisha wanajiweka majina ya ndugu zaa
@Jmwanse
@Jmwanse 11 месяцев назад
Waziri uje na huku kwetu King'azi kata ya Kwembe. Kuna mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Ubungo vs Wilaya ya Kisarawe. Yaani wananchi hatupati huduma za kiserikali kwa muda mrefu sana mpaka barabara za mtaani hazipitiki, tumechanga mpaka tumechoka ili kutengeneza miundombinu hii.
@nkenemalulu1330
@nkenemalulu1330 4 месяца назад
Mh. Waziri chapa lkazi lakini Wizara ya Aridhi sawa na ''MFUPA ULIOMSHINDA FISI KUULA''. Mh. Waziri ongeza mmsisitizo wa uondoshaji wa matatizo yasababishwayo na watumishi wasio waaminifu la sivyo ukiondoka Uwe na dialog ya matatizo uliyoyapitia na wakupe mrejesho. Tunakutakia uwajibikaji mwema
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 11 месяцев назад
Futa kazi Hao walaji tu hao
@humaidalnaamani7859
@humaidalnaamani7859 11 месяцев назад
Ziara kama hii nzuri sana ila imetoka bila uhakika wa dada kiwanja chake kipo au hakipo na inaonyesha atakaa miaka mingine 7 kisha Baibai hakuna kiwanja wala pesa kwani pesa indayo kwa mganga hairudi
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 10 месяцев назад
Mtanuwe ofisi ziende kata zote Tanzania msongamano unanyanyasa raia na kumnyima haki yo umiliki nenda Rudi maendeleo yanaduma lakini kama Bado huu uozo tujipange kuiondoo madarakani ccm 2025
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 11 месяцев назад
Tatizo LA watumishi walioko kwenye ofisi za umma hawafanyii kazi barua Bali ni mpaka aliyeandika barua aende akatoe maelezo ya mdomo wakati barua inajieleza.Tatizo hili lipo. Serikali ione sasa mifumo ya ajira zake. Ajira za kujuana sio weledi.
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 11 месяцев назад
Tunaomba na waziri anaeshugulikia malipo ya mifuko ya ppf naye awe kama huyu pesa psssf hakuna na watu walikatwa private hawapeleki maboss
@cesiliasulle8798
@cesiliasulle8798 3 месяца назад
Naomba kupata contacts za ofisi ya waziri Jerry Silaa Dodoma
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 месяцев назад
Hatuna kwa kukimbiria waziri wetu mtetezi
@mweyoms5548
@mweyoms5548 4 месяца назад
Hii nchi Mawaziri wana kazi ngumu mno.Kila mahali wanakuta uzembe na mazoea.
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 11 месяцев назад
Huyu jeri slaa kuacha unafiki mchapa kazi namkumbuka alivyokua mea Manipal anajituma na jasili sana
@selector728
@selector728 2 месяца назад
Jasiri sio jasili
@paulmkai2043
@paulmkai2043 5 месяцев назад
anapiga kazi anajitahidi 🙏
@ASHAFAAABUU
@ASHAFAAABUU Месяц назад
namba ya silaa ntaipataje jaman mm niko nashinda kwenye kiwanja changu
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 5 месяцев назад
Kupata hati ni kipengele duuu nilifuatilia ya kwangu toka mwaka2005 miaka mitatu nasumbuliwa njoo kesho week ijayo mpka nikaachana nayo mpka leo cna huo mda wa kupoteza
@babalao910
@babalao910 11 месяцев назад
Njoo KATESH-HANANG' MANYARA.
@RabihuHussein
@RabihuHussein Месяц назад
Wanabahati sana JPM amepumzika!
@consorathajames2693
@consorathajames2693 5 месяцев назад
Ningeomba wazili anaehusika na NSSF sikumoja ashtukize atayaona mengi
@karimhasham8259
@karimhasham8259 3 месяца назад
Matapeli wa ardhi wamejaa kwenye wizara ya ardhi hao wote wanaelewa huyo mama wanamsumbua tu ukiwaangalia usoni unaona tu walivyo waongo
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 11 месяцев назад
Tembelea ofisi za chamwino ,uone madudu yalnayofanywa huko ,kwanza Mimi naomba kuonana na wewe mheshimiwa waziri wa Ardhi, nimesumbuliwa mno na watu wao wa Ardhi!!!
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K 11 месяцев назад
Hawa wako hawako sawa karibu nchi nzima kwenye ardhi na wengi siyo wasomi watu wako wa ardhi na halmashauri na watendaji wako
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 11 месяцев назад
Waziri umeanza vizuri lakini utalambishwa asali na kuwa nguvu za soda. Nchi hii imejaa majangili ya ardhi. Hao ulionao wanamiliki viwanja kama pelemende kazi yao ni kutapeli wananchi.
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 месяцев назад
Kuna kaimu mkurungezi anaitwa faziri na kamishina anaitwa hamisi wameshindwa kumariza mngogoro wa arizi mbezi kwa msunguri msingwa
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 месяцев назад
Nilisimamia ununuzi wa kiwanja kikaja kuuzwa hapo ofisini tena mtu kapewa documents zote pasipo cc kujua huo ninaumia mno nikipita kwenye kile kiwanja
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K 11 месяцев назад
Njoo mhe na Dar es. Salaam watu wako wako tu ofisi za kata na kujimilikisha nafasi za ardhi za watu na kudai hii ni open space ukimwambia niandikie karatasi niende ardhi inakuwa kimya halafu wana kwambia nimesafiri au nipo kwenye kikao
@petrolconrad4250
@petrolconrad4250 11 месяцев назад
Hilo li baraka ndio sample ya maafisa ardhi matapeli....mbupu zako, haiwezekani mtendaji wa serikali ukawa mngese kiasi hicho km sio msomi
@joellumala3206
@joellumala3206 11 месяцев назад
Safi kabisa
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 11 месяцев назад
Ofisa atapaje kigugumizi, si angempa maelezo kama ya kwako? Kwa nini azidi kumdanganya , subiri subira ya Tanzania 🇹🇿 inaumiza kwa kweli☹️☹️☹️☹️
@felixmwinami4295
@felixmwinami4295 11 месяцев назад
kuna uozo sana kwenye hizi taasisi inawezekanaje toka 2021 mpaka leo mtu bado analalamika??
@bugybuster5788
@bugybuster5788 11 месяцев назад
Muheshimiwa habari na ongera kwa kuaminiwa na raisi sina mengi ila tunaomba ufuatilie mgogoro wetu wa wana nchi wa kigogo mbuyuni dsm kuhusu mradi wa majumba marefu yanayotakiwa kujengwa na serikali mkunzia mchikichin mpk kigogo mbuyuni tasmini iliyopita tofauti na makubaliano ya awali
@adyaalawy8764
@adyaalawy8764 11 месяцев назад
Hapa kazi tuu
@dignakanje4508
@dignakanje4508 11 месяцев назад
Mazoea ynakujisahau ndio hyo sasa.Huu ndio uongozi jmn.Sio unaandaliwa mahali kufika watu wanajipanga kwanza Ili uyajue Madudu yawatenda kazi wako nikushtukiza tu.hpo ndio shida.
@furahamandai6628
@furahamandai6628 11 месяцев назад
Aiseee huyu ndiye jeri slaaa ana akili nyingi uwezi kumdanganya bado kijani tunamjua vizuri
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 4 месяца назад
HAO WACHAWI TUUUU😮😮😮
@allenmdota4820
@allenmdota4820 11 месяцев назад
Safi kuwatembelea mataperi wakubwa wajiji Sina hamu nao nimezunguka zaidi yamwaka moja sijapata mafanikio
@ConfusedDaisies-rb5
@ConfusedDaisies-rb5 5 месяцев назад
Haya mambo ya kushtukiza ndo mom hayataki, anataka mwendo wa danadana kama zama zileeee za unanijua mie nani?
@nurdinmkwachu28
@nurdinmkwachu28 11 месяцев назад
Maisha hayana usawa hata ukijaribu kuwa sawa ulituaminisha hautakua na upendelea aasa la kujiuliza hao watu umewatoa wapi kama sio mnajuana ndio wamekuja au wamekupigia sim je? Kila mtu anaqeza kukuona moja kwa moja kama hao mbwembwe tu hakuna lolote viongozi wetu ni wale wale yungakikuamin angalifata taratibu za kumuomba akutane na waziri hatunaga iman na nyie hata siku moja
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 11 месяцев назад
He, mulimueleza mhusika Kama hivyo mnavyomueleza mh. Wazizi? Vipi hiyo document iliyokutwa ktk Hilo file iwe kikwazo Cha kutoa haki haliyakua Haina mkataba wa mauziano? Muwemakini msicheleweshe haki za watu kwa maslahi yenu
@othumanomari1589
@othumanomari1589 2 месяца назад
Hawa wanaoitwa watumishi wa serikari hata sielewi erimuyao hovyo kwa hovyo🤔🤔
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 11 месяцев назад
Kuna pesa za ppf tulikua tunakatwa ukienda psssf huzioni kumbe boss anakata hapeleki naombeni pia mliangalie mtembelee private sectors upande waashule
@smartworld6153
@smartworld6153 11 месяцев назад
Tarime huku watu mpaka wanazeeka shida sana
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr 11 месяцев назад
Tarime sehemu gani ndugu me pia natokea Tarime
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 месяцев назад
Tunashukuru mama kukuchanguws Jeri siraha uje mbezi uonne busara itumieke sisi watanzania tumenyega watu weusi wezetu wamebezi kwa muhindi sisi tukisema hatusikirizwi tunakuomba serekari YETU na CHAMA CHETU kitusaidie
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 11 месяцев назад
Kidogo kama naanza kukuelewa wazili mana SS wanaichi tuna shida sana
@monicagerald6676
@monicagerald6676 8 месяцев назад
unafanya kazi vizuri ila Mgogoro wa TARI Mbeya umezingua, umedanganywa sana na ukashindwa kutumia busara kusikiliza upande wa pili. Serikali inatumikiwa na watu, na watu siyo wakamilifu, wakikosea wachutame, waache kutunga stori ambazo hazipo. Hili la Mbeya litakupunguzia Credibility.
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 11 месяцев назад
mheshimiwa waziri nakukubali lakini utukumbuke na sisi wa nchi wako wa chanika kata ya buyuni mgeule juu hatuna maji tumechoka wamama kubeba ndooo kichwani tunakuomba utuone baba
@christinafute7070
@christinafute7070 8 месяцев назад
Huyu ni waardhi mtafute uwesu wa. Maji
@aminachilindima-cr6fv
@aminachilindima-cr6fv 11 месяцев назад
Muheshimiwa uje na kwetu chanika virobo hakuna barabara wala maji hakuna kuna shule yongwe dalaja hakuna watoto mvua ikinyesha mtihani
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 11 месяцев назад
Ukiwapa nafasi vijana ya kufanya kaz kwa kutumia weredi utapata matokeo na sio kuwafanya wawe chawa.
Далее
Fancy VS Classic #shorts  @CRAZYGREAPA
00:33
Просмотров 651 тыс.